"Baada Ya Dhiki Kuu" movie kamili na Kiswahili Subtitles

Watch Video

October 2, 2015

Bali mlinzi akiona upanga unakuja, kama hapigi tarumbeta, wala watu hawakuonywa;

na upanga ukaja ukamwondoa mtu awaye yote miongoni mwao; ameondolewa huyo katika uovu wake;

lakini damu yake nitaitaka mkononi mwa mlinzi huyo. " - Ezekieli 33:6

Asubuhi na mapema Jumanne hii ya tarehe September 11, 2001

-Al, ni asubuhi njema, sivyo? - Ni asubuhi kamili ya majira ya majani kupukutika.

Siku ya Septemba , , dunia ilibadilika. ., "Nchi ya Walio Huru" sasa imekuwa

nchi ya watwana. Watu wa taifa lilipata kutukuka la Marekani wameuza uhuru wao ili kupata usalama.

Lakini haya yote yalikuwa yamepangwa?

"Disemba , , ni tarehe ambayo haitasahaulika.

Nchi ya Marekani ilishambuliwa ghafla na kwa makusudi.

Maswali mengi bado yapo kuhusu matukio ya siku hiyo inayokumbukwa kwa mabaya. Lakini jambo moja

tulijualo kwa hakika: shambulizi la kustukiza la Pearl Harbor ilianzisha mfululizo wa matukio.

ambayo hatimaye yatafufikisha kwenye Serikali Moja ya Dunia.

"Japani ilianzisha vita hivi kwa uchimvi. Tutaimaliza kwa ushindi."

Baada tu ya vita kuu ya pili ya dunia Umoja wa mataifa ulianzishwa na safari kuelekea

serikali moja ya dunia ikashika kasi. Kila vita inatusogeza hatua moja karibu na kile Biblia inakiita

"mwisho wa dunia." Alama zinawekwa kila mahali; serikali katili

inazidisha udhibiti wa wananchi wa Marekani, na kwa wale wanaoelewa

unabii wa Kibiblia, kitakachofuata hakitawashangaza.

Muda fulani baadaye, Biblia inasema kwamba kila mtu hapa duniani

atatakiwa kupokea chapa ili aweze kununua au kuuza. Wakati mfumo wa sasa wa uchumi unaanguka,

na kadiri teknolojia inavyoongezeka, pesa taslimu zinakuwa zimepitwa na wakati. Na uhalisia wa

jamii isiyotumia pesa hauko mbali sana. Hakika, tayari imeanza kutekelezwa. Licha ya wengi wasioamini

viongozi wa dini, watu waovu hawalali wakipanga kuleta Mfumo Mpya wa Dunia.

Tunaweza kuuona mwisho ukikaribia haraka, na mazingira yakiandaliwa ili MpingaKristo atokee.

Tunaweza kusikia sauti za wale wanaovunja katiba yetu ya Marekani

na kuhamasisha mfumo huu mpya wa serikali ya dunia ".... a new world order..."

Na hayo yakikaribia kabisa, filamu hii inazidi kuwa muhimu sana.

Shetani anafanya kazi kimyakimya kuleta serikali moja na dini moja duniani

ili kumwandaa mpingakristo. Na pia amewadanganya wakristo wengi wa siku hizi

waamini kwamba wataondolewa duniani kabla ya Dhiki Kuu haijaanza.

Mafundisho haya yajulikanayo kama "unyakuo kabla ya dhiki kuu" yanadai kwamba Kristo atarudi wakati wowote,

na kwamba hakutakuwa na ishara yoyote ya yeye kurudi. Matokeo ya uongo huu,

Wakristo wengi hawajajiandaa kabisa kwa yale Biblia iliyotuonya yanakaribia kutokea.

Ingawa maandiko yanasema wazi kwenye Matayo , na kwengineko, kwamba unyakuo utatokea

BAADA YA DHIKI KUU, wahubiri wakbuwa, vyuo vya Biblia, na sinema mashuhuri

kama ile ya Left Behind zimewafundisha wengi kutarajia unyakuo kutokea muda wowote.

Na kwa vile Wakristo karibu wote hawajajisomea Biblia yote, wachache wanaelewa

kwamba unyakuo-kabla-ya-dhiki-kuu ni uzushi nje ya maandiko. Lakini kama unyakuo kabla ya dhiki

Lakini kama unyakuo kabla ya dhiki kuu hautokani na maandiko, unatoka wapi basi?

Baada ya Dhiki Kuu

Jina langu ni Steven Anderson,|N na ni Mchungaji wa Kanisa la Kibaptist la Faithful Word

lililoko Tempe, Arizona, na niko kwenye kazi ya kuelimisha watu kuhusu unyakuo kabla ya dhiki kuu

kwa vile ni mtazamo unaotokana na kutofahamu, na ninaamini kwamba kama

watu watayaona maandiko na ukweli haitakuwa vigumu kwao

kubaini kwamba unyakuo utakuja BAADA YA DHIKI KUU.

Jina langu ni Roger Jimenez. ni mchungaji wa kanisa la Kibaptisti Verity huko Sacramento, California.

Nilikulia kwenye familia ya Kikristo na nilifundishwa kuamini unyakuo-kabla-ya-dhiki

maisha yangu yote, na sikuwa kuwa na sababu ya kutilia mashaka. Wahubiri walituambia hayo, na

nami niliipokea kama ilivyo, lakini kadiri nilivyozidi kufundishwa hayo, nilianza

kuona ilivyo mbali na maandiko, na naona hitaji la kufundisha

Biblia na kuuweka wazi ukweli.

Mch. Anderson: unyakuo kabla ya dhiki ni mafundisho mapya. Hakuna ushahidi

wa mafundisho hayo kabla ya mwaka .

Mch. Jimenez: Tuelewe kwamba mwaka ni karibu sana kihistoria. Kwa maelfu

ya miaka toka wakati wa Kristo, tumepitia mageuzi, tumepitia

watheolojia mbalimbali - ukikubaliana au la na watu kama Martin Luther, au

John Calvin, au yoyote, ukweli ni kwamba maelfu ya vitabu, maelfu ya machapisho, maelfu

ya insha, na mahubiri lukuki yamefanywa kabla ya ,

Mch. Anderson: Ninachosema ni hakuna ushahidi wa yoyote toka dhehebu lolote,

la Kikristo, ambaye amefundisha haya mafundisho.

Mch. Jimenez: Unapoangalia historia inabidi ujiulize

"Nini chanzo cha mafundisho ya unyakuo-kabla-ya-dhiki?"

Dk. Roland Rasmussen: Moja ya washabiki wa unyakuo-kabla-ya-dhiki ni mtu aitwaye

John Nelson Darby. Mnamo miaka ya , alianza kufundisha kile alichokiita

"Unyakuo wa Siri". Baadaye alitengeneza tafsiri yake mwenyewe ya Biblia ambayo

aliondosha mistari mizima, akichakachua mafundisho muhimu ya Biblia, na kuvuruga

vifungu muhimu vihusuvyo kurudi kwa Yesu Kristo. John Nelson Darby, ajulikanaye kama "Baba wa

Mafundisho ya Nyakati Mamboleo," akitangaza nadharia ya unyakuo kabla ya dhiki

muda wote wa karne ya . Baadaye, unyakuo kabla ya dhiki ulisambaa na kukubaliwa miongoni

mwa Wabaptisti wakati Oxford University Press ilipochapisha Biblia toleo la Scorefield Reference iliyokuwa na

maelezo pembeni yakitangaza mawazo ya Darby ya unyakuo wa siri. Maelezo hayo yamesababisha

Wakristo wengi wapokee mafundisho hayo kana kwamba Mungu mwenyewe ndiye aliyeyasema.

Mch. Anderson: Ibilisi ametumia hii zana ya Maelezo ya Ziada ya Scorefield kwenye Biblia

kuliko zana yoyote katika kusambaza mafundisho haya ya unyakuo kabla ya dhiki. Wajua kwamba

imetoka wapi? Hivi ndivyo yalivyoingia kwenye makanisa. Hapa ndipo wachungaji wanapoyatoa.

Haitoki kwenye Biblia. Bayana haikutoka kwenye kinywa cha Yesu Kristo!

Lakini kilitoka kwenye mdomo wa Scofield. Maelezo ya Scofield yaliasisi unyakuo kabla ya dhiki,

na yalimfanya msomaji aamini kwamba ni yanatokana na maandiko wakati sivyo

kabisa. Kwa vile Biblia ya Scofield inatumiwa na seminari nyingi na vyuo,

na pia wahubiri wengi vijana hutumia Biblia ya Scofield, walianza

kuchukulia unyakuo kabla ya dhiki kana kwamba ni ukweli na kuanza kuuhubiri.

Dk. Roland Rasmussen: Uchakachuaji wa unyakuo wakati wowote ulifika hadi kwa kizazi cha miaka ya sabini

kupitia kwa filamu za Don Thompson.

"Ghafla na bila taarifa, maelfu mengi, pengine mamilioni ya watu walipotea ghafla.

Maelezo ya mashuhuda wachache wa kupotea huku hawaelewa,

Lakini jambo moja ni la hakika. Mamilioni waliokuwa jana usiku wakiishi duniani humu hawapo hapa asubuhi hii.

Dk. Roland Rasmussen: Filamu tatu za Thompson Zilifanya kazi kubwa kuwapumbaza

kizazi kipya cha vijana. Tangu izinduliwe zaidi ya watu milioni wameona filamu ya "A Thief in the Night"

Mwaka , Tim Dalehouse alichapisha kitabu cha simulizi la mwisho wa Dunia "Left Behind" cha Tim LaHaye na Jerry Jenkins.

Mch. Anderson: Huu ni mfululizo wa hadithi zinazoonyesha kila mtu hajulikani alipo na hakuna mtu

ajuaye waliko. Magari yanagongana; ndege zinaanguka kwa vile

rubani amekwenda, na masimulizi haya ya kusisimua ya unyakuo kabla ya dhiki yamekuwa

sehemu ya utamaduni wa Kimarekani, na watu wameyapokea tu kama vile ni kweli, na ...eh...

Ni filamu ya kijinga.

Dr. Roland Rasmussen: Hatimaye filamu ya Left Behind iliuza nakala milioni duniani kote,

ikifuatiwa na mfululizo wa vitabu , na matoleo ya mengine matatu mpaka sasa. Lakini Left Behind ni

kazi ya usanii. Ili kujua ukweli kuhusu unyakuo inabidi tusome Biblia yenyewe.

Mch. Anderson: Thesalonike ni maandiko ya unyakuo.

Na katika Thesalonike Sura ya , tunaona maandiko mashuhuri pengine kuliko yote kuhusu unyakuo.

Mch. Anderson: Kila mtu atakubali kwamba maandiko haya yanazungumzia unyakuo. Haya

ni mafundisho bayana kuliko yote kwenye Biblia yafundishayo kuhusu Yesu kuja mawinguni, nasi

kwenda kumlaki. Biblia inasema kwenye mstari wa :

( Wathesalonike :): " Lakini, ndugu, hatutaki msijue habari zao

waliolala mauti, msije mkahuzunika kama na wengine wasio na matumaini. "

( Wathesalonike :) "Maana, ikiwa twaamini ya kwamba Yesu alikufa akafufuka, vivyo hivyo na hao

waliolala katika Yesu, Mungu atawaleta pamoja naye.

Mch. Anderson: Hivyo, asemacho hapa ni kwamba hataki wawe wasiojua

kuhusu Wakristo, waamini waliokufa, ambao wamelala katika Yesu, wale ambao tayari

wameshaenda kukaa na Bwana. Anasema, Hatutaki msijue habari zao waliolala

msije mkahuzunika kama na wengine wasio na matumaini. Nataka mjue kwamba

mtawaona tena wapendwa waliokuwa wameokoka. Mtawaona tena

kwa vile Biblia inasema kwamba wakati Yesu Kristo anarudi tena, atawaleta

pamoja naye. Waliokufa katika Kristo watafufuka/N kwanza, na kadhalika. Ndiyo maana alisema kwenye mstari wa

( Wathesalonike :) Basi, farijianeni kwa maneno hayo.

Mch. Anderson: Ndiyo maana andiko hili ni hupendwa sana kutumiwa kwenye misiba.

Nimekuwepo kwenye misiba mingi ambayo watu hutumia maandiko haya kufarijiana.

Kwa hiyo katika kila mstari, anazungumzia ukweli kwamba tutawaona tena watu waliokwisha kufa.

( Wathesalonike :) Kwa kuwa twawaambieni haya kwa neno la Bwana, kwamba sisi

tulio hai, tutakaosalia hata wakati wa kuja kwake Bwana, hakika hatutawatangulia wao waliokwisha kulala mauti.

( Wathesalonike :) Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko,

na sauti ya malaika mkuu, na parapanda ya Mungu; nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza.

( Wathesalonike : ) Kisha sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja

nao katika mawingu, ili tumlaki Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele.

(Wathesalonike :) Basi, farijianeni kwa maneno hayo.

Mch. Anderson: Kwa hiyo ukiuelewa muktadha, faraja ni kwamba tutawaona wapendwa

wetu tena. Anasema, Mtawaona tena kwa vile kama mkiamini Yesu alikufa na

akafufuka, vivyo hivyo (vilevile), na wao waliolala mauti katika Yesu Mungu atawaleta pamoja naye.

Watafufuliwa. Waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza,. Anasema,

Farijianeni kwa maneno haya. Hakuna faraja isemwayo hapa kwamba

mtaepuka dhiki. Hamtateswa. Hamtapitia

dhiki kuu. Hamtapitia mateso. Hamtapata adha. Kwani

vifungu hivi hata vinataja dhiki kuu? Pana chochote cha dhiki kuu kilichoongelewa?

Hapana. Hakusema, Farijianeni kwamba hamtapitia dhiki kuu. Farijianeni

kwamba hamtateswa. Farijianeni kwamba kabla ya dhiki kuu pana

unyakuo. Hayo siyo asemayo!

Mch. Jimenez: Sasa tusomapo vifungu hivi, pana tabia chache tunazoweza

kubaini kuhusu unyakuo ambazo zitatusaidia kubaini unyakuo katika vifungu vingine. Ningependa

Uelewe kwamba unyakuo una vitu gani. Kama ukiusoma mstari ule wa ,

unasema, "Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni..." Hivyo jambo la kwanza la

kuelewa kuhusu unyakuo ni kwamba Bwana atashuka toka mbinguni na mwaliko

na sauti ya malaika mkuu, na nataka uzingatie haya "na

parapanda ya Mungu." Hiyo ni tabia ya pili ninayotaka ufahamu kuhusu unyakuo.

Bwana atashuka, patakuwa na parapanda ya Mungu, na kisha Biblia inasema, "Wafu

katika Kristo watafufuliwa kwanza. Kisha sisi tulio hai, tuliosalia, tuta..." Zingatia

maneno haya: "tutanyakuliwa pamoja nao katika/N mawingu..." Hivyo wakati unyakuo unatokea,

Kwa mujibu wa Wathesalonike sura ya , sifa za unyakuo ni:

. Bwana atashuka . Parapanda italia . Tutanyakuliwa mawinguni

Mch. Jimenez: Tutanyakuliwa tukamlaki mawinguni.

Mch. Anderson: Rudi kwenye Mathayo na utaona sifa hizihizi kwenye Mathayo :-.

Ona Mathayo :,"Lakini mara, baada ya dhiki ya siku zile, "

Nataka kuwauliza watu, "Ni sehemu ipi ya BAADA msiyoielewa kuhusu andiko hili?"

Lakini linasema:

(Mathayo :)Lakini mara, baada ya dhiki ya siku zile, jua litatiwa giza, na

mwezi hautatoa mwanga wake, na nyota zitaanguka mbinguni, na nguvu

za mbinguni zitatikisika;

(Mathayo :) ndipo itakapoonekana ishara yake Mwana wa Adamu mbinguni; ndipo

mataifa yote ya ulimwengu watakapoomboleza, nao watamwona Mwana wa Adamu ["Mwana wa

"Adamu ni jina alilojiita Yesu mwenyewe alipokuwapo duniani] akija

juu ya mawingu ya mbinguni pamoja na nguvu na utukufu mwingi.

(Mathayo :) Naye atawatuma malaika zake pamoja na sauti kuu ya parapanda, nao

watawakusanya wateule wake toka pepo nne, toka mwisho huu wa mbingu mpaka mwisho huu.

Mch. Anderson: Sifa zote! Yesu kuja mawinguni. Sauti ya parapanda.

Anawatuma malaika kuwakusanya wateule wake.

Mch. Jimenez: Sababu nimekuonyesha haya ni kwamba nataka uelewe kwamba kwenye

Mathayo :-, tunaona unyakuo, na tukiulinganisha na Wathesalonike :-,

vinashabihiana kikamilifu.

Mch. Anderson: Usifunge hapo, nenda Marko . Marko kimsingi inasema

vitu vilevile Mathayo inavyovisema. Ni kile ambacho tunaweza kukiita "vifungu sambamba".

Utaona mahubiri yaleyale, mafundisho yaleyale kwenye sura hizi mbili. Unaweza kuziweka

upande kwa upande. Zinasema vitu vilevile. Acha nikuonyeshe sura hiyo. Inasema

mstari wa :

(marko :) Lakini siku zile, baada ya dhiki hiyo, jua litatiwa giza, na

mwezi hatautoa mwanga wake.

(Marko :) na nyota za mbinguni zitakuwa zikianguka, na nguvu zilizo mbinguni zitatikisika.

(Marko :) Hapo ndipo watakapomwona Mwana wa Adamu akija mawinguni kwa nguvu nyingi na utukufu.

(Marko :) Ndipo atakapowatuma malaika na kuwakusanya wateule wake toka

pepo nne, toka upande wa mwisho wa nchi hata upande wa mwisho wa mbingu.

Mch. Anderson: Mpaka hapa tunaweza tu kuomba na kurudi nyumbani. Tungeweza tu

kufunga Biblia yetu, na kusema, "Ndiyo hivyo, jamani. Ni BAADA YA DHIKI KUU," na

kufunga tu Biblia zetu na kwenda nyumbani. Lakini ah hatutafunga Biblia zetu hivi na

kwenda nyumbani kwa vile nitakuthibitishia na kukuonesha kwamba haya yanazungumzia

unyakuo, na yanasema kwamba ni BAADA YA DHIKI KUU.

Mch. Anderson: Watu wengi watapinga sura hii na kusema, "Huwezi kupata

mafundisho yako toka Mathayo kwa vile Mathayo anazungumza tu na Wayahudi.

Watapuuzia vifungu hivi, na kusema, "Aah, haya ni kwa ajili ya Wayahudi pekee." na mwanazuoni

fulani alishaamua kwamba kitabu cha Mathayo ni kwa ajili ya Wayahudi, kitabu cha Marko ni kwa

Warumi, kitabu cha Luka ni kwa Wayunani, na kitabu cha Yona ni kwa ulimwengu. Ah

Asante Mungu kwa kutukumbuka walau kwenye moja ya injili nne! Lakini ni nani aliyebuni

maneno haya? Pengine Mathayo alielemea kwa Wayahudi. Huenda Luka alielemea kwa

Wayunani. Labda waraka wa Paulo kwa Waefeso ulikusudiwa kwa Waefeso. Unaonaje?

Labda waraka wa Paulo kwa Waebrania ulikusudiwa kwa Waebrania. Pengine waraka

wa Paulo kwa Wathesalonike uliwalenga Wathesalonike, lakini kila ahadi kwenye

Biblia ni yangu! Kila sura, kila kifungu, kila mstari, Kitabu cha Tito hakikuwa

kwa Tito pekee! Hicho kilikuwa ni kitabu cha muda mfupi! Ni kwa kila mchungaji kukisoma. Ni kwa kila

mwamini kukisoma. Ni Agano Jipya!

Mch. Anderson: Lakini watasema hivi |Hapana, Mch. Anderson, we huelewi tu."

Mahubiri haya yote yalihubiriwa kuhusu Wayahudi, kwa Wayahudi, kwa ajili ya Wayahudi. Yesu Kristo

alikuwa akiwahubiri Wayahudi katika Mahubiri ya Mzeituni (jina zuri la kitheolojia waliovipa

vifungu hivi). Mch. Anderson, alikuwa anazungumza kwa Wayahudi! Huelewi! Aliposema

anaposema kwenye Marko :, Baada ya dhiki kuu, na kisha akaongelea Yesu kurudi mawinguni

katika mstari wa , na kuwakusanya wateule katika mstari wa , kutoka mwisho wa nchi,

mpaka miisho ya mbingu, hapo haongei tu na Wayahudi." Sawa, angalia

mstari wa mwisho wa Marko : Na hilo niwaambialo ninyi,Nawaambia wote. Usiache

mhubiri yoyote kujaribu kukwambia kwamba haya ni ya Wayahudi tu. Si ya waamini wote.

Ndivyo isemavyo Marko :? Hapana! Inasema:

(Marko :) Na hilo niwaambialo ninyi nawaambia nyote, Kesheni.

Mch. Anderson: Hilo ndilo neno la mwisho la sura hii.

(Marko :) Na hilo niwaambialo ninyi, nawaambia wote, Kesheni.

Mch. Anderson: Na bado watu watageuka na kusema, "Sura hii

haizungumzi na wote. Inazungumza to na Wayahudi." Ni kama alijua kwamba watu

watakachokuja kusema, kwa hiyo akasema hivyo mwishoni. Siongei nanyi tu. Naongea

na wote nisemapo, Kesheni. Hili ni kwa kila mtu.\Kusema kwamba sura hii anaongea

tu na Wayahudi ni kichekesho kwani bayana anasema:

(Marko :) Na hilo niwaambialo ninyi, nawaambia wote, Kesheni.

Mch. Jimenez: Mara nyingi watu huangalia Mathayo:-, na kusema, "Sawa,

hata kama inaonekana ni kama unyakuo, na hata kama inasikika kama unyakuo, lakini

siyo unyakuo," na hii ndiyo sababu watoayo kusema siyo unyakuo.

Ukiutazama mstari wa , unasema, "Naye atawatuma malaika zake pamoja na sauti kuu ya

parapanda, nao watawakusanya wateule wake..." na watu watatazama hilo

andiko, na kusema, "Unaona? neno ni 'wateule' siyo Wakristo." Watasema,

"Hao 'wateule' ni Izraeli. Kwa hiyo Mathayo siyo unyakuo. Haikukusudiwa

kwa Wakristo. Sura hii nzima imekusudiwa Wayahudi kwa vile anaongelea wateule."

Muhimu hapa ni hili: mara zote tuiachie Biblia iwe ni kamusi yake yenyewe.

Mch. Anderson: Ninayo hapa orodha ya kila mara neno 'wateule' limetumika.

Hatutaisoma yote kwa vile muda hautoshi ,lakini ningeweza kupitia kila mara "wateule"

limetumika, na ningeweza kukuonyesha kwamba kila wakati, linazungumzia watu ambao

Mch. Jimenez: "Sababu ambayo watu hufikiri neno "wateule" lina maana ya "Wayahudi", au linazungumzia

"Izraeli" ni kwamba badala ya kujifunza Biblia, na badala ya kusoma Biblia

wamekuwa wakisoma maoni, na wamekuwa wakisoma vitabu vilivyoandikwa na watu, na

watu hao wamewaambia kwamba tafsiri ya neno "wateule" ni ipi. Biblia ya Scofield

ina maoni kwenye Mathayo ikisema kwamba neno "wateule" linamaanisha "Izraeli." Lakini

Biblia inajifafanua yenyewe, na Biblia inatupa majibu kwa maswali yote ya mafundisho

tuliyonayo, na neno "wateule", ukilichunguza kwenye Biblia yote, ni wazi siyo Wayahudi.

Mch. Anderson: Kukupa mfano rahisi, katika Wathesalonike:, inasema:

( Wathesalonike :) Kwa maana, ndugu mnaopendwa na Mungu, twajua uteule wenu;

Mch. Anderson: ...anazungumza na Wathesalonike ambao ni wazi walikuwa Mataifa. Tunaona kwenye Warumi

(Warumi :) Ni nani atakayewashitaki wateule wa Mungu? Mungu ndiye mwenye kuwahesabia haki.

Mch. Anderson: Katika mara zinazotaja neno "wateule" kwenye Biblia, nimeona mara zina maana

waamini wote kwa ujumla, mara mbili zinamaanisha waamini ambao ni Mataifa,

mara moja inamaanisha waamini ambao ni Wayahudi mara mbili zinamaanisha Yesu Kristo mwenyewe,

na mara moja inamaanisha Yakobo, mtu mmoja, kuwa ni mteule wa Mungu. Nitakupa mstari

mmoja unaoonyesha wazi kwamba wateule haina maana "Izraeli" kwa vile watu watasema,

wateule? Hao ni Izraeli. Hao ni Wayahudi."

(Warumi :) Imekuwaje basi? Kitu kile ambacho Israeli alikuwa akikitafuta hakukipata; lakini wale waliochaguliwa

walikipata, na wengine walitiwa uzito.

Mch. Anderson: Kwa hiyo Biblia inasema, Izraeli hakupata uteule. Sasa, kama Izraeli

walikuwa ndio wateule, hayo maandiko yasingekuwa na maana yoyote.

Mch. Jimenez: Kwenye maandiko yote ni wazi, ukiipa Biblia nafasi ya kufafanua

kwamba "wateule" siyo Wayahudi, na kwamba "wateule" siyo taifa la Izraeli,

wateule ni waamini. Wanaweza kuwa wametokea Asia ndogo; wanaweza kuwa Wayunani;wanaweza

kuwa mabedui; wanaweza kuwa wowote. Ukimvaa Kristo, umevaa

utu mpya, na unahesabiwa kuwa mteule. Hivyo tukirui kwenye Mathayo , na anaposema

"Naye atawatuma malaika zake pamoja na sauti kuu ya parapanda, nao watawakusanya

wateule wake," inaenda vizuri kabisa na vifungu, vinavyoonyesha ukweli kwamba ni unyakuo wa waaminio.

Mch. Anderson: Haihusiani kabisa na iwapo ni Wayahudi au Mataifa, weusi

au weupe. Wateule ni wale waliookolewa. Atawakusanya mawinguni

pamoja naye. Hiyo si ni sawa na isemavyo Wathesalonike sura

ya ? Pale iliposema kwamba patakuwa na\Parapanda, na kwamba waamini watakuwa

wamenyakuliwa wawe pamoja na Kristo. Baadaye kidogo kwenye sura hiyohiyo, inasema,"Walakini

habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye..." hivyo hakuna ajuaye siku wala saa haya yatakapotukia.

Siwezi kukuambia, "Yatatokea mnamo Oktoba xx ya mwaka huu." Tena, baadaye kido, anasema:

(Mathayo :) Wakati ule watu wawili watakuwako kondeni; mmoja atwaliwa, mmoja aachwa;

(Mathayo :) wanawake wawili watakuwa wakisaga; mmoja atwaliwa,

mmoja aachwa.

(Mathayo :) Kesheni basi; kwa maana hamjui ni siku ipi atakayokuja Bwana wenu.

Mch. Anderson: Kwa hiyo Mungu anatuambia kwamba hatujui ni lini itatokea. Itakuwa ni kitu

cha kutazamia. Hatujui siku wala saa, lakini antuambia kwamba ni BAADA

YA DHIKI KUU kwa sababu alisema BAADA YA DHIKI KUU jua na mwezi vitatiwa giza

na Yesu Kristo atarudi mawinguni. Hivyo wakati parapanda inalia. Yaani wakati

waamini wananyakuliwa. Kwa hiyo kwa kuwa tu hatujui siku wala saa, haina

maana kwamba ni jambo ambalo linaweza kutokea muda wowote. Watu wengi huangalia

andiko "hakuna mtu ajuaye siku wala saa," na kusema, "Inaweza kutokea muda wowote."

Lakini, alikuwa punde tu ametoka kusema itakuwa BAADA YA DHIKI. Haya yanapatikana

kwenye Mathayo, Marko na Luka. Mathayo ameyaweka sura ya , Marko kwenye sura ya ,

Luka anayaandika katika sura ya na sura ya na kisha Yohana anayazungumzia katika Ufunuo.

Yameandikwa na wote wanne. Kwanza inakuja dhiki kuu, kisha jua na mwezi zatiwa giza,

kisha Yesu anakuja mawinguni katika unyakuo.

Mch. Anderson: Sababu inayowafanya watu wadhani unyakuo ni kabla ya dhiki kuu

ni kwamba wanashindwa kutofautisha dhiki kuu na ghadhabu ya Mungu. Namna moja ya kuthibitisha kwamba ghadhabu ya Mungu

na dhiki kuu ni vitu viwili tofauti ni katika Mathayo:, inasema,

Lakini mara, BAADA YA DHIKI ya siku zile, jua litatiwa giza, na mwezi

hautatoa mwanga wake." Hivyo Biblia iko wazi kabisa katika Mathayo kwamba jua na

mwezi vitatiwa giza BAADA YA DHIKI. Hivyo, ukienda kwenye Ufunuo utasoma

kuhusu jua na mwezi kutiwa giza (wakati muhuri wa sita ukifunguliwa), Biblia inasema, "...na

jua likawa jeusi kama gunia la singa, mwezi wote ukawa kama damu"

...sawa kabisa na ilivyosema katika Mathayo ...

(Ufunuo :) na nyota zikaanguka juu ya nchi kama vile mtini upukutishavyo mapooza yake,

utikiswapo na upepo mwingi.

(Ufunuo :) Mbingu zikaondolewa kama ukurasa ulivyokunjwa, na

kila mlima na kisiwa kikahamishwa kutoka mahali pake.

(Ufunuo :) Na wafalme wa dunia, na wakuu, na majemadari, na matajiri, na

wenye nguvu, na kila mtumwa, na mwungwana, wakajificha

katika pango na chini ya miamba ya milima,

(Ufunuo :)wakiiambia milima na miamba, Tuangukieni, tusitirini,

mbele za uso wake yeye aketiye juu ya kiti cha enzi, na hasira ya Mwana-Kondoo.

(Ufunuo :)Kwa maana siku iliyo kuu, ya hasira yao, imekuja; naye ni nani awezaye kusimama?

Mch. Anderson: Hivyo, kwa mujibu wa haya, pale lini hasira ya Mungu itashushwa? Pale

jua na mwezi vitiwapo giza ni pale wasemapo "Siku ya ghadhabu yake imekuja."

Kauli ya IMEkuja, inamaanisha muda si mrefu. Kwa hiyo Mathayo inasema kwamba jua na

mwezi vitatiwa giza BAADA YA DHIKI na kama hasira ya Mungu haiji mpaka baada ya

jua na mwezi kutiwa giza, vinawezaje vyote kuwa ni kitu kilele? Hivyo hukumu ya Mungu haiji

Mpaka jua na mwezi vitiwe giza. Kwa kawaida ukiwauliza watu waonyeshe

maandiko yasemayo unyakuo utatokea kabla ya dhiki, awawezi kukuonyesha andiko lolote. Nitawapa changamoto

mtu yoyote anionyeshe mstari mmoja ambao hasa unatumia neno "dhiki" kuthibitisha

msimamo wao wa unyakuo kabla ya dhiki. Hawawezi. Lazima wakuonyeshe mstari unaosema

neno "ghadhabu." Wataonyesha mistari inayosema kwamba sisi Wakristo hatuko chini ya

ghadhabu ya Mungu, na wataonyesha vifungu visemavyo kwamba hatuko chini ya ghadhabu, na

kwamba tumeokolewa toka kwenye hukumu. Na hapo watasema, "Unaona? hapa, Biblia inasema kwamba

hatutapitia dhiki kuu. Lakini hebu ngoja: dhiki kuu na ghadhabu ni vitu viwili tofauti!

Hakuna mstari ambao anayeamini unyakuo kabla ya dhiki anaweza kukuonyesha unaotumia neno "dhiki"

ndani yake ili kukuthibitishia mafundisho yao. Watakuonyesha mistari fulani juu ya ghadhabu ya Mungu. Lakini

ghadhabu ya Mungu na dhiki kuu ni vitu viwili tofauti kabisa. Wakristo wengi wamefundishwa

makanisani mwao na vitavu wasomavyo kwamba vitu hivi viwili ni kitu kilekile.

Na unapojaribu kuwaambia, "Ninyi!, Tutakuwepo hapa wakati wa dhiki kuu!

Unyakuo hauji mpaka BAADA YA DHIKI KUU. Haya ndiyo watajaribu kukuambia: "Hapana, Mungu

hawezi kushusha ghadhabu yake kwa watu wake mwenyewe. Hatuko chini ya hukumu. Tutakuwa

mbali na ghadhabu yake." Hebu fikiria: Ghadhabu ya Mungu na dhiki kuu ni kitu kilekile?

Hapana. Kwa hiyo, kama tukiweza kuwaelewesha watu maana ya neno "dhiki", wangeweza

kuelewa kwamba unyakuo unakuja BAADA YA DHIKI KUU. Ni vile tu watu

hawaelewi neno "dhiki" kwa sababu wana fikra hizi vichwani mwao kwamba

dhiki ni miaka saba ambayo Mungu atamimina ghadhabu yake na kumimina moto

na kiberiti, akibadili maji kuwa damu, na kuwatesa watu kwa nge, na

mapigo mbalimbali. Sivyo ilivyo dhiki kuu. Sivyo Biblia inavyofundisha.

Mch. Anderson: Wale waaminio kwenye kile kinachoitwa "unyakuo bila dhiki", au unyakuo

unaokuja kabla ya dhiki kuu, kwamba unyakuo unaweza kutokea muda wowote: hebu tuchambue

"unyakuo kabla ya dhiki." Ina vitu vitatu ndani yake "Kabla".

"Dhiki" inasimama badala ya "dhiki kuu". Na kisha una neno "unyakuo". Neno "unyakuo" haliko

kwenye Biblia. Dhana ya unyakuo iko kwenye Biblia kwa vile tunasoma Yesu atakuja

na mawingu, na watu watanyakuliwa kwenda pamoja naye hewani, n.k. Hivyo dhana ya

unyakuo iko hapo, lakini neno "unyakuo" haliko. Je, neno "dhiki" lipo

Kwenye Biblia? Ukitafuta kila mstari unaotumia neno "dhiki", limetumiwa mara

kwenye Agano Jipya. Hivyo kama Agano Jipya linatumia neno "dhiki" mara ,

na kila mtu anatumia mafundisho yaitwayo "Unyakuo kabla ya dhiki," basi angalau mmoja

wa hiyo mistari au vifungu au sura zingetufundisha kitu kuhusu unyakuo kutokea

kabla ya dhiki? Hata mmoja wa hiyo mistari hausemi chochote kuhusu kuwepo kwa unyakuo

kabla ya dhiki au kitu kifananacho nayo, kwa hiyo watu wanaoshikilia unyakuo kabla ya dhiki inabidi

wategemee tafsiri lukuki, na inabidi wakueleze maelezo marefu, na mara zote

maelezo yao ni magumu kuyaelewa. Nimebaini jambo fulani kuhusu Biblia: Mungu anataka tuielewe

Biblia. Hatufanyii michezo ya kuigiza ili kutuchanganya na kufanya mambo yawe magumu.

Anataka tuuelewe ukweli. Anatupenda. Nimebaini mara nyingi

Biblia inapoleta jambo kwa mara ya kwanza, hutufafanulia, na kutusaidia tulielewe.

Kwa namna hiyo, tunapoliona kwa mara ya pili, tutajua ni nini anakizungumzia.

Biblia inasema katika Mathayo :

lakini hana mizizi ndani yake, bali hudumu kwa muda; ikitukia dhiki au

udhia kwa ajili ya lile neno, mara huchukizwa.

Mch. Anderson: Waonaje ufafanuzi wa "dhiki"? Udhia. Anasema

"dhiki au udhia" inayokuja sababu ya Neno. Kwa hiyo hawa watu wanapitia

dhiki kwa sababu ni watu wabaya? Hapana, wanapitia dhiki kwa sababu

wamesimama katika neno la Mungu. Na kwa sababu wamesimama katika Neno la Mungu,

kwa sababu wamepokea neno la Mungu kwa furaha,watapitia udhia

au dhiki. Kama tuna mizizi imara katika tuaminicho, pale dhiki na udhia

vijapo, tutastahimili. Mara ya kwanza uonapo neno "dhiki" likitumiwa kwenye Biblia,

linaambatana na neno "udhia." Yaani, mara ya kwanza neno "dhiki" linatumika

katika Agano Jipya, na ukilifuata kila mara katika Agano Jipya

neno "dhiki" linapotumiwa, % ya mara hizo linazungumzia waamini kupitia

dhiki - watu waliookolewa wanapitia dhiki. Mara nyingine mbili zilizobaki linatumiwa mahali ambapo

halizungumzii watu waliookolewa, halizungumzii kuhusu unabii wa siku za mwisho.

Linazungumzia tu kuhusu watu wanaopitia dhiki kiujumla. Wakristo katika nyakati zote kihistoria

wamepitia dhiki, na katika kizazi chetu hatutakuwa na tofauti yoyote. Labda

itatokea wakati wa uhai wetu, labda haitatokea lakini ikitokea katika uhai wetu,

tutaipitia kama waamini. Ama tutauawa kwa ajili ya Kristo, au tukijaliwa

tutavuka katika kipindi hiki na kuufikia unyakuo.

Mara ya tano neno "dhiki" linatumiwa kwenye Agano Jipya ni kwenye Yohana :.

Mch. Anderson: Anaongea na waamini. Anaongea na wafuasi wake. Anasema,

(Yohana :) Hayo nimewaambieni mpate kuwa na amani ndani yangu.

Ulimwenguni mnayo dhiki; lakini jipeni moyo; mimi nimeushinda ulimwengu.

Mch. Anderson: Alisema mtakwepa dhiki? Alisema kwamba

hamtapitia dhiki? Je, alisema, "Sitaacha watu wangu wapitie dhiki!

Nawapenda sana!" Hapana! Kwani Mathayo inasemaje pale dhiki inapotajwa mara ya kwanza?

Kwamba kama watu hawana mizizi imara ,na dhiki au udhia ukitokea

kwa sababu ya neno, hawatastahimili. Angalia aliyoyasema Yesu katika sura hii kwamba

anatuonya kuhusu dhiki katika mstari wa kwanza:

(Yohana :) Maneno hayo nimewaambia, msije mkachukizwa.

Mch. Anderson: Anasema kwamba asipokuambia kuhusu haya, kama asipokuonya

kuhusu udhia na dhiki vijavyo na majaribu utakayopitia

katika maisha, pale yatakapokuja, yatakustukiza . Utaudhiwa. Utasema, "Kwa nini

unahubiri hivi, Mchungaji Anderson?" Ninahubiri mahubiri haya ili usije

ukaja kuudhika. Utasema, "Hebu kwanza, mahubiri haya yanaudhi!" Hapana, haya ni mahubiri ya

kukuzuia usije ukaja kuudhika kwa vile Yesu alivyosema kwamba kama utajua yatakayotukia,

hautadhika. Angalia mstari wa :

(Yohana :) Lakini nimewaambia hayo, ili makusudi saa ile itakapokuja myakumbuke

ya kuwa mimi naliwaambia. Sikuwaambia hayo

tangu mwanzo, kwa sababu nalikuwapo pamoja nanyi.

Mch. Anderson: Kwa hiyo anasema hapa kwamba Wakati mambo haya yakitokea mtakumbuka kwamba

Niliwaambia, na nawaambia kitu kilekile Yesu alichokisema. Wakati mambo haya

yanaanza kutokea - inaweza isiwe wakati wa uhai wetu; inaweza ikawa ni miaka kuanzia sasa; labda itakuwa

miaka kadhaa kuanzia sasa; hatujui lini mwisho\utakuwa - lakini utakapotukia,

mtakumbuka kwamba niliwaambia. Muhimu zaidi ya hivyo,

kwa sababu sikuyatunga mambo haya, mtakumbuka kwamba Yesu aliwaambia.

Mch. Jimenez: Mara nyingine unapokutana na neno "dhiki" ni katika Matendo ya Mitume :, na

(Matendo :) wakifanya imara roho za wanafunzi na kuwaonya wakae katika ile Imani,

na ya kwamba imetupasa kuingia katika ufalme wa Mungu kwa njia ya dhiki nyingi.

Mch. Jimenez: Inavutia kuona tamko kwamba imetupasa kuingia katika

ufalme wa Mungu kwa njia ya dhiki nyingi" Mstari ulio bayana kabisa katika Biblia kwamba

tutaingia katika ufalme wa Mungu\kwa kupitia dhiki,

na siyo kuingia katika ufalme wa Mungu kabla ya dhiki.

Mch. Anderson: Kwani alisema,"Mtu uliye hai, ni furaha iliyoje kwamba tutakuwa tushaondoka kabla ya dhiki!"

Hapana, alisema,"Ni vema kuwaimarisha. Ni vema kuwaimarisha kwenye baadhi ya mambo.

Ni vema ukawaimarisha kwa sababu ni vema wajue kabisa lazima wapitie

dhiki ili kuingia katika ufalme wa Mungu." Unyakuo kabla ya dhiki umetajwa popote mara hii ya ?

Sidhani.

Mch. Jimenez: Katika Wakorintho :, Biblia inasema:

( Wakorintho :) Ninao ujasiri kwenu; naona fahari kuu juu yenu.

Nimejaa faraja, katika dhiki yetu yote nimejaa furaha kupita kiasi.

Mch. Anderson: Hakusema, "Nina furaha kupita kiasi kwa vile sipitii dhiki.

Nina furaha kupita kiasi kwa vile tutanyakuliwa kabla ya dhiki!" Hayo siyo asemayo.

Alisema, "Katika dhiki yetu yote nimejaa furaha kupita kiasi." U wapi unyakuo kabla ya dhiki

katika andiko hilo? haupo.

Mch. Jimenez: Inanivutia kwamba kadiri unavyotazama neno "dhiki" katika

maandiko kikamilifu, utaona mistari kwa mistari waumini wakielezea walivyopitia

dhiki. Anasema, "katika dhiki yetu yote." Siyo kitu ambacho waamini hawatapitia

Ni kitu amacho waamini wameshakipitia maisha yao yote.

Vizazi kwa vizai, waamini wamepitia katika dhiki.

Mch. Anderson: Kumbukeni, ndugu, Mungu hakusudii kutuchanganya. Hajaribu

kutuvuruga. Binadamu amekuwa akiwavuruga! Wahubiri wamekuwa wakiwavuruga!

Vipindi vya TV na sinema zimekuwa vikiwavuruga (Left Behind, nk.)

Mungu hawavurugi.

Mch. Jimenez: Kama tukiiruhusu Biblia iwe kamusi yetu, na tukiiachia Biblia

ifafanue maneno kwa ajili yetu, tutaona kwamba neno "dhiki" siyo ghadhabu ya Mungu.

Ni udhia. Ni mateso. Ni matatizo.

Mch. Anderson: Unaweza kudhani kwamba mtu angekuonyesha moja wa hizo mara inapotajwa.

Nionyeshe mstari mmoja unaosema kwamba tutakuwa tushaondoka kabla ya dhiki, au kwamba

tutanyakuliwa kabla ya dhiki, au kwamba unyakuo utatokea kabla ya dhiki.

Lakini ninaweza kukuonyesha wapi Biblia inasema bayana kwamba mara tu baada ya dhiki,

Yesu atarudi na mawingu, na parapanda italia, na wateule watanyakuliwa

kuwa pamoja naye mawinguni. Ni rahisi hivyo. Wale waaminio katika unyakuo-kabla-ya dhiki

wanategemea wanadamu katika kufafanua tafsiri na mantiki zao, na

"Mh, kwa vile hatujui siku wala saa, ina maana inaweza kutokea wakati wowote,

na kama inaweza kutokea wakati wowote, basi ni lazuma iwe kabla ya dhiki kuu." Au watakuwa

na majedwali tata ili kukuelezea. Lakini tu ukichukua Biblia na

kuyachukulia yale isemayo kama yalivyo - soma kuanzia Mathayo - pale ufikapo Mathayo

, utaikuta, bayana kama mchana: BAADA YA DHIKI Yesu anakuja mawinguni.

Mch. Anderson: Dk. Kent Hovind ni mwinjilisti mashuhuri kweli aliyeamini na kuhubiri

unyakuo kabla ya dhiki kwa miaka . Sasa yeye yuko kifungoni, na tangu awe

gerezani, amekuwa akijisomea Biblia yake, na kubaini kwamba unyakuo kabla ya dhiki haumo

kwenye maandiko, na nataka kumsikia ili kubaini ni nini kilimfanya

abadilike. Nini kilimfanya agundue kwamba ni BAADA YA DHIKI?

Dk. Kent Hovind: Jina langu ni Kent Hovind. Nilikuwa mwalimu wa sayansi kwa miaka vidato vya juu

na kisha nikawa mwinjilisti kwa miaka nikifundisha uumbaji na mageuko. Na

Nimekuwa nikijiuliza sana kuhusu mtazamo wangu wa nyakati za mwisho na vipi unaendana na maandiko,

na nikashawishika, miaka mitatu hivi iliyopita, kwamba yale niliyofundishwa miaka yote ya maisha yangu,

si ya kweli. Ilinibidi kubadilika, kwa masikitiko ya ndugu wengi wasiokubali kubadilika,

na kuhamia kwenye unyakuo-baada-ya-dhiki, kabla-ya-hukumu. Biblia inasema siku za mwisho

watu wadharauo watapuuza uumbaji, na mafuriko, na hukumu inayokuja. Kwa kweli, nilitumia

miaka kufundisha duniani kote kuhusu uumbaji na mafuriko, lakini

niliacha ile sehemu ya hukumu inayokuja kwa vile sikuielewa mimi mwenyewe. Katika Mathayo

, mafundisho ya Yesu yanatupatia kile wanafunzi wake walimuuliza kwa wazi: nini

itakuwa ishara ya kurudi kwako? Na ni lini itatukia? Maelezo hayohayo yanarudiwa katika Marko

na katika Luka , hivyo nilinakili kurasa toka katika Biblia zenye maelezo hayo toka vitabu vyote vitatu na

kuvipanga kimoja pembeni ya kingine. Mara ukishabaini

maelezo yote, inakuwa wazi kabisa

kwamba unyakuo kabla ya dhiki hayakuwa mafundisho ya kweli.

Mch. Anderson: Kwa nini unafikiri kwamba watu wengi/N bado wanaamini katika unyakuo -kabla ya dhiki?

Kwa nini mafundisho haya ni mashuhuri sana?

Dk. Kent Hovind: Kwa sababu yanatatua tatizo linaloonewa aibu. Wakristo hawakuweza kujibu

maswali kuhusi dinosori. Wanasemaje? Kwa hiyo, walibuni mafundisho ya "gap theory" na

watu wakawaamini. Nadhani wazo la unyakuo bila dhiki unaangukia katika fungu hilohilo ambalo watu

wana masikio yanayowawasha. Haya ndiyo wanayotaka kuyasikia.

Mch. Anderson: Sawa.

Mch. Kent Hovind: Wanataka kusikia, "Hee! Sitalazimika kupitia taabu." Lakini Yesu

alisema kinakuja kipindi cha dhiki ambacho hakijawaki kuwepo tokea ulimwengu kuwako. Yaani,

unadhani mateso ya kule Hispania yalikuwa mabaya? Au Manazi walivyowaua Wayahudi

yalikuwa mabaya? Au vile Warumi walivyotesa Wakristo?

Itakuwa ni mbaya kuliko hayo yote yakichanganywa pamoja!

Mch. Anderson: Mh. Inashangaza.

Dk. Kent Hovind: Kwa hiyo, dunia inaanza kwa Kaini kumuua Habili - waovu kuwa wema.

Mch. Anderson: Ni kweli.

Dk. Kent Hovind: Imekuwa hivyo mara zote ukitazama historia. Na Yesu alituambia

watakapokuwa wakiwaua au kuwatesa, furahini,

kwa sababu thawabu yenu ni kubwa katika ufalme wa mbinguni.

Mch. Anderson: Kama hakika tukichukulia Biblia isemavyo kuhusu nini maana ya "dhiki" (siyo

maana iliyochakachuliwa) - kama tukichukulia maana halisi ya kibiblia ya

"dhiki," huwezi kusema tunapitia dhiki hivi sasa?

Mch. Kent Hovind: Ah, ndiyo. "Dhiki" ndicho dunia inatutendea, na tayari

imeshatokea ma maelfu ya miaka. Yesu alisema, "Duniani mna dhiki: lakini

jipeni moyo: mimi nimeushinda ulimwengu." Wakristo wategemee dhiki, na

tutapata thawabu tukiipita kwa uvumilivu.

Mch. Anderson: Sasa, kwa vile somo hili ni kuhusu "Msimamo Mkali wa Kidini," linaweza

kuangukia katika fungu la mawazo ya watu, kudhani kwamba kutakuwa na mwisho

wa dunia - kwamba kutakuwa na kurudi kwa Yesu Kristo kama kulivyoandikwa. Ndiyo

maana nilitaka kukueleza kwa kifupi Nikupe to mwongozo mfupi

wa kile kitakachokuja kutokea kwa mujibu wa Biblia, na ni vipi yote yatatokea.

Mch. Anderson: Nadhani ufunguo wa kukielewa kitabu cha Ufunuo ni kuelewa

kilivyogawanywa. Mungu alitupa kitabu cha Ufunuo kiwe hivyo - ufunuo - kitufunulie

vitu hivi, siyo kuvificha. Siyo kitabu cha Kujificha. Ni kitabu

cha Ufunuo, na Mungu anataka kieleweke kwa urahisi. Ndiyo maana alitupatia

kwa muundo ambao ni rahisi kuuelewa. Unapoanza kusoma sura ya kwanza,

unaona nyakati za Kristo au karibu nao kwa vile Yohana alikuwa katika kisiwa cha Patmo, na Yohana

alikuwa akiteswa kwa kuhubiri Injili, kwa hiyo tunaongelea pungufu ya karne

baada ya Yesu kuja duniani hapa. Kisha anapokea maono ambayo anamuona Bwana

Yesu Kristo akimtokea. Kisha katika sura za - Yesu Kristo anampa ujumbe

kwa makanisa saba ya Asia, na ni wazi makanisa hayo yalikuwepo katika karne ya

kwanza., wakati huo. Kisha katika sura za - tunakuta maono ya Mbinguni ambapo

anaelezea yanayotukia Mbinguni. Kisha katika sura ya tunaona matukio ya

wakati wa dhiki kuu. Sura ya ndipo mkutano mkuu unaotokea Mbinguni - wazi ndio

unyakuo - mataifa yote na watu wote\wanawakilishwa hapo. Kisha katika sura ya

Mungu anamimina ghadhabu yake juu ya dunia hii. Kisha sura ya ni sura maalumu

inayozungumzia mambo kadhaa kabla ya baragumu ya kupigwa. Kisha katika sura ya

baragumu ya inapigwa. Yote haya ni kusema hivi: ukiangalia kitabu cha Ufunuo,

sura za kwanza zinafuata mtiririko ambao unaleta maana kamili kabisa. Unaanzia

wakati wa Kristo, mpaka karne ileile aliyokuwepo Kristo. Kisha unaenda kwenye matukio ya

baadaye: dhiki kuu, na kisha unyakuo, na kisha Mungu akimimina ghadhabu yake. Kisha pale

baragumu ya saba ikipigwa katika sura ya , ambapo pana utimiifu, asemapo, "Ufalme wa

dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki

hata milele na milele. Lakini kinachovutia ni kwamba uendapo mwisho wa sura

ya , unakutana na utimilifu huo mwishoni. Sawa, unapoingia sura ya , na hapo

pana badiliko kubwa katika kitabu cha Ufunuo

kwa sababu angalia mstari wa wa sura ya . Unasema:

(Ufunuo :) Na ishara kuu ilionekana mbinguni; mwanamke aliyevikwa

jua, na mwezi ulikuwa chini ya miguu yake, na juu ya kichwa chake taji ya nyota kumi na mbili.

Naye alikuwa ana mimba, akilia, hali ana utungu na kuumwa katika kuzaa.

(Ufunuo:) Ikaonekana ishara nyingine mbinguni; na tazama, joka kubwa jekundu,

alikuwa na vichwa saba na pembe kumi, na juu ya vichwa vyake vilemba saba.

(Ufunuo :) Na mkia wake wakokota theluthi ya nyota za mbinguni, na kuziangusha

katika nchi. Na yule joka akasimama mbele ya yule mwanamke aliye tayari kuzaa,

ili azaapo, amle mtoto wake.

Mch. Anderson: Sasa angalia kwa makini mstari wa .

(Ufunuo :) Naye akazaa mtoto mwanamume, yeye atakayewachunga mataifa yote kwa

fimbo ya chuma. Na mtoto wake akanyakuliwa hata kwa Mungu, na kwa kiti chake cha enzi.

Mch. Anderson: Ni wazi kwamba mtoto huyo ni Yesu Kristo kwa vile katika Agano la Kale

na Agano Jipya, Biblia inamtaja Yesu Kristo akitawala dunia kwa fimbo ya

chuma, na inazungumzia utawala wake ujao wa miaka elfu moja. Hivyo

njia nyepesi kabisa ninayoweza kukusaidia kukielewa kitabu cha Ufunuo ni kukwambia kigawe

mara mbili pale katika sura ya . Sura ya - nusu ya kwanza, na - nusu ya pili. Kisha kama

ukiziweka nusu hizo moja pembeni ya nyingine, utayaona matukio yaleyale kwa mitazamo miwili tofauti:

Mch. Anderson: Kwa nini Mungu afanye hivyo? Kwa nini Mungu asimulie kitu hichohicho mara mbili katika

kitabu cha Ufunuo? Ni kwa nini alituambia Injili mara nne katika Mathayo,

Marko, Luka, na Yohana? Kwa nini alitupa kitabu cha & Samweli na & Wafalme, lakini

pia akatupa & Nyakati kutupa fursa ya mtazamo, mwonekano, mingine na

tujifunze mengi kwa kulinganisha vitabu vyaWafalme na vitabu vya Mambo ya Nyakati,

au kilinganisha Mathayo na Marko, na Marko na Luka, na Luka na Yohana, na hivi vimetupa

mitazamo tofauti. Hivyo kwa njia hiyohiyo tutaweza kukielewa kitabu cha Ufunuo.

Hivyo itakuwezesha kuelewa kitabu cha Ufunuo pale unapoelewa mfululizo wa matukio.

Wapo watu wanaodhani kitabu cha Ufunuo hakina mtiririko wowote, lakini neno

"baada ya haya" au msemo "baada ya mambo haya" unatokea mara katika kitabu cha Ufunuo.

Kama tukiona tena na tena "baada ya haya" na"baada ya mambo haya,"

Mungu anatupa mpangilio wa matukio.

Mch. Jimenez: Inashangaza kujaribu kutafsiri Biblia au kusoma Biblia

ili kukabili upinzani kwamba japo Biblia inasema "baada ya haya," watu wanasema "hayako kwa mpangilio

wa muda. Inashangaza kabisa." Mahali pote kwenye Biblia, hivyo ndivyo unavyosoma maandiko.

Mfano mzuri: katika Yohana:, inasema:

(Yohana :) Bali yeye aitendaye kweli huja kwenye nuru,

ili matendo yake yaonekane wazi ya kuwa yametendwa katika Mungu.

Mch. Jimenez: Kisha katika mstari wa anasema, "Baada ya hayo Yesu na wanafunzi wake

walikwenda mpaka nchi ya Uyahudi;" na itakuwa ni wehu mimi kusimama hapa na kusema,"Hapana,

mstari wa hasa ulitukia kabla ya mstari wa ," wakati mstari wa unasema "baada ya hayo."

Tungeangalia na kusema, Haswa, ndivyo ilivyoandikwa, na hivyo ndivyo

ina maana. Kisha tufikapo katika kitabu cha Ufunuo, na kama nilivyosema, mara unasoma "baada

ya hayo" au "baada ya hili," lakini bado wapo watu wanaosema, "Hamna, hayako kwa mpangilio wa wakati.

Haileti maana." Ni namna ya kijuha kusoma Biblia.

Mch. Anderson: Kwa hiyo, ukishafahamu kwamba ni kwa mpangilio, lakini unaoanza tena

katika sura ya , itakusaidia kuelewa. Nataka kupitia sura kadhaa

hapa kukuonyesha mpangilio wa matukio ya siku za mwisho. Haya yanaweza kutokea miaka toka

sasa. Tunaweza kuwa tushaondoka, lakini nadhani uwezekano mkubwa yatatokea

si mbali sana. Kwa kweli, nadhani nitashangaa iwapo mambo haya hayatoteka walau katika

uhai wangu kama nitajaliwa kuishi miaka ya kawaida. Na sasa nina miaka , na kwa kasi ya

vile mambo yanaenda sasa, nitashangaa iwapo haya hayatatokea ndani ya miaka ijayo.

Nitakapoanza kuufikia ujumbe huu leo, natumai utaelewa zaidi kwa nini

ninasema hayo. Hiki ndicho kinachoanza dhiki. Biblia inasema kwamba Ibilisi,

au Shetani, atatupwa kutoka Mbinguni. Najua utasema, "Ngoja kwanza, Mch. Anderson,

hayo kwani hayajatokea tayari?" Lakini jibu ni hapana. Watu wanadhani kwamba Ibilisi yuko Kuzimu

hivi sasa, lakini kiukweli, Ibilisi hajawahi kuwemo Jehananum kwa vile Biblia inaweka

wazi kabisa kwamba Ibilisi yuko Duniani humu akizungukazunguka kama simba angurumaye akitafuta watu

wa kuwameza. Ibilisi na mapepo yake wapo duniani humu ukisoma Biblia.

Huenda na kurudi baina ya Duniani na Mbinguni, na huzungumza na Mungu. Ukisoma kitabu

cha Ayubu, Ibilisi huja na kusimama mbele za Mungu na kuwa na mazungumzo na Mungu Mbinguni

kuhusu mtumishi wa Mungu Ayubu. Kwa hiyo Ibilisi hivi huenda na kurudi. Hivyo, Biblia inazungumzia

kuhusu siku moja ambayo Shetani atatupwa kutoka Mbinguni:

(Ufunuo :) Kulikuwa na vita mbinguni; Mikaeli na malaika zake wakapigana na

yule joka, yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake;

(Ufunuo :) nao hawakushinda, wala mahali pao hapakuonekana tena mbinguni.

(Ufunuo :) Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi

na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi,

na malaika zake wakatupwa pamoja naye.

(Ufunuo :) Nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema, Sasa kumekuwa wokovu, na

nguvu, na ufalme wa Mungu wetu, na mamlaka ya Kristo wake; kwa maana ametupwa chini mshitaki wa

ndugu zetu, yeye awashitakiye mbele za Mungu wetu, mchana na usiku.

(Ufunuo :) Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno

la ushuhuda wao; ambao hawakupenda maisha yao hata kufa.

(Ufunuo :) Kwa hiyo shangilieni, enyi mbingu, nanyi mkaao humo. Ole wa nchi

na bahari! Kwa maana yule Ibilisi ameshuka kwenu mwenye ghadhabu nyingi,

akijua ya kuwa ana wakati mchache tu.

Mch. Anderson: Tunaona nini hapa? Pana vita Mbinguni, na Biblia inafundisha

kwamba Ibilisi atashindwa vita hiyo. Atapoteza vita hiyo Mbinguni, na kwa sababu atashindwa

vita, yeye na malaika zake, ambao hapa tunaona kwamba ni theluthi ya malaika, wao

watatupwa duniani. Kimsingi, Shetani kutupwa kutoka Mbinguni, naye akijua

kwamba muda wake ni mchache, naye atatoka ili kuwatesa waamini na kuwatesa

watakatifu na kujaribu kuwaangamiza. Angalia sura ya . Hapa ndipo ile vita inaanza.

Katika Ufunuo :, atatoka kufanya vita. Atafanyaje? Ibilisi atafanyaje

vita dhidi ya waamini?

Mch. Anderson: Kitu kingine tutakachokiona kilichotabiriwa kutokea ni kile kiitwacho

dhiki kuu. Dhiki kuu ni kipindi ambacho kutakuwa na mambo mengi yatokeayo

katika dunia hii ambayo ni ya maangamizi. Kutakuwa na njaa. Kutakuwa na tauni.

Kutakuwa na vita - kiwango cha kutisha cha vita. Watu wengi watakufa kwa njaa

na magonjwa. Mambo mengi mabaya yatatokea. Yaani, kati ya

hivi vita na maafa yatakayotokea wakati wa dhiki (siyo ya miujiza

siyo Mungu akinyesha mvua ya moto na kiberiti, lakini majanga ya asili, vita, baa la njaa,

yaliyosababishwa na binadamu) patakuwa na mtu atakayeibuka na kuwa dikteta

wa dunia nzima ajulikanaye kama "mpinga kristo" Haya si hadithi za kutunga. Haya kweli

yatatokea, na hakika, tunaweza kuona tayari dalili kwamba yameanza kutokea.

Biblia inatuambia kwamba siku moja patakuwa na serikali moja ya dunia. kwa sasa tunazo

serikali nyingi tofauti. Tuna Marekani, tuna Urusi ,tuna China, hizo

zote ni nchi huru tofauti (Umeshasikia neno hili "huru" - hayo yote

ni mataifa tofauti. Kwa hiyo, siku moja, Biblia inasema nchi hizo zote zitakuwa

zimeunganishwa na kutengeneza serikali moja ya dunia. Zikishatengeneza hiyo serikali moja ya

dunia, watakabidhi madaraka yote kwa mtu mmoja, atakayekuwa mkuu wa serikali hiyo,

na mtu huyo atajulikana kama "mpingakristo." Nani alishawahi kusikia kuhusu mpingakristo?

Kila mtu ashawahi kusikia jina hilo. "Mpingakristo" ni neno litokanalo na Biblia. Utasikia mara kwa mara

Biblia ikiongelea kuhusu "mnyama" au "mnyama toka baharini," au "mnyama mwenye sura saba

na pembe kumi," au "mtu mwenye dhambi," au "mwana wa uharibifu," lakini pia Biblia inatumia

neno "mpingakristo." Napenda kutumia neno "mpingakristo:" linaeleweka kirahisi

na ni la kibiblia. napenda kukuonyesha wapi Biblia inalitaja jina

"mpingakristo" kwa vile Biblia inatuambia kwamba atakuja mtu nyakati fulani ambaye ataitwa

mpingakristo. Kabla Yesu Kristo hajarudi tena patakuwapo na tapeli, Kristo bandia.

Unanielewa sawasawa? Mpingakristo ni mtu atakajidai kuwa ndiye kurudi mara ya pili kwa

Kristo, wanafundishwa kutarajia

Yesu kurudi wakati wowote, itakuwa sawia kwa sababu, unajua nani atakeyejitokeza-

mpingakristo. Kwa nini Biblia inamuita 'mpingakristo'? Kwa sababu pana mtu anakuja akiitwa 'mpingakristo.'

(siyo wapingakristo) ambaye atasema kwamba yeye ni Yesu Kristo. Pale mpingakristo akiibuka wakati wa dhiki kuu

na kusema, "Mimi ni Yesu Kristo," watamkubali kama vile yeye ni masihi. Watu wengi

watafundisha, "Unajua, Yesu Kristo arudipo mawinguni, Wayahudi hatimaye watabaini kwamba

alikuwa ndiye masihi, na kwamba watampokea. Hapana, watampokea mpingakristo!

Ndicho Biblia inachokisema. Yesu alisema:

(Yohana :) Mimi nimekuja kwa jina la Baba yangu, wala ninyi hamnipokei; mwingine akija

kwa jina lake mwenyewe, mtampokea huyo.

Mch. Anderson:Nadhani mpango wa Shetani kuleta mafundisho ya unyakuo kabla ya dhiki ni kuandaa

mawazo ya kila mtu kwamba "Yesu Kristo atakuja dakika yoyote." Tunamtarajia

Yesu Kristo muda wowote! Anaweza kuja leo! Anakuja leo!" lakini kikweli hasa

mtu anayekuja ni mpingakristo. Na ajapo mpingakristo, atakuwa ndiye

mkuu wa serikali moja ya dunia na dini moja ya dunia ambapo atadai kuwa yeye ndiye masihi.

Inasema katika mstari wa wa Yohana :

( Yohana :) Watoto, ni wakati wa mwisho; na kama vile mlivyosikia kwamba mpinga Kristo

yuaja, hata sasa wapinga Kristo wengi wamekwisha kuwapo. Kwa sababu hiyo twajua ya kuwa ni wakati wa mwisho.

Mch. Anderson: Huo mtajo wa kwanza ni uingi au umoja? Kwa hiyo wameshasikia kwamba mpingakristo

(umoja) atakuja. Hivyo pana mpingakristo fulani ajaye ,au hakuna? Lakini hakuna wapingakristo

wengi hata sasa? Ndivyo mstari huo unavyosema Ni nani hawa wapingakristo?

( Yohana :) Ni nani aliye mwongo ila yeye akanaye ya kuwa Yesu ni Kristo? Huyo ndiye mpinga Kristo,

yeye amkanaye Baba na Mwana.

Mch. Anderson: Ili kuamini kwamba Yesu siye Kristo, inabidi kuamini

kwamba pana Kristo, lakini siyo Yesu. Neno "Kristo" maana yake "Masihi."

Biblia inasema katika Yohana :," Huyo akamwona kwanza Simoni, ndugu yake mwenyewe, akamwambia, Tumemwona Masihi (maana yake,

Kristo). Kwa hiyo Biblia inatafsiri neno "Kristo" kuwa ni "Masihi". Haya mawili ni sawa kabisa.

Acha nikuulize: Unafikiria dini ipi iliyoko ambayo inasema kwamba pana

masihi atakayekuja, lakini masihi huyo si Yesu -Yesu hakuwa huyo masihi. Dini ya Kiyahudi inafundisha

kwamba pana masihi, sawa, lakini hatakuwa Yesu. Bado wanamsubiri

masihi. Wanasema kwamba yesu hakuwa ndiye masihi, na kwamba bado wanamsubiri

masihi. Biblia inasema kwamba watampokea mpingakristo kama masihi wao. Wakristo wa

Kiinjili wanaamini kwamba Yesu anaweza kuja muda wowote, wale wasiookolewa,

wale wasioamini kweli, wengi wao watadanganywa na kudhani,"Huku

ndiko kule kurudi mara ya pili kwa Yesu Kristo!" Waislamu leo hii bado wanamngojea nabii mkuu

na masihi atakayekuja ambaye hakika ni mkuu kuliko Mohamed. Rais Ahmadinejad,

Rais wa Iran - nani ashamsikia? Rais Ahmadinejad alihutubia

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mwaka mmoja au miwili iliyopita,

na alipohutubu, alitoa ufafanuzi mfupi wa Uislamu.

Mahmoud Ahmadinejad: Kimsingi ujumbe mkuu wa manabii ni uleule mmoja. Kila mjumbe

alimthibitisha mjumbe aliyemtangulia na kutanguliza habari njema za nabii atakefuatia

ambaye atatoa habari kamili za dini kwa kadiri ya uwezo wake

kwa wakati huo. Mwelekeo huu umeendelea mpaka kwa mjumbe wa Mungu aliyeeleza kikamilifu

dini ikusanyayo wote. Nimrod alimpinga nabii Ibrahimu Farao alimpinga Musa

na choyo kilimpinga nabii Yesu Kristo na nabii Mohamed

amani iwe kwao manabii wetu wote hao.

Mch. Anderson: Na akasema kwamba Uislamu unaamini kwamba Ibrahimu alikuwa nabii mkuu, Musa

alikuwa nabii mkuu, na kisha alikuwepo Yesu, na tena akawepo Mohamed - na Muislamu huyu

anatikisa kichwa chake kwa hiyo nitakuwa napatia! Na kimsingi alichosema Ahmadinejad

ni kwamba kila mmoja wa watu hao alileta hadharani ukweli mwingi zaidi kuliko aliyemtangulia kwa kuwa

binadamu walikuwa tayari zaidi kupokea. Walileta nuru kubwa zaidi, maelezo na ukweli zaidi. Alisema kwamba

baadaye nabii mwingine ataibuka ambaye atakuwa mkuu zaidi hata kuliko Mohamed na

ataleta kiwangu kikubwa zaidi cha nuru. Hivyo Uislamu unatarajia masihi ajaye.

Wanamtarajia Imamu Mahdi.

Mahmoud Ahmadinejad: Ee Mungu, harakisha kuja kwa Imam al Mahdi na umpe afya njema

na ushindi, na utufanye sote wafuasi wake, na wale watakoshuhudia alivyo mwenye haki.

Mch. Anderson: Wabudha wanasubiria kuja kwa Budha wa Tano. Wote hao

waliko Tibeti wanamfuata Dalai Lama: wanaamini kwamba Dalai Lama huzaliwa upya

ndani ya mtu mwingine - ile roho ya Dalai Lama Wataaminii kwamba mpingakristo

ni mtokeo mpya wa Dalai Lama. Waislamu watamwona kama ndiye Imamu Mahdi.

Wakristo watamwona kama Kristo aliyerudi/N mara ya pili. Wayahudi watamwona ndiye

masihi. Dini zote hizi kuu zijamuunga mkono na watu watasema,

"Furaha iliyoje kwamba hatimaye tunaungana! Tunaweka mbali tofauti zetu, na huyu

mtu ni wa ajabu!" na watamwabudu mtu huyu. Huyu tapeli, huyu mpingakristo,

atakuja. Serikali ya dunia itamweka madarakani na kumpa mamlaka yote,

na watamtangaza kwamba ndiye Mungu. Watamtangaza kwamba ndiye kurudi kwa pili

kwa Kristo. Atauawa. Biblia inasema atapokea jeraha la mauti

kichwani mwake, jeraha lile litapona, na atafufuka. Kisha

atajitokeza kudai yeye ndiye kurudi kwa pili kwa Yesu Kristo. Atatangazwa kuwa

ni Mungu katika mwili, na mataifa yote ya dunia watu wote wa dunia

watamwabudu mtu huyu. Kimsingi kila dini itamkubali kwamba ndiye masihi, lakini

Biblia inasema kwamba wale waliookolewa hawatadanganyika. Waliobaki wote

watamwabudu na kumwamini kwa sababu atafanya miujiza, na Biblia inasema,

atafanya ishara zote hizi, na maajabu na ataleta hii

serikali ya dunia. Wakati mwingine unajaribu kuwaonya watu kuhusu serikali moja ya dunia.

Unajaribu kuwatahadharisha kuhusu mielekeo ambayo tunaiona ikitokea kuelekea jamii isiyotumia

fedha taslimu. Tunawaona Wakristo wengi ambao -unaongea na Wakristo kuhusu serikali moja ya

dunia, au unaongea nao kuhusu jamii isiyotumia fedha taslimu na mambo haya yote

yanayowekwa na serikali katili, na watakupachika jina la "mnadharia za kijuha."

Nina hakika ushaitwa mnadharia za kijuha katika miaka yote hii.

Dk. Kent Hovind: Ndiyo, mara nyingi tu.

Mch. Anderson: Lakini mtu yeyote anayeamini kweli Biblia anaweza kukanusha kwamba

patakuja kuwa na serikali moja ya dunia nyakati fulani?

Dk. Kent Hovind: Sidhani kama unaweza kusoma Biblia bila kuona ukweli kwamba

ni mpango wa siku zote wa Shetani wa kutawala dunia kama karikenye, na anataka serikali

moja ya dunia. Anataka awe ndiye Mungu.

Mch. Anderson: Wakati mtu huyu akitawala dunia nzima, atamuamuru kila mtu

apokee kile kiitwacho "alama ya mnyama." Nani ashasikia kuhusu alama ya mnyama?

Biblia inasema kwamba alamya ya mnyama itakuwa kitu fulani mkono wa kuume au katika

paji la uso, na hakuna mtu atakayeweza kuuza au kununua pasipokuwa na alama hii.

Watu wangapi waliosoma haya karne kadhaa zilizopita na kusema,"Itawezekanaje? Atawezaje

kuwazuia watu kuuza au kununua mpaka wawe na chapa yake?Hauwezi tu kutoa

pesa taslimu?" Angalia teknolojia ilipofikia. Pesa hizi nilizozishika mkononi,

hii fedha ya noti, ni kipande cha karatasi. Hakina thamani yoyote. Hakina thamani yoyote ya kwake yenyewe.

Unapoanza kuona jamii isiyotumia fedha taslimu ikijitokeza

tunazidi kwenda mbali zaidi kuacha kutumia fedha taslimu

Mtu kwenye TV: Patakuwa na muda ambapo fedha taslimu itapitwa na wakati.

Mtangazaji: Kwa hiyo pesa za karatasi ni masalia ya mambo ya kale?

Mtu kwenye TV: % ya miamala yote Marekani au zaidi sasa hufanyika pasipo kuhusisha

fedha taslimu za karatasi au sarafu.

Mama Mtangazaji: Ushawahi kujiuliza iwapo siku moja fedha taslimu zitaacha kuwepo?

Ni ukweli kwamba wengine wanasema tukubali tu kwamba fedha taslimu ni kero tu.

Afisa Mwafrika: Kanuni ni kwamba ni lazima tutoke kwenye uchumi wa fedha taslimu

kuelekea uchumi usiotegemea fedha taslimu. Hii inahusisha mabenki. Inahusisha makampuni ya mawasiliano.

Inahusisha wenye ATM na mashine kutolea risiti. inahusisha kubadilisha utamaduni.

Mtangazaji: Unazipa pesa jina gani siku hizi? Je, ni kiasi fulani cha sarafu na manoti?

Au kadi ndizo zinazotamba? Na aina zetu fulani za hela zinafikia ukomo wa matumizi,

Dk. Kent Hovind: Chukua kwa mfano kila duka mjini kwenu likisema,"Hatukubali tena pesa taslimu,"

na mfano wakisema, "hatukubali pia matumizi ya hundi au kadi za benki kwa vile pana

wizi mwingi -- kadi nyingi zilizoibiwa na hundi nyingi zisizo na hela kweli.

Lazima tukubali. Pesa za noti hazina thamani yoyote ya kweli.

Ni kipande tu cha karatasi. Ingeweza hata kuwa ni pesa za kuchezea mchezo wa Monopoly. Siyo dhahabu. siyo

fedha. Haina thamani yoyote ya ukweli. Kwa hiyo, kwanza walituzoesha kutumia vipande vya

karatasi ambavyo havina thamani yoyote. Leoo hii naweza kubadilishana kipande hicho cha karatasi na huduma na bidhaa

lakini mtu mwingine akisema kesho, "Hiyo hela haina thamani yoyote," basi haitakuwa

na thamani yoyote. Unakumbuka Majimbo ya Kusini mwaMarekani? Unakumbuka vile Wakonfedereti hao

walikuwa na pesa yao? Watu waliweka pesa za Wakonfedereti kwenye magodoro. Unajua nini, hazikuwa

na thamani yoyote tena. Ndiyo, wanaweza kukutendea hivyo na wewe, na kusema,"Pesa zako za noti

hazina maana tena. Kila kitu kitaangaliwa kwenye akaunti yako tu. Vyote vimeunganishwa na Facebook na Youtube

na gmail yako, na ni vema kwa vile hakuna tena ubadhirifu. Huhitaji

kuhofia kuacha waleti yako nyumbani. Huwezi kuhofia kuhusu kadi yako ya benki

itaibiwa. Ni jamii isiyotumia kabisa pesa taslimu. Tunaweza kudhibiti madawa kwa vile

hakutakuwa na miamala ya pesa taslimu. Ni njia pia ya kuzuia uhalifu.

Mama Mtangazaji: Ni kama hadithi za kufikirika kuhusu zinazotaka kuwa kweli katika maduka kwa kisingizio

cha kuongeza ufanisi. Utaweza kununua chochote kuanzia mkate hadi vinywaji kama ukikubali

kulipatia duka kitambulisho chako.

Mtu wa ACLU: Inanitisha kweli.

Mama Mtangazaji: Mara wakishakagua unavyotaka kununua nini kinafuata? Unaweka kidole cha shahada

kwenye kifaa kinachosoma, na hapo utakuwa umelipia ndani ya sekunde tatu kwa kugusa tu

na kidole chako. Inaitwa Baiometria: Njia otomatiki ya kukutambua

kulingana na maumbile yako ya tofauti na wengine kibailojia.

Mtu wa ACLU: Usikubali mambo haya kwa sababu tu ya urahisi.

Mfanyakazi wa zamani wa QT: Unajua, hivi leo alama za vidole, kesho ni kipandikizi.

Labda hiyo ndiyo inaashiria alama ya mnyama.

Mama kwenye TV: Huyu jamaa aliacha kazi yake ya utawala katika Quik Trip pale maduka hayo

yalipomwambia lazima atumie alama za vidole katika kuripoti kazini na kuripoti kuondoka.

Mwajiriwa wa zamani wa QT: Na ingawa hivi sasa ni mpango wa hiari, nani ajuaye kuhusu kesho.

Mama kwenye TV: Wataalamu wanasema kwamba baiometria zinakaribia

kuvamia nyanja zote za kiuchumi na maisha yetu ya kila siku.

Mama kwenye TV: Unaweka kidole chako kwenye kifaa chao, na jina langu linatokea, na anapata taarifa zangu zote.

Mtangazaji: Ni haraka hivyo?

Mama kwenye TV: Ni haraka sana.

Unaipenda? Utaienda.

Mama Mtangazaji: Watu duniani kote tayari wanatumia baiometria. Serikali ya Marekani, mashirika ya ndege,

vituo vya mafuta - hata Walt Disney World wanatumia teknolojia inayoweza kusoma mishipa ya damu

badala ya kuchukua vitambulisho vipya kila siku kwa wanaoitembelea.

Mch. Anderson: Hii serikali moja ya dunia itakuwa na nguvu sana kiasi kwamba itaweza

kuamrisha kwamba hakuna mtu duniani hapa ambaye ataweza kununua na kuuzia bila kuwa na

alama ya mnyama. Najua inasisimua kuona kwamba Biblia inatafsiri wazi kabisa kwamba

alama ya mnyama - hi alama itakuwa lazima kuwekwa kabla ya kuuza au kununua -

itakuwa NDANI ya mkono wa kulia au NDANI ya mapaji ya uso. Hii inaweza kuwa aina flani ya kipandikizi

ambacho ili ununue au kuuza, unahitajika kuskani hiki kipandikizi. Kitu

kitakachokuja kutokea siku moja ni kwamba watasema, "Hizi pesa za noti - noti ya dola mia

mfukoni mwako - haina thamani tena. Lazima uskani kulipia. Kila kitu ni kielektroniki. Ukienda

dukani, na kukusanya unavyotaka kununua, kisha *Mlio wa tindo*. Kama huna

mkono, hakuna shida, tunaweza kukiweka kipandikizi kichwani pako kwa vile kila mtu ana kichwa!

Utatoa pia *mlio wa tindo* wakati wa kulipia. Kila pesa itakuwapo kieletroniki, na

tayari mwelekeo ni huo. Simu za mkononi tayari zimeanza kuwa na skana. Tuseme,

pana mauzo ya bidhaa na huduma baina ya watu wawili. Sawa, itakuwa dola ..

Nionyeshe tu mkono wako wa kulia, nami nitauskani kwa simu yangu ya kisasa. *Biiip*

Sawa, sasa nimechukua fedha toka kwenye akaunti yake. Na, hivi punde tu umemfundisha mwanangu kupiga kinanda.

Acha nikulipe. *biiip* Hebu itafakari sana: Simu ya kisasa inaweza kutumika kuskani alama ya

mnyama, na huwezi kununua au kuuza bila hiyo.

Mama Mtangazaji: Katika habari za afya leo hii, kipandikizi chenye ukubwa wa mchele kinaweza kuokoa maisha yako.

Mtangazaji: Mwaka ni . Umekimbizwa hospitali haujitambui bila kitambulisho wala vyeti

vya hospitali, lakini shauri ya kipandikizi chini ya ngozi yako, taarifa zote ziko humo. Hadithi za kufikirika miaka

iliyopita, lakini baiometria ni hali halisi leo hii.

Profesa: Nadhani inawezekana kabisa kuacha kutumia waleti na funguo kwa

kuhamia kwenye teknolojia ya baiometria kama ndicho watu wanakitaka ndani ya miaka ijayo.

Mtangazaji: Changamoto ni kulinda taarifa zetu binafsi katika ulimwengu huu mpya.

Mtangazaji: Teknolojia mpya ya vipandikizi sasa inawezesha wafanyakazi wa vitengo vya dharura hospitalini

kubaini historia yako ya matibabu kwa kubofya tu kwenye kompyuta.

Daktari wa Harvard: Matabibu wengi wa dharura wanalazimika kufanya upasuaji bila kufahamu mengi. Tunalazimika

kuchukua maamuzi ya kidaktari bila kujua dawa zipi ulizotumia au una mizio ipi.

Mtangazaji: Dokta wa Havard anasema kwamba hiki kifaa cha Radio Frequency Identification Chip kitatatua

tatizo hilo. Alikipandikiza katika mkono wake wa kuume. Skana inaweza kusoma utambulisho

wake. Tarakimu hizo hatimaye huingizwa kwenye wavuti salama ambako taarifa zake za matibabu

hutunzwa. Mfanyakazi wa hospitali anasema kwamba kipandiki kinaweza kuwasaidia watu wa kitengo cha matibabu ya dharura.

Mfanyakazi wa Dharura: Moja ya mambo makubwa unayoweza kukutana nayo kwa majeruhi wanapowasili

na wasiweze kukupa taarifa yao yoyote na au historia yao ya matibabu.

Mtangazaji: Dokta wa Havard anasema kwamba manufaa ni wazi.

Dokta wa Havard: Mimi ni mpanda majabali, na naamini kwamba nikidondoka, na

ukanikuta sina fahamu, faida ya kuweza kuniskani na kubaini mimi ni nani inapiku

msimamo wangu kuhusu haki ya taarifa zangu binafsi.

Mtangazaji: Kipandikizi hufichwa ndani ya kioo kisichovunjika na kina ukubwa karibu sawa na punje ya

mchele. Upandikizaji hufanywa chini ya nusu-kaputi na kwa ujumla hauna maumivu.

Dokta wa Havard: Ni kama kuweka korochea chini ya ngozi yako.

Mtangazaji: Lakini kwa hili, anasema kwamba kuweka kitu chini ya ngozi yako ni vema

Mtangazaji Mwanaume: Huanza kama hivi: huyu ni paka, miaka mitano baadaye, tunagundua kumbe

amerudi. Mwingine atasema, Unajua kama inafaa kwa paka, ninao

baba na mama nyumbani na baba huwa anapotea mara nyingine na pengine tunaweza kumpandikizia

kipandikizi chenye rekodi zake za matibabu kwa tahadhari lolote likitokea. Inaonekana ni nzuri. Na kisha mwingine

atasema, Kama inafaa kwa paka wangu, inafaa pia kwa bibi na babu,

na mtoto wangu mchanga je? Hakuna haja tena ya taarifa za kupotea mtoto. Hakuna kuhofia

mtoto ataibiwa. Na kisha tutasema, unaona? pengine SISI sote tuwe nazo.

Na kwenye hicho kipandikizi, tutaweka taarifa ya kila kitu. Kadi za benki, leseni ya udereva. Fikiria

Tiketi za usafiri. Hakuna haja ya waleti. Fikiri, huhitaji kubeba funguo tena. Kwa hiyo

swli kila mmoja anayesikiliza atauliza: hilo ni jambo jema?

Kwa sababu huko ndiko tunakoelekea.

Mama Mtangazaji: Ninaisikia kama hadithi vile, lazima niseme.

Mtangazaji Mwanaume: Ishafika! Iko hapa

Mama Mtangazaji: Najua iko hapa inatumika kwa mifugo na kidogo kwa binadamu

Mtangazaji Mwanaume: Lakini mtoto wako...

Mama Mtangazaji: Mtoto wako. Sikiliza

Mch. Anderson: Watu zamani walibaki kushangaa haya yatawezekanaje?

Unawezaje kumzuia mtu asiuze au kununua kama hana alama? Lakini tunaona

sasa teknolojia inakuja kasi ambayo itawezesha kirahisi kabisa kumzuia mtu asinunue

wala kuuza bila kuwa na hii alama. Na unajua? Watu wengi wana chakula cha kutosha siku

saba tu ndani ya nyumba au chakula cha siku kumi ndani ya nyumba, kwa hiyo kama huwezi kuuza au kununua

utaumia. Na kimsingi Biblia inasema kwamba patakuwa pia

na sheria itakayosema usipomuabudu mpingakristo utauawa. Huyu mtu

ni mkuu, anafanya mambo makuu. Anawaleta watu pamoja. Lakini kwa sharti

moja tu: Kubali au uuawe. Na unaposikia kuhusu hayo, na unapoyatazama

pengine utasema, Mh, ikiwa hivyo, nadhani wote tutauawa wale

tunaoamini, wale wamwaninio Kristo. Nadhani wote tutachinjwa. Na

Biblia inazungumzia kuhusu sisi kuchinjwa. Wote tutachinjwa. Lakini hili

ni la kuzingatia. Kama hili likiachiwa kuendelea, unasema kweli, waamini wote watauawa. Kwa sababu

hebu fikiria, angalia teknolojia, angalia kamera za CCTV zinazowekwa

kila mahali, angalia satelaiti. Sasa hivi polisi wanatumia vindege vidogo vyenye kamera kuruka

mitaani na kukupeleleza. Ushaziona? Vindege vya upelelezi. Sasa hivi wanaweka vinasasauti

kwenye mitaani ili waweze kusikiliza unasema nini Na ni kama vile

kile kitabu cha hadithi za mambo yaliyoharibika cha . Ndiko nchi yetu inaokelekea, mahali pa

upelelezi kila mahali kwenye jamii. Zamani ilitumika kama unataka kupanda ndege. Sasa hivi lazima

udhalilishwe na wafanyakazi wa Uwanja wa ndege. Lazima upitie kwenye skana inakuona mtupu kama ulivyo. Sasa

lazima uskaniwe. Lazime wakupapasepapase. Lazima uwe na kitambulisho

muda wote na polisi kila mara wanauliza, Wapi kitambulisho chako? Wapi makaratasi yako? Makaratasi

yako hayajatimia! Na hivo ndivyo nchi yetu ilivyo sasa. Na hivi

itaendelea mpaka kufikia mahali ambapo huwezi kukwepa kirahisi gereza hili

dunia. Lakini acha niseme hivi: Hatutauawa wote. Wengi watauwa, usinielewe

vibaya. Wakristo wengi watachinjwa na kuuawa kwa ajili ya Kristo. Lakini nitasema

hivi: Hatutauawa wote kwa vile hiyo itafupisha kipindi hicho. Na Biblia inasema:

(Mathayo :) Na kama siku hizo zisingalifupizwa, asingeokoka mtu ye yote;

lakini kwa ajili ya wateule zitafupizwa siku hizo.

Mch. Anderson: Na Biblia inasema kwamba yote haya yakiendelea, Yesu Kristo atarudi.

Kumbuka awali tuliongelea kuhusu kurudi kwa Kristo. Atarudi. Wakati pale

wanapodhani wameushinda Ukristo, wameshapata serikali yao ya dunia,

wameshapata serikali yao moja ya dunia na Shetani akiwa ndiye mkuu, Yesu Kristo atakuja mawinguni

na hapo ndipo unyakuo utakapotokeaNna hapo ndipo atakapoanza kumimina

ghadhabu yake kwenye dunia hii. Na unaweza kuyasoma haya kwenye Ufunuo. Atabadili

maji kuwa damu. Ataunguza miti na nyasi. Atawatuma

nzige toka kuzimu ambao watauma watu kwa mikia yao iliyo kama nge.

Kama hujakisoma kitabu cha Ufunuo, Nakushauri sana ukisome. Na usisome

tafsiri mpya (NIV). Soma tafsiri ya awali, ya King James. Sawa? Na ukitumia muda kusoma,

kwa nini usisome kitu chenyewe kweli? Usikubali kusoma maigizo. Angalia Sura ya Mstari wa :

(Ufunuo :) Kisha nikaona mnyama akitoka katika

bahari, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu

ya vichwa vyake majina ya makufuru.

(Ufunuo :) Na yule mnyama [mpingakristo] niliyemwona alikuwa mfano wa chui, na

miguu yake ilikuwa kama miguu ya dubu, na kinywa chake kama kinywa cha simba, yule joka[Shetani]

akampa nguvu zake na kiti chake cha enzi na uwezo mwingi.

Mch. Anderson: Kwa hiyo huyu mnyama anayetajwa,NBiblia inasema joka ndilo lililompa

nguvu zake na kiti chake na kumpa mamlaka. angalia mstari wa :

(Ufunuo :) Nikaona kimoja cha vichwa vyake kana kwamba kimetiwa jeraha la mauti, na pigo lake

la mauti likapona. Dunia yote ikamstaajabia mnyama yule. Wakamsujudu yule joka

kwa sababu alimpa huyo mnyama uwezo wake; nao wakamsujudu yule mnyama, wakisema, Ni nani afananaye

na mnyama huyu? Tena ni nani awezaye kufanya vita naye? Naye akapewa kinywa

cha kunena maneno makuu, ya makufuru. Akapewa uwezo wa kufanya kazi yake miezi arobaini na miwili.

Mch. Anderson: Unaona miezi inarandana na wakati na nyakati na nusu ya

wakati na siku elfu moja mia mbili na sitini? Waona mambo haya yote yanavyojipanga? Anasema katika mstari wa :

(Ufunuo :) Akafunua kinywa chake amtukane Mungu, na kulitukana jina

lake, na maskani yake, nao wakaao mbinguni.

Mch. Anderson: Angalia haya. Mstari wa saba. Ni muhimu sana:

(Ufunuo :) Tena akapewa kufanya vita na watakatifu na kuwashinda,

akapewa uwezo juu ya kila kabila na jamaa na lugha na taifa.

Mch. Anderson: Sivyo tulivyoona katika sura ya mstari wa kwamba lengo la joka lilikuwa ni

kufanya vita na wale wamwaminio Kristo wazishikao amri za Mungu? Hapa

anasema alipewa ili afanye vita na watakatifu sikiliza, na kuwashinda.

Nani atakayeshinda vita kati ya watakatifu na ibilisi katika dunia hii?

Ibilisi. Anasema atafanya vita na watakatifu na kuwashinda. Kwa mujibu wa

Ufunuo , lengo la mpingakristo ni kufanya vita na watakatifu. Kwa hiyo hataki

Wakristo wachukue alama ya mnyama ili waepuke dhiki. Anataka kila Mkristo

afe. Utasema, Mhh, hayo yanasikitisha sana. Ndiyo hivyo, we soma tu mpaka mwisho wa kitabu na

utaona nani hasa anayeshinda mwishoni. Hili ni kushindwa kwa mpito tu katika sura ya . Lakini

anasema katika mstari wa :

(Ufunuo : - ) Tena akapewa kufanya vita na watakatifu na kuwashinda,

akapewa uwezo juu ya kila kabila na jamaa na lugha na taifa. Na watu wote wakaao

juu ya nchi watamsujudu, kila ambaye jina lake halikuandikwa katika kitabu cha

uzima cha Mwana-Kondoo, aliyechinjwa tangu kuwekwa misingi ya dunia.

Mch. Anderson: Kwa hiyo huyu mtu anayeitwa mnyama , huyu mtu ana mamlaka dhidi ya wote

kila kabila na jamaa na lugha na taifa, lengo lake ni ni kufanya vita na watakatifu na Biblia

inasema kila mtu katika dunia atamwabudu yeye. Ngoja hapo, Hapana, haisemi. Inasema

Na watu wote wakaao juu ya nchi watamsujudu, kila ambaye jina lake halikuandikwa katika kitabu cha uzima

cha Mwana-Kondoo, aliyechinjwa tangu kuwekwa misingi ya dunia. Hebu nikuulize. Wale ambao

majina yao YAMEANDIKWA katika kitabu cha uzima nao wanamwabudu? Hapana. Biblia inasema kwamba

atakuwa anaaminika sana na mlaghai sana yamkini awadanganye wateule. Lakini Mungu

hataruhusu wale waliookolewa kudanganywa na mtu huyu. Kwa hiyo kila mtu ambaye

ameokoka kweli, hata wale waliokumbwa na mafundisho ya unyakuo kabla ya dhiki,

watakapoona yanayotokea, au tutumai wakiangalia kipindi hiki, watabaini kwamba, Ngoja kwanza.

Haya yanatokea. Huyu ndiye mpingakristo. Sikubali. Siwezi kumwabudu

mtu huyu. Huyu siye Kristo wa kweli. Kwa hiyo yeyote akataaye kumwabudu atauawa.

Na yoyote asiyemwabudu hawezi kununua wala kuuza. Huwezi tu kwenda

dukani na kupata alama ya mnyama. Itakuwa siyo kitu ambacho unaweza

kwenda posta. Nimekuja, naweza kupata kipandikizi ili niweze kuuza na kununua? Hapana,

Biblia iko wazi. Lazima umwabudu mpingakristo ili uweze kupokea kipandikizi. Hata miongo

kadhaa iliyopita tayari palikuwa na mashine za kubaini waongo. Sasa wanatengeneza teknolojia za kuskani ubongo.

Nadhani ili uweze kupata alama ya mnyama, itakubidi

umwabudu mpingakristo na kula kiapo chake

na watajua iwapo unasema ukweli.

Mtangazaji: Hadithi za kufikirika hizi. Kesho ishatufikia.

Mch. Anderson: Si hivyo tu, lakini ukiangalia sana, usafiri hivi sasa

unadhibitiwa mno. Kuna vituo vya ukaguzi njia kuu ukiamua kuendesha gari, na ukiamua

kupanda ndege, wafanyakazi wa uwanja wa ndege watakupitisha kwenye mashine za ukaguzi na

inaonekana vidhibiti vinawekwa kila mahali mradi usiweze

kufanya lolote kwenye jamii isipokuwa umemsujudia yule mnyama

na kupokea chapa yake.

Kent Hovind: Sawa kabisa. Tunaelekea kufanyika maadui. Yesu alisema wazi kabisa

wafuasi wake watachukiwa kwa ajili ya jina lake. Yeyote asiyeshirikiana na

na hii serikali mpya ambayo wanaipanga ataonekana ni adui.

Kwa mfano, katika shule, unapoenda kumpeleka mtoto wako na kumwandikisha shule

wanasema huwezi kumleta asipokuwa amechanjwa kinga ya magonjwa. Sasa, itakuwaje ikiwa

mwili wako haupatani na chanjo na kusema, nadhani hizi chanjo zinaweza kusababisha magonjwa ya akili.

Labda inasababisha pia madhara mengine mengi. Sijui, lakini sitaki kujaribisha. Na

sioni andiko lolote linalofanania na chanjo ambapo unaweka sumu mwilini mwako ili

kuzuia sumu nyingine zaidi.

Mch. Anderson: Sawa kabisa.

Kent Hovind: Ukweli ni kwamba, mashule yanasema Huwezi kuandikishwa mpaka umechanjwa

kwa hiyo sasa chagua. Ushikilie imani zako au usujudu na kumpa

chanjo mtoto wako ili asome? Ndivyo itakavyokuwa pia kwa alama ya mnyama.

Ilikuwa hivyohivyo miaka iliyopita kwa namba ya Hifadhi ya Jamii. Watu waliikataa

hiyo namba. Aah, Mimi ni jina langu. Na kisha polepole wakafikia mahali ambapo sasa

kila mtu ana namba hiyo na wala hafikirii mara mbili. Hiyo ni hatua ya kwanza, pili au tatu

ya kuelekea lengo la mwisho la kuwa na serikali moja ya dunia?

Mch. Anderson: Shetani anafukuzwa mbinguni. anajua kwamba ana muda mchache. Anafanya

via na waamini na watakatifu. Na anafanyaje? Anamuweka

mtu madarakani, sivyo? Joka anampa nguvu. anampa mtu madaraka

dhidi ya dunia nzima, juu ya kila taifa, jamaa na lugha. Na mtu huyu atatekeleza vita

ya ibilisi dhidi ya watakatifu. Biblia inasema katika mstari wa :

(Ufunuo :-) Kisha nikaona mnyama mwingine, akipanda juu kutoka katika nchi; naye alikuwa

na pembe mbili mfano wa Mwana-Kondoo, akanena kama joka. Naye atumia uwezo wote wa mnyama

yule wa kwanza mbele yake. Naye aifanya dunia na wote wakaao ndani yake wamsujudie mnyama

wa kwanza, ambaye jeraha lake la mauti lilipona.

Mch. Anderson: Kwa hiyo huyu mtu anaamrisha aabudiwe. Inasema katika mstari wa :

(Ufunuo :-) Naye afanya ishara kubwa, hata kufanya moto kushuka

kutoka mbinguni uje juu ya nchi mbele ya wanadamu. Naye awakosesha wale wakaao juu ya nchi,

kwa ishara zile alizopewa kuzifanya mbele ya huyo mnyama, akiwaambia

wakaao juu ya nchi kumfanyia sanamu yule mnyama, aliyekuwa

na jeraha la upanga naye akaishi.

(Ufunuo :) Akapewa kutia pumzi katika ile sanamu ya mnyama, hata ile

sanamu ya mnyama inene, na kuwafanya hao wote wasioisujudu

sanamu ya mnyama wauawe.

Mch. Anderson: Utasema, Ni nini hiyo sanamu ya mnyama iliyopewa

uhai? Kadiri tunavyozidi kukaribia nadhani tunaweza kuelewa kiaina

teknolojia, kwa hiyo sidhani kama tunaweza kuelewa wazi kabisa ni aina ipi ya sanamu

itakuwa. Lakini itakuwa ni aina ya sanamu ya mnyama ambayo inaweza kuongea na kufanya

wengi wasioisujudu wauawe. Hii inanikumbusha Danieli, sura

ya . Wamkumbuka Nebukadreza aliyekuwa mfalme wa dunia nzima wakati ule? Wakumbuka

jinsi alivyotengeneza sanamu kubwa na wakalazimishwa kuiabudu? Nini kilitokea

pale wakikataa kuiabudu? Waliuawa, sivyo? Haifanani na

tunayoyaona hapa? Hiyo ndiyo picha ya mpingakristo. Angalia mstari wa . Muhimu sana:

(Ufunuo :-) Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru

kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao; tena kwamba mtu awaye yote

asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya

jina lake. Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo;

maana ni hesabu ya kibinadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita.

Mch. Anderson: Hii ni moja ya zana ambayo Shetani ataitumia kutesa waaminio.

Kwa hiyo alama ya mnyama ni zana ambayo itatumiwa kuwapiga vita watakatifu, kwa sababu

ya ukweli kwamba usipoweza kuuza au kununua, itakuwa vigumu sana kuishi katika

dunia hii ya leo, sivyo? Au katika dunia yoyote. Siyo tu wanaweka sheria kwamba ikiwa

haumwabudu mpingakristo utauawa. Na mateso yako pia.

Ndiyo vita dhidi ya watakatifu. Na pia inafanya iwe haiwezekani kwa watakatifu kununua

au kuuza kwa kuwa hawana alama ya mnyama, na alama ya mnyama ndiyo

kitu pekee kitakachotolewa kwa wale wamwabuduo mnyama. Na wale waliookolewa, wale

watakatifu, hawatamwabudu mnyama. Biblia iko wazi kwenye hilo katika Mathayo

na kwingineko. Kwa hiyo hawataweza kuuza wala kununua na watakuwa na

hukumu ya kifo juu yao. Hebu jifikirie uko kwenye dunia na sikusema

nchi, sikusema taifa, nimesema DUNIA ambako huwezi kununua

wala kuuza na ambako pana hati ya wewe uuawe. Unaweza kuona

itakavyokuwa vigumu kuishi katika dunia ya namna hiyo? Siyo tu hivyo, unaonaje kuhusu

kamera zote za upelelezi ambazo ziko? Au zile kamera zinazoweza kusoma namba za magari?

Au zile kamera za ukaguzi wa mwili? Au kuonyesha vitambulisho katika vituo vya ukaguzi? Kuonyesha

kitambulisho kabla ya kupanda treni? Kuonyesha kitambulisho kupanda ndege? Wajua hayo?

Muda si mrefu utalazimika kuonyesha kitu kingine. Sawa, tuonyeshe

mkono wako wa kuume. Hapo sawa, unaweza kwenda. siku njema. Haya si ya kufikirika tu. Labda

watu watakapokuwa wakiyasoma haya miaka mia chache iliyopita hawakuweza kuona kama vile

sisi tunavyoona. Tunapoangalia, tunayaona yana kauzito jamani, sivyo?

Ndiyo maana nadhani tuko karibu. Wakristo wa leo hawako tayari kwa haya

hata kidogo. Hawako tayari kabisa. Unajua unatakiwa ufanye nini? Unatakiwa kujiandaa

mwenyewe kiroho na kuwa tayari, usije ukashangaa Nini kinatokea?

Uwe tayari. Unahitaji kujiandaa. Ndiyo maana Mungu anatuonya na kuuonya na

kutuonya na kutuonya. Ndiyo maana hata Paulo aliwaonya watu wa siku zake. Ni wazi

hawakuwa wakiishi katika siku za dhiki kuu, lakini walikuwa wakipitia katika

dhiki kama kila mwamini anavyopitia. Alisema, Tuliwaonya. Amin, wakati

tulipokuwa nanyi, tuliwaambia kwamba tutapitia dhiki kama ilivyokuja kutukia,

kama mjuavyo. Na hivyo tunahitaji nasi kujihadhariNna kuelewa kwamba haya yanakuja ili kwamba

tuweze kuyamudu.

Ronald Rasmussen: Wakristo wa leo hawaonywi kuhusu matukio haya watakayoyakabili

katika dhiki kuu. Badala yake, wachungaji katika Marekani yote wanafundisha washirika wao kwamba

unyakuo utatokea kabla ya mpingakristo hajaanza vita yake dhidi ya watakatifu na kwamba

unyakuo ndio utakuwa tukio la kwanza kabisa la mfululizo wa matukio yaliyotabiriwa ya Mungu. Mafundisho haya

yajulikanayo kama ukaribu, hufundisha kwamba Kristo anaweza kurudi mawinguni muda wowote na kwamba

hakutakuwa na dalili ya kurudi kwake. Hata hivyo, Biblia inafundisha kwamba kurudi kwa Kristo

hakutokei muda wowote na kwamba pana matukio ambayo lazima yatokee kwanza.

Mch. Anderson: Inawezekana ushasikia kuhusu mafundisho haya yasemayo Yesu anaweza kurudi leo.

Nani ashayasikia? Huitwa Kristo kurudi muda wowote. Wanaamini kwamba

Yesu atarudi muda wowote. Nimewauliza watu mara nyingi waniambiapo

Yesu anaweza kurudi muda wowote, Wapi Biblia inaposema hivyo? Na kile ambacho

hunijibu ni, Biblia inasema hakuna mtu ajuaye siku wala saa

atakayorudi. Na mara nyingi hawawezi kukuonyesha na inabidi uwasaidie

kuupata huo mstari. Na husema, Sawa, sinao huo mstari mbele yangu. Sijui unasema nini hasa

wala sura yake. Lakini najua ya kwamba Yesu alisema kwamba hakuna mtu aijuaye siku wala saa. Nami husema,

Acha nikusaidie. Alisema hayo katika Mathayo :. Acha nikusomee yale Biblia

inasema, kwa vile nataka kukuonyesha ni namna gani mafundisho haya ya Wakristo wengi hayatokani na Biblia.

Ukienda kwenye duka lolote la vitabu vya Kikristo, utakuta kila aina ya vitabu

na video na ushaisikia hii filamu Left Behind? Hadithi tupu.

Haihusiani kabisa na Biblia. Nje kabisa ya Biblia. Na Biblia inasema katika Mathayo ::

(Mathayo :) Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye,

hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake.

Mch. Anderson: Kwa hiyo watu huchukua mstari huo na kusema, Unaona? hakuna mtu

aijuaye siku wala saa. Hiyo ina maana inaweza kutokea muda wowote. Lakini angalia

alisema, Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye. Kwa hiyo swali la kujiuliza ni,

Siku ipi? Ni siku ambayo alimaliza punde kuizungumzia Iko hivi.

Ukirudi nyuma mpaka mstari wa , anasema siku hiyo ni baada ya dhiki kuu. Anasema katika mstari wa :

baada ya dhiki ya siku zile,

Mch. Anderson: Anaelezea matukio yatakayokuja kutokea. Kisha anasema:

(Mathayo :) Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni,

Mch. Anderson: Kwa hiyo hatujui siku waa saa lakini jambo moja tulijualo ni kwamba

itakuwa baada ya dhiki kuu. Wale watu waaminio unyakuo kabla ya dhiki ndio huchezesha

mawazo yao sarakasi ukiwaonyesha mstari, Unauona, unasema wazi hapa BAADA YA

DHIKI. Hiki ndicho watajibu, Hiyo siyo kuhusu unyakuo.

Huo siyo unyakuo. Ukiwauliza, Mnajuaje? Ni kwa kuwa ni baada ya

dhiki. Na tunajua unyakuo ni kabla ya dhiki.

Lakini ukiwauliza, Sawa, ni wapi Biblia inasema unyakuo unaweza

kutokea muda wowote? Ni hapahapa, inasema hakuna mtu ajuaye siku wala saa.

Lakini umesema sasa hivi tu hii haikuwa inazungumzia unyakuo. Hivo inaposema kuhusu dhiki,

Mathayo haizungumzii unyakuo. Lakini inaposema hakuna mtu ajuaye siku wala

saa, ghafla Mathayo inazungumzia tena kuhusu unakuo. Na inaposema watu wawili

watakuwa kondeni, mmoja atwaliwa na mwingine aachwa, hapo tena inazungumzia unyakuo. We

funga domo lako fanya uambiwayo. Funga domo lako na uamini unyakuo kabla ya dhiki kwa vile

nshasema hivyo. Utasema, elezea pande zote. Tenda haki kwa pande zote. Sawa, huu hapa

upande mwingine. Funga domo lako na uamini yale niliyokuambia na acha kuuliza maswali.

Funga mdomo wako na uamini kwa vile nimeshasema hivyo. Huo ndio upande wa unyakuo kabla ya dhiki.

Ni kweli hawana kitu. Nimeenda andiko kwa andiko baada ya andiko, na wao wametengeza

mafundisho mazima kutoka pasipo kitu. Angalau mafundisho mengine ya uongo huegemea mistari fulani ya Biblia ambayo

imetoholewa na watu hutumia mistari ya Biblia na kuinukuu vibaya.

Unyakuo kabla ya dhiki haunukuu vibaya andiko lolote. Hauna hata

andiko moja. Hakuna andiko lolote lisemalo chochote kuhusu unyakuo kutokea

kabla ya dhiki. Ni mafundisho yasiyotokana kabisa na maandiko

yoyote. Yanatokana na mapokeo. Yanatokana na kitabu au jedwali ambalo mtu fulani alisoma.

Haitokani na Biblia. Haikutoka kwenye Biblia. haina

asili yake kwenye Biblia. Kila ninapoyaeleza haya kwa washirika,

hawana tatizo kulielewa hili fundisho. Ni wahubiri ndio walio

shikilia fundisho hili, na nitakuambia kwa nini. unyakuo kabla ya dhiki ni fundisho mashuhuri.

Ukitaka umashuhuri, lazima ufundishe unyakuo kabla ya dhiki. Ukianza

kufundisha unyakuo unakuja baada ya dhiki, utatengwa,

utasemwa vibaya, na utakataliwa kwenye huduma, kwa vile

hawataki kubadili mafundisho haya. Kwa sababu wapo watu huko ambao

wana ajenda ya kuhakikisha hakuna mtu anayesikia ukweli kuhusu mafundisho haya. Ndivyo. Na

vile wanavyoendelea kubakiza mafundisho haya gizani ni kupitia hofu na vitisho. Naongea

na wachungaji muda wote. Nawaonyesha ukweli wa haya. Wanakubaliana nami. Lakini

hawawezi kwenda madhabahuni na kuhubiri mafundisho haya, kwa vile wanaogopa wachungaji

wenzao wote watawachukia. Hawatapata mialiko ya kuhubiri.

Hawataenda kuhubiri katika makanisa yao kwa vile inabidi

uamini unyakuo kabla ya dhiki ile uwe kwenye klabu. Na kama hauamini hayo, hauwi. Mara

nyingi hawakubali mafundisho haya kwa vile wanaona aibu kugeuka sababu wamekuwa

wakifundisha visivyo miaka yote hii. Na hawataki kukiri hayo. Hawataki

kukiri kwamba vyuo vya Biblia viliwafundisha visivyo. Hawataki kukubali kwamba wao

walifanya makosa. Kila mtu hufanya makosa. Wote tunakua. Tunajifunza vitu vipya. Kama

umekosea kitu fulani, unarekebishwa. Biblia inasema katika Wagalatia ::

(Wagalatia :) Maana, sasa je! Ni wanadamu ninaowashawishi, au Mungu? Au nataka kuwapendeza wanadamu? Kama

ningekuwa hata sasa nawapendeza wanadamu, singekuwa mtumwa wa Kristo.

Mch. Anderson: Wahubiri hawa inabidi wachague kama kupendeza watu ni bora zaidi, kwa

kuhubiri watu wanachokipenda, kuhubiri unyakuo kabla ya dhiki kwa vile ndivyo kila mtu

anataka kukisikia, sababu wamependa ile filamu na wana michezo ya video na ya mezani

na DVD, au wachague kusema kile hasa Biblia inachokisema na kusimama na kuhubiri kwamba

unyakuo unakuja baada ya dhiki. Ni mfano mzuri wa watu kuchukua kile watu

wanasema na siyo Mungu anachosema. Ni mfano halisi wa mfano wa kutofanya Biblia ndio

mamlaka ya mwisho na kwenda na mapokeo, kwenda na uliyofundishwa, kwenda na

wasemacho watu, kufuata mkumbo, badala ya kwenda na kile Biblia inakisema.

Mch. Jimenez: Nilikuwa naamini unyakuo kabla ya dhiki. Ndicho nilichofundishwa tangu

nikiwa mtoto na kwa kweli huwezi kuhoji yale uambiwayo, lakini nilipouona

ukweli na kuanza kuona maandiko yenyewe na mafundisho hasa Biblia yenyewe inayotoa

binafsi niliamua kuchagua ama niendelee kufuata mkumbo au

Nitaendelea kufuata ya watu, au kama nitasimamia kile nikiaminicho

na kusimamia kile nikijuacho kuwa ni kweli. Katika maisha yangu nimeshambuliwa na

watu wakinisema vibaya kwa sababu tu ya msimamo wangu kuhusu unyakuo wa kabla ya dhiki,

lakini natumai kwamba labda wewe unayenisikiliza au unayeniangalia au unaanza

kuuona ukweli wa haya, kwamba utasimamia imani na

kushikilia msimamo na pengine kutusaidia kuweza kubadili watu wawe kinyume na mafundisho hayo

yasiyotokana na maandiko ya unyakuo kabla ya dhiki kuu.

Kent Hovind: Mstari mwingine muhimu ulionipata ni ule wa Thesalonike :-

( Wathesalonike :-) Basi, ndugu, tunakusihini, kwa habari ya kuja kwake Bwana wetu Yesu

Kristo [anarejea ukweli kwamba Bwana Yesu Kristo yuaja], na

kukusanyika kwetu mbele zake, [likimaanisha unyakuo],kwamba msifadhaishwe upesi

hata kuiacha nia yenu, wala msisitushwe, kwa roho, wala kwa neno, wala kwa waraka unaodhaniwa kuwa ni wetu, kana kwamba

siku ya Bwana [akimaanisha unyakuo] imekwisha kuwapo.

Mch. Jimenez: Anasema, Angalia, haujakuwapo. Siyo tukio lijalo ambalo

litatokea. Anasema, mtu asiwadanganye kwa namna yoyote kwamba ile siku (anazungumzia

siku ambayo tutakusanywa pamoja) haitakuja isipokuwa mpaka uje ukengeufu

kwanza, akafunuliwa yule mtu wa kuasi, mwana wa uharibifu. Hapo imethibitishwa

kwenye maandiko kwamba siku ya kukusanywa kwetu pamoja na Bwana Yesu Kristo

haiji mpaka ukengeufu na mtu wa kuasi vifunuliwe. Kitu pekee

ambacho kinaweza kutokea muda wowote ni ukweli kwamba mpingakristo yuaja.

Mch. Anderson: Kwa hiyo Biblia inasema bila kupindisha kwamba siku ya kuja Kristo haitokei muda wowote tu.

Anasema, kama kuna mtu akikwambia siku ya Bwana i karibu, mtu huyo

anakudanganya. Mtu huyo ni mwongo. Anasema usidanganyike kwa neno au kwa

roho au hata kwa waraka unaoonekana kutoka kwetu, waraka unaosemekana umetoka kwetu tukisema

siku ya Kristo i karibu. Usiache mtu yoyote kukudanganya kwa namna yoyote. Hiyo siku haiji isipokuwa

X, Y, na Z zitokee kwanza. Unyakuo hauwezekani kabisa kutokea muda wowote. Dhiki

lazima itokee kwanza. Mpingakristo lazima awe madarakani kwanza. Jua na mwezi

vitiwe giza kabla ya siku ile kuu na ya kutisha ya Bwana haijafika. Biblia

iko wazi kabisa. Siku hiyo haiji isipokuwa ukengeufu na yule mtu

wa uharibifu wafunuliwe. Mpingakristo atakaa hekaluni

mwa Mungu na kujitangaza kuwa ndiye Mungu. Mpingakristo atakuwa madarakani kabla ya unyakuo

kutokea. Ni rahisi hivyo. Lakini ukiangalia Luka , inakuja kimpangilio

kabla ya Mathayo , sababu Mathayo ni sura pacha ya Luka . Kwa hiyo katika Luka

tunasoma tukio la awali kabisa kuandikwa

Yesu akiwafundisha wafuasi wake mafundisho haya. Biblia inasema:

(Luka :) Na kama ilivyokuwa siku za Nuhu, ndivyo itakavyokuwa katika siku zake

Mwana wa Adamu [Yesu Kristo].

Mch. Anderson: Watu wengi huchukua andiko hili na kusema kwamba hii ina maana watu

watakuwa waovu kama walivyokuwa wakati wa Nuhu. Pia, alisema kama ilivyokuwa

katika siku za Lutu, ndivyo itakavyokuwa katika siku za kuja kwake Mwana wa Adam.

Na watu watasema, Ndiyo, watakuwa waovu tu kama ilivyokuwa katika Sodoma na Gomora.

Na watakuonyesha mambo yote yanayoendelea katika jamii yetu yafananayo

na yaliyokuwa yakitokea Sodoma na Gomora. Na watasema alimaanisha watakuwa waovu

kama ilivyokuwa Sodoma na Gomora au waovu kama wakati wa Nuhu

Lakini kiukweli, huo si ulinganisho Yesu anaouweka.

Mch. Jimenez: Kwenye mstari wa anasema:

(Luka :-) Na kadhalika, kama ilivyokuwa katika siku za Lutu, walikuwa wakila na kunywa,

walikuwa wakinunua na kuuza, wakipanda na kujenga; lakini siku ile Lutu aliyotoka

Sodoma kulinyesha moto na kibiriti kutoka mbinguni vikawaangamiza wote.

Mch. Jimenez: Tunachojifunza kutoka kwenye vifungu hivi ni kwamba Lutu alitolewa

kutoka Sodoma, hiyo ndiyo picha ya unyakuo. Unawaona malaika wawili wakienda Sodoma ambao

wanawakilisha dunia na kutolewa kwa waamini kabla ghadhabu ya Mungu haijamiminwa

kwenye mji. Kitabu cha Ufunuo kinafundisha kitu kilekile. Biblia inasema katika kitabu

cha Ufunuo kwamba Bwana Yesu Kristo atawatuma malaika kuwakusanya waamini na

kuwatoa ulimenguni. Kitabu cha Ufunuo wazi kabisa kinatuambia nusu saa itapita

kabla hajaanza kumimina ghadhabu yake.

Mch. Anderson: Huu mfumo wa Left Behind ambamo kila mtu anapotea na kila mtu

anashangaa, Wameenda wapi? Hicho sicho watu watakachokuwa wakikisema. Sababu

Biblia inasema siku hiyohiyo tutakayonyakuliwa, Mungu ataanza

kumimina hukumu. Mungu ataanza kunyesha moto na kibiriti kwenye dunia hii. Watu

watajua kuna kitu kinatokea. Watu watakimbia wajifiche.

Watu watiambia milima iwaangukie na kuwaficha sababu

ya moto, kibiriti, ghadhabu itakayokuwa inakuja. Siku hiyohiyo ambayo tutanyakuliwa

ndiyo siku hiyohiyo ambayo Mungu ataanza kumimina ghadhabu yake. Ndiyo maana

pale jua na mwezi vitiwapo giza, Biblia inasema siku ile ya kutisha imekuja na

ni nani awezaye kustahimili? Kwa sababu siku ileile, nusu saa baadaye, Mungu ataanza kunyesha

moto na kibiriti. Kwa hiyo sura ya sita ya Ufunuo, jua na mwezi vinatiwa giza, Sura ya saba

mkutano mkubwa wa waamini unatokea mbinguni. Sura ya nane, anaanza kumimina

ghadhabu yake. Sawa kabisa na kile Biblia inafundisha katika Mathayo . Jua na mwezi kutiwa giza,

kisha unyakuo. Ni rahisi hivyo. Niongeapo na watu waaminio unyakuo kabla ya dhiki

huniambia moja ya mambo mawili. Ama huniambia kwamba

unyakuo wala hata haujatajwa katika kitabu cha Ufunuo jambo ambalo ni la kushangaza

kusema kwa vile kitabu cha Ufunuo kinaeleza kwa kina matukio ya mwisho

wa dunia. Kuacha tukio muhimu kama vile Yesu Kristo kuja mawinguni na

waamini wote wa umri wote kunyakuliwa pamoja naye mawinguni

hilo ni tuko kubwa. Kusema kwamba halikuandikwa kwenye kitabu cha Ufunuo

na kwamba halipo kabisa katika kitabu cha Ufunuo, haifikiriki. Lakini kwa vile

inachekesha sana kusema kwamba unyakuo haumo kwenye kitabu cha Ufunuo,

wengi wanyakuo-kabla-dhiki wamejaribu kutafuta kitu mbadala ambacho

wanaweza kukitumia kama unyakuo ambao ni kabla ya dhiki kuu, na hiki ndicho nikisikiacho

mara kwa mara Ufunuo :. Ufunuo : unasema:

(Ufunuo :) Baada ya hayo naliona, na tazama, mlango ukafunguka mbinguni, na

sauti ile ya kwanza niliyoisikia kama sauti ya baragumu ikinena nami, ikisema, Panda

hata huku, nami nitakuonyesha mambo ambayo hayana budi kuwako baada ya hayo.

Mch. Anderson: Kwa hiyo hii sauti ni kama tarumbeta. Hakuna tarumbeta katika mstari huu

sambayo inaongea na kusema na Yohana (mtu mmoja), Panda huku nami

nitakuonyesha WEWE mambo ambayo hayana budi kutukia baada ya haya. Nao husema, Unaona? huo ndio unyakuo

wazi kabisa. Mtu mmoja akichukuliwa. Wanasema ndio unyakuo. Cha kuchekesha

zaidi ni kwamba hata hawasomi mstari wa . Kwa sababu mstari wa inasema:

(Ufunuo :) Na mara nalikuwa katika Roho; na tazama, kiti cha enzi kimewekwa

mbinguni na mmoja ameketi juu ya kile kiti;

Mch. Anderson: Unyakuo siyo roho kuenda Mbinguni. Unyakuo ni ufufuo wa mwili

Tutanyakuliwa na miili yetu kwenda hewani. Huu siyo

tu kitu ambacho roho inaenda juu. Biblia iko wazi kwamba unyakuo siyo fumbo,

ufufuo wa miili ya waliokuwa katika Kristo ambao watafufuka kwanza. Kisha sisi tuliohai

na kusalia tutanyakuliwa kwenda pamoja naye katika miili yetu. Hivyo huu unyakuo wa roho

ya mtu mmoja, Yohana, ni wazi siyo unyakuo. Na kama ukidhani huu ndio

unyakuo, umechukua tafsiri potofu. Inachekesha kwa vile watu

niongeao nao wanaoamini unyakuo kabla ya dhiki wanadai kuisoma Biblia kama ilivyo.

Lakini ukiwauliza wakuonyeshe unyakuo katika Ufunuo, watakupeleka Ufunuo

:. Mtu mmoja akipelekwa mbinguni. Hata hawasomi mstari wa pale asemapo,

Na mara nalikuwa katika Roho; na tazama, kiti cha enzi kimewekwa mbinguni. Wala hata

hakuenda na mwili wake. Mwili wake ulibakia hapahapa katika Kisiwa cha Patmo. Waliokufa katika Kristo

watafufuka kwanza. Kisha sisi tuliohai na kusalia tutakutana nao

mawinguni. Hizi siyo roho zikutanazo. Hii ni

miili halisi. Ni kupindisha maneno kusema kwamba huo ni unyakuo. Wale ambao

wanaamini katika unyakuo kabla ya dhiki inabidi waseme Ufunuo : ni unyakuo

kwa sababu ndicho kitu pekee wanachoweza kukipata katika kitabu cha Ufunuo kabla

ya dhiki kuu. Na haienei. Inabidi watafute kitu chochote tu, nadhani. Nilikua

nikifundishwa unyakuo kabla ya dhiki. Na nilipozidi kukua, nilifundishwa kwamba

hautajwi kabisa kwenye kitabu cha Ufunuo. Siku zote nilidhani pana tatizo mahali

Tukio muhimu na kubwa kama unyakuo na una kitabu kinachohusu

unabii wa siku za mwisho, kitabu cha Ufunuo, na kisikitaje? Haileti

maana yoyote. Siku zote nilifundishwa utotoni kwamba unyakuo utatokea wakati unaendelea

na shughuli zako za kila siku na ghafla unapotea. Lakini kubwa zaidi

kwa vile Biblia inasema kila jicho litamwona. Tutaona jua

na mwezi vikitiwa giza. Inasema kwenye Luka kwamba muonapo vitu hivyo mjue mwisho

umekaribia, akasema kesheni, kwa kuwa ukombozi wenu umekaribia. Hebu fikiri nini

itakavyokuwa wakati jua linatiwa giza, na mwezi unatiwa giza, na nyota zinaanza kuanguka,

na tukiviona tujue ndio hivyo. Mwisho umefika. Tumeweza kuufikia.

Ni kama ufunguzi wa Kihollywood. Wakati watu

mashuhuri wakifika popote. Utaona mataa yakimulika na sauti nzito zikirindima na

moshi na kila kitu kingine. Wanataka kujionyesha kwa watu. Jamani ee, niangalieni. Kama

ukiisoma Ufunuo sura ya au Mathayo , Marko au Luka , au vifungu vyovyote ambavyo

vinaelezea jua na mwezi kutiwa giza, vinasisimua kweli kuviangalia. Jua

na mwezi kutiwa giza kutamfanya kila mtu duniani afahamu.

Lakini pia inasema kutakuwa na matetemeko, kwa hiyo kama ni kipofu,

nayo yatakufanya ufahamu.

Mch. Anderson: Na katika wakati wa kiza hicho kikuu, Yesu Kristo atakuja

mawinguni, akimulika anga lote. Biblia inasema atamulika anga kama vile radi

imulikavyo toka upande mmoja wa mbingu hadi mwingine, na tutazamapo juu na tutamuona

Yesu Kristo akija na mawingu. Tutajua kwamba wakati wowote tutanyakuliwa

tuende kuwa pamoja naye. Napenda niwe hai kuiona siku hiyo. Sijui iwapo itatokea

wakati wetu wa maisha. Natamani itokee wakati wa uhai wangu. Natumai nitaweza

kuhimili dhiki kuu na udhia. Ni furaha iliyoje kuwa hai siku hiyo

ambayo Yesu Kristo yuaja na mawingu.

Ni kuu mno kuliko tulivyofanywa tuamini itakuwa.

Kent Hovind: Wazo kwamba kutakuwa na unyakuo wa siri ambapo watu

baadaye itabidi watafute kumetokea nini. Si kweli kabisa.

Atafanya kila mtu ajue kwa ufunguzi wa Kihollywood.

Mch. Anderson: Unasema kweli kabisa. Katika Ufunuo Sura ya inasema Tazama,

yuaja na mawingu; na kila jicho litamwona. Neno 'yuaja' laonyesha wakati unaoendelea.

Hivyo huo ni wakati mwingine yuaja. Yuaja na mawingu na kila jicho litamwona

Ni wazi kabisa. Kwa wasiookolewa hili litawatisha kiasi cha kufa. Biblia

inasema kwamba wamwonapo akija na mawingu, wataanza kulia,

watalia machozi, wataogopa sana. Lakini akina sisi ambao

tutakuwa tunasubiri kurudi kwake, tutafurahi furaha kuu, tutachangamka, na

itakuwa ni raha kuu kujua mwisho umefika.

Mch. Jimenez: Binafsi natamani filamu hii ifanikiwe. Natamani kuona filamu hii

inatumiwa na Mungu kuwafungua watu macho wauone ukweli. Nadhani ni

muhimu sana turudi kwenye Biblia. Nakumbuka nilipokuwa kijana na

nikikua, sikupenda hata kukisoma kitabu cha Ufunuo kwa vile nilidhani

sikielewi au kila nikisoma kitu fulani niliuliza,

Ndiyo hiki kweli inakisema? Inamaanisha hiki kweli? Nilipoweza kujua

ukweli kuhusu unyakuo, ulinifungulia maandiko. Napenda kusoma kitabu

cha Ufunuo siku hizi. Na kadiri nikisomavyo, kinazidi kuleta maana. Nadhani kwamba

kama tukiweza kufikia jamii za Wakristo, jamii za kihafidhina,

jamii za Wabaptisti, na tukaweza kuwafunua macho yao kwa jambo hili, hapo

pengine tutaweza kuleta kupenda neno la Mungu na uamsho wa neno la Mungu na

uamsho wa kusoma neno la Mungu kwenye madhabahu za nchini kwetu, na tungeweza kweli

kuona kazi kubwa ikifanywa kwa ajili ya Mungu.

Mch. Anderson: Sababu iliyotufanya tutengeneze filamu hii siyo kuleta tu ubishi wa mafundisho au tu

kumkosoa mtu fulani ambaye mtazamo wake khusu unabii wa Biblia una tofauti kidogo na wetu. Hilo

siyo lengo letu. Haya matukio ni matukio halisi ambayo yatatokea. Biblia inatuambia PATAKUWA

na serikali moja ya dunia. PATAKUWA na dini moja ya dunia. PATAKUWA na

sarafu moja ya dunia. Haya si nadharia za kijuha ambayo watu wanaweza kupuuzia. Haya ni matukio

ambayo kikweli kabisa yatakuja kutokea. Watu watauliwa kwa wingi. Patakuwa na

baa la njaa. Patakuwa na tauni. Patakuwa na udhia.

Patakuwa na vitu ambavyo dunia hii haijawahi kuvipitia na Wakristo

hawajajiandaa kabisa. Kwa sababu waliamini masimulizi ya uongo ya unyakuo kabla ya dhiki.

Naamini katika unyakuo. Ni mafundisho ya Kibiblia. Lakini unyakuo unakuja

BAADA ya dhiki.

Mch. Jimenez: Utaniambia, Mch. Jimenez, kwani haya yana umuhimu wowote? Huu ndio umuhimu wake.

Kwa mafundisho ya unyakuo kabla ya dhiki naamini hakuna umuhimu wowote wa

kuzingatia nini tunafanya. Kwa vile, lolote tufanyalo ni ama nitakufa kwa amani uzeeni

au nitaendelea na maisha yangu, nikienda likizo, nikiwekeza kwenye pensheni,

nikiishi maisha mazuri, na siku moja ghafla nitapotea, kabla ya jambo lolote baya kutokea.

Mafundisho haya yanafundishwa kwa mamilioni ya watu naamini yametufanya tuwe

wavivu sana na tulioridhika na Ukristo wetu. Tunahitajika kuhubiri injili. Inatubidi

tuende huku na kule. Lazima tuwaelimishe watu na kuwaambia, Jamani, pana udhia unakuja.

Nenda likizo na kufanya yote ufanyayo, lakini

jiimarishe utu wa ndani. Ni vema ukichukua Biblia yako. Ni vema ukaanza kujifunza

Biblia. Ni vema ukaanza kutembea na Mungu na kumfahamu Mungu. Ni vema ukaanza kusoma

Biblia, kwa vile itafika siku watakayokuondolea Biblia hii. Leo hii

tuna uhuru kamili wa kukutanika, wa kufungua Biblia, wa kulihubiri neno, lakini

panaweza kuja siku ambayo mkutano huu utakuwa ni kinyume cha sheria, wakati Biblia hii itakuwa

imepigwa marufuku, wakati kufanya tunachokifanya sasa kutakuwa ni uhalifu. Kama tukimpenda

Mungu, lazima tuwafikie watu kwa injili ya Yesu Kristo.

Mch. Anderson: Yote hayo ni kusema hivi. Mambo haya niliyowahubiria ili kwamba

usije ukakwazika. Wakati udhia ukija, au wakati ukitakiwa kuchukua alama ya mnyama

kwenye mkono wako wa kuume au kwenye paji la uso, utakumbuka mahubiri haya. Au pengine hayatatokea

wakati wa uhai wetu, au labda yatatokea. Lakini yakitokea, kumbuka ibada hii. Ndiyo

maana Yesu alisema haya na ndio maana nayasema. Utasema, Haya ni kututisha? Hapana,

Biblia inasema duniani mnayo dhiki. Unakereka? Hapana. Anasema

dunani mnayo dhiki, lakini jipeni moyo. Mimi nimeushinda ulimwengu.

Jipeni moyo. Msivunjike moyo. Usitoke nje ya ibada, Ah, unamaanisha haya?

Kuchinjwa? Vifungo? Njaa? Magonjwa? Unasema kweli? Hapana, jipeni moyo. Yeye

ameushinda ulimwengu. Labda itatokea wakati wa maisha yetu, labda haitatokea. Lakini vyovyote

vile, Mungu akiwa upande wetu, ni nani aliye kinyume chetu? Bwana Yesu Kristo asifiwe. Tuinamishe vichwa vyetu

na kuomba. Baba, tunakushuru sana kwa ukweli ulio wazi kwenye neno lako

na tunakushukuru sana kwa kutupa Roho Mtakatifu atuongoze. Nisingeweza

kufahamu haya yote mimi mwenye ukizingatia mafundisho ya uongo niliyopokea kwa

watu walionidanganya na Scofield, lakini asante kwa Roho Mtakatifu katika chumba kile

miaka mingi iliyopita aliyeyakata yote hayo na kuandika maneno haya matatu mawazoni mwangu.

Maneno haya matatu yalithibitishwa mawazoni mwangu toka Mathayo nikiwa mvulana wa miaka : BAADA YA DHIKI

Nawaombea wote ambao maneno haya yataingia mioyoni mwao na mawazoni mwa kila mtu aliyeko hapa

jioni hii. Tunakupenda na kukushukuru na katika Jina la Yesu tunaomba, Amen. Tuimbe

wimbo mmoja mfupi kabla hatujaondoka.

WIMBO: Nionapo Amani Kama Shwari

Mch. Jimenez: Huu wimbo naupenda sana, na tunaenda kuimba beti nilipendalo

sasa. Mara nyingi unapoimba wimbo unaanza tu kuimba. Huna

muda wa kutafakari maneno yake na unachosema. Angalia maneno ya beti la tatu la wimbo huu.

Linasema, Dhambi zangu zote wala si nusu Zimewekwa msalabani

dhambi zangu zote wala si nusu? Angalia lisemacho. Linasema

zimewekwa msalabani, wala sichukui laana yake Ni salama rohoni mwangu.

Yatafakari maneno hayo wakati ukiimba. Tuliimbe beti hili, tukijiandaa kwa

mahubiri.

Dhambi zangu zote, wala si nusu Zimewekwa Msalabani;

Wala sichukui laana yake, Ni salama rohoni mwangu!

Salama rohoni, Ni salama rohoni mwangu.

Ee Bwana himiza siku ya kuja, Panda itakapolia;

Utakaposhuka sitaogopa

Ni salama rohoni mwangu.

Salama rohoni, Ni salama rohoni mwangu.

Biblia iko wazi kabisa kuhusu wokovu. Hautegemei mwema kiasi gani. Watu wengi

wanadhani ni wema sana na wataenda mbinguni kwa sababu ya wema wao.

Lakini Biblia inasema, kwa kuwa wote wametenda dhambi na kupungukiwa utukufu wa Mungu.

Biblia inasema, Kama ilivyoandikwa, hakuna mwenye haki hata mmoja. Mimi siyo mwenye haki.

Wewe si mwenye haki. Na kama wema wetu ndio ungetupeleka mbinguni,

hakuna hata mmoja wetu angeenda.

. Kiri kwamba wewe ni mwenye dhambi.

Biblia inasema hivyo hata katika Ufunuo ::

(Ufunuo :) Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi,

na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na [sikiza kwa makini] waongo WOTE, sehemu yao

ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.

Nimeshawahi kusema uongo. Kila mtu ashawahi kusema uongo. Wote tumefanya dhambi,

tumefanya mambo mabaya kuliko kusema uongo. Lazima tukubali. Wote tunastahili jehanamu.

. Tambua adhabu ya dhambi.

Lakini Biblia inasema:

(Warumi :) Bali Mungu aonyesha pendo lake yeye mwenyewe kwetu sisi, kwa kuwa Kristo

alikufa kwa ajili yetu, tulipokuwa tungali wenye dhambi.

Hivyo Yesu Kristo, kwa vile atupenda sisi, alikuja katika dunia hii. Biblia inasema Mungu

alifanyika mwili. Kimsingi Mungu alichukua umbo la binadamu. Hakutenda dhambi.

Hakufanya dhambi yoyote. Lakini walimpiga na kumtemea mate na kumsulubisha msalabani.

Biblia inasema alipokuwa hapo msalabani, alibeba dhambi zetu zote kwenye mwili wake

msalabani. Kwa hiyo kila dhambi uliyowahi kuifanya, dhambi yoyote niliyowahi kuifanya, ilikuwa

kana kwamba Yesu ndiye aliifanya. Aliadhibiwa kwa dhambi zetu. Kisha, waliuchukua mwili wake

alipokufa na kuuzika kaburini, na roho yake ilienda kuzimu kwa siku tatu na

usiku na mchana (Matendo :). Siku tatu baadaye, alifufuka. Akajionyesha kwa

wafuasi wake alama za misumari. Biblia iko wazi kabisa kwamba Yesu alikufa kwa

ajili ya kila mtu. Inasema kwamba alikufa siyo tu kwa ajili ya dhambi zetu, bali pia dhambi za

ulimwengu mzima. Lakini pana kitu lazima tukifanye ili tuokolewe. Biblia inalo swali hilo

katika Matendo : Nifanye nini nipate kuokolewa? Nao wakajibu:

(Matendo :-) Mwamini Bwana Yesu, nawe utaokoka pamoja na nyumba yako.

Hayo tu. Hawakusema, Jiunge na kanisa utaokolewa. Batizwa

utaokolewa. Ishi maisha mema utaokolewa. Tubu dhambi zako zote

na utaokolewa. Hapana. Alisema, Amini.

. Amini kwamba Yesu alikufa, akazikwa, na akafufuka kwa ajili yako.

Hata mstari mashuhuri kuliko yote kwenye Biblia nzima, ambao umeandikwa chini ya kikombe

cha OutBurger, ni mashuhuri sana kiasi kila mtu ashausikia: Yohana ::

(Yohana :) Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe

pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.

Milele ina maana ya milele. Inamaanisha milele. Yesu akasema:

(Yohana :) Nami nawapa uzima wa milele; wala hawatapotea kamwe; wala

hakuna mtu atakayewapokonya katika mkono wangu.

Biblia inasema katika Yohana ::

(Yohana :) Amin, amin, nawaambia, Yeye aaminiye yuna uzima wa milele.

Ukimuamini Yesu Kristo, Biblia inasema utakuwa na uzima wa milele.

Utaishi milele. Huwezi kupoteza wokovu wako. Ni wa milele. wa milele.

Ukishaokolewa, mara ukimwamini Yeye, umeokolewa milele, bila kujali lolote lingine,

hauwezi kuupoteza wokovu wako. Hata kama utaenda kufanya dhambi fulani ya kutisha,

Mungu ataniadhibu katika dunia hii. Nikienda nikaua mtu leo hii, Mungu

atahakikisha naadhibiwa. Nitaenda kifungoni au matokeo mabaya zaidi au

nitahukumiwa kifo, au lolote lile dunia hii itaniadhibu. Mungu atahakikisha

ninaadhibiwa zaidi. Lakini siendi motoni. Hakuna

kitu ninachoweza kukifanya mpaka niende motoni. Nimeokoka. Na nikienda motoni, Mungu mwongo,

kwa sababu aliahidi kwamba kila amwaminiye Yeye anao uzima wa milele. Alisema:

(Yohana :) naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele.

Ndiyo maana pana mifano mingi ya watu kwenye Biblia waliofanya mambo mabaya

sana, lakini walienda mbinguni. Kwa vipi? Kwa sababu walikuwa wema sana? Siyo. Kwa sababu

walimwamini Bwana Yesu Kristo. Dhambi zao zilisamehewa. Watu wengine walioishi

maisha mema zaidi machoni pa dunia, au kweli walikuwa wema zaidi, lakini

hawakumwamini Kristo, wataenda motoni kuadhibiwa kwa dhambi zao.

. Mwamini Kristo tu kama mwokozi wako.

Acha nifunge kwa fikra hii, jambo moja nililotaka kulizungumzia

leo hii. Palikuwa na swali Yesu aliulizwa na mmoja wa wanafunzi wake. Swali hilo

lilikuwa: Wanaookolewa ni wachache? Hio lilikuwa swali zuri, sivyo? Wanaookolewa ni wengi?

Au ni wachache wanaookolewa? Wale wanaodhani watu wengi wa dunia hii wataenda

mbinguni? Unajua alijibu nini? Alisema katika Mathayo :

(Mathayo : - ) Ingieni kwa kupitia mlango ulio mwembamba; maana mlango ni mpana,

na njia ni pana iendayo upotevuni, nao ni wengi waingiao kwa mlango huo.

Bali mlango ni mwembamba, na njia imesonga iendayo uzimani, nao waionao ni wachache.

Akaendelea na kusema hivi:

(Mathayo :-) Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia

katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.

Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako

kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi?

Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.

Kwanza kabisa, walio wengi dunia humu hata kusema tu wanamwamini Yesu hawasemi.

Angalau wengi kwenye darasa hili wanadai wanamwamini Yesu. Lakini wengi duniani

hawadai wanamwamini Yesu. Lakini Mungu alionya kuwa hata miongoni mwa wanaodai kumwamini

Yesu, hata miongoni mwa wanaomwita Bwana, wengi watamwambia,

Tulifanya kazi nzuri zote hizi. Kwa nini hatukuokolewa? Atasema, Ondokeni kwangu

sikuwajua ninyi kamwe. Kwa sababu wokovu si kwa matendo. Na kama wewe

unaziamini kazi zako mwenyewe kwamba zitakuokoa, unadhani utaenda mbinguni kwa vile

umebatizwa, au wadhani, Lakini nimeishi maisha mema. Nadhani

inabidi uzishike amri ili ukokolewe. Nadhani inabidi uende kanisani. Nadhani

lazima uache dhambi kama unategemea matendo yako, Yesu

atasema siku moja, Ondoka kwangu, sikukujua kamwe. Unatakiwa

uwe na imani kwa yale aliyofanya. Uamini yale Yesu aliyafanya pale

msalabani, pale alipokufa na kuzikwa na kufufuka. Hiyo ndiyo tiketi yako ya

kwenda mbinguni. Ukiamini, Aah, nitaenda mbinguni kwa vile mimi ni mkristo

mwema, nitendaye matendo haya mema, atakuambia, Ondoka kwangu.

Sikiliza asemacho: Ondokeni kwangu, sikuwajua ninyi KAMWE. Siyo, nilikuwa nawajua

Kwa vile mara akishakutambua, kama nilivyosema mwanzo, ni kwa milele. Ni milele.

Akishakutambua, umeokolewa milele. Lakini asemapo, Ondokeni kwangu,

sikuwajua ninyi kamwe. Ukiena motoni, ni kwa sababu hakukujua kamwe. Mara akishakujua,

Anakujua. Ni kama tu vile watoto wangu siku zote watabakia kuwa ni watoto wangu. Pale

unapozaliwa mara ya pili, unapofanyika mtoto Wake, siku zote utakuwa mtoto Wake. Unaweza ukawa

chakaramu wa familia. Unaweza kuwa mtu unayeadhibiwa sana na Mungu duniani hapa.

Unaweza kuharibu maisha yako ya hapa duniani, lakini huwezi kuharibu wokovu. Umeshaokolewa.

Imekwisha kamilika. Kwa hiyo jambo kuu nililotaka kulileta kwako kuhusu

siku za mwisho. Na tumebakiwa na dakika chache

kwa maswali kuhusu ama wokovu au siku za mwisho.

Yesu utupendaye, najua mimi ni mwenye dhambi. Najua nastahili kwenda motoni,

Lakini naamini ulikufa msalabani kwa ajili yangu na ulifufuka.

Tafadhali niokoe hivi sasa na unipe uzima wa milele. Nakuamini wewe tu, Yesu. Amen.

 

 

 

mouseover