"New World Order Bible Versions" full movie with Swahili subtitles

Watch Video

October 24, 2015

Naamini ibilisi anataka kuliteka kanisa.

Naamini ibilisi anataka\kuliteka kanisa hili...

... mtu mmojammoja.

-Tunayo fursa mbele yetu ya kujiandaa sisi wenyewe na

vizazi vijavyo kwa Utaratibu Mpya wa Dunia.

-Funga dirisha lako.

Rundi ndani ya nyumba yako.

-Rudi ndani ya nyumba yako sasa! -Niko ndani.

-Tunayo fursa hasa ya huu utaratibu mpya wa dunia,...

...utaratibu ambao Umoja wa Mataifa unaoaminika

-...risasi baridi, vifaa vya kutuliza ghasia...

-...inaweza kutumia kazi yake ya kulinda amani kutimiza ahadi na maono...

... walioanzisha Umoja wa Mataifa.

-Baada ya Rais Bush alisema - na ni msemo ambao aghalabu hutumiwa

na mimi mwenyewe - kwamba tunahitaji utaratibu mpya wa dunia.

Na badala yake inaonekana kama vile tumepata tafrani nyingi.

-Imechukua muda mrefu kweli.

Kwa sababu ya kile tulichokifanya siku hii katika wakati muafaka

mabadiliko yameifikia Marekani.

-Rais Obama na Waziri Mkuu wa Uingereza Gordon hii leo

wakihimiza kuwepo kwa utaratibu mpya wa dunia katika kukabili matatizo

ya uchumi yaliyoikumba dunia.



-Kazi kubwa tuliyonayo sasa ni hasa kutengeneza

utaratibu mpya wa dunia.

-kazi yake itakuwa kubuni mkakati mpya kwa ajili ya Marekani.

katika kipindi hiki ambacho kwa kweli utaratibu mpya wa dunia unaweza kuanzishwa.

Ni fursa kubwa.

-Umeongelea kuhusu Utaratibu Mpya wa Dunia ulioutafsiri kama wa



kishetani. -Ndiyo.

-Unajuaje?

-Uchunguzi wangu umenifikisha katika upande wa pili wa hela ya Marekani.

Na nikaona hizi muhuri za ajabu kwenye dola. Ni alama za

Iluminati ambayo ilikuwa ni jumuiya ya siri iliyoanzishwa mwaka

na mtu aitwaye Adam Weishaupt.

Na nyumba ya noti ya dola hapa unaona muhuri upande

wa kushoto na pana jicho kwenye\pembetatu. Ni jicho la Horus

katika masimulizi ya Kimisri, ambalo siku hizi huitwa jicho la Lusifa au Shetani.

Na maneno mawili hapo juu, "ANNUIT COEPTIS", yanamaanisha

"Tunatangaza kuzaliwa kwa",

na chini kabisa, "NOVUS ORDO SECLORUM".

-Na hiyo nembo kuu ya Marekani inayo

"NOVUS ORDO SECLORUM": Utaratibu Mpya.

-Na watu wanatakiwa kuuliza swali hili, "Piramidi la

Kimisri linafanya nini nyumba ya noti ya dola ya Marekani?

Pana uhusiano gani kati ya Marekani na Misri?"

Jibu ni: hakuna hata kidogo isipokuwa katika nyanja za ushirikina.

Na hivyo tunaona hapa kwamba tunakabiliana na mpango wa kishetani na watu

inabidi watambue kwamba mungu wa Freemason ataongoza dunia

kuelekea kusudi hili la aina yake ambalo ndilo kusudi ambalo Marekani

ilianzishwa, yaani kupeleka dunia nzima mpaka kwenye

serikali moja ya dunia, dini moja ya dunia,

mfumo mmoja wa kisheria wa dunia, na sarafu moja ya dunia

ambayo Biblia inauita alama ya mnyama.

-...na kimsingi tunachokijua kwa hakika,

ni kwamba patakuwa na badiliko toka utaratibu wa zamani

kuelekea utaratibu mpya, utawala wa Shetani mwenyewe.

Hicho ndicho hiyo alama inachomaanisha

na hicho ndicho Utaratibu Mpya wa Dunia unamaanisha.

Katika Biblia, Wakorintho : inasema, "Hata imekuwa, mtu akiwa

ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama!

Yamekuwa mapya. " Angalia isemavyo tafsiri nyingine ya Biblia

ya mstari huu. Inasema, "Utaratibu wa zamani umepita na

utaratibu mpya umeanza." Wanatumia lugha ileile.

Tafsiri ya zamani inasema, "kwa kuwa ni sheria za jinsi ya mwili tu, vyakula na vinywaji na

kutawadha kwingine kwingine, zilizoamriwa hata wakati wa matengenezo

mapya", akizungumzia kuhusu kurudi kwa Kristo. Lakini angalia

tafsiri mpya zinavyosema, "mpaka wakati wa utaratibu mpya." Wanawaandaa



watu. Nataka sasa utambue hili. Katika Isaya : katika

tafsiri ya zamani ya Biblia inasema, "kwa ajili ya hayo Bwana, MUNGU, asema hivi, Tazama, naweka

jiwe katika Sayuni, liwe msingi, jiwe lililojaribiwa, jiwe la pembeni lenye thamani,

msingi ulio imara; yeye aaminiye hatafanya haraka." Hili linamzungumzia Yesu. Sivyo? Na nataka

utambue kwamba katika tafsiri ya zamani wanakutajia kuhusu Yesu

ambaye ni jiwe la pembeni la msingi. Kwani ni wapi ulipo msingi katika



jengo, ni juu au chini?

Liko chini, sivyo? Sawa?



Kwa hiyo wanaposema kwamba Yesu ndiye Jiwe kuu la pembeni la msingi,



ni chini, sivyo?

"jiwe la pembeni lenye thamani, msingi ulio imara; yeye aaminiye hatafanya haraka." - tafsiri ya zamani -

"Bali kwao wasioamini, Jiwe walilolikataa waashi, Limekuwa jiwe kuu la pembeni.,

tena, ni kwenye msingi.

Angalia uone vile tafsiri mpya zinamwita jiwe la juu.

Wanasema kwamba ile alama uionayo inamwakilisha Kristo.

Haimwakilishi; inamwakilisha nani? Mpingakristo.

-Ninaomba kwamba mbakie, lakini, rafiki zangu, kwenye kitabu hiki kikuu,

Neno la Mungu. Hiki, ndicho hasa tunachohitajika kukigeukia.



Muda ni mfupi. Anguko kuu kutoka kwenye ukweli:

Linatokea sasa; lipo hapa hivi sasa.

-Jina langu ni Steven Anderson, mchungaji wa kanisa la Faifthful Word Baptist

lililoko Tempe, Arizona. Kanisa letu hutumia tafsiri ya zamani tu; watu

wengi hawaelewi kwa nini. Lakini lengo la filamu hii ni

kukuonyesha tofatuti kubwa kati ya Biblia tasfiri ya zamani (King James Bible)

na matoleo mengine yote yaliyobakia.

-Jina langu ni Roger Jimenez. Ni mchungaji wa Kanisa la Kibaptisti la Verity

lililoko Sacramento, California, na kinachonifanya nihamasike kuwa sehemu

ya filamu hii ni kwa sababu Neno la Mungu linashambuliwa leo hii

na inabidi tusimame kutetea Biblia ili kwamba tuweze kupambana na

adui wetu katika vita ya kiroho.

-Jina langu ni Dennis McCain. Ni mchungaji wa Kanisa la Kibaptisti la Northside

lililoko Modesto, California. Nimekuwa nikichunga hapa kwa miaka kumi na sita

na nimekuwa katika huduma kama mmishenari mwanzishi wa makanisa kwa

karibu miaka arobaini.

-Hivi sasa, pana ajenda na ni ajenda ya kishetani kuibadili

Biblia. Watu wengi hufikiri tu,"hata hivyo Biblia tafsiri ya zamani ni

tafsiri nzuri; ni kama mashairi. Na tafsiri hizi nyingine ni

dhaifu. Labda hazikutafsiriwa vizuri." Lakini niko hapa

kukuambia kwamba inaenda mbali zaidi ya hapo. Matoleo haya mapya kiukweli

ni mpango wa Shetani kutohoa Neno la Mungu. Nitakuonyesha

kwamba haya mabadiliko siyo tu ya bahati mbaya. Siyo

madogo tu, mabadiliko yasiyo na matokeo makubwa. Namaanisha kwamba ni mabadiliko ya makusudi.

Yamekusudiwa kuhujumu mafundisho fulani ambayo Biblia hufundisha.



Biblia inatuambia katika Waefeso :, "Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya

damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka,

juu ya wakuu wa giza hili, juu ya

majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho." Pana watu walio na

mamilioni na hata mabilioni ya dola ambao wana ajenda ya kusambaza

Biblia zilizopotoshwa na kuzifanya zikubalike kupitia matangazo,

na maduka yanayoziweka mahali muhimu

zitakayowafanya watu waone, "Hii ndiyo Biblia unayotakiwa kusoma. Achana

na Biblia tasfiri ya zamani. Pata toleo jipya, lililoboreshwa zaidi."

Nimefanya tafiti kuhusu ni tafsiri zipi zilizo mashuhuri kuliko zote leo hii.

Hii ndiyo orodha ya karibuni kabisa. Nimechunguza vyanzo

mbalimbali na vyote vimekuja na matoleo yaleyale matano ya Biblia. Toleo

mashuhuri kabisa la Biblia siyo la King James. Ni lile la New International Version

NIV. La pili ni Biblia ya King James. La tatu

ni New Living Translation. La nne, ni the New King James, na namba tano,



ni English Standard Version au ESV kwa kifupi. Orodha nyingine nilizoziangalia

zina tafsiri hizohizo kwa mipangilio tofauti kidogo, lakini inayo matoleo yote matano.

- Watu wengi hawajui kwamba pana mamia ya tafsiri za Biblia za Kiingereza, na

ni wazi muda hauruhusu kupitia kila tafsiri.

-Ingeleta maana sana kuangalia matoleo manne potofu

ambayo ndiyo mashuhuri zaidi. Toleo la NIV limeacha mistari kumi na sita mizima

kutoka kwenye agano jipya. Yaani, kwanza kabisa, kabla

hata hatujaongelea maelfu yale ya mabadiliko, mistari mizima haimo kabisa.

Mathayo : haumo. Mathayo : - umekwenda. Matendo ? - mstari huu

umeondolewa kutoka kwenye NIV, toka kwenye ESV, haumo kwenye New Living Translation...

- Imeondolewa kabisa!

Matendo :, Biblia ya King James: "Wakawa wakiendelea njiani,



wakafika mahali penye maji; yule towashi akasema, Tazama, maji haya;

i nini kinachonizuia nisibatizwe? Na Filipo" - yule mhubiri wokovu -

akasema, Ukiamini kwa moyo wako wote, inawezekana. "

Hivyo, towashi - yule mwenye dhambi - anasema, "Nini kinachonizuia

nisibatizwe?" Filipo, mhubiri wokovu,

anasema, "Ukiamini kwa moyo wako wote inawezekana."

Naye" - towashi - "Akajibu, akanena, Naamini ya kwamba Yesu Kristo

ndiye Mwana wa Mungu." Nini kilichomtokea towashi? Aliokoka.

Kwa nini? Ukimkiri kwa kinywa chako Bwana Yesu na kuamini

mioyoni mwako kwamba Mungu alimfufua katika wafu, utakokolewa.

Aliamini kwa moyo. Akamkiri kwa kinywa. Akaokoka.

Kwani walifanyaje? Mstari wa :

"Akaamuru lile gari lisimame; wakatelemka wote wawili majini,

Filipo na yule towashi; naye akambatiza. "

Hivyo, mstari wa : Nini kinanizuia nisibatizwe?

Mstari wa : Ilimradi unaamini, unaweza kubatizwa.

Alikiri kwa kinywa chake, na kuamini kwa moyo wake;

Mstari wa : Akambatiza. Amen.

Tafsiri ya New International Version inasemaje?

"Walipokuwa wakisafiri barabarani, walifika mahali penye maji na towashi akasema,

"Angalaia, maji ni haya. Nini ni kizuizi cha mimi kubatizwa?|

Na akatoa amri gari lisimame. Kisha wote Filipo na towashi walienda

majini na Filipo akambatiza." Je, umegundua

kilichotokea? Kitu gani hakipo?

Sina hakika umebaini. Ni mstari mzima wa haupo.

Hivyo kwa mujibu wa tafsiri ya New International Version, wanasafiri barabarani.

Anauliza, "Nini kinanizuia nisibatizwe?"

Na kwa mujibu wa NIV, hakuna! Acha tukubatize.

Ambacho hakipo? Mwamini Yesu Kristo!

Kisichopo? Injili.

Kisichopo? Kwa nini Biblia hizi zinamshambulia Yesu Kristo?

Sioni maana yake kabisa.

Lakini inaleta maana pale unapokumbuka kwamba yote haya yatokana na Shetani.

-Lakini siyo tu NIV wameondoa mistari mizima kutoka kwenye Biblia,

Bali pia wameongeza maelezo kuhusu mistari mingine , wakisema huenda mistari hii

haikuwemo kwenye Biblia ya awali, ili kukufanya utilie mashaka Neno la Mungu.

Mistari kama vile Marko :: Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili

kwa kila kiumbe". Mistari kama vile "Baba, Wasamehe kwa vile hawajui

watendalo." Hawajaiondoa mistari hii, lakini wameweka maelezo ya ziada pembeni yake

ambayo yanaifuta mistari hiyo isikae akilini mwa msomaji, akisema, "Hata



hivyo mistari hii huenda haikuwemo kwenye Biblia. Mstari huu

Hauna mamlaka yoyote." Tunaamini kwamba Yesu Kristo alikuwa Mungu katika mwili.

Hili ni jambo lingine ambalo tafsiri hizi za siku hizi hulibadili na kulishambulia.

Nikupe mifano michache. Yohana :; "Kwa maana wako watatu

washuhudiao mbinguni, Baba, na Neno, na Roho Mtakatifu,

na watatu hawa ni umoja. Hapa ndipo tupatapo neno "Utatu Mtakatifu."

Watatu ambao ni umoja.

"Hawa watatu ni umoja."

Tafsiri ya NIV, kwa upande mwingine, inasema tu,"Kwa maana wako watatu washuhudiao."

Haimtaji Baba, haimtaji Neno, haimtaji

Roho Mtakatifu, na wala kutaja kwamba watatu hawa ni umoja.

Angalia walichokifanya na Timotheo :. Biblia inasema, "Na bila

shaka siri ya utauwa ni kuu." - sikiliza kwa makini - " Mungu

alidhihirishwa katika mwili, Akajulika kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa

katika mataifa, Akaaminiwa katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika utukufu."

Ni kwamba Mungu aliaminiwa duniani, kwamba Mungu alichukuliwa

juu katika utukufu, ni Mungu ambaye alifanyika mwili na kukaa pamoja nasi, na

Biblia iko wazi kabisa katika Timotheo : kwamba Yesu Kristo ni Mungu.

Katika Timotheo :, ni mstari muhimu ambao nausoma mara kwa mara

maelezo yake ya ziada katika tafsiri ya New American Standard niliyokuwa nayo katika seminari

na baadaye katika tafsiri ya NIV, na vifungu vingine, na ambavyo husema kwenye

tanbihi, au walizozisema katika chambuzi, au yale mafundisho

toka katika NIV au New American Standard, waliposema kwamba hakuna

tofauti yoyote ya kitheolojia. Hayaathiri mitazamo yoyote ya

kimafundisho. Lakini ni wazi kwamba pana tofauti kati ya "hos" na "Theós".

Ukichukulia 'yeye ambaye alikuwa, 'hos'", badala ya "Theós", badala ya

kuwa Mungu, ni wazi inadhoofisha tafsiri kwa sababu itabidi udhanie

kwamba Kristo ni Mungu, au alifunuliwa. Lakini katika "Theós", hakuna kudhania

kuhusu nini andiko linasema. Ni kwamba Mungu aliyefanyika mwili, na

ndiye aliyekuja kama Kristo, na kwamba hilo ni wazi linachangia

uelewa wa watu kuhusu uungu wa Bwana Yesu. -Sawa

-Waebrania : ni ushahidi mwingine mzuri wa ukweli kwamba Yesu Kristo ni Mungu.

"Lakini kwa habari za Mwana asema, Kiti chako cha enzi,Mungu,ni cha milele na milele".

Kwa hiyo ni nani ambaye Biblia inamuita Mwana hapa?

Inamwita Mungu hivyo. Inasema, "Kiti chako cha enzi, Mungu, ni cha milele

na milele." Sikiliza tafsiri ya NIV.

"Lakini kuhusu Mwana anasema"....

- Majuzi nilikuwa naongea na Shahidi wa Yehova katika kituo cha treni. -Nilienda

kumpokea mke wangu. Na shahidi wa Yehova akaanza kunisomea

kitabu cha ibada lakini nikaona kinatokana na New World Translation.

Hivyo nikamwambia, "Hiyo tafsiri ya New World imetokana na maandiko yaliyoandikwa Kiyunani?"

Akajibu, "Inatoka kwenye Agano Jipya la Wescott na Hort la Kiyunani."

Nikasema, "Iko sahihi?"

Akasema, "Bila shaka."

Nikasema, "Umekuwa nalo toleo la Kiyunani?" akasema, "Hapana."



Nikasema, "Utafanya nini iwapo Yehova mwenyewe aliongea na Yesu na kumwita

Yesu Mungu?" "Hayo hayakuwahi kutokea."

Kwa hiyo nikamnukulia Waebrania :. "Lakini kwa habari za Mwana asema,

Kiti chako cha enzi,Mungu,ni cha milele na milele".

Alihamasika sana na akasikitika sana kiasi cha kuchukua mikoba yake na kuondoka

nikamfuata nje ya mlango kuongea naye. Lakini niliposoma toka

toleo la New World Translation hapo baadaye, nilikuwa imebadilishwa kabisa:

-Pale ambapo kwenye tafsiri ya King James, huwezi kushindwa kuielewa. Si hivyo tu,

lakini wanashambulia ukweli kwamba Yesu alizaliwa na bikira. Nenda Luka :.

Biblia inasema, "Na Yusufu na mamaye walikuwa wakiyastaajabia

hayo yaliyonenwa juu yake".

Toleo la NIV, kwa upande mmoja, na NESV na New Living Translation



vinasema,"Na babaye na mamaye walikuwa wakiyastaajabia hayo yaliyonenwa juu yake."

Kwa hiyo hapahapa tunaona kwamba NIV na tafsiri hizi nyingine za siku hizi zinamwita

Yusufu kuwa ni baba wa Yesu Kristo, kitu ambacho Biblia ya King James

ina umakini wa kutofanya.

-Yusufu alikuwa ni baba wa Yesu Kristo? Hapana, hakuwa.

Alikuwa ni baba-wa-kambo wa Yesu Kristo. Nitakufafanulia.

Lakini hakuwa ndiye baba wa Yesu Kristo.

-Kikweli, baadaye katika sura hiihii, Mariamu anamuita Yusufu kama baba wa Yesu

na Yusufu anamrekebisha papohapo. Inasema, "Na walipomwona walishangaa,

na mama yake akamwambia, Mwanangu, mbona umetutenda hivi?

Tazama, baba yako na mimi tulikuwa tukikutafuta kwa huzuni. "

Je, hakumwita Yusufu kuwa ndiye baba wa Yesu? Tazama ambavyo

Yesu anavyomrekebisha papo hapo. "Akawaambia,

Kwani kunitafuta? Hamkujua ya kuwa imenipasa

kuwamo katika nyumba ya Baba yangu? " Anasema, "Angalia, niko naendelea kufanya

kazi ya Baba yangu wakati ninapohubiri Neno la Mungu kwa vile Yusufu

siyo baba yangu. Mungu Baba ndiye Baba yangu."

Wale waiaminio tafsiri ya NIV, wamepofuka sana, imeshatokea

wananionyesha haya na kusema, "Unaona? Hivi ndivyo Biblia inavyomwita

Yusufu babaye Yesu." Hapana, huyo ni Mariamu akimwita Yusufu

babaye Yesu na papo hapo akakemewa na mtu fulani inambidi

aikemee NIV. Mtu fulani inambidi alikosoe toleo la New Living Translation.

Mtu fulani inambidi aikemee ESV na kusema, "Ngoja kwanza. Umekosea.

Huyo siyo babaye Yesu. Baba wa Yesu ni Mungu Baba."

Utasema, "Lakini, wanachosema inakuwa ni rahisi kuelewa. Tena,

mabadiliko hayo kidogo tu hayabadili vile mafundisho."

Haya ni mafundisho muhimu sana, sivyo?

Uungu wa Kristo, kuzaliwa na bikira.

Si hayo tu; wanashambulia umilele wake. Unajua, Yesu Kristo

hakuanza kuwepo kwenye hori la ng'ombe pale Bethlehemu. Yesu Kristo hakuanza kuwepo

katika tumbo la Mariamu. Lakini, Yesu Kristo siku zote alikuwepo na siku zote

atakuwepo. Yeye ni wa kwanza na wa mwisho, ni Alfa na Omega,

yeye ni mwanzo na mwisho, na hayo ni muhimu kwa uungu wake.



Kama ni kiumbe kilichoumbwa, hawezi kuwa Mungu.

Biblia inasema katika Mika :, "Bali wewe, Bethlehemu Efrata,

uliye mdogo kuwa miongoni mwa elfu za Yuda; kutoka

kwako wewe atanitokea mmoja atakayekuwa mtawala katika Israeli; ambaye matokeo yake

yamekuwa tangu zamani za kale," - angalia kwa makini - "tangu milele. "

Hivyo hapa katika Mika :, Biblia inatuambia kwamba Yesu Kristo alikuwepo "tangu milele."

Hayo ni maneno mawili makuu sana kwa sababu yanazungumzia umilele

wa kuwepo kwa Yesu Kristo. Hana mwanzo. Hakuumbwa.

Alikuwa Mungu katika mwili. Alikuwa na Mungu hapo mwanzo na alikuwa Mungu [Yohana :]

Naam, "milele" ina maana inaendelea bila mwisho; iko bila mwisho.

Hivyo "tangu milele" itakuwa ni kitu ambacho kimetokea milele iliyopita

au kinatoka kutoka zamani isiyo na mwisho, kitu ambacho

siku zote kilikuwepo. Sasa sikiliza NIV:

"Lakini wewe, Bethlehemu Efrata, japokuwa u mdogo miongoni wa koo za Yuda,

miongoni mwako atakuja mmoja ambaye atakuwa mtawala wa Izraeli, ambaye asili zake

ni za zamani, zamani za kale."

Sasa, asili ni nini?

Ni muda ambapo kitu fulani kinaanza kuwepo, sivyo?

Wakati kitu fulani kinaasiliwa, hapo ndipo kinapoanza kuwepo.

Angalia, je Yesu alianza kuwepo siku fulani?

Hapana, ni wa milele katika Biblia tafsiri ya King James.

Lakini kwa mujibu wa tafsiri ya NIV, alikuwa na asili.

Kama Yesu Kriso alikuwa na asili, basi siyo Mungu, kwa vile Mungu

aliyekuwepo na aliyepo na atakayekuwepo. [Ufunuo :]

Mungu nyakati alikuwepo.

Mungu si kiumbe.

Lakini hapa ndipo NIV waziwazi inapopitiliza:

-Isaya : inasema hivi: "Jinsi ulivyoanguka kutoka

mbinguni, Ewe Lusifa"...

-Mahali pekee kwenye Biblia nzima unapokuta neno "Lusifa". Mara moja tu.

Hapa kwa kweli tumempatia jina Shetani, kumuita Lusifa,

na kama tungetembea mitaani na kuuliza watu, "Lusifa ni nani?

Nani Lusifa?" wote wangesema, "Ni Shetani; ni ibilisi."

Wafahamu Lusifa ni nani?

-Malaika aliyetupwa chini toka mbinguni, Shetani.



-Shetani.

-Huyo ni Shetani.

-Huyo ni ibilisi.

-Ibilisi.

-Ni Shetani.

-Shetani.

-Shetani.

-Ibilisi.

-Ibilisi.

-Ibilisi.

-Sawa kabisa, ni nani huyu Lusifa?

-Ibilisi.

-Ni swali rahisi; nafahamu. Nayo ni sawa kabisa.

-Shetani. Ndiyo.

-Njia pekee wewe na mimi tunafahamu kwamba jina la Shetani ni Lusifa

ni kwa sababu ya Isaya :.

"Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni, Ewe Lusifa," -Nataka uone sasa

inavyotupa jina lake na inavyotupa cheo chake - "Ewe Lusifa, mwana wa asubuhi!"

Kwa hiyo nini cheo cha Lusifa? "Mwana wa asubuhi", sivyo?

Ufunuo sura ya , mstari wa ; Biblia toleo la King James linasema hivi:

"Mimi Yesu nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa.

Mimi ndimi" - huyu ni Yesu anayeongea - "niliye Shina na Mzao wa Daudi,"

-huyu ni Yesu anaongea - "ile nyota yenye kung'aa ya asubuhi."

Unaona?

Yesu amejiitaje? Ile nyota ya asubuhi.

Hicho ndicho cheo chake.

Kwa hiyo tafsiri zote mbili za King James na NIV katika Ufunuo : zinasema kwamba

Yesu Kristo ndiye nyota ya asubuhi.

-Ni vipi NIV inakuita kuanguka kwa Lusifa toka mbinguni?

-"Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni, Ewe nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi!"

Hivyo badala a Lusifa kutupwa toka mbinguni katika Isaya :, kwenye NIV

ni Yesu anayetupwa toka mbinguni.

Zingatia, Biblia imeshatuambia kwamba Lusifa au Shetani alitupwa toka

mbinguni kwa kutaka kuwa kama yeye aliye juu kabisa, akitaka kuwa kama Mungu.

Ona, toleo la NIV, baada ya kuushambulia uungu wa Kristo, baada ya kushambulia

uwepo wake kabla, hata baada ya kushambulia ukweli kwamba alizaliwa na bikira, kwamba

hakuwa na mwanzo, wala hana mwisho, kwamba yeye alikuwa Mungu katika mwili,



sasa hapa inamtuhumu kutaka kufanana na aliye juu. Yeye ndiye aliye juu!

-Kwa mujibu wa NIV, Yesu alitupwa toka mbinguni na siyo Lusifa!

-Watu walio nyuma ya haya matoleo ni wa Shetani. Shetani alitaka

kuchakachua Neno katika bustani ya Edeni

na tunaelewa mbinu zake. Wakorintho :]

Ona, Neno la Mungu lina nguvu kuu.



Biblia inasomeka katika Waebrania :, "Maana Neno la Mungu li hai,

tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili, tena lachoma hata

kuzigawanya nafsi na roho, na viungo na mafuta yaliyomo ndani yake;

tena li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo. "



Ibilisi anajua kwamba akiweza kutunyang'anya silaha yetu kama Wakristo, atatushinda.

-Lengo ni na siku zote limekuwa ni kutunyang'anya silaha yetu.

Angalia historia. Wakati watu waovu wakiwateka kundi la watu, unajua

nini kinafuatia kuteka? Wanawanyang'anya silaha.

Sikiza, serikali hujaribu kukwambia, "Tunataka kuwanyang'anya silaha

kwa sababu tunataka kuwalinda."

Unajua, kama mtu anataka kuondoka na silaha yako, hana mpango

wa kukulinda; anajaribu kuhakikisha kwamba atakapokuja kukufuatilia,

hauwezi kupambana naye.

Mwaka Urusi ya Kisovieti ilianzisha sheria ya kudhibiti bunduki. kati ya na

wapinzani wa kisiasa milioni waliuawa.

Mwaka Ujerumani ilipiga marufuku umiliki wa bunduki, na kuanza kuwanyang'anya silaha wananchi.

Kati ya na , Wayahudi milioni na watu wengine waliuawa.

Mwaka China ilizuia umiliki wa silaha na ikaanza kuwanyang'anya silaha wananchi wake.

Kai ya mwaka na ,

wapinzani wa kisiasa milioni waliuawa huko China.

Mwaka Uganda ilidhibiti umiliki silaha, na kuanza kuwanyang'anya silaha wananchi wake.



Kati ya na - ona - Wakristo , waliuawa.

Mwaka Cambodia ilianza kudhibiti silaha na kuanza kuwapokonya silaha wananchi wake.

Kati ya na , Wakambodia milioni moja waliuawa.

Lazima uelewe hili: adui siku zote anajitahidi kukupokonya silaha yako

siyo kukulinda, bali usiweze kujilinda mwenywe.

-Madikteta waovu siku zote wamekuwa wakiwapokonya silaha wananchi wao ili wasiweze kujihami,

na kuwafanya watumwa. Serikali zinajua kwamba kama serikali zikiwapokonya silaha wananchi,

watakuwa hawana uwezo wa kujihami dhidi ya utawala mbovu.

-Unasemaje? Pana mashambulizi leo kwenye Neno la Mungu?

Ndio, yapo. Kwa sababu kama Shetani anaweza kukunyang'anya silaha ya jambo moja ambalo

ungemuumiza nalo, kwa jambo hilo ukiingia kwenye mapambano naye,

kama huna silaha basi atakushinda kirahisi.

Hakuna kitu Ibilisi angependa zaidi ya kunyang'anya upanga ukatao kuwili wa

Biblia ya King James usiwe nayo na kuibadilisha na kisu cha mkate



kiitwacho NIV.

badilishana na kisu cha mkate kiitwacho ESV,

badilishana na kisu cha mkate kiitwacho the New King James.

Hataki tuwe na silaha. Hataki tuweze kupambana na

wakuu wa giza wa dunia hii.

Wathesalonike mstari wa ," Mtu awaye yote asiwadanganye kwa njia

yo yote; maana haiji, usipokuja kwanza ule ukengeufu;



akafunuliwa yule mtu wa kuasi, mwana wa uharibifu; "

Kwa hiyo Biblia inatuambia kwamba...

-Kabla mpingakristo hajaja, kabla ya serikali moja ya dunia haijaja,

kabla ya Utaratibu Mpya wa Dunia haujafika, lazima uwepo ukengeufu kwanza.

Ukengeufu ni nini? Kuanguka imani.

-Na ninaamini kwamba hizi tafsiri za siku hizi ni sehemu muhimu ya mpango wa ibilisi

wa dini moja ya dunia, serikali moja ya dunia, Utaratibu Mpya wa Dunia.

Biblia inatuambia kwamba kabla ya kurudi kwa pili kwa Kristo patakuwa na anguko

kuu, 'apostasia'. Ukengeufu mkuu kabla ya Kristo

hajarudi kutakuwa ni matokeo ya Biblia hizi za siku hizi ambazo ni potofu na danganyifu

ambazo zinageuza na kubadili Neno la Mungu

na kubadili mafundisho ya Kristo.

-Yaani wanatumbukiza makosa katika Biblia na kuwafanya watu watilie mashaka

Biblia, wamtilie mashaka Mungu, waanze kuamini mageuko (evolution),

wanaamini mambo haya yote. Kinachofanyika hapa ni kuhimiza serikali moja

ya dunia. Kwa nini? Kwa sababu inahimiza ukengeufu.

-Na kinachosisimua ni kuona mara nyingi watu wanapozungumzia serikali moja



ya dunia au dini moja ya dunia ambavyo vinakuja, mara nyingi huvisema kama

Utaratibu Mpya wa Dunia. Sivyo? Nani ashasikia msemo huo kabla:



"New World Order?"

-Utaratibu mpya wa dunia ni wazo kubwa.

-Wanaweza kuvamia nyumba na magari ya deraya, bunduki zikiwa tayari.

-Ni utaratibu mpya wa dunia...

-Lazima tuwape nafasi watengeneze utaratibu wa dunia

ambao nadhani wote sisi tunapenda kuuona.

-Una matarajio kwamba mfumo wa dunia unaweza kutokea, kutokana na yale tulioyasikia mpaka sasa?

-Kama inaweza kutokea, na kwa dhai, mipango iko mbioni...

-Watu walio nyuma ya mkataba huu wanataka serikali ya dunia

na mawazoni mwao hii ni hatua kuielekea.

-Una maana kudhibiti risasi, kudhibiti kiasi kilichopo, na baadaye

kudhibiti soko?

-Mwishowe kumdhibiti kila mmojawetu.

-Hiki ndicho kinachovutia. Unajua kwamba NIV inatumia neno "new order" ("utaratibu mpya")?



kuhusu kurudi kwa Kristo?

Katika Biblia ya King James, Waebrania : inasema, "kwa kuwa ni sheria za jinsi ya mwili tu, vyakula na

vinywaji na kutawadha kwingine kwingine, zilizoamriwa hata

wakati wa matengenezo mapya. "

Hapo anazungumzia mambo ambayo tayari yalishatokea zamani, sawa?

-Wakati wa matengenezo mapya inarejea kuhusu kuja kwa Yesu Kristo.

Elewa vizuri. Inazungumzia kuja kwa kwanza kwa

Yesu Kristo. Hatushughuliki na vyakula, vinywaji, mambo ya kutawadha,

kwinginekwingine. Hatulazimiki kufanya lolote katika hayo. Kwa nini? Kwa sababu wakati wa

matengenezo mapya ulishakuja. Bwana Yesu Kristo alishakuja.

-Isikilize NIV:"kanuni zinazotumika mpaka wakati

wa utaratibu mpya." Na ukisoma mstari wa kwenye NIV, inaufanya usikikike

kana kwamba unazungumzia kitu ambacho kitakuja kutokea huko baadaye.

Utaratibu mpya haukuwa tu wa kuja kwa kwanza kwa Kristo, bali kwamba kuja

kwa pili kwa Kristo ndiko kunakoitwa utaratibu mpya.

Biblia Tafsiri ya Habari Njema haijifichi kabisa:

"Sheria hizi za mambo ya nje, ambazo zatumika tu mpaka wakati ambao Mungu

ataleta utaratibu mpya."

Biblia toleo la New English Translation pia linauita utaratibu mpya - new order.

Biblia tafsiri ya Common English Bible pia inauita utaratibu mpya.

Biblia inayouzwa kuliko zote Marekani leo hii

inaita kuja kwa Kristo 'the new order.'

-Unajua? Atakuja mpingakristo na pale ajapo itakuwa

ndio wakati wa utaratibu mpya wa dunia - the new order.

Lakini huo sio ambao Waebrania inauzungumzia.

-Pana maeneo mengi ambayo Biblia za siku hizi zinapotosha unabii wa Biblia wa siku za mwisho

ili kuwaandaa watu wamkubali mpingakristo, ili kuwaanda watu

wasombwe kuingia kwenye Utaratibu Mpya wa Dunia, ili kuwaanda watu

wadanganywe na serikali hii ya dunia, dini moja ya dunia, mfumo mmoja wa dunia

wa mpingakristo, na kupokea alama ya mnyama.

-Sema, "Mch. Jimenez, unaamini fitna hizi.

Unaamini katika Utaratibu Mpya wa Dunia?"

-Unadhani ni wazimu kufikiria kwamba wapo wenye mabenki na watu wengine

wanaojaribu kuleta serikali moja ya dunia?

Sijui kama ushawahi kukisoma kitabu cha Ufunuo, lakini Biblia inatuambia



kwamba mpingakristo ataleta serikali moja ya dunia.

Biblia inatuambia kwamba mpingakristo ataleta dini moja ya dunia.

Sidhani kama ni kutia chumvi watu wasemapo,

"Aah, wenye mabenki wanaleta utaratibu mpya wa dunia

ukiambatana na serikali moja ya dunia."

Sasa wanaweza kudhani - unajua hawa jamaa wanaoamini nadharia za njama - wanaweza kudhani,

"Aah, ni wenye mabenki tu; ni wao tu."

Lakini tunajua kwenye Biblia kwamba mpingakristo

analeta kitu hichohicho.

Hiki ndicho Biblia inasema.

Tangu bustani ya Edeni pamekuwa na vita dhidi ya Neno la Mungu.

Hata kabla Biblia haijamaliziwa kuandikwa, palikuwa na

vita dhidi ya Neno la Mungu, na unadhani ni tofauti leo hii?

Siyo.

Inakubidi uelewe hivi. Leo hii Neno la Mungu linashambuliwa.

Matoleo ya siku hizi ya Biblia ni wazi yana tofauti na Biblia ya King James.

na inakubidi ujiulize swahili hili: kwa nini?

Ili kuelewa tofauti, inabidi uelewe historia

ya Biblia ya Kiingereza.

Kwa bahati, tunayo makumbusho ya Biblia hapahapa Phoenix ambayo ina moja ya

mikusanyiko mikubwa ya Biblia adimu za Kiingereza duniani, na mkurugenzi wa

makumbusho Joel Lampe ataturuhusu kutazama matoleo haya



adimu ya Biblia za awali zilizotangulia Biblia ya King James na ya King James yenyewe.

Atatuelezea historia ya Biblia yetu ya King James.

Atatuchukua kuanzia Agano Jipya la Kiyunani la Erasmus,

toleo lenyewe la awali (Textus Receptus),

na kutuchukua katika historia nzima ya Biblia hizi zote za Kiingereza

zote mpaka kufikia toleo la King James.

Kwa hiyo ngoja tuanze na Erasmus.

-Unachokiona hapa mezani, mchungaji, ni, kwa kifupi, historia ya

Biblia ya King James.

Kumbuka kwamba Biblia hii ya King James ilichapwa mwaka na pana

uelewa potofu hapo kwamba ndiyo ilikuwa Biblia ya kwanza ya Kiingereza.



Hapana, haikuwa. Palikuwa na matoleo mengine mengi ya Kiingereza kabla ya mwaka

na unachokiona hapa kinaanza na toleo la kwanza la Kiyunani, kama ulivyosema muda mfupi uliopita,

Textus Receptus, iliyotolewa na Erasmus wa Rotterdam.

Toleo hili kwa kweli lilibadilisha kila kitu kama tunavyofahamu sasa kuhusu historia ya kanisa

na hata katika historia ya mambo mengine.

Linaitwa, Toleo la mwaka la Agano Jipya ya Kiyunani/Kilatini la Erasmus wa Rotterdam.

Acha tu tumuite Erasmus kwa vile alivyo:

mtu mwenye akili nyingi kuliko wote waliopata kuishi, wasio Mungu. Yesu bila shaka

ndiye aliyekuwa na akili nyingi kuliko wote waliopata kuishi. Sulemani naye yuko juu, lakini hata

leo tunaumona Erasmus alikuwa na akili nyingi kuliko wote. Ikiwa ni katika sayansi, theolojia,

falsafa, alikuwa na akili nyingi sana.



-Na hiyo Textus Receptus yenyewe kabisa ipo hapa?

-Textus Receptus halisi.

-Jamani.

-Iangalie tafadhali.

Kwa ujumla hudhaniwa uwa ndicho kitabu muhimu kuliko vyote vilivyowahi kuchapwa.

Na hiki ndicho kitabu kilichoamsha mageuko.

Hata kama huamini Mungu yuko, unakubali kwamba hiki ndicho kitabu muhimu kuliko vyote vilivyowahi kuchapwa.



Uamsho ulitokana na hiki. Ukweli watoka kwenye kitabu hiki.



Na kwa hiyo tunaona jinsi kitabu hiki kilivyo muhimu, lakini ilichofanya kingine ni

kilisababisha matatizo makubwa. Ninamaanisha nini?

Ni kwamba, pesa ziliacha kutiririka kwenda Roma. Hapa ni jengo linaloendelea kujengwa.

Palikuwa na msanifu mashuhuri wa ndani ya majengo aliyepewa kazi ya

kulipamba. Bila shaka nazungumzia kuhusu Vatikani, Michaelangelo.

Kanisa la Sistini. Pesa hiyo iliacha kutiririka. Kanisa likaanza kuweka

madau vichwa vya watu, likisema, "Hamuwezi kufundisha haya. Haya siyo ambayo

tunayaona yako sawa", hata kama Erasmus alisema, "Ni kama pana tatizo hapa.

Inasema 'toba' (metánoia), siyo 'lipa faini,' kwa hiyo tutazungumzia pia

suala hili la kitheolojoia. Lakin vuguvugu la kiprotestanti lilizaliwa

toka kwenye kitabu hiki. Na nini maana hasa ya vuguvugu la kiprotestanti?

Kupinga.



-Katika toleo hili unalonionyesha, Erasmus aliyaweka maandishi ya

Kigiriki pembeni ya Kilatini cha kanisa, la kufanya iwe rahisi kabisa kutambua tofauti

baina ya tafsiri mbili hizo. -Ni kweli.

-Hayo ni kweli?\-Ndio maana yalibadili kila kitu.

Kwa sababu ilionyesha kwamba tulikuwa tunakosea, na kutuonyesha kilichokuwa sahihi.

Lakini hakutafsiri ili kuonyesha ilivyopaswa kuwa mpaka muda ulipopita.



Haikuwa hivyo mpaka mwaka .

-Kwa hiyo vitu hivi vinavyosigana viko upande huu na upande huu.

-Na anachokifanya hasa ni kuonyesha tu ushahidi.

-Toleo potofu la Kilatini la kanisa na toleo halisi la Kiyunani, Textus

Receptus, aliviweka upande huu na upande huu na kumwachia tu msomaji

awe mwamuzi.



-Lakini hii ndiyo risasi ambayo kimsingi ndiyo ililiua kanisa.



-Haswa.

-Unachokiona hapa ndicho tunachokijua leo kama toleo la kwanza la Biblia ya Coverdale.

Ambayo lakini, kikweli, ni kazi ya William Tyndale. Sasa kama tujuavyo

Tyndale ndiye mvumbuzi wa Kiingereza tukizungumzacho leo. Ndiye pia mvumbuzi

wa Biblia ya Kiingereza ya kwanza kabisa kutafsiriwa toka lugha za asili.

Tyndale huko Uingereza alitaka kufanya kitu kilekile ambacho Luther alikuwa anakifanya Ujerumani.



Alijificha, na kwa msaada wa maktaba ya Luther, vitabu kama hiki

hapa, na baadaye matoleo ya kazi za Erasmus, Tyndale alitoa

toleo la kwanza kabisa la Agano Jipya. Kiligeuka kuwa ni kitabu kinachowindwa kuliko vyote katika historia ya Uingereza.

Na pia mfalme akataka kitu hiki kichomwe moto.



-Kwa hiyo Uingereza ilikuwa chini ya udhibiti mkali wa Kanisa Katoliki wakati huo

ambao Tyndale alitoa toleo lake la Agano Jipya mwaka ?

-Na ni kitabu ambacvho kimsingi kilikuwa ni shambulizi dhidi ya watawala au Kanisa Katoliki

la London la wakati huo.

Hili lilikuwa ni fanikio kubwa sana kwa vile Tyndale, katika miaka ya mwisho ya

maisha yake, alitumia muda wake mwingi kutafsiri kutoka Kiebrania na

Kiyunani ili kutoa kitabu hiki.

-Agano la Kale lililokuwa limebaki, baadhi haikuweza kukamilika

kutafsiriwa kutoka Kiebrania wakati kitabu hiki kinatoka?

La hasha, kwa sababu Tyndale alikamatwa mwaka .

-Sawa.



-Aliwekwa kizuizi cha nyumbani kwa siku . Na kisha mnamo asubuhi ya

Oktoba , , alitolewa na kuchomwa moto. Lakini wakati yumo kizuizini



Myles Coverdale alimalizia kile ambacho Tyndale alikianza.

Na ninachokipenda kuliko vyote vilivyomo ndani hapa ni haya maandishi hapa.

Hii ni tuiitayo Biblia ya Mathayo. Hii ni nini?

Ni hiki tu ambacho kimekamilika, si zaidi.

-Sawa.

-Kumbuka kwamba wakati Tyndale anakufa maneno yake ya mwisho, kama ulivyosema vizuri sana

mwanzo yalikuwa, "Bwana, mfumbue macho mfalme wa Uingereza."

Kitu gani basi kilitokea katika maombi hayo?

Tyndale angeweza kusema mambo milioni.

Kwa nini apoteze pumzi yake ya mwisho kusema, "Bwana, fumbua macho ya mfalme wa

Uingereza?" Tyndale alijua kwamba hata kama Henri wa Nane alikuwa mwehu kiasi gani, kama

angeweza kumfanya Henri wa Nane aachane na Kanisa la Roma, Uingereza

ingeshinda na kuwa salama. Ni jambo moja kuwa na uhusiano binafsi



na Yesu. Ni jambo lingine kuwa na uhusiano binafsi na Yesu huku

kukiwa na mtu anayetaka kuamka na kukuua kila asubuhi. Huo ndio uliokua utume wao.



Lakini mwishowe Henri wa Nane aliruhusu uhuru wa kusoma Biblia kwa sababu ya kitu kimoja:

talaka.

Maandishi haya mawili bila shaka yaliibadili Uingereza.

Ungeweza kabisa kuwa na uhusiano binafsi na Yesu kutokana

na vitabu hivi viwili.

-Ulikuwa naye mpatanishi wa kanisa badala tu

Yesu Kristo kuwa ndiye mpatanishi.

-Kile ambacho siku hizi tunakiita kitubio.

"Nisamehe, baba, kwa kuwa nimetenda dhambi. Imekuwa ni wiki mbili

toka toba yangu iliyopita."

-Kwa hiyo hii iliishinda kitubio.

-Ilifanya kiondoke kabisa. Hakukuwa tena na haja ya kuwa nacho. Haukuhitajika kuwa na

mtu kukueleza nini adhabu yako kwa



uhalifu huu uliomkosea Mungu.

Lakini tulicho nacho leo ni kile kiitwacho Biblia Kuu au Biblia ambayo ilikuwa

imethibitishwa na kuruhusiwa na Henri wa Nane, mfalme wa Uingereza.

Inapendeza zaidi kukumbuka vitu kadha wa kadha.

Toleo la baadaye la kazi ya Erasmus lilifanywa na mtu aitwaye Beza.

Na kingawa azi nyingine ambayo tunaijua zaidi, ni hii hapa

iliyofanywa na Stephanus. Stephanus ni muhimu kwa vile anatupatia Kiyunani

ambacho Biblia ya Geneva au Biblia iliyotolewa na wanamageuko wa John Calvin,

William Wittingham, hao jamaa, walitumia maandishi haya ya Kiyunani kutafsiri

Biblia yao ya Kiingereza inayojulikana leo hii kama Biblia ya Geneva.

Sasa, ni mashuhuri kwa vile ni Biblia ya kwanza yenye mistari. Sawa, ndiyo sababu

Biblia ya Geneva inafahamika na wengi wetu. Mathalani, ni wapi Yohana :



inakotokea? Ndio, ilitokea...

-Waliigawanya kuwa sura na mistari?

-Sura zilishakuwepo tayari.

-Waligawanya kuwa mistari. Nimekupata.

-Baada ya Henri wa Nane mwana wake anachukua kiti cha enzi. Na tunamjua leo kama

Edward wa Sita. Alikuwa akiwa kijana sana. Alikuwa mfalme kwa miaka minne au

mitano. Lakini katika muda huo aliruhusu pia uhuru wa maandiko. Lakini

pia hakuwa na mke wala watoto kwa hiyo hakuwa na mrithi, nani ambaye

alimrithi? Dada yake tunayemjua leo kwa jina la Bloody Mary (Mary wa Damu). Na hatumuiti

hivyo kwa sababu alipenda vodka na juisi ya nyanya yenye mchanganyiko wa

Tabasco. Tunamwita Bloody Mary kwa sababu aliwajibika kwa zaidi ya

vifo , vya raia wake mwenyewe. Na huu ni mfano mzuri. Huyu hapa ni

familia, mchungaji, katika utawala wa Bloody Mary. Hawa hapa ni akina mama watano na akina baba watano wote

wakichomwa moto. Kwa sababu gani?

Waliwafundisha watoto wao Sala ya Bwana kwa Kiingereza.

-Jamani.

-Na aliagiza wachomwe moto.

-Katika hamasa yake kwa ajili ya Kanisa Katoliki, aliwaua watu hawa.

-Wazazi walikuwa wakiwafundisha watoto wao.

-OK. Na walikuwa wakitaka kanisa ndilo liwafundishe?

-Hatukustahili, mchungaji, kuwafundisha watoto wetu.

-Kwa hiyo walikuwa wakichomwa moto kwa kuwafundisha watoto wao nyumbani.

-Hiyo ndivyo kimsingi kilichotukia. Kiaina, ndivyo ilikuwa.

Walitaka mamlaka yote ya kutawala.

-Jamani.

Wakati hayo yanatokea, wanaume majasiri waliamua

kuasi. Majina yao ni yapi? John Knox, John Foxe, William Wittingham.

Walikimbia toka Uingereza na kwenda kuanza kufanyia kazi maandishi mapya. Na tunayaitaje

leo hii maandishi hayo? Tunayaita Biblia ya Geneva.

-Inasema hivyo hapa, na mtu mwingine ameandika hapa, "Family Bible."

-Sawa kabisa. Hiyo ndiyo ilikuwa kwa kweli: Biblia ya kwanza kabisa ya familia.



-Kile tukijuacho leo kama Textus Receptus, kilipelekea kutengenezwa kile

-Sawa. -Kile tukijuacho leo kama Textus Receptus, kilipelekea kutengenezwa kile

-Kile tukijuacho leo kama Textus Receptus, kilipelekea kutengenezwa kile

tunachokijua kama Biblia ya kwanza kabisa ya kujifundishia nyumbani: Biblia ya Geneva.

-Sawa.

-Na hiki ndicho kitabu kipitacho juu ya Mayflower.

-Nimekupata.

-Hiyo ndiyo Biblia inayotuliza Jamestown.

Baada ya utisho wa Blood Mary, alikuwa na dada. Tunamjua zaidi kwa jina la



Malkia Elizabeth. Ili kuwaridhisha wananchi, aliachana na Biblia ya

Maaskofu. Hii ilitolewa na "maaskofu",

ikitolewa na wachungaji.

-Lakini walikuwa wakiendeleza kazi iliyofanyika kwenye Biblia ya Geneva.

-Walitaka kitu ambacho kilizungumza kwa mamlaka zaidi.

-Sawa.

-Hii ya yatoka kwa watu unaoweza kuwaamini. -Wataalam.

-Wataalamu wa Kiebrania, Kiyunani laki wakweli, wasiotaka kuwapendeza watu.

Ilikuwa kazi tukufu.

-Kwa sababu fulani haikusambaa sana.

-Haikusambaa sana.

-Labda Mungu alijua kwamba kilicho bora zaidi kinafuatia.

-Na pia kwa kuwa hakuwa na mume wala watoto. Nani ambaye

angemrithi kiti cha enzi? Binamu yake toka Scotland. Huyu ndiye tunayemjua kwa jina la King James.

Na hiyo Biblia kubwa, ndefu unayoiona hapo karibu nawe, hiyo ndiyo



toleo la kwanza la Biblia ya King James. Na mwaka mmoja baadaye, aliruhusu

wananchi kuinunua maduka ya vitabu na umeshika

Agano Jipya la kwanza kabisa la King James.

-Jamani.

Tunapofika mwaka , tunamwona King James akipata ufalme. Mfalme James wa Sita wa

Scotland. Alipata ufalme na akaambiwa kwamba tafsiri mpya

ya maandiko inabidi itolewe. Sababu yake ni kwamba

pana watu wengi wanatumia Biblia ya Geneva, lakini inawabidi

waipate kanisani na Biblia ya Maaskofu, kwa hiyo pana matoleo makuu mawili na yote mawili



yana matatizo.

Biblia ya Geneva ilikuwa na mapungufu; na Biblia ya Maaskofu ilikuwa na mapungufu yake.

Hivyo wakasema, tutumie muda kupatia sawasawa.

Walikuwa na wasomi bora kabisa nchini waliokaa pamoja na kusema hatujaribu

kubadilisha toleo baya.

Tunaenda kutoka kwenye nzuri ili kupata nzuri zaidi mpaka nzuri kabisa. Yaani tafsiri hizi

nzuri. Biblia ya Geneva ni nzuri; Biblia ya Maaskofu ni nzuri.

Tunataka tu kuzifanya ziwe kamili bila mapungufu.

Kwa hiyo toka mwaka mpaka Biblia ya King James (KJV) ilitafsiriwa na watu waliokuwa

miongoni mwa wasomi bora kabisa waliokuwepo wakati huo. Kwa mfano: mtu mmoja,

Lancelot Andrews, alikuwa ni mtaalam wa Kilatini, Kiyunani, Kiebrania, Kikaldayo, Kiashuru,

Kiarabu, na pia alizungumza lugha za siku hizi. Huyo ni mmoja wa wale .

walioitafsiri Biblia ya King James kwa muda wa miaka saba.

-Kwa hiyo walikuwemo wasomi wa Kiarabu. Walikuwepo wale ambao walikuwa

wanazuoni wa Kiyunani na Kiebrania. Wengine walikuwa wanazuoni wa Kiaramu. Walikuwa ni wanaume wenye

maarifa makuu, wote hao. Na ujuzi wao wa maandiko ulikuwa umepishana.

Pengine walikuwa na imani tofauti au maeneo tofauti ya theolojia

yangeweza kuwa tofauti baina yao wafasiri.

Walichofanya ilikuwa ni kujigawa katika makundi sita.

Watu sita walitafsiri vitabu hivi sita vya Biblia na kadhalika. Na pale

walipofanya hivi walilinganisha kazi zao kwa pamoja, na kila moja ya makundi sita

lilifanya hivi. Na kisha walimchagua kiongozi mmoja toka kila kundi ili kukagua makundi yote sita

kilichotokea ni kwamba kila kifungu cha maandiko kilikaguliwa mara kumi na tano.

Na mwisho wa yote: wote kwa pamoja walikubaliana na kile kilichokuwa

kinatafsiriwa kutegemea na muktadha uliotumika, yaani kwa

kili ilichosema, ndicho hicho ilichomaanisha,

hata kama ilikuwa inakinzana kidogo na vile wangependa kudhani.

-Mfalme mwaka alisema, "Sawa, nitaandaa kamati na bila kujali muda

itakaoutumia, mtafanya kazi kwa kutumia kanuni mbili:

Agano La Kale lazima litafsiriwe kutoka kwenye Kiebrania, Agano Jipya lazima

litafsiriwe kutoka kwenye Kiyunani, nami nitawapa ninyi rasilmali zote kadiri

inavyowezekana kufanya haya yawe." Kwa hiyo Waebrania hodari kabisa wa wakati huo,

wasomi hodari wa Kiyunani wa wakati huo, na katika mwaka , watu waliajiriwa.

Walitoka na kwa miaka saba walifanyia kazi kile tukijuacho leo kama kitabu muhimu

katika historia ya binadamu: toleo la kwanza, nakala ya kwanza, uchapaji wa



kwanza wa Biblia ya King James. Iliwachukua miaka saba.

Na walifanya kazi nzuri. Na Biblia ya King James ambayo wewe na mimi tunaisoma leo



inatokana na yale mapitio ya mwaka , lakini haya ndiyo yalikuwa msingi wa maandishi. Na

hiki ndio matokeo yake. Na katika mwaka alitupatia kile tukijuacho leo kama

Agano Jipya la King James la kwanza kabisa la kubebeka kiganjani.

-Hii ndiyo iliyosambaa sana.

-Hicho ndicho kilichosambaa sana.

-Agano Jipya la kubebeka kiganjani.

-Mfalme anasema kama unamudu bei, unaweza kuimiliki. Kila duka la vitabu London

lilikiuza, na kilishamiri.

Na kisha kikawa na bado ndicho kitabu # kinachouzwa katika historia

ya binadamu. Hakuna kitabu kilichokipiku hiki, na hakuna kitakacho.

-Tunapoangalia matoleo ya Biblia yaliyotangulia ya King James: Tyndale,

Matthew, Coverdale, Great Bible, Biblia ya Maaskofu, Biblia ya Geneva, yote

yanarandana na Biblia ya King James. Yote kimsingi yanasema kitu kilekile kama

King James. Biblia ya King James ndilo matokeo ya Biblia zilizoitangulia.

Hivyo, kama Biblia ya King James inarandana na zote zingine za Kiingereza

zilizoitangulia, kwa nini Biblia hizi za siku hizi ziko tofauti sana?

Dk. James White ni mtu ambaye amefanya midahalo dhidi ya watu wasomao Biblia ya King James tu.

Ameandika kitabu dhidi ya wale wasomao King James tu.

Hudhaniwa kuwa ni mtaalam wa kubainisha kwa nini ni makosa kusoma King James pekee, kwa hiyo

tutaongea naye tufahamu hoja zake ni zipi.

-James? Tuna wageni.

-Sawa kabisa. Salama?

Dk. James White, asante sana kwa kuongea nasi leo.

-Ni furaha yangu kuwa nanyi.

-Unaweza kuniambia kuhusu Codex Sinaiticus kwa kifupi,

na Codex B kwa kifupi?

-Zote mbili Sinaiticus na Vaticanus hushambuliwa vikali na



wale wasomao tu King James kwa vile zimekuwa ndizo zilizotegemewa katika

kutafsiri Agano Jipya badala ya kutumia Textus Receptus.

-Watu wawili kwa jina la Westcott na Hort waliandika

kutokana na magombo mawili yajulikanayo kama Sinaiticus au "Codex Aleph" na

Vaticanus au "Codex B". Magombo haya mawili yalidhaniwa na Westcott na

Hort cuwa ni ya zamani zaidi kwa hiyo ya kuaminiwa zaidi kuliko maandishi ya Kiyunani ambayo

yalitumiwa na Textus Receptus.



Biblia za siku hizi hudhaniwa kuwa ni matokeo ya taaluma ya mambo ya kale na

uanazuoni na uvumbuzi wa siku hizi. Yaani, hata kama watu wanaozipendekeza hizi

Biblia wakikuambia, "Ndivyo, wachapishaji wa siku hizi wana rasilmali nyingi zaidi

siku hizi. Wanayo magombo ambayo hayakuwepo

kwa wafasiri wa King James. Ndiyo maana Biblia za siku hizi ndio bora zaidi,"

ndicho watakachosema. Na sababu ya kusema hivyo ni kwamba kwa vile magombo ambayo



Biblia za za siku hizi, mfano Biblia ya NIV, n.k., ni mavumbuzi mapya yakimaanisha

yalifukiwa kwa karne nyingi. Acha nikuulize jambo moja. Unaamini

kwamba Biblia ya kweli ilifukiwa kwa karne nyingi?

[Washirika] Hapana.

-Namaanisha unadhani kweli Mungu angeruhusu watu wake watumie

Biblia potofu kwa mamia na mamia ya miaka, na kisha ghafla katika miaka ya

tuanze kupata magombo sahihi?

Haileti maana kabisa.

Yaani, Mungu aliahidi kulitunza Neno lake kwa vizazi vyote, lakini



kimsingi wanaamini kwamba Neno la Mungu la kweli lilikuwa limefukiwa mahali fulani na

kwa karne zote hizi kila mtu aliyesoma na kuhubiri na kuamini

kitu ambacho ni potofu ila kwa bahati wataalamu wa miaka ya



walichimbua magombo haya mapya, Neno la Mungu la kweli lililokuwa limefukiwa kwa

miaka yote hii. Angalia, kama ilimchukua Mungu muda wote huo kutuletea

Neno la Mungu kupitia kwa manabii na watakatifu wa Mungu waliozungumza kama

walivyoongozwa na Roho Mtakatifu kwa muda wa mamia, naam, maelfu ya miaka,

angeacha tu yafukiwe?

Hapana, haya yaliyochimbuliwa karibuni, haya magombo mapya na bora zaidi

ni batili. Yana majina kama vile Codex Vaticanus. Lakini, mmh, hilo

linakukumbusha nini? "Codex Vaticanus".

-Kwa sababu liligunduliwa Vatikani au linahusiana na Vatikani,



kwangu mimi linanitia mashaka bila kusita.

-Pana zaidi ya vipande na sehemu za Agano



Jipya vilivyopo vinavyoweza kuchunguzwa.

-Jamani.

-Na ya hivyo ndiyo maandishi muhimu yatumikayo na wafasiri kwa

matumizi yoyote nje ya Biblia ya King James.

Hayo ni % ya magombo yaliyoko,

wakati ambapo Biblia ya King James inatumia .% ya hayo magombo , kufanyiwa tafsiri.

Na ndiyo maana hujulikana kama toleo la wengi. Tambua pia

-na sidhani kama hili husemwa sana - katika vitabu vya injili

vyenyewe, katika Sinaiticus na pia Vaticanus, pana zaidi ya tofauti

. Kwa hiyo tunajuaje ipi ndio tofauti sahihi au kifungu



sahihi cha kutumia isipokuwa kiwe kimethibitishwa na nakala nyingine ambazo

walizitumia? Lakini kama una nakala mbili A na B, na pana tofauti katika

injili tu, tunajuaje nakala ipi ndiyo ya kuiamini? Kwa hiyo

nitaamini zaidi kwenye uingi wa nakala

uliotupatia Textus Receptus.

-Tukikuta itu ambacho kilifukia na kisemacho tofauti na

kile tulichokipokea, Maandiko Tuliyopokea, Textus Receptus, unajua, ile

Biblia ambayo watu wameitumia kwa karne na karne, lazima itakuwa ni potofu.

Haiwezi kuw ni Neno la Mungu kama Mungu hakuitunza. Kimsingi

wanakanusha maelfu ya Biblia zilizoandikwa kwa lugha tofauti ambazo zote zinasema

kitu kilekile. Badala yake, wanakumbatia Codex Vaticanus, Codex



Sinaiticus, kwa vile zinasemekana ni za zamani zaidi. Sawa, kwa kuwa tu

ni za zamani zaidi haina maana ni za ukweli. Haimaanishi siyo za

kitapeli. Angalia, Paulo anatuambia katika Wakorintho kwamba watu walikuwa



wanalihujumu Neno la Mungu hata katika nyakati hizo. Katika Wathesalonike walikuwa tayari

wanaandika maandiko ya uongo wakijidai yanatoka kwa Paulo mtume.

Katika Ufunuo , Mungu tayari alikuwa anawaonya watu watakaojaribu kupunguza

au kuongeza Neno la Mungu. Hayo tayari yalikuwa yanafanyika. Hivyo

kwa kuwa tu umepata gombo la zamani ambalo ni la miaka baada ya Kristo, aah,

hamna njia linaweza kuwa limehujumiwa, sivyo? Bila shaka linaweza kuwa.

Na wapo wengi, Biblia inatuambia, ambao wanalipotosha Neno la Mungu.

Siyo wachache, bali wengi.

-Hizi nakala mbili haziwezi kujisimamia zenyewe.



-Ni kweli.

-Na sasa toleo la la Nestle Allen, UBS toleo la lililorekebiswha, pana

sehemu nyingi ambazo, siyo tu Sinaiticus inakinzana na Vaticanus,

japokuwa ziko pamoja, haziwezi kusimama peke yake ukizilinganisha na

mafunjo. Misimamo ya Westcott na Hort kwa Aleph na B.



Lakini walikuwa wakifanyia kazi kabla ya mafunjo pia.

Kila kitu kabla ya mafunjo leo hii kimsingi hakina maana.

-Imekuwa haina maana kwa sababu mavumbuzi mapya ya nakala?

-Uvumbuzi wa mafunjo, bila shaka uliotokea Misri

na maeneo menginemengine...

-Aleksandria ni mji wa Misri. Misri ni taifa lililomo kwenye Biblia ambalo mara zote

huhusishwa na yale yasiyo-ya-kimungu au ya dhambi au potofu. Kwa mfano, katika

Ufunuo :, Biblia inasomeka, "Na mizoga yao itakuwa katika

njia ya mji ule mkuu, uitwao kwa jinsi ya roho Sodoma na Misri,

tena ni hapo Bwana wao aliposulibiwa. " Kwa hiyo Mungu anapotaka kutumia mahali kwenye

Biblia kuwakilisha uovu, kuwakilisha kisicho cha Mungu na



ambacho ni cha kishetani, anatumia Misri kukiwakilisha. Misri katika Biblia ni alama ya

uovu, kutomcha Mungu.

-Yaliyomo kwenye nakala hizo za mwanzo P, P, P,

yamehakikiwa na kuthibitisha kwamba uandishi ulioko kwenye Sinaiticus

na Vaticanus haukuwa wa kipeee humo tu. Yaani, pana nadharia zinazozunguka sasa

kwamba hizi zilighushiwa na Wakatoliki wa Roma na pia

ujuha mwingine kama huo.

-Huwezi kudhani kwamba NIV ni Biblia ya Kikatoliki, na watakuambia,

"Ni ya Kiinjili, siyo ya Kibaptisti." Lakini ngoja.

Nitakuonyesha mafundisho yote ya Kikatoliki yajitokezayo kwa sababu yatoka humu kwenye

nakala za Kikatoliki. Matendo : imeondolewa kutoka kwenye Biblia za siku hizi

kwa sababu inashutumu ubatizo wa watoto wachanga.

-Ndiyo maana hatufanyi ubatizo wa watoto. Unajua kwa nini? Kwa sababu kwa mujibu wa

Biblia, nini kinachonizuia nisibatizwe? Inabidi uamini, na

kisha kubatizwa. Mtoto mchanga hawezi kuamini. Mtoto mchanga hata hawezi kuhukumiwa.

Kama mtoto mchanga akifa, anaenda mbinguni. Lakini Mkatokili angesoma hayo na kusema,

"Sawa, ubatizo wa watoto wachanga, endelea. Nini kinachonizuia nisibatizwe?"

"Hamna. Acha tumbatize." Hapana, kitu fulani kinakuzuia

usibatizwe. Ni kuamini. Hakionekani kwenye Biblia yako.

-Wakatoliki wanafundisha mafundisho kwamba Mariamu bado ni bikira muda wote

maishani mwake. Tunajua kwamba, bila shaka Mariamu alikuwa bikira pale

alipomzaa Yesu Kristo, lakini Biblia iko wazi kwamba baada ya hayo, alikuwa na watoto wengine.



Kwa kweli, orodha ya ndugu wanne wa Yesu: Yakobo, Yose,

Yuda, na Simoni. Anatupatia majina ya kaka wa Yesu, na kusema,

"dada zake, hawamo miongoni mwetu?" Kwa Yesu alikuwa na angalau ndugu saba,

pengine zaidi. Huu hapa uthibitisho katika Mathayo :. "Naye

Naye Yusufu alipoamka katika usingizi, alifanya kama malaika wa Bwana alivyomwagiza;

akamchukua mkewe: asimjue hata alipomzaa

mwanawe mzaliwa wa kwanza; akamwita jina lake YESU. " Kwa hiyo haisemi kwamba

hakumjua kamwe. Inasema tu hakumjua mpaka alipomzaa

mwanawe wake wa kwanza. Inasema katika mstari wa katika NIV "Lakini hakumjua

mkewe katika ndoa mpaka alipomzaa mwana; akamwita jina lake Yesu."

Kitu gani kinakosekana? "Mwanaye wa kwanza."



Kama Yesu ndiye mzaliwa wa kwanza wa Mariamu, kitu fulani kinaniambia pana mzaliwa wa pili.

Na kama NIV inaondoa hayo unaweza kusema, hata hivyo unajua, alikuwa ni mwana pekee

aliyekuwa naye. Mafundisho mengine ya Kanisa Katoliki yanayoungwa mkono na

NIV ni mafundisho ya kujipiga mwenyewe. Ndio, umenisikia sawasawa.

Kujiumiza mwenyewe au kujipiga mwenyewe.

Sasa, marafiki zako uwajuao Marekani huenda

hawajipigi wenyewe. Lakini katika historia ya Kanisa la Katoliki ya Roma limekuwa

likifundisha na hata kuhimiza tabia ya kujipiga mwenyewe. Sawa? Kwa hakika, wakati

Henri wa Nane alipopiga marufuku Ukatoliki katika Uingereza na kulifukuza Kanisa Katoliki

litoke Uingereza, papo hapo alipitisha sheria dhidi ya kujipiga



mwenyewe. Hata leo hii kule Ufilipini Wakatoliki walioiva

bado wanajipiga wenyewe leo hii mwaka . Katika nchi ya Philippines wanajisulubisha;

wanajipiga wenyewe; wanatembelea magoti mpaka damu ziwatoke.

Yaani matendo ya namna hii ya kujiumiza. Angalia Biblia inachosema katika

Wakorintho :. "bali naudhibiti mwili wangu na kuutumikisha; isiwe

nikiisha kuwahubiri wengine, mwenyewe niwe mtu

wa kukataliwa." NIV inasema, "Naupiga mwili wangu". Na tafsiri karibu zote za siku hizi

zinasema kitu kifananacho na "Naupiga mwili wangu..."

-Dhibiti.

-Hapana, hawasemi "kuudhibiti". Wanasema, "Naupiga."

-Hapana, hivyo sivyo NET isemavyo.

-Aah, sawa. Lakini nakuambia NIV inasema, "Naupiga mwili wangu." Toleo la

la NIV linasema, "Naupiga pigo mwili wangu".

"Nautunza mwili wangu."

-Usidhani nitaitetea NIV.

-Saw. Ndiyo tafsiri inayouzwa kuliko zote Marekani mwaka .

-Siamini.



-Nimeangalia vyanzo mbalimbali. Nadhani ESV....

-Ndiyo namba moja.



-Sawa, kama ukijumuisha...

-ESV ni #. Na nimefanya utafiti mwingi kuhusu hili.

-Kama ukijumuisha madhehebu ya kisikuhizi, labda.

Kwa hiyo, Wakorintho :, hauitetei "kujipiga mwenyewe" ya NIV?

-Hapana.

-Kwa sababu ni ya Kikatoliki. Yaani Kanisa Katoliki, usiku mwema!

-Ahh, hapana... Huko siko ilikotoka.

-Ngoja kwanza. Unasema kwamba

Wakatoliki hawajipigi wenyewe siku hizi?

Hawajijeruhi wenyewe? Unasema kwamba Henri wa Nane...

-Wachache wanafanya; walio wengi kabisa hata kwenye misa hawaonekani.

Hawawezi kuanza kujipiga.

-Vipi kuhusu ilivyokuwa kihistoria? Vipi kuhusu Uingereza pale Henri wa Nane alipowafukuza



Wakatoliki na kupiga marufuku kujipiga mwenyewe mwaka huohuo?

-Lakini Steven, hayo yanahusiana nini na wafasiri wa NIV?

Waona, kama vile Roma ilivyofanya zamani

haimaanishi ndivyo walivyokusudia.

-Nisemacho ni kwamba Shetani ni Shetani, sawa? Na Shetani huyohuyo aliyewafanya watu

wajipige wenyewe katika zamani za 'Middle Ages' ndiye Shetani aliyeweka kifungu

katika NIV akisema jipige mwenyewe. Hapo ndipo ninapoziunganisha.

-Unajua, hata vile NIV ilivyoandikwa, ni wazi nini alikuwa anazungumzia

kuhusu, na ni wazi ni lugha ya picha.

-Sawa, toleo Lililokuzwa ('Amplified'). Sijui wewe, lakini toleo la Amplified

mara zote naona limekuzwa sana. Nashindwa kuelewa. Lakini, tulisikie

toleo la Amplified: "Lakini [kama bondia] naudhibiti mwili wangu." Acha nikuulize

hivi: Umeshamuona bondia yoyote anayejipiga mwenyewe? Mimi sijamuona.

Biblia toleo la Common English linakuwezesha uelewe kirahisi, sababu

siyo kinachosababisha uyapende matoleo haya mapya kwamba ni rahisi

kuyaelewa? "Ninajipiga makonde kwenye mwili wangu mwenyewe na kuudhibiti kama

mtumwa." Angalia, kujipiga mwenyewe siyo mafundisho ya Biblia. Na unasema, sawa,

anatumia tu lugha ya picha.

Sawa, unasemaje juu ya watu hawa wote ambao wanajipiga kikwelikweli?

Ni mafundisho ya kushangaza, rafiki yangu. Siyaamini.

Biblia inasema katika Mathayo :, "Nanyi mkiwa katika kusali, msirudierudie maneno, kama

watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya kusema sana. "

Kwa hiyo Biblia inatufundisha hapa tusirudierudie tu tena na tena,

tukidhani kwamba kama tutasema kitu kilekile tena na tena, Mungu atatusikia

zaidi kuliko tukisema mara moja.

Marudio ni nini? Kusema kitu kilekile mara mbili , au mara tatu au mara tano

Anasema, angalieni, msifanye marudio kama mataifa wafanyavyo. Sawa,

NIV kwa upande mwingine - tafsiri zote za siku hizi kimsingi zinabadilisha na kuwa

hivi - "Mnaposali, msiropokeropoke kama wapagani, kwani

hudhani watasikiwa shauri ya wingi wa maneno yao."

"Kuropoka" ni pale unaposema tu mambo yasiyo maana na kuendelea

hivyohivyo, kuropoka tu. Siyo sawa na kurudiarudia kusiko na faida.

Kama nikimwambia Mkatoliki, "Unajua unarudia sala ileile

ya 'Baba yetu' tena na tena na tena na tena. Hautasikilizwa

kwa kusema sana. Huko ni kurudiarudia kusiko maana. Inakubidi useme hayo

mara moja na kuwa umemalizana nayo na siyo kurudiarudia kitu hicho tena na tena

na tena." Unajua, hayo yanathibitishwa pia na Mathayo :, lakini nikisema

nao, "Nyie, acheni kuropokaropoka kama wapagani," wataniambia, "Huku

si kuropoka." Watasema, "Sala ya Bwana ni Neno la Mungu."

Kwa sababu ni Neno la Mungu, sawa? Lakini sitaliimba au kurudiarudia

pasipo maana kwa Mungu, lakini Kanisa Katoliki linafundisha marudio yasiyo maana,

kwa hiyo mabadiliko yamefanyika.

Siyo tu hayo, bali Wakatoliki wana mafundisho muhimu kwao ya kuungama

dhambi zako kwa padri. Na hutumia Yakobo :, na katika Biblia ya Wakatoliki

pana maelezo ya nyongeza pembezoni yasemayo zingatia, mstari huu unakuambia

ukiri dhambi zako kwa padri. Unasema kwamba, kwa mfano, katika Biblia ya Doway Rheimes

ya Wakatoliki katika maelezo ya ziada. Hivi ndivyo inasema. Yakobo :, "Ungameni dhambi

zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, mpate kuponywa.

Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akiomba kwa bidii. " Sasa sikiliza

vile NIV na tafsiri za siku hizi zilivyobadili na kuwa: "Kwa hiyo ungameni

dhambi zenu ninyi kwa ninyi na kuombeana ili mpate kuponywa.

Maombi yake mwenye haki yana nguvu na hufanya kazi." Hiyo ni NIV.

Utasema, "Hicho ni kitu kilekile." Lakini siyo kitu kilekile.

Kwanza kabisa, ukirudi kwenye lugha ya kwanza, ukirudi kwenye

nini inasema hasa kwenye Kiyunani, neno ni 'madhaifu', na siyo 'dhambi'.

-Katika Textus Receptus, inatumia neno 'paraptómata' ikimaanisha madhaifu, ambalo

latokana na "paráptoma," yanamaanisha "mapungufu." Na nadhani wakati mwingine watu,

wanaposoma vitu potofu hapa, kwamba wanajituma kuungama

dhambi zao kwa watu, bada ya dhambi zao kwa Mungu, kwa kuwa "Kama tukiziungama dhambi zetu, yeye

ni mwaminifu na wa haki atatusamehe dhambi zetu, na kutusafisha

udhalimu wote", ambapo ninakiri madhaifu yangu kwako pale nisemapo, "Mimi

ni dhaifu kwenye eneo hili moja la maisha yangu. Nahitaji kuimarishwa. Utaniombea?"

Kwa hiyo nikiripo madhaifu yangu kwako, siungami, wala

sikiri dhambi zangu kwako, lakini kukiri mapungufu na madhaifu

niliyonayo binafsi, kwa hiyo pana tofauti ya uelewa wa

maneno baina ya "dhambi" na "mapungufu".

-Ukristo wa Kiinjili kihistoria haukubali Ukatoliki kuwa ni

ukristo wa kweli. Hapo zamani nilipokuwa mdogo maduka ya vitabu vya Kikristo



yalikuwa na vitabu na machapisho yanayoonyesha Kanisa Katoliki lilivyo, na kukuonya kuhusu

Kanisa Katoliki. Sasa hivi ukienda duka la vitabu vya Kikristo, na wameweka

rozari, wanauza Biblia za Kikatoliki; wanauza alama nyingine za Kikatoliki.

Tunachokiona ni kufutika kwa mistari inayotofautisha Wakristo wa Kiinjili

na Ukatoliki. Watu wanaanza kuandaliwa kwa dini moja ya dunia ambayo

itaunganisha Ukatoliki, madhehebu yote ya Wakristo,

na kwa kweli dini zote za dunia.

-Wale wanaoshinikiza kuwepo kwa dini moja ya dunia wanaamini kwamba dini zote,

hata kama kwa juujuu zinaonekana tofauti, lakini zote ni njia sahihi za kwenda kwa Mungu.

-Badala ya miungu hawa wote tofauti, labda pana Mungu mmoja anayejifunua

tofauti na kujidhihirisha kwa njia tofauti kwa watu tofauti.



Si ndio eeh?

-Je wote tunamwabudu Mungu yuleyule, Wakristo na Waislamu?

-Nadhani ndivyo ilivyo. Tuna njia tofauti za kumfikia Mwenyezi.

-Unadhani Wakristo na wasio-Wakristo, Waislamu wanaenda mbinguni, kwa mtazamo wako?

-Ndiyo wanaenda. Tuna njia tofauti za kufika kule.

-Nadhani kila mtu ampendaye Kristo, au amjuaye Kristo, iwe wanajua

au la, ni sehemu ya mwili wa Kristo, na hilo ndilo

Mungu analolifanya leo: anawaita watu toka duniani kwa jina lake, ikiwa

wametoka kwenye ulimwengu wa Waislamu au wa Kibudha au wa Kikristo au

wa watu wasioamini, wote ni sehemu ya mwili wa Kristo kwa sababu

wameitwa na Mungu. Inawezekana hata hawalijui jina la Yesu, lakini

wanajua mioyoni mwao wanahitaji kitu fulani ambacho hawanacho, na

wanageukia nuru ile pekee waliyonayo

na nadhani wameokolewa

na kwamba watakuwa pamoja nasi mbinguni.

-Mpaka nakufa, sitatangaza kitu chochote zaidi ya upendo kwa kaka na dada zangu wote



katika Kristo: kaka na dada zangu Wakatoliki, kaka na dada wa Kiprotestanti

Wakristo wa Mageuko, Waluteri. Sijali unatumia jina lipi.

-Unajua Jack, pana wahudumu wengi wa Kiprotestanti

ambao wanafanya kitu kilekile kama wewe. -Ndio.

-Vatikani haikupi taabu?

-Aah, sina tabu kabisa na Vatikani. Nimeshaenda kumwona papa

mara nyingi tu. Wanamwamini Kristo. Wanaamini kifo cha Kristo

msalabani na ufufuko wake. Nadhani kwamba wanakubalika kwenye makanisa yote.

Najisikia pia nyumbani kwenye kanisa la Anglikana au kanisa la Kibaptisti au Kanisa la Udugu au

kanisa Katoliki.

-Unajua, wote hatuna mitazamo sawa na natambua kuhusu Umormoni, siyo

Ukristo wa asili, lakini nadhani mimi ni muwazi na niko huru

kwenye ukweli kwamba mtu yoyote anayempenda Yesu na kuamini

kwamba ni mwana wa Mungu, hiyo naona yatosha.

-Robert McGuinness wa Family Research Council anasema inaonekana kama vile

ajenda ya siri ni kuwaunganisha watu chini ya mwamvuli mmoja wa dini ili waweze

kukubali bila fujo malengo ya Umoja wa Mataifa (UN) kama vile kudhibiti idadi ya watu, kutoa mimba,

na serikali moja ya dunia.

-Wote wanaunganishwa pamoja chini ya mamlaka ya Lusifa.

-Ibilisi anafahamu kwamba ili kuweza kuwafanya watu wakubali Utaratibu Mpya wa Dunia,

kukubali dini ya uongo, lazima alete mabadiliko polepole kabisa. Hawezi



kuzungusha usukani kwa ghafla. Ibilisi anamomonyoa polepole misingi

ya imani yetu. Ibilisi polepole anamong'onyoa msingi wa

Neno la Mungu. Polepole anabomoa Ukristo wa kweli wa kibiblia ili kwamba

aubadilishe na kuleta dini mpya ya dunia nzima ambayo mpingakristo

ataabudiwa kana kwamba ndiye Bwana Yesu Kristo.

-Waamini kwamba matoleo ya siku hizi ya Biblia

yana mchango katika Utaratibu Mpya wa Dunia?

--Sawa, nadhani inawezekana, sababu tafsiri zinazozidi kutolewa,

zinaonekana kuzidi kuachilia mambo mengi na zinazidi kukubalika na

watu. Lakini pana zaidi ya tafsiri . +.

Na katika tafsiri hizi zote sasa tunao watu wanaoleta tafsiri kwa

wale ambao ni mashoga na wasagaji, na tunao watu wanaofyatua tafsiri ambazo

zinaondoa maneno yanayotambulisha iwapo mtu ni mwanamke au mwanamume.

hivyo nadhani kwamba tafsiri hizi mpya na zile zinazozidi kutolewa kwamba

zinakuwa zinazidi na kuzidi kulegeza msimamo na kuruhusu imani zote za kila aina

ya watu na imani kuwa pamoja na kutoudhiwa na kitu chochote.

Ziko kiekumeni. -Ni kweli.

-Kwa hiyo ekumeni ni sehemu muhimu kabisa na nyakati za mwisho.

-Biblia ya King James inatumia neno "jehanamu" mara .

Yaani, unaposoma Agano la Kale kwenye NIV, hakuna hata mara moja neno

"jehanamu" linatajwa. Huwezi hata kulikuta neno "jehanamu" kwenye NIV mpaka ufike

kwenye kitabu cha Mathayo. Inadhaniwa kwamba matoleo haya mapya yanaandikwa ili

kufanya iwe rahisi kuelewa. Lakini, kama tukimuuliza mtu yoyote

mtaani jehanamu ni nini, ataweza kukuambia kwamba jehanamu ni mahali pa

moto na mateso. Ni mahali ambapo watu huenda baada ya kufa ili kuadhibiwa

na kuteseka. Kama tukiwauliza nini maana ya "sheol",

watu wengi hawawezi kuelewa.

Neno "sheol" lina maana gani?

-Kigao? Kigao ina maana ya kitu kinachokinga.

-Sema tena. -Sheol.

-Nini? Itamke herufi mojamoja.

-S-H-E-O... Sina uhakika nalo. Hapana.

-Hapana.

-Hapana.

-Hapana sijui.

-Hapana.

-Hapana.

-Eh, hapana.

-Sijui.

-S nini? -S-H-E-O-L: sheol.

-Hapana. Aah, sheol? Hapana.

-Sikumbuki mara moja toka kichwani mwangu.

-S-H-E-O-L? Sina hakika. Sijawahi kuona neno hilo.

-Hapana, silifahamu vizuri.

-Sawa jamani. Watu wengi hawalijui neno hilo.



Wadhani maneno hayo ni mepesi zaidi kuliko neno "jehanamu"?

-Hapana. -Sawa.

Naamini kwamba Biblia ya King James ni Neno la Mungu. Naamini kwamba halina

makosa na naamini kwamba matoleo mengine yanayozidi kufyatuliwa - wayajua,

NIV, New American Standard - ni mabaya, kwamba



yatokana na ibilisi. Katika kitabu chako, inaonekana huoni kabisa kwamba

panaweza kuwa na hila nyuma ya mabadiliko yote haya. Unaonekana huamini

kwamba ibilisi anaweza kuhujumu Neno la Mungu au kwamba pana badiliko angalau

moja kati ya haya ambalo ni la hila, kwamba pana badiliko lolote linalotokana na mtu

asemaye, "Nabadili hili kwa vile mimi ni mwovu,

kwa sababu nataka kubadili Neno la Mungu."

-Naamini kwamba Mungu amelilinda neno lake.

-Lakini huamini kwamba pana - na kwa mfano, unatumia msemo



"mnadharia za njama" takriban mara ishirini kitabuni mwako - waamini

kwamba hakuna njama ya kubadili Neno la Mungu?

-Hapana, nadhani zipo tafsiri nzima za Biblia zilizopo ili kubadili Neno la Mungu.

Lakini ziko bayana; ni wazi.

-Lakini zingeweza kuwepo hata zamani pia? Kama wap watu leo hii ambao

wanatoa tafsiri kama ya New World Translation, ambayo wazi ni ya

upotoshaji wa Neno la Mungu - unakubali?



-Sawa. Kwa hiyo kama watu wanapotosha Neno la Mungu leo kwa toleo la

-Haswa.

-Sawa. Kwa hiyo kama watu wanapotosha Neno la Mungu leo kwa toleo la

New World Translation, kwa mfano, walikuwa wanapotosha Neno la mungu siku za Paulo

-alituonya kuhusu hilo - kwa nini hauamini kwamba watu walikuwa wanalipotosha Neno la Mungu



katika karne ya tatu, nne, karne ya nane, karne ya tisa?

-Tunajua kwamba toleo la New World Translation in upotoshaji wa Neno la Mungu. Ni

rahisi kubaini. Sababu nimetumia "nadharia ya njama" ni kwamba inakubidi

uwe na ushahidi wa kuthibitisha mambo haya, siyo tu, "Lakini mimi naiona

iko hivyo." Unajua, mahali pekee kwenye New World Translation inatafsiri kwa makosa

ni katika toleo lile la Biblia ya Mnara wa Mlinzi na Tract Society ambazo zimetokea

kusigana na Ukristo wa Kibiblia.



-Inaonekana hujasoma Ayubu : kwenye New World Translation.

-Kwa nini?



-Kwa sababu Ayubu : kwenye Biblia ya King James inasema, "Je! Kitu kisicho na

ladha yumkini kulika pasipo chumvi? Au je, uto wa yai una tamu iwayo yote? "

Na kwenye New World Translation inasema, "Pana ladha yoyote

kwenye juisi itelezayo ya 'marshmallow' (mchanyato)?"

Hivyo hicho ni kitu walichokibadilisha ambacho hakihusiani kabisa na



Mnara wa Walinzi! Sawa? Nikisemacho ni kwamba pana...

-Ulikariri hayo?

Inawezekana ilikuwa... Ndiyo nilikariri.

-Ulikariri hayo?

Hata nilikuwa siju kama 'marshmallow' ina juisi itelezayo.

-Yaani ukiwa na New World Translation...



-... Nitafurahi kukuonyesha. Lakini waniamini?

-Ninayo. -... Nitafurahi kukuonyesha. Lakini waniamini?

-... Nitafurahi kukuonyesha. Lakini waniamini?

-Lakini wafahamu kitu? Pana toleo jipya limetoka tu wiki iliyopita.

-Nakisia bado itakuwa inasema marshmallow lakini nitatizama.

-Itanibidi nitazame.

-Lakini hoja yangu kwa hayo ni: Vipi kuhusu watu wote huko-

na umeshasikia hili mara milioni; imeisikia mara milioni - kwamba

wakisema, "Ah, Biblia imejaa mambo inayojipinga yenyewe?"

-Nasikia mara zote.

-Haiwezekani pakawa na ajenda ya kutunga kujipinga huko, ili tu kufanya...

-Hapana...

-...au kuweka tu vitu vya kijuha kwenye Biblia,...

-Hapana, hapana, hapana, hapana.

-...kuweka tu vitu kwenye Biblia vitakavyoonekana vya kijinga, kama vile "Sauli alikuwa na umri wa mwaka mmoja

pale alipoanza kutawala"?

Samueli : katika toleo la King James linasema, "Sauli alitawala mwaka mmoja; na pale

alipokuwa ametawala kwa miaka miwili juu ya Izraeli..." kwenye toleo la English Standard Version

hiyo imebadilika na kuwa, "Sauli aliishi kwa mwaka mmoja na kisha akawa mfalme."

- Samueli : katika toleo la Duway Rhemes, ambalo ni Biblia ya Kikatoliki:

"Sauli alikuwa mtoto wa mwaka mmoja pale alipoanza kutawala,

na akatawala kwa miaka miwili juu ya Izraeli."

-Unajua mstari huo umetuambiaje? Kwamba Sauli alikuwa na umri wa mwaka mmoja pale

alipokuwa mfalme. Lakini pana tatizo: Samueli : inasema, "tangu mabega yake

kwenda juu alikuwa mrefu kuliko watu wote. " Lakini kwa mujibu wa toleo la

English Standard Version, alikuwa na umri wa mwaka mmoja pale alipokuwa kichwa na mabega juu ya watu wote.

Huyo alikuwa ni mtoto fulani mkubwa.

Nataka tu kukuambia Biblia hizi ni za kijinga.

Wakati mwingine ninapokuwa kwenye uinjilisti na watu wakaniambia, "Siiamini

Biblia kwa sababu pana makosa kwenye Biblia."

Na nikasema, "Nionyeshe moja."

Na hutoa Biblia toleo la NIV. Huwaambia, "Usinionyeshe - Ninaweza kukuonyesha

makosa kwenye toleo hilo. Naweza kukuonyesha kujipinga kwenye toleo hilo. Nionyeshe

kosa moja kwenye Biblia ya King James. Huwezi kukuta hata moja."

-Hili hapa badiliko lingine ambalo matoleo ya siku hizi yameweka. Wagalatia sura ya tano:



" Laiti hao wanaowatia mashaka wangejikata nafsi zao! "

NIV inasema, "Kwa habari ya hao wawatiao mashaka, natamani wangeenda

zao na kujidhoofisha wenyewe!"

Kweli hayo yanafanana na kitu ambacho Biblia ingefundisha ambacho mtume

Paulo angesema? Najua utasema, "Sawa, lakini sidhani kama walikuwa wanamaanisha

hivyo kwenye NIV." Sawa, ndiyo maana toleo la Common English Bible lilitafsiri,

"Natamania wale wawasumbuao wakajihasi wenyewe!"

Au unaonaje kuhusu toleo la Contemporary English Version, CEV? Nimeliona hili

likiuzwa kwa promosheni duka la vitabu vya Kikristo. "Natamani kila mtu anayekuudhi

siyo tu atahiriwe, bali wamkate tena zaidi!"

Yaani unasikiliza? Kwa sababu neno "cut off" halina

uhusiano na kujidhoofisha au kujihasi au kujidhuru mwenyewe.



Paulo anarejea haya maandiko ya Agano la Kale kuhusu watu ambao

waliasi Neno la Mungu, kwamba pia watakaliwa. Angalia, sina muda kukuonyesha

mamia yote na kuzidi ya mifano kama huu. Anachokisema hapa ni kwamba

inabidi watimuliwe, anatamani waondoshwe kabisa, anatamani kwamba

waangamizwe na Mungu. Hicho ndicho maana ya "wangejikata". Ama

wataangamizwa na Mungu au "cut off" ingemaanisha inabidi watimuliwe



toka kundini, na kutimuliwa toka kwenye mkutano, kutimuliwa toka kwenye taifa la

Izraeli. Ndiyo maana ya neno "cut off", lakini hii mijamaa na matoleo yao

ya siku hizi wamelazimisha kwamba mtume Paule kusema, "Yaani ninavyotamani hao jamaa

wangejidhoofisha tu wenyewe. Natamani wangejihasi wenyewe. Natamani

wangejikatakata wenyewe." Yaani siyo kabisa vitu alivyokuwa akifundisha.

Mambo ya kushangaza kabisa.

Lakini siyo tu kwamba haya matoleo mapya yana vitu vya kichizi vinavyofanya



Biblia ionekane ni ya kipumbavu, bali pia wana ajenda mahususi ya kuwaanda watu

kwa Utaratibu Mpya wa Dunia. Na sehemu ya maandalizi hayo ni kuwashawishi

Wakristo wakubaliane na serikali bila kujali hali halisi. Mstari muhimu ambao

wameubadilisha ni Warumi .

-Niko huru kujifanya mimi mwenyewe mtumwa. Niko huru kuachia baadhi ya uhuru wangu.



Niko huru lakini nina uhuru wa kujiweka chini ya mamlaka ya serikali yangu. Hata serikali mbaya

hufanya kazi ya Mungu kwa kutunza kitu kinachofanana na ustaarabu mitaani.

Hata serikali ya Umoja wa Kisovieti chini ya Stalini ulikuwa unafanya kazi ya Mungu.

Hata China chini ya Mao Se Tung ilikuwa inafanya kazi ya Mungu. Mheshimu mfalme. Fanya hivyo

tu hata kama mfalme anastahili au la. Mheshimu gavana wako; mheshimu

meya wako, bila kujali kama anastahili au la. Mheshimu mfalme.

-Hakuna mtu anayeweza kuwa na silaha. Tutachukua silaha zetu zote.

[Sauti kubwa ya Hodi inayopigwa]

-Leo kule New Orleans wamekuwa wakali dhidi ya ving'ang'anizi.



-Polisi hapa! Uko nyumbani?

-Siyo tu maeneo yaliyokumbwa na mafuriko, bali hata yale

maeneo makavu kabisa ya New Orleans na yanayoishi matajiri.



-Lakini unyang'anyaji silaha ndicho hasa kitu kilichotokea wakati wa hali ya hatari

iliyofuatia Kimbunga cha Katrina huko New Orleans. Majeshi ya Marekani nayo yalifika.

Kuwatoa watu hofu na kuzima upinzani vingekuwa ni muhimu, na hicho hasa

ndicho kile Timu ya Wachungaji ya Kukabiliana na Maafa kama inavyoitwa

ilivyosaidia kufanikisha New Orleans.

-Lengo kuu ambalo tunamwambia kila mtu ni, "Acha tushirikiane na

tuweze kuvuka salama kwenye haya, na kisha tutamaliza tofauti zetu

mara hali hii itakapokuwa imepita."

-Timu kama hizo za Wachungaji zingekuwa na wakati mgumu kuzingatia mahitaji ya

serikali dhidi ya matakwa ya umma.

Kwa wachungaji, moja ya zana kuu ambayo wangekuwa nayo ni kusaidia kuwatuliza

wananchi au kutii sheria ndiyo Biblia yenyewe, husuan Warumi .

-Kwa sababu serikali huwekwa na Bwana. Na hayo ndiyo tuaminiyo

katika imani ya Kikristo; ndivyo ilivyoandikwa kwenye maandiko matakatifu.

-Lakini ngoja kwanza. Inakuwaje pale askari polisi anajijia tu nyumbani kwangu na kusema,

"Osha gari langu, mtumwa"? Biblia inanilazimisha nitii hayo?

OK, inakuwaje pale askari polisi ananitaka nifanye kitu ambacho ni uvunjaji sheria? Yaani itakuwaje pale

polisi ananijia na kuniambia, "Unajua? Nataka upande

na kuruka uzio kwenda kwenye uwanja wa jirani yako na nataka uchungulie dirishani na



uone jirani yako anafanya nini. Nataka unipelelezee jirani yako."?

Yaani hata hayo itabidi kuyatii? Utasema, "umechagua mifano ya kijuha."

Kweli. Kwa sababu haijapata kutokea serikali popote pale iliyoamuru

wananchi wake kuwachunguza majirani wao la sivyo. Hiyo haijapata kutokea. Sivyo?

Hakuna kitu kama Ujerumani ya Kinazi; Hakuna kitu kama Umoja wa Kisovieti

Jinyamazie tu na tii unachoambiwa. Warumi ni vifungu ambavyo

vinatufafanulia kusudi la serikali ni kuwaadhibu watenda mabaya, na siyo kuratibu

kila nyanja za maisha yetu na kutuambia nini tufanye na kutudhibiti. Lakini pia

jambo muhimu linalofundishwa kwenye Warumi ni kwamba tutii mamlaka iliyo juu.

Hivyo kwa mfano, hapa Marekani tuna ngazi mbalimbali za serikali, hatunazo?

Ni ipi sasa sheria kuu ya taifa? Kwa kweli, kwanza kabisa ni sheria ya Mungu.

Tunamtii Mungu kwanza. Baada ya hayo ni katiba ya Marekani

kwa sababu katiba ya Marekani ndiyo sheria mama ya nchi.

Utasema, "Sawa, Biblia inasema mheshimu mfalme, kwa hiyo inatubidi tumtii

Obama." Lakini ngoja kwanza hapo. Obama ni mfalme? Serikali yetu inaendeshwa

kifalme? Na nilidhani kwamba tunao viongozi waliochaguliwa wanaowajibika kwa

wananchi na kwamba hawako juu ya sheria na kwamba sheria kuu ya nchi

ni katiba ya Marekani. Kwa hiyo kama tutatii serikali ambayo

imewekwa juu yetu, kama tutatii sheria ya nchi, hapo ina maana

tunatakiwa kuheshimu katiba. Na NIV inaondosha fundisho hilo kabisa.

Haikufunzi kufuata tu mamlaka iliyokuzidi, inasema haya:

Badala ya kusema, unajua, "Acha kila nafsi iwekwe chini ya

mamlaka. Kwa kuwa hakuna mamlaka ila itokanayo na Mungu: mamlaka yatokanayo na

Mungu," anarejea kwenye ukweli kwamba hakuna mtu hata mmoja duniani mwenye mamlaka ya

haki isipokuwa inayotoka kwa Mungu. Kwa nini watoto lazima wawatii wazazi wao?

Kwa sababu Mungu alisema hivyo. Kwa nini lazima tuzitii serikali? Kwa nini hata ni lazima

kuheshimu serikali za wanadamu? Kwa sababu Mungu ametuambia kwamba serikali za



wanadamu ni kitu ambacho tunakihitaji ili kuwaadhibu watendao maovu, na kuwalinda

wasio na hatia toka kwa wale wawezao kuwadhuru. Hapa ni toleo la New Living Translation

la Warumi :. "Kila mtu lazima atii mamlaka ya serikali. Kwa kuwa mamlaka yote

hutoka kwa Mungu," - zingatia - "na wale wenye nyadhifa za mamlaka

wamewekwa hapo na Mungu." Hiyo siyo kweli. Toleo la New Living Translation

linasema kwamba kila mtu katika wadhifa wowote wa mamlaka amewekwa hapo na Mungu.

Siyo kweli, kwa vile siku moja mpingakristo atakuwa amewekwa kwenye

mamlaka na Shetani. "Naye joka akampa yeye... mamlaka", inasema katika

Ufunuo . Na siyo hivyo tu, bali katika Hosea[:], inasema, "Wamesimamisha

wafalme, lakini si kwa shauri langu; " Pana nyakati ambazo mamlaka ya binadamu huwa imewekwa



na watu kinyume na mapenzi ya Mungu. Na pia katika toleo la New Living

Translation linasema katika mstari wa , "Lipen kodi zenu, pia, kwa sababu hizihizi.

Kwa vile wafanyakazi wa serikali wanahitaji kulipwa. Wanamtumikia Mungu kwa yale wayafanyayo.

Mlipe kila mtu anayekudai: Lipa kozi zako na ushuru kwa wale

wazikusanyao". Usiku mwema! Sasa siyo tu kodi; bali hata ushuru,

na hizo ndizo mbaya kuliko zote. Biblia ya King James inakuambia uitii serikali ndani ya

upeo fulani, ndani ya vigezo fulani vya kutegemea nini kazi yao, nini

wanatakiwa kuwa wanafanya, na pia, dhana nzima kwamba mamlaka ya juu ipo

hapo kama namna ya kuleta udhibiti na uwiano.

-Kwa nini toleo la New King James limevuviwa? Kwa sababu linatumia nakala zilezile.

-Mmh, haitumii. Pana maeneo mengi ambayo New King James imeachana na

Textus Receptus na kuondoka kutoka kwenye kile King James inasema.

-Siyo kwenye Agano Jipya.

-Hata huko, kwa kweli.



Pana maeneo mengi tu ambayo inapishana na Textus Receptus.

New King James nadhani ni moja ya matoleo hatari sana yaliyoko

kwa sababu inakufanya udhani, "Ahh, ni ileile tu sawa na King James; ni tu mpya

zaidi, misamiati mipya." Kama ingekuwa hivyo tu, hata nisingeitaja.

-Kwa sababu watu wengi wasiotaka hata kuigusa NIV kwa fimbo ndefu -

wasioweza kugusa ESV au New Living Translation kwa fimbo ndefu,

lakini husema, "Aah Mchungaji Anderson, hata New King James? Hii karibu tu ni

ileile sawa na King James. Imeondosha tu maneno ya zamani ya 'thee' na 'thou'.

Ni kama tu King James isipokuwa imekuwa rahisi kidogo kuielewa."

OK. Sawa, acha nikupe takwimu kidogo za New King James. New King James

mara inakwepa kutumia neno "Bwana". Imeondoa neno "Mungu" mara .

Imeondoa neno "mbinguni" mara . Imeondoa neno "tubu" mara .

Damu imeondolewa mara . Neno "jehanamu" limeondolewa mara . Na



limeondoa kabisa neno "Yehova", limeondoa kabisa neno "damnation",

imeondoa kabisa neno "Agano Jipya", imeondoa kabisa neno

"mapepo". Biblia hii siyo haifai kabisa; inabidi tu uwe mwangalifu. Inakubidi

uichunguze kwa makini. Inabidi ujifunze lugha. Inafurahisha kuona kwamba watoto wangu

wadogo wanaweza kuielewa, nawe mtu mzima huwezi kuielewa?

Na je, haishangazi kuona watu hawahawa wasemao King James ni ngumu

mno kuielewa wakikuambia inabidi ujifunze Kiyunani ikiwa kwa kweli kabisa unataka kujua

nini Biblia inasema? Mmh, hiyo itakuwa rahisi sana kuielewa.

"King James ni ngumu sana kwako. Hili hapa Agano Jipya la Kiyunani."

Watu hawa majuha.

Ngoja niangalie mistari fulani na nione ipi ndiyo rahisi zaidi kuielewa.

King James imetumia neno gumu kweli kuhusu aina fulani ya mti, "oak".

kwa hiyo New King James wakafikiri, "Jamani, hilo ni neno gumu sana. 'Oak'? Unasema

kweli? Wakabadilisha kuwa 'terebinth tree.' Hiyo ni rahisi kidoogo

kuelewa, sawa? Waamuzi : inao msemo mgumu kweli kwenye

King James, "the sun was up". (jua lilikuwa juu).

OK? Yaani ingeweza kuwa "Hop on Pop".

"The sun was up" wameibadilisha na kuwa "the Ascent of Heres." (makweleo ya Heresi)

"makweleo ya Heresi"

Samuel :. King James inatumia neno gumu kweli "file". Kwa hiyo New

King James imebadili hilo na kuwa "pim". P-I-M. "Pim". Yaani, nadhani neno hilo lingefaa

kutumiwa kwenye gemu ya Scrabble, lakini sijawahi kulisikia neno hilo. Sawa?

Samuel : inatumia neno hili gumu kweli, "tree" (mti). Kwa hiyo New King James

ikaamua kuliboresha na kuwa "tamarisk tree" kulifanya liwe rahisi zaidi

kueleweka. Samuel :; King James inasema "cornet".

Nani ajuaye 'cornet' ni kitu gani?

Ni aina ya pembe, siyo? Ni aina ya tarumbeta.

Kwa hiyo wakaamua kutumia neno rahisi zaidi la 'sistrums'.

"Sistrums". Kwa sababu kila mtu anajua nini maana ya "sistrums".

Nani ajuaye maana ya neno "sistrums"?

Nani ajuaye maana ya "cornet"?



Unaona!

Isaya : ilitumia neno gumu la "man" kwenye Biblia yako ya King James.



Yaani, we acha tu! Weka King James kwenye jumba la makumbusho inakostahili kukaa. "Man"?

Nipe kitu ninachoweza kukielewa. "Mortal" ni bora zaidi, sivyo?

Danieli : imetumia neno gumu kweli "princes", kwa hiyo wametumia neno rahisi kwenye

New King James, "satraps".

"Band"?

"Band" kwenye King James; nalo ni gumu sana. Acha tulibadilishe liwe "regiment".

OK, na hakuna mtu atakayeelewa maana ya "quicksand". Hilo

limepitwa mno na wakati. "Quicksands" kwenye Matendo :? "Syrtis Sands" ni rahisi kweli

kuelewa. Yaani jipatie tu nakala yako ya New King James. Ni rahisi kweli kuelewa.

Je New King James ni rahisi kweli kuielewa kuliko King James yenyewe?

Yaani pana mifano mingi sana ambayo King James ni rahisi zaidi. Na hapo

siyo orodha kamili. Hiyo ni mifano michache tu. Kwa hiyo haya hayahusiani

kabisa na kufanya iwe rahisi kuelewa; ina kila kitu kuhusiana na

kuibadilisha, kuipotosha, kuipindisha, kuiharibu. Kitu pekee wanachoweza

kuonyesha na kusema, "Unaona, hapa ndio tumefanya iwe rahisi kweli", ni



kuondoa maneno ya "thee" na "thou", lakini inakubidi uwe na

"thee" na "thou" kwa sababu "thee" na "thou" ni umoja na

"you, yee, your" ni wingi. Umoja ni yale maneno yaanziayo na TH;

yale yaanziayo na Y ni wingi. Inaathiri maana kwa sababu mara nyingi

huwezi kujua iwapo anaonea na mtu mmoja au na kundi

zima isipokuwa uwe na "thee" na "thou" kukuambia hayo.

Ni muhimu. Ni muhimu sana. Lakini acha nikuonyeshe baadhi ya mafundisho

yaliyobadilishwa na New King James yanayoifanya yawe ni mafundisho potofu.

Nenda Wakorintho :.

"Kwa sababu neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi, bali kwetu

sisi tuliookolewa ni nguvu ya Mungu. "

-Kaka Garrett, nisomee kwa nguvu kabisa yaliyomo kwenye New King James.

"Kwa sababu ujumbe wa msalaba ni upumbavu kwao wanaopotea,

lakini kwa sisi ambao tunaokolewa ni nguvu ya Mungu."

-Angalia, kwenye King James inasema tunaookolewa. Kwenye New King James

inasema tunaookolewa. Tofauti kubwa sababu wokovu siyo

mchakato. Wokovu unatokea mara, kufumba na kufumbua,

tunamwamini Kristo, tunatoka kwenye mauti kwenda kwenye uzima. Siyo mchakato.

Mimi siyo ninaokolewa. Nimeshaokolewa!

-Amen!

- Wakorintho : inasema hivi: "Kwa maana sisi tu manukato ya Kristo, -Amen!

- Wakorintho : inasema hivi: "Kwa maana sisi tu manukato ya Kristo,

mbele za Mungu, katika wao waliookolewa, na katika wao wanaopotea; "

Nisomee toka New King James.

-"Kwa maana sisi tu manukato ya Kristo, mbele za Mungu, katika wao wanaookolewa,

na katika wao wanaopotea; "

-Tena, siyo waliookolewa, bali wale ambao

wanaookolewa, kana kwamba ni mchakato.

Mathayo : kwa mfano, katika New King James inasema, "Bali ugumu ni njia,

iendayo uzimani, nao waionao ni wachache. " King James inasema

"nyembamba" ikizungumzia ni watu wangapi wanaoenda, ikirejea ukweli kwamba

wanaookolewa ni wachache. New King James inasema ni vigumu.

Ila, kama ni kwa matendo, itakuwa ni vigumu.

-New Living Translation inasema, "lakini mlango wa kwenda uzimani ni mwembamba sana na

vigumu kupita barabarani na wachache waionayo." English Standard Version

inasema, "Kwa kuwa mlango ni mwembamba, na njia ya magumu iendayo kwenye uzima na hao

waipatayo ni wachache." Utasema, "Sasa Mchungaji Jimenez, tatizo nini?

Imenyoka, nyembamba, Nyembamba, vigumu, Vigumu, imesonga?

Nini tatizo? Tatizo ni hili: je ni vigumu kuokolewa?

-Jamani, Yesu alifanya ile kazi ngumu. Pana ugumu gani kupokea zawadi? Ni vigumu vipi

kuchukua kinywaji cha maji? Pana ugumu gani kupita mlangoni? Ugumu upi

kula kipande cha mkate? Hivi ndivyo vitu ambavyo Yesu aliulinganisha wokovu kwavyo



kwa sababu ni rahisi kuokolewa kwa sababu huhitaji kufanya matendo yatakayokupeleka

mbinguni. Unajua wokovu unarejewa vipi kwenye Biblia, kwenye kitabu

cha Waebrania? Pumziko.

Angalia, pumziko ni vigumu?

Usidanganywe na haya matoleo ya siku hizi. Unaweza kujaribiwa siku moja:

"Unajua, kanisa hili linatumia Biblia ya New King James, tatizo liko wapi hapo?"

Ni tatizo kubwa.

Unadhani tunahitaji Biblia tofauti za Kiingereza?

-Hapana. Kwa kweli, nimeshasema tuna tatizo. Hatuhitaji kuwa nazo

zaidi. Sidhani kama kuna sababu ya msingi kwa nini tuwe na mlipuko

wa matoleo hayo kwa miongo hii iliyopita. najua sababu ni nini.

-Sawa.

-Ni rahisi hivyo. Ni kweli kwamba ukiwa na kampuni ya uchapishaji na unataka

kuchapisha Biblia ya Kujifunzia au kitu kama hicho - ambacho mimi si mpenzi wana wa Biblia za Kujifunzia

-Hata mimi sizipendi.

-Wanachokifanya ni kwamba ukiwa mchapishaji mkubwa, na hutaki

kuendelea kulipa mrabaha kwa mtu mwingine, kwa hiyo unafanya tafsiri yako mwenyewe.

-Sawa. Pana motisha ya kifedha kutoa

matoleo yote haya tofauti.



-Hapo sasa. Hakuna ubishi kwenye hili.

-Mungu anategemea Mkristo wa kawaida ajifunze Kiyunani?

-Mungu anategemea Mkristo wa kawaida atumie taarifa alizompatia

na tunaishi katika nyakati ambazo taarifa tunazo nyingi

kuliko kizazi chochote kingine na tunahitaji taarifa hizo sasa kwa vile



ushetani wa mashambulizi umezidi.

-Unaona hatari, Sawa - kwa sababu hii ndiyo imani yangu kwa hili. Nadhani kama mtu

akijifunza Kiyunani na kuwa mahiri kwacho na kukielewa vizuri na kusoma

bila shida, hiyo ingekuwa vyema sana, lakini..

-Kiyunani kidogo ni hatari sana.

-Kabisa. Huoni hatari ya mtu anayesoma kwa mihula miwili

Kiyunani cha Chuo cha Biblia na, anaacha kuendelea kujifunza na kusema, - yaani, hata

mtu asomaye King James pekee atainuka - naye amesoma mihula miwili ya Kiyunani kwenye Chuo cha Biblia

- na atainuka na kusema, "Aah, unajua wafasiri wa King James,

walitafsiri hapa kwa makosa." Na kwa kupunga mkono wake tu, unajua,

miaka saba ya wanazuoni hamsini inapotea hewani kwa ya kwake...

-Steven, kitu chochote kizuri kinaweza kubezwa. Na Kiyunani kidogo kinaweza kuwa hatari

Nimesikia mahubiri mazima yakiegemea uelewa mbaya kabisa, sivyo? Lakini acha

nikuambie miaka iliyopita nilikuwa na mhudumu aliyenijia na kusema, "Jamani,

nimeona uchambuzi huu. Yaani, haya mahubiri, sijawahi kusikia

mtu akiyasema kwanza. Unajua Kiyunani. Unaweza kunichunguzia?"

Kwa hiyo nilimchunguzia. Haikuwa kweli. Ilikuwa ni moja ya wale,



mchambuzi kiaina alienda nje ya mstari. Unajua alichokifanya pale

nilipomwambia? Alihubiri hivyo bila kujali.

-Kwa kuwa ilisikika vizuri na aliipenda.

-Kwa kuwa inahubirika vizuri sana.

-Ni hoja nzuri.

-Aah, ilikuwa nzuri sana.

-Hiyo hainishangazi.

-Kwa bahati mbaya hainishangazi.

-Hakuna anayebisha kwamba maandiko yamevuviwa.

[ Petro :] Biblia inasema, "Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu;

bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu. "

Lakini hawaamini tulichonacho leo kwamba kimevuviwa kwa vile

hawaamini utunzwaji wa Biblia, lakini unajua, Biblia inasema katika



Zaburi :, "Maneno ya Bwana ni maneno safi, Ni fedha iliyojaribiwa

kalibuni juu ya nchi; Iliyosafishwa mara saba. Wewe, Bwana, ndiwe utakayelihifadhi,

utalilinda na kizazi hiki hata milele." Unajua, Mungu yuleyule ambaye

aliyetuletea Neno lililovuviwa ndiye Mungu yuleyule atakayelilinda

Neno lililovuviwa. Na nadhani ni ujinga kudhani kamba Mungu ana nguvu za kutosha kuwatumia

watu wadhambi na kuhakikisha tunapata nakala kamili na kisha Mungu huyohuyo

asiweze kuwatumia watu wenye dhambi kuhakikisha linalindwa na kizazi hiki milele?



Naamini Mungu ana nguvu za kutosha kutupa Neno lililovuviwa na naamini Mungu

ana nguvu za kutosha kuhifadhi Maneno hayo yaliyovuviwa

na kizazi hiki milele.

Acha nikuulize: Unaamini kwamba watu wanahitaji kujifunza Kiebrania au

Kiyunani au hata Kiingereza, au wanaweza kuwa na Biblia katika lugha zote?

-Wawe na Biblia katika lugha zote. Ndioy maana tunasaidia

huduma za ufasiri kama vile "Bibles Internation." "Textus Receptus"

hutumika na Biblia ya Kiebrania ni wazi pia hutumika, kutafsiri kwenda kwenye lugha

nyingine, ambazo huwa ni Neno la Mungu.

Tunaamini kwamba kila watu wanatakiwa wawe na Biblia kwa lugha yao,

na kwa Kiingereza, ni Biblia ya King James.

-Ngoja nisogee na kusema hivi: Neno la Mungu limetunzwa mpaka kutufikia sisi wa

kizazi hiki. Sikiliza Isaya :. "Tena katika habari zangu, hili ndilo agano langu nao,

asema Bwana; roho yangu iliyo juu yako, na maneno yangu niliyoyatia

kinywani mwako, hayataondoka kinywani mwako, wala kinywani mwa wana wako,

wala kinywani mwa wajukuu wako, asema Bwana, tangu leo na

hata milele. " Anasema, "Sikiliza Isaya. Neno unalolihubiri, uzao

wako utalihubiri. Watoto wako na watoto wao na

vitukuu tangu sasa na hata milele watakuwa na maneno haya" na naamini

kwamba hayo maneno ninayo mkononi mwangu hapa saa hii. Angalia, matoleo

ya siku hizi, ikiwa ni NIV, ESV, New Living Translation, au

New King James, hiyo falsafa ni falsafa isemayo Neno la Mungu

halikuhifadhiwa. Inabidi tuchimbue jipya. Inabidi tuchimbue nakala

za zamani ili kurekebisha makosa yote yaliyomo. Hapana. Naamini kwamba limekuwa

limetunzwa toka wakati wa Kristo hata sasa. Limetunzwa na tulichonacho

leo hii ni nakala ya nakala ya nakala ambayo imetunzwa mpaka kutufikia.

Watu wengi wana imani potofu kwamba Biblia ya King James imebadilishwa katika

miaka hii yote iliyopita, na kwamba toleo la ambalo tunalitumia leo hii ni tofauti kabisa na

la , lakini kiukweli kitu pekee kilichobadilika mwaka zilikuwa ni herufi,

herufi kubwa, alama za kupumzika, na kurekebisha maneno yaliyokosewa; maneno ambayo

hayakubadilishwa. Maneno tuliyonayo leo hii kwenye Biblia ya King James ni yaleyale kabisa

tuliyopewa na wafasiri mwaka . Maneno hayo

hayajabadilishwa. Maneno hayo yamehifadhiwa,

na ndivyo Mungu alivyoahidi atahifadhi.

Anasema, angalia, "Mbingu na nchi zitapita, bali maneno yangu hayatapita

kamwe." Hakusema mawazo; Hakusema fikra; hakusema



mafundisho; alisema, "maneno yangu hayatapita kamwe." Haya matoleo mapya yanatoka kwenye

vyanzo dhalimu na yana tunda dhalimu. Liangalie tunda la haya matoleo

mapya. Angalia jinsi makanisa yalivyogeuka: kumbi za burudani. Angalia vile

makanisa yamekuwa kama matokeo ya haya matoleo ya kisasa: yamejazwa na



watu wasiookolewa. Yamejazwa na watu wasiojua mafundisho, wasiojali kuhusu

mafundisho, kwa sababu unaposoma kitabu kilichojaa kujipinga chenyewe,

ni vigumu kujali kuhusu mafundisho. Lakini unaposoma kitabu ambacho ni

kamili na halisi na kilichohifadhiwa, unajua, unaangalia kila neno na

unajali kuhusu mafundisho na unajali kuhusu inachosema na unajali kuhusu kile

inachomaanisha, siyo tu, "Ndio, sawa, ni kama nimeelewa inachotaka kusema. Yesu alikufa

msalabani. Nimeelewa." Hapana, nataka kujua kila fundisho ambalo Mungu

ameniletea kupitia Neno la Mungu.



-Unajua, kugusa kitabu hiki na kukisoma ni kitu kimoja. Kukitambua

toka mbali kuhusu nini wanaume na wanawake, watoto, walipitia ili

wewe na mimi tuweze kusoma kitabu kinachoita Biblia bila hofu ya

kuteswa. Ni rahisi kusema idadi hii: watu , walichomwa moto,

kupigwa mawe, kupasuliwa matumbo, kwa kusoma kitabu hiki.

-Hukisoma mapema kabisa asubuhi, au wakati mwingine jioni sana, ili

niewe kuamka saa tisa usiku nikiwa na wazo, na huenda na kusoma wazo hilo kwenye maandiko.

Je wafahamu uzuri wake na nini inachosema, nawe wakaa tu

hapo machozi yakimiminika mashavuni kwa sababu unatambua ukuu wa

kile ulichopata. Na hivyo pale nisomapo Biblia ya King James

hujiamini kabisa kwamba nilichonacho mkononi mwangu ni Neno la Mungu toka jalada hili mpaka

jalada lile na kwamba ni lilelile sasa kama litakavyokuwa saa moja toka sasa sababu

limehifadhiwa na ni lilelile. Kwa hiyo nina imani nilifunguapo na kuhubiri

toka humo Jumapili na kufundisha toka humo kwenye Shule ya Jumapili au kushuhudia watu

mitaani, najua kwamba hili ni Neno la Mungu na tunangoja kwa hamu kukutana

naye Neno mwenyewe katika utukufu kushuhudia

kile tulichokuwa tunajifunza maisha yetu yote.

-Mungu hapendezwi na hawa watu wanaonyofoa mistari, wanaoongeza mistari, wanaoongeza

mambo, na kuondoa mambo. Nenda kwenye Ufunuo.

Ufunuo ::, "Namshuhudia kila mtu ayasikiaye maneno ya



unabii wa kitabu hiki, Mtu ye yote akiyaongeza, Mungu atamwongezea

hayo mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki. " Umeshawahi kukisoma kitabu cha



Ufunuo? Pana mapigo mengi mabaya kwenye kitabu hicho. Anasema nitakupiga

hayo mapigo ukiongeza kwenye Neno langu. Ufunuo :; "Na mtu ye yote

akiondoa lo lote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu

atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa uzima, na katika ule mji mtakatifu, ambao

habari zake zimeandikwa katika kitabu hiki. " Lakini watu hawa wamebadilisha

Neno la Mungu, Biblia inasema wamepoteza fursa ya kuokolewa.

Alisema, "Nitawaondolea." Alisema "Kwa namna ileile uliondoa toka kwenye Neno langu,



nami nitawaondolea sehemu yao kwenye kitabu cha uzima." Alisema, "Nitahakikisha

haukolewi kwa sababu uliivurunga Biblia yangu." Hiyo naiona

kama vile Mungu anamaanisha kuhusu haya.

Ni kama, "Sawa, Mchungaji Jimenez, nakubali. Naelewa. Biblia hizi ni potofu.

Zinapotosha mafundisho. Biblia ya King James ni safi. Biblia ya



King James ndilo neno la Mungu. Nimeelewa. Sasa niifanyie nini?"

Ukitambua kwamba unalo Neno la Mungu mkononi mwako, siyo mawazo ya Mungu,

siyo kile ambacho angeweza kusema, siyo kile ambacho tunadhani alisema, bali maneno yake halisi



ya Mungu, na siyo hivyo tu, bali pale unapokuwa na maneno ya Mungu hakika unaye

Mungu, siyo kitabu hiki, bali maneno haya, pale unapotambua kwamba unayo maneno ya

Mungu, rafiki, hapo itakuhamasisha uisome Biblia. Hapo itatuhamasisha kuishi

kama Biblia inavyosema. Kitabu hiki kina kila jibu kwa kila swali la maisha.

Utasema, "Mchungaji Jimenez, nilipokuja kwenye Kanisa la Kibaptisti la Verity, kwa kweli

sikuja hapa kujifunza kuhusu Biblia ya King James. Nimekuja hapa kujifunza kuhusu

wokovu." Tunajifunza kuhusu wokovu katika Biblia ya King James.

"Sikuja hapa kwa lengo la kujifunza jambo hili. Nimekuja hapa ili

nipate msaada kuhusu ndoa yangu." Hiki kitabu kitasaidia ndoa yako.

"Kwa kweli sikuja hapa kujifunza kuhusu Biblia ya King James. Nimekuja hapa

kujifunza namna ya kulea watoto wangu." Hiki kitabu kitakusaidia kulea watoto wako.

Kitatatua matatizo yako yote. Kitakupatia wokovu. Kitafanya

kila kitu unachokihitaji kifanye. Kwa nini? Kwa sababu ndilo Neno la Mungu... Kitatatua matatizo yako yote. Kitakupatia wokovu. Kitafanya

kila kitu unachokihitaji kifanye. Kwa nini? Kwa sababu ndilo Neno la Mungu...

...bila makosa, kamili kabisa, kama vile tu Mungu alivyokuletea.

Inanipa kujiamini kubaini kwamba Neno la Mungu ni kamilifu. Unajua kwa nini

watu wengi hawamwamini Mungu leo, hawaji kanisani, vizazi

vya vijana wanaondoka makanisani kwa makundi wasirejee tena?

kwa sababu ya haya matoleo ya siku hizi ya Biblia yamepotoshwa, pana

makosa ndani yake, na yamewasababishia kutilia mashaka imani yao kwa Mungu. Lakini siyo

hiki hapa. Hiki hapa ni kikamilifu. toleo la King James ndilo Neno la Mungu.

Lisome.

Jifunzie.

Kisome sana.

Kikumbuke.

Ishi kwacho.

Kitumie kuwahubiri wengine.

Tuinamishe vichwa vyetu tupate kuomba. Baba mpenzi uliye mbinguni,

Bwana, tunakupenda. Asante kwa Neno lako. Bwana, asante kwamba haujatupa

jukumu la kulihifadhi Neno lako, bali wajibu huo

umejipa wewe mwenyewe. Umelivuvia, umelitunza, na umetupatia



sisi leo hii. Baba, tunakupenda. Tusaidi tusiondoke hapa leo na

kuuacha tu ujumbe huu upite sikio moja na kwenda kwenye lingine. Tusaidie tutambue, "Ninalo



Neno la Mungu; labda inanibidi nilisome. Labda inanibidi nilichunguze. labda

inanibidi niishi kama lisemavyo."Bwana, Tunakupenda. Katika jina lako tukufu ninaomba. Amen.

Ninapenda kukuliza swali.

Wajua kwa hakika, kama ukifa leo, je utakwenda mbinguni?

Unaweza kusema, "Sina hakika kama nitakwenda mbinguni."

Pengine hata hukuwahi kufikiria jambo hili.

Lakini Biblia inasema unaweza kuwa na uhakika % uko njiani kwenda mbinguni.

Kwa mujibu wa Biblia, unahitajika kuelewa vitu vichache ili uweze



kupokea wokovu. Kitu cha kwanza ni hiki:

Biblia inasema katika Warumi :, "kwa sababu wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na

utukufu wa Mungu". Biblia inatuambia kwamba "dhambi iko kwenye kuvunja sheria." Pale ambapo

tunavunja sheria ya Mungu, tunafanya dhambi. Kwa mujibu wa mstari huo, sisi sote tumetenda dhambi.

Mimi ni mwenye dhambi; wewe ni mwenye dhambi.

Na kwa bahati mbaya pana mshahara wa dhambi. Warumi : inasema, "Kwa maana

mshahara wa dhambi ni mauti." Hivyo, neno "mshahara" lina maana ya malipo. Ndicho

unachovuna. Niendapo kufanya kazi, ninalipwa pesa. Huo ni mshahara wangu. Lakini kwa sababu

ya dhambi yangu, mshahara ni mauti. Ninachostahili kulipwa ni mauti. "Kwa maana mshahara wa dhambi

ni mauti." Hivi, tunapofikiria mauti watu wengi hufikiria kifo cha mwili,

lakini Ufunuo :- unasema, "Mauti na Kuzimu zikatupwa katika lile ziwa la

moto." (Inamaanisha jehanamu). Inasema, "Hii ndiyo mauti ya pili, yaani, hilo ziwa la moto. "

Na iwapo mtu ye yote hakuonekana ameandikwa katika kitabu cha uzima, alitupwa katika lile ziwa

la moto. " Hivyo, kwa mujibu wa Biblia, mshahara wetu wa dhambi siyo tu

kifo cha mwili, bali mauti ya pili. Utauliza, "Mauti ya pili ni ipi?"

Ni kutupwa katika ziwa la moto. "Hii ndiyo mauti ya pili." Kile tustahilicho

sababu ya dhambi zetu ni mauti; kifo cha mwili, mauti ya pili, ambayo ni

kutupwa katika ziwa la moto. Ufunuo : inasema, "Bali waoga, na

wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na

wachawi, na hao waabuduo sanamu..." Ni orodha mbaya, siyo?

Wauaji, wazinzi, wachawi. Watu wengi watakubali, muuaji,

"Aah ndiyo. Watakwenda motoni." Lakini angalia anasema, "Bali waoga,

na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na

wachawi, nao waabuduo sanamu..." Na mwisho wa orodha anasema

haya: ", na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto

na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili. " Na sababu Mungu anaongeza

dhambi ya uongo mwishoni mwa orodha hii, anajaribu kufikisha ujumbe, na

ujumbe ni huu: wote ni wenye dhambi. Kila binadamu ameshasema uongo. Na

anajaribu kusema hakuna mwenye haki. Wote tumefanya dhambi; wote tunastahili kwenda



motoni. Hii ni habari mbaya. Mimi ni mwenye dhambi; wewe ni mwenye dhambi; na wote

awali tulihukumiwa kwenda motoni, lakini injili inatupa matumaini mema au habari

njema. Warumi : inasema, "Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti". Sasa tunaelewa nini



maana yake. Lakini sehemu ya pili ya mstari inasema, "bali karama ya Mungu ni

uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. " Biblia iansema kwamba Mungu alitoa

karama anayotaka kukupa nayo karama hiyo ni uzima wa milele. Katika Waefeso :-

Biblia inasema, "Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; " Neno "neema"

lina maana kupata kitu ambacho hukustahili. Hukukifanyia kazi; wala

hukukilipia. "Mmeokolewa" inazungumzia kuokolewa toka jehanamu,

kwa sababu sitaki niende hiko. Na nina hakika nawe hutaki kwenda huko.

Neno "imani" lina maana ya kuamini. Linasema, "Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya

imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu". Haihusiki kabisa na wewe. Hii ndiyo sababu:

"ni kipawa cha Mungu; wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu. " Zawadi si

kitu ulichokifanyia kazi. Kipawa ni kitu unachopewa. Mtu fulani

anakilipia, lakini hukilipii. Kama nikikupa zawadi na nikataka

unilipe pesa kwa ajili yake, hiyo haiwi zawadi. Kama nikikupa zawadi, lakini

nikakuambia ufanye kitu kwa ajili yake, hiyo haiwi zawadi. Zawadi

haikugharimu chochote, lakini inamgharimu yule anayekupatia kitu.

Na zawadi ya Mungu iko hivyohivyo. Yesu alilipia hiyo zawadi.

Warumi : inasema, "Bali Mungu aonyesha pendo lake yeye mwenyewe kwetu sisi, kwa kuwa

Kristo alikufa kwa ajili yetu, tulipokuwa tungali wenye dhambi. " Yohana :, mstari mashuhuri



kuliko yote kwenye Biblia, unasema, "Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee,

ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. "

Injili ni hii: Yesu Kristo alizaliwa na bikira. Akaishi maisha pasipo kutenda dhambi;

hakuwahi kufanya dhambi, hakufanya kosa lolote. Alikufa msalabani,



akazikwa. Biblia inatuambia kwamba roho yake ilienda kuzimu kwa siku tatu mchana na

usiku, akafufuka kaburini, siyo kulipia dhambi zake mwenyewe,

kwa sababu hakuwa na dhambi. Alikufa ili atulipie dhambi zetu. Na tazama, tayari

ameshazilipa. Zawadi imeshalipiwa. Inakubidi sasa uelewe



kuhusu zawadi hii: Yohana : inasema "uzima wa milele." Zawadi ni

uzima wa milele. Neno "milele" linamaanisha itakaa milele. Maisha ambayo

yakaa milele. Hayana mwisho kamwe. Yohana : inasema "uzima wa milele."

"Milele" maana yake hauna mwisho. Yohana : unasema "uzima wa milele." Warumi

: inasema "uzima wa milele." Kote katika Biblia unaona dhana hii: uzima wa

milele, maisha ya milele, maisha yatakayokuwa ya milele, maisha yasiyo na mwisho.

Kwa mujibu wa Yohana :, unaupata uzima huo pale unapoamini. "Amwaminiye

Mwana yuna uzima wa milele;" Baadhi wanaweza kufikiri, "Kumbe, naweza kupokea

wokovu, lakini nikishakuwa nao, nikifanya jambo fulani baya, kama vile kuzini

kuua, kujiua, na Mungu ataniondolea wokovu wangu."

Lakini kama akiuchukua, basi haukuwa wa milele. Unaona, inabidi tuelewe

kwamba wokovu siyo kitu tunachokifanyia kazi, na mara tunapokuwapo nacho

siyo kitu ambacho tunakitunza. Biblia inasema katika Tito :, "katika tumaini la

uzima wa milele, ambao Mungu asiyeweza kusema uongo aliuahidi tangu milele; "

Unaona, tumaini letu kwa uzima wa milele ni hili: Mungu hawezi kusema uongo. Kama Mungu aliniahidi

uzima wa milele, ndio hivyo. Ni uzima wa milele. Aliniahidi uzima wa milele

na huo utadumu milele. Utasema, "Lakini, kama nikifanya kitu

kibaya kabisa?" Ndio siyo jukumu letu. Kabisa halinitegemei mimi. Ni

kipawa ambacho kitakaa milele. Hiki ndicho kitu kimoja tu unachotakiwa kukifanya:

Kama ilivyo zawadi yoyote nyingine, unao uchaguzi wa kuikubali

au kuikataa. Unaweza kuuliza, "Sasa, nafanyaje kuikubali zawadi ya Mungu?" Warumi :

inasema hivi: "Ukimkiri" Anasema "uki.." kwa vile una fursa ya

kuchagua. Anasema, ", ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana,..."

Neno "kukiri" lina maana ya kukubali. Utasema, "Nakiri nini?" Yaani,



unakubali kwamba wewe nimwenye dhambi. Unakubali kwamba unastahili kwenda

motoni. Lakini unaomba msamaha. Anasema, "ukimkiri Yesu

kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana..." Lakini ni zaidi ya kusema tu maneno. Anasema pia,

"na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua

katika wafu..." Unaamini kwamba Yesu Kristo alikufa msalabani, akazikwa,



na akafufuka katika wafu kama malipo ya dhambi zako. Anasema, "ukimkiri

Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa

Mungu alimfufua katika wafu," Biblia inasema, "utaokoka. "

Haisemi inawezekana pengine ukaokoka. Haisemi tumaini kwamba utaokoka.

Mungu anasema, "Nitakuokoa kama ukikiri kwa kinywa chako na kuamini

moyoni mwako." Tazama, hauhitaji kwenda kanisani. Haisemi lazima

ubatizwe. Haisemi lazima utubu dhambi zako. Haisemi

inabidi ufanye chochote; amini tu na umuombe akuokoe. Ukiamini hayo

kwa moyo wako, ukiamini kwamba Yesu Kristo alikufa msalabani kwa ajili ya dhambi zako,

akazikwa, akafufuka kaburini, anataka kukupa zawadi, ambayo ni uzima wa

milele, kwa nini usikiri tu kwa kinywa chako sasa hivi?



Napenda kukusaidia kufanya maombi. Kama unaamini hayo, fanya hivi tu,

omba pamoja nami sasa:

"Kama umeomba maombi hayo na umeamini kwa moyo wako, kwa mujibu wa

Biblia, sasa umeokolewa. Umepata uzima wa milele. Hongera.

 

 

 







mouseover