1 00:00:15,690 --> 00:00:19,290 Naamini ibilisi anataka kuliteka kanisa. 2 00:00:21,160 --> 00:00:25,170 Naamini ibilisi anataka\kuliteka kanisa hili... 3 00:00:25,830 --> 00:00:28,300 ... mtu mmojammoja. 4 00:00:32,640 --> 00:00:37,040 -Tunayo fursa mbele yetu ya kujiandaa sisi wenyewe na 5 00:00:37,080 --> 00:00:39,170 vizazi vijavyo kwa Utaratibu Mpya wa Dunia. 6 00:00:40,580 --> 00:00:41,720 -Funga dirisha lako. 7 00:00:41,750 --> 00:00:43,120 Rundi ndani ya nyumba yako. 8 00:00:45,020 --> 00:00:47,190 -Rudi ndani ya nyumba yako sasa! -Niko ndani. 9 00:00:47,220 --> 00:00:49,890 -Tunayo fursa hasa ya huu utaratibu mpya wa dunia,... 10 00:00:51,190 --> 00:00:53,890 ...utaratibu ambao Umoja wa Mataifa unaoaminika 11 00:00:53,930 --> 00:00:55,030 -...risasi baridi, vifaa vya kutuliza ghasia... 12 00:00:55,860 --> 00:01:00,100 -...inaweza kutumia kazi yake ya kulinda amani kutimiza ahadi na maono... 13 00:01:00,530 --> 00:01:02,200 ... walioanzisha Umoja wa Mataifa. 14 00:01:03,970 --> 00:01:09,040 -Baada ya 1989 Rais Bush alisema - na ni msemo ambao aghalabu hutumiwa 15 00:01:09,080 --> 00:01:11,480 na mimi mwenyewe - kwamba tunahitaji utaratibu mpya wa dunia. 16 00:01:11,510 --> 00:01:14,010 Na badala yake inaonekana kama vile tumepata tafrani nyingi. 17 00:01:18,150 --> 00:01:19,750 -Imechukua muda mrefu kweli. 18 00:01:20,750 --> 00:01:25,090 Kwa sababu ya kile tulichokifanya siku hii katika wakati muafaka 19 00:01:25,630 --> 00:01:27,430 mabadiliko yameifikia Marekani. 20 00:01:29,900 --> 00:01:33,430 -Rais Obama na Waziri Mkuu wa Uingereza Gordon hii leo 21 00:01:33,470 --> 00:01:36,500 wakihimiza kuwepo kwa utaratibu mpya wa dunia katika kukabili matatizo 22 00:01:36,870 --> 00:01:38,050 ya uchumi yaliyoikumba dunia. 23 00:01:38,050 --> 00:01:38,110 24 00:01:38,110 --> 00:01:42,220 -Kazi kubwa tuliyonayo sasa ni hasa kutengeneza 25 00:01:42,710 --> 00:01:43,940 utaratibu mpya wa dunia. 26 00:01:43,980 --> 00:01:48,920 -kazi yake itakuwa kubuni mkakati mpya kwa ajili ya Marekani. 27 00:01:48,950 --> 00:01:52,990 katika kipindi hiki ambacho kwa kweli utaratibu mpya wa dunia unaweza kuanzishwa. 28 00:01:53,020 --> 00:01:54,420 Ni fursa kubwa. 29 00:01:59,360 --> 00:02:01,450 -Umeongelea kuhusu Utaratibu Mpya wa Dunia ulioutafsiri kama wa 30 00:02:01,450 --> 00:02:01,460 31 00:02:01,460 --> 00:02:03,240 kishetani. -Ndiyo. 32 00:02:04,130 --> 00:02:05,370 -Unajuaje? 33 00:02:05,430 --> 00:02:09,370 -Uchunguzi wangu umenifikisha katika upande wa pili wa hela ya Marekani. 34 00:02:09,440 --> 00:02:13,710 Na nikaona hizi muhuri za ajabu kwenye dola. Ni alama za 35 00:02:13,740 --> 00:02:16,830 Iluminati ambayo ilikuwa ni jumuiya ya siri iliyoanzishwa mwaka 1776 36 00:02:17,060 --> 00:02:19,200 na mtu aitwaye Adam Weishaupt. 37 00:02:20,180 --> 00:02:22,280 Na nyumba ya noti ya dola hapa unaona muhuri upande 38 00:02:22,350 --> 00:02:26,750 wa kushoto na pana jicho kwenye\pembetatu. Ni jicho la Horus 39 00:02:26,790 --> 00:02:31,260 katika masimulizi ya Kimisri, ambalo siku hizi huitwa jicho la Lusifa au Shetani. 40 00:02:34,160 --> 00:02:36,260 Na maneno mawili hapo juu, "ANNUIT COEPTIS", yanamaanisha 41 00:02:37,160 --> 00:02:39,200 "Tunatangaza kuzaliwa kwa", 42 00:02:39,230 --> 00:02:42,370 na chini kabisa, "NOVUS ORDO SECLORUM". 43 00:02:42,400 --> 00:02:45,240 -Na hiyo nembo kuu ya Marekani inayo 44 00:02:45,270 --> 00:02:49,110 "NOVUS ORDO SECLORUM": Utaratibu Mpya. 45 00:02:49,140 --> 00:02:52,650 -Na watu wanatakiwa kuuliza swali hili, "Piramidi la 46 00:02:52,680 --> 00:02:54,750 Kimisri linafanya nini nyumba ya noti ya dola ya Marekani? 47 00:02:54,780 --> 00:02:58,120 Pana uhusiano gani kati ya Marekani na Misri?" 48 00:02:58,150 --> 00:03:01,590 Jibu ni: hakuna hata kidogo isipokuwa katika nyanja za ushirikina. 49 00:03:01,620 --> 00:03:04,700 Na hivyo tunaona hapa kwamba tunakabiliana na mpango wa kishetani na watu 50 00:03:05,460 --> 00:03:09,330 inabidi watambue kwamba mungu wa Freemason ataongoza dunia 51 00:03:09,360 --> 00:03:13,200 kuelekea kusudi hili la aina yake ambalo ndilo kusudi ambalo Marekani 52 00:03:13,230 --> 00:03:16,670 ilianzishwa, yaani kupeleka dunia nzima mpaka kwenye 53 00:03:16,700 --> 00:03:19,710 serikali moja ya dunia, dini moja ya dunia, 54 00:03:19,740 --> 00:03:23,480 mfumo mmoja wa kisheria wa dunia, na sarafu moja ya dunia 55 00:03:23,510 --> 00:03:25,950 ambayo Biblia inauita alama ya mnyama. 56 00:03:27,070 --> 00:03:29,340 -...na kimsingi tunachokijua kwa hakika, 57 00:03:30,020 --> 00:03:33,020 ni kwamba patakuwa na badiliko toka utaratibu wa zamani 58 00:03:33,490 --> 00:03:38,860 kuelekea utaratibu mpya, utawala wa Shetani mwenyewe. 59 00:03:40,690 --> 00:03:43,060 Hicho ndicho hiyo alama inachomaanisha 60 00:03:43,100 --> 00:03:46,030 na hicho ndicho Utaratibu Mpya wa Dunia unamaanisha. 61 00:03:51,140 --> 00:03:54,580 Katika Biblia, 2 Wakorintho 5:17 inasema, "Hata imekuwa, mtu akiwa 62 00:03:54,610 --> 00:03:57,540 ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama! 63 00:03:57,580 --> 00:04:00,210 Yamekuwa mapya. " Angalia isemavyo tafsiri nyingine ya Biblia 64 00:04:00,250 --> 00:04:03,680 ya mstari huu. Inasema, "Utaratibu wa zamani umepita na 65 00:04:03,720 --> 00:04:08,360 utaratibu mpya umeanza." Wanatumia lugha ileile. 66 00:04:08,390 --> 00:04:11,830 Tafsiri ya zamani inasema, "kwa kuwa ni sheria za jinsi ya mwili tu, vyakula na vinywaji na 67 00:04:11,860 --> 00:04:15,400 kutawadha kwingine kwingine, zilizoamriwa hata wakati wa matengenezo 68 00:04:15,430 --> 00:04:19,130 mapya", akizungumzia kuhusu kurudi kwa Kristo. Lakini angalia 69 00:04:19,170 --> 00:04:24,030 tafsiri mpya zinavyosema, "mpaka wakati wa utaratibu mpya." Wanawaandaa 70 00:04:24,030 --> 00:04:24,270 71 00:04:24,270 --> 00:04:28,430 watu. Nataka sasa utambue hili. Katika Isaya 28:16 katika 72 00:04:28,740 --> 00:04:32,480 tafsiri ya zamani ya Biblia inasema, "kwa ajili ya hayo Bwana, MUNGU, asema hivi, Tazama, naweka 73 00:04:32,510 --> 00:04:37,920 jiwe katika Sayuni, liwe msingi, jiwe lililojaribiwa, jiwe la pembeni lenye thamani, 74 00:04:37,950 --> 00:04:42,860 msingi ulio imara; yeye aaminiye hatafanya haraka." Hili linamzungumzia Yesu. Sivyo? Na nataka 75 00:04:42,890 --> 00:04:45,920 utambue kwamba katika tafsiri ya zamani wanakutajia kuhusu Yesu 76 00:04:46,230 --> 00:04:51,020 ambaye ni jiwe la pembeni la msingi. Kwani ni wapi ulipo msingi katika 77 00:04:51,020 --> 00:04:51,200 78 00:04:51,200 --> 00:04:52,890 jengo, ni juu au chini? 79 00:04:53,670 --> 00:04:55,010 Liko chini, sivyo? Sawa? 80 00:04:55,010 --> 00:04:55,100 81 00:04:55,100 --> 00:04:58,050 Kwa hiyo wanaposema kwamba Yesu ndiye Jiwe kuu la pembeni la msingi, 82 00:04:58,050 --> 00:04:58,350 83 00:04:58,350 --> 00:05:00,170 ni chini, sivyo? 84 00:05:00,170 --> 00:05:04,250 "jiwe la pembeni lenye thamani, msingi ulio imara; yeye aaminiye hatafanya haraka." - tafsiri ya zamani - 85 00:05:04,280 --> 00:05:07,340 "Bali kwao wasioamini, Jiwe walilolikataa waashi, Limekuwa jiwe kuu la pembeni., 86 00:05:07,880 --> 00:05:11,790 tena, ni kwenye msingi. 87 00:05:11,850 --> 00:05:15,720 Angalia uone vile tafsiri mpya zinamwita jiwe la juu. 88 00:05:16,290 --> 00:05:21,300 Wanasema kwamba ile alama uionayo inamwakilisha Kristo. 89 00:05:21,330 --> 00:05:25,170 Haimwakilishi; inamwakilisha nani? Mpingakristo. 90 00:05:29,000 --> 00:05:33,020 -Ninaomba kwamba mbakie, lakini, rafiki zangu, kwenye kitabu hiki kikuu, 91 00:05:33,210 --> 00:05:37,090 Neno la Mungu. Hiki, ndicho hasa tunachohitajika kukigeukia. 92 00:05:37,090 --> 00:05:37,110 93 00:05:37,110 --> 00:05:41,130 Muda ni mfupi. Anguko kuu kutoka kwenye ukweli: 94 00:05:42,020 --> 00:05:44,250 Linatokea sasa; lipo hapa hivi sasa. 95 00:05:50,760 --> 00:05:53,530 -Jina langu ni Steven Anderson, mchungaji wa kanisa la Faifthful Word Baptist 96 00:05:53,560 --> 00:05:56,800 lililoko Tempe, Arizona. Kanisa letu hutumia tafsiri ya zamani tu; watu 97 00:05:56,830 --> 00:05:59,570 wengi hawaelewi kwa nini. Lakini lengo la filamu hii ni 98 00:05:59,600 --> 00:06:03,040 kukuonyesha tofatuti kubwa kati ya Biblia tasfiri ya zamani (King James Bible) 99 00:06:03,070 --> 00:06:04,940 na matoleo mengine yote yaliyobakia. 100 00:06:05,020 --> 00:06:08,040 -Jina langu ni Roger Jimenez. Ni mchungaji wa Kanisa la Kibaptisti la Verity 101 00:06:08,510 --> 00:06:11,950 lililoko Sacramento, California, na kinachonifanya nihamasike kuwa sehemu 102 00:06:11,980 --> 00:06:15,920 ya filamu hii ni kwa sababu Neno la Mungu linashambuliwa leo hii 103 00:06:15,950 --> 00:06:20,350 na inabidi tusimame kutetea Biblia ili kwamba tuweze kupambana na 104 00:06:20,390 --> 00:06:21,990 adui wetu katika vita ya kiroho. 105 00:06:22,020 --> 00:06:25,060 -Jina langu ni Dennis McCain. Ni mchungaji wa Kanisa la Kibaptisti la Northside 106 00:06:25,090 --> 00:06:28,730 lililoko Modesto, California. Nimekuwa nikichunga hapa kwa miaka kumi na sita 107 00:06:28,760 --> 00:06:30,860 na nimekuwa katika huduma kama mmishenari mwanzishi wa makanisa kwa 108 00:06:30,900 --> 00:06:31,870 karibu miaka arobaini. 109 00:06:31,900 --> 00:06:35,240 -Hivi sasa, pana ajenda na ni ajenda ya kishetani kuibadili 110 00:06:35,270 --> 00:06:38,870 Biblia. Watu wengi hufikiri tu,"hata hivyo Biblia tafsiri ya zamani ni 111 00:06:38,910 --> 00:06:43,040 tafsiri nzuri; ni kama mashairi. Na tafsiri hizi nyingine ni 112 00:06:43,080 --> 00:06:46,120 dhaifu. Labda hazikutafsiriwa vizuri." Lakini niko hapa 113 00:06:46,580 --> 00:06:51,220 kukuambia kwamba inaenda mbali zaidi ya hapo. Matoleo haya mapya kiukweli 114 00:06:51,250 --> 00:06:55,590 ni mpango wa Shetani kutohoa Neno la Mungu. Nitakuonyesha 115 00:06:55,660 --> 00:06:59,190 kwamba haya mabadiliko siyo tu ya bahati mbaya. Siyo 116 00:06:59,230 --> 00:07:06,000 madogo tu, mabadiliko yasiyo na matokeo makubwa. Namaanisha kwamba ni mabadiliko ya makusudi. 117 00:07:06,070 --> 00:07:11,060 Yamekusudiwa kuhujumu mafundisho fulani ambayo Biblia hufundisha. 118 00:07:11,060 --> 00:07:11,570 119 00:07:11,570 --> 00:07:14,730 Biblia inatuambia katika Waefeso 6:12, "Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya 120 00:07:15,310 --> 00:07:19,810 damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, 121 00:07:19,850 --> 00:07:25,020 juu ya wakuu wa giza hili, juu ya 122 00:07:25,050 --> 00:07:28,790 majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho." Pana watu walio na 123 00:07:28,820 --> 00:07:33,660 mamilioni na hata mabilioni ya dola ambao wana ajenda ya kusambaza 124 00:07:33,730 --> 00:07:37,300 Biblia zilizopotoshwa na kuzifanya zikubalike kupitia matangazo, 125 00:07:37,330 --> 00:07:42,000 na maduka yanayoziweka mahali muhimu 126 00:07:42,040 --> 00:07:45,120 zitakayowafanya watu waone, "Hii ndiyo Biblia unayotakiwa kusoma. Achana 127 00:07:45,970 --> 00:07:50,240 na Biblia tasfiri ya zamani. Pata toleo jipya, lililoboreshwa zaidi." 128 00:07:50,280 --> 00:07:54,820 Nimefanya tafiti kuhusu ni tafsiri zipi zilizo mashuhuri kuliko zote leo hii. 129 00:07:54,850 --> 00:07:58,620 Hii ndiyo orodha ya karibuni kabisa. Nimechunguza vyanzo 130 00:07:58,690 --> 00:08:03,320 mbalimbali na vyote vimekuja na matoleo yaleyale matano ya Biblia. Toleo 131 00:08:03,390 --> 00:08:07,290 mashuhuri kabisa la Biblia siyo la King James. Ni lile la New International Version 132 00:08:07,330 --> 00:08:11,700 NIV. La pili ni Biblia ya King James. La tatu 133 00:08:11,730 --> 00:08:17,060 ni New Living Translation. La nne, ni the New King James, na namba tano, 134 00:08:17,060 --> 00:08:17,170 135 00:08:17,170 --> 00:08:20,660 ni English Standard Version au ESV kwa kifupi. Orodha nyingine nilizoziangalia 136 00:08:21,240 --> 00:08:24,340 zina tafsiri hizohizo kwa mipangilio tofauti kidogo, lakini inayo matoleo yote matano. 137 00:08:25,250 --> 00:08:28,850 - Watu wengi hawajui kwamba pana mamia ya tafsiri za Biblia za Kiingereza, na 138 00:08:28,880 --> 00:08:32,120 ni wazi muda hauruhusu kupitia kila tafsiri. 139 00:08:32,150 --> 00:08:36,990 -Ingeleta maana sana kuangalia matoleo manne potofu 140 00:08:37,020 --> 00:08:44,130 ambayo ndiyo mashuhuri zaidi. Toleo la NIV limeacha mistari kumi na sita mizima 141 00:08:44,160 --> 00:08:47,170 kutoka kwenye agano jipya. Yaani, kwanza kabisa, kabla 142 00:08:47,200 --> 00:08:51,540 hata hatujaongelea maelfu yale ya mabadiliko, mistari mizima 16 haimo kabisa. 143 00:08:51,570 --> 00:08:59,010 Mathayo 17:21 haumo. Mathayo 18:11 - umekwenda. Matendo 8?37 - mstari huu 144 00:08:59,050 --> 00:09:04,020 umeondolewa kutoka kwenye NIV, toka kwenye ESV, haumo kwenye New Living Translation... 145 00:09:04,080 --> 00:09:05,320 - Imeondolewa kabisa! 146 00:09:05,520 --> 00:09:08,050 Matendo 8:36, Biblia ya King James: "Wakawa wakiendelea njiani, 147 00:09:08,050 --> 00:09:08,120 148 00:09:08,120 --> 00:09:11,160 wakafika mahali penye maji; yule towashi akasema, Tazama, maji haya; 149 00:09:11,690 --> 00:09:14,400 i nini kinachonizuia nisibatizwe? Na Filipo" - yule mhubiri wokovu - 150 00:09:14,430 --> 00:09:17,030 akasema, Ukiamini kwa moyo wako wote, inawezekana. " 151 00:09:17,060 --> 00:09:20,080 Hivyo, towashi - yule mwenye dhambi - anasema, "Nini kinachonizuia 152 00:09:20,270 --> 00:09:22,900 nisibatizwe?" Filipo, mhubiri wokovu, 153 00:09:22,940 --> 00:09:25,340 anasema, "Ukiamini kwa moyo wako wote inawezekana." 154 00:09:25,370 --> 00:09:30,540 Naye" - towashi - "Akajibu, akanena, Naamini ya kwamba Yesu Kristo 155 00:09:30,580 --> 00:09:33,150 ndiye Mwana wa Mungu." Nini kilichomtokea towashi? Aliokoka. 156 00:09:33,980 --> 00:09:36,880 Kwa nini? Ukimkiri kwa kinywa chako Bwana Yesu na kuamini 157 00:09:36,920 --> 00:09:39,620 mioyoni mwako kwamba Mungu alimfufua katika wafu, utakokolewa. 158 00:09:39,650 --> 00:09:41,730 Aliamini kwa moyo. Akamkiri kwa kinywa. Akaokoka. 159 00:09:42,490 --> 00:09:44,260 Kwani walifanyaje? Mstari wa 38: 160 00:09:44,290 --> 00:09:47,800 "Akaamuru lile gari lisimame; wakatelemka wote wawili majini, 161 00:09:47,860 --> 00:09:49,800 Filipo na yule towashi; naye akambatiza. " 162 00:09:49,860 --> 00:09:52,600 Hivyo, mstari wa 36: Nini kinanizuia nisibatizwe? 163 00:09:52,630 --> 00:09:55,270 Mstari wa 37: Ilimradi unaamini, unaweza kubatizwa. 164 00:09:55,300 --> 00:09:57,200 Alikiri kwa kinywa chake, na kuamini kwa moyo wake; 165 00:09:57,270 --> 00:09:59,540 Mstari wa 38: Akambatiza. Amen. 166 00:09:59,610 --> 00:10:01,510 Tafsiri ya New International Version inasemaje? 167 00:10:01,540 --> 00:10:05,610 "Walipokuwa wakisafiri barabarani, walifika mahali penye maji na towashi akasema, 168 00:10:05,650 --> 00:10:08,720 "Angalaia, maji ni haya. Nini ni kizuizi cha mimi kubatizwa?| 169 00:10:09,450 --> 00:10:13,090 Na akatoa amri gari lisimame. Kisha wote Filipo na towashi walienda 170 00:10:13,120 --> 00:10:15,290 majini na Filipo akambatiza." Je, umegundua 171 00:10:15,320 --> 00:10:16,960 kilichotokea? Kitu gani hakipo? 172 00:10:17,690 --> 00:10:19,790 Sina hakika umebaini. Ni mstari mzima wa 37 haupo. 173 00:10:20,730 --> 00:10:24,530 Hivyo kwa mujibu wa tafsiri ya New International Version, wanasafiri barabarani. 174 00:10:24,600 --> 00:10:27,030 Anauliza, "Nini kinanizuia nisibatizwe?" 175 00:10:27,100 --> 00:10:30,000 Na kwa mujibu wa NIV, hakuna! Acha tukubatize. 176 00:10:30,040 --> 00:10:32,410 Ambacho hakipo? Mwamini Yesu Kristo! 177 00:10:32,770 --> 00:10:34,510 Kisichopo? Injili. 178 00:10:34,540 --> 00:10:38,250 Kisichopo? Kwa nini Biblia hizi zinamshambulia Yesu Kristo? 179 00:10:38,280 --> 00:10:40,080 Sioni maana yake kabisa. 180 00:10:40,110 --> 00:10:42,780 Lakini inaleta maana pale unapokumbuka kwamba yote haya yatokana na Shetani. 181 00:10:42,850 --> 00:10:47,090 -Lakini siyo tu NIV wameondoa mistari mizima 16 kutoka kwenye Biblia, 182 00:10:47,120 --> 00:10:53,160 Bali pia wameongeza maelezo kuhusu mistari mingine 27, wakisema huenda mistari hii 183 00:10:53,190 --> 00:10:57,700 haikuwemo kwenye Biblia ya awali, ili kukufanya utilie mashaka Neno la Mungu. 184 00:10:57,730 --> 00:11:02,470 Mistari kama vile Marko 16:15: Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili 185 00:11:02,500 --> 00:11:06,210 kwa kila kiumbe". Mistari kama vile "Baba, Wasamehe kwa vile hawajui 186 00:11:06,240 --> 00:11:10,680 watendalo." Hawajaiondoa mistari hii, lakini wameweka maelezo ya ziada pembeni yake 187 00:11:10,710 --> 00:11:14,080 ambayo yanaifuta mistari hiyo isikae akilini mwa msomaji, akisema, "Hata 188 00:11:14,080 --> 00:11:14,180 189 00:11:14,180 --> 00:11:17,810 hivyo mistari hii huenda haikuwemo kwenye Biblia. Mstari huu 190 00:11:18,590 --> 00:11:23,990 Hauna mamlaka yoyote." Tunaamini kwamba Yesu Kristo alikuwa Mungu katika mwili. 191 00:11:24,040 --> 00:11:28,940 Hili ni jambo lingine ambalo tafsiri hizi za siku hizi hulibadili na kulishambulia. 192 00:11:29,360 --> 00:11:32,900 Nikupe mifano michache. 1 Yohana 5:7; "Kwa maana wako watatu 193 00:11:32,930 --> 00:11:36,870 washuhudiao mbinguni, Baba, na Neno, na Roho Mtakatifu, 194 00:11:36,900 --> 00:11:40,610 na watatu hawa ni umoja. Hapa ndipo tupatapo neno "Utatu Mtakatifu." 195 00:11:40,640 --> 00:11:42,080 Watatu ambao ni umoja. 196 00:11:42,340 --> 00:11:45,150 "Hawa watatu ni umoja." 197 00:11:45,180 --> 00:11:49,580 Tafsiri ya NIV, kwa upande mwingine, inasema tu,"Kwa maana wako watatu washuhudiao." 198 00:11:50,050 --> 00:11:53,950 Haimtaji Baba, haimtaji Neno, haimtaji 199 00:11:53,990 --> 00:11:57,730 Roho Mtakatifu, na wala kutaja kwamba watatu hawa ni umoja. 200 00:11:57,760 --> 00:12:02,000 Angalia walichokifanya na 1 Timotheo 3:16. Biblia inasema, "Na bila 201 00:12:02,030 --> 00:12:06,870 shaka siri ya utauwa ni kuu." - sikiliza kwa makini - " Mungu 202 00:12:06,900 --> 00:12:12,810 alidhihirishwa katika mwili, Akajulika kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa 203 00:12:12,840 --> 00:12:17,540 katika mataifa, Akaaminiwa katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika utukufu." 204 00:12:17,580 --> 00:12:22,350 Ni kwamba Mungu aliaminiwa duniani, kwamba Mungu alichukuliwa 205 00:12:22,380 --> 00:12:26,920 juu katika utukufu, ni Mungu ambaye alifanyika mwili na kukaa pamoja nasi, na 206 00:12:26,990 --> 00:12:32,390 Biblia iko wazi kabisa katika 1 Timotheo 3:16 kwamba Yesu Kristo ni Mungu. 207 00:12:32,430 --> 00:12:36,430 Katika 1 Timotheo 3:16, ni mstari muhimu ambao nausoma mara kwa mara 208 00:12:36,460 --> 00:12:39,270 maelezo yake ya ziada katika tafsiri ya New American Standard niliyokuwa nayo katika seminari 209 00:12:39,300 --> 00:12:42,300 na baadaye katika tafsiri ya NIV, na vifungu vingine, na ambavyo husema kwenye 210 00:12:42,340 --> 00:12:45,770 tanbihi, au walizozisema katika chambuzi, au yale mafundisho 211 00:12:45,810 --> 00:12:49,140 toka katika NIV au New American Standard, waliposema kwamba hakuna 212 00:12:49,180 --> 00:12:52,180 tofauti yoyote ya kitheolojia. Hayaathiri mitazamo yoyote ya 213 00:12:52,280 --> 00:12:56,580 kimafundisho. Lakini ni wazi kwamba pana tofauti kati ya "hos" na "Theós". 214 00:12:56,620 --> 00:13:01,260 Ukichukulia 'yeye ambaye alikuwa, 'hos'", badala ya "Theós", badala ya 215 00:13:01,290 --> 00:13:05,260 kuwa Mungu, ni wazi inadhoofisha tafsiri kwa sababu itabidi udhanie 216 00:13:05,290 --> 00:13:09,460 kwamba Kristo ni Mungu, au alifunuliwa. Lakini katika "Theós", hakuna kudhania 217 00:13:09,500 --> 00:13:13,330 kuhusu nini andiko linasema. Ni kwamba Mungu aliyefanyika mwili, na 218 00:13:13,370 --> 00:13:16,430 ndiye aliyekuja kama Kristo, na kwamba hilo ni wazi linachangia 219 00:13:17,070 --> 00:13:19,510 uelewa wa watu kuhusu uungu wa Bwana Yesu. -Sawa 220 00:13:19,540 --> 00:13:25,080 -Waebrania 1:8 ni ushahidi mwingine mzuri wa ukweli kwamba Yesu Kristo ni Mungu. 221 00:13:25,110 --> 00:13:32,120 "Lakini kwa habari za Mwana asema, Kiti chako cha enzi,Mungu,ni cha milele na milele". 222 00:13:32,190 --> 00:13:35,230 Kwa hiyo ni nani ambaye Biblia inamuita Mwana hapa? 223 00:13:36,160 --> 00:13:41,200 Inamwita Mungu hivyo. Inasema, "Kiti chako cha enzi, Mungu, ni cha milele 224 00:13:41,230 --> 00:13:43,960 na milele." Sikiliza tafsiri ya NIV. 225 00:13:44,000 --> 00:13:47,230 "Lakini kuhusu Mwana anasema".... 226 00:13:47,300 --> 00:13:50,400 - Majuzi nilikuwa naongea na Shahidi wa Yehova katika kituo cha treni. -Nilienda 227 00:13:50,440 --> 00:13:53,940 kumpokea mke wangu. Na shahidi wa Yehova akaanza kunisomea 228 00:13:53,970 --> 00:13:56,780 kitabu cha ibada lakini nikaona kinatokana na New World Translation. 229 00:13:56,810 --> 00:14:00,250 Hivyo nikamwambia, "Hiyo tafsiri ya New World imetokana na maandiko yaliyoandikwa Kiyunani?" 230 00:14:00,280 --> 00:14:02,380 Akajibu, "Inatoka kwenye Agano Jipya la Wescott na Hort la Kiyunani." 231 00:14:03,120 --> 00:14:04,620 Nikasema, "Iko sahihi?" 232 00:14:04,650 --> 00:14:05,720 Akasema, "Bila shaka." 233 00:14:05,750 --> 00:14:07,670 Nikasema, "Umekuwa nalo toleo la Kiyunani?" akasema, "Hapana." 234 00:14:07,670 --> 00:14:07,690 235 00:14:07,690 --> 00:14:10,310 Nikasema, "Utafanya nini iwapo Yehova mwenyewe aliongea na Yesu na kumwita 236 00:14:11,000 --> 00:14:13,500 Yesu Mungu?" "Hayo hayakuwahi kutokea." 237 00:14:14,030 --> 00:14:16,800 Kwa hiyo nikamnukulia Waebrania 1:8. "Lakini kwa habari za Mwana asema, 238 00:14:16,830 --> 00:14:18,400 Kiti chako cha enzi,Mungu,ni cha milele na milele". 239 00:14:18,430 --> 00:14:21,450 Alihamasika sana na akasikitika sana kiasi cha kuchukua mikoba yake na kuondoka 240 00:14:21,670 --> 00:14:24,310 nikamfuata nje ya mlango kuongea naye. Lakini niliposoma toka 241 00:14:24,340 --> 00:14:27,370 toleo la New World Translation hapo baadaye, nilikuwa imebadilishwa kabisa: 242 00:14:33,180 --> 00:14:37,350 -Pale ambapo kwenye tafsiri ya King James, huwezi kushindwa kuielewa. Si hivyo tu, 243 00:14:37,420 --> 00:14:40,500 lakini wanashambulia ukweli kwamba Yesu alizaliwa na bikira. Nenda Luka 2:33. 244 00:14:41,220 --> 00:14:45,230 Biblia inasema, "Na Yusufu na mamaye walikuwa wakiyastaajabia 245 00:14:45,290 --> 00:14:46,530 hayo yaliyonenwa juu yake". 246 00:14:46,560 --> 00:14:51,040 Toleo la NIV, kwa upande mmoja, na NESV na New Living Translation 247 00:14:51,040 --> 00:14:51,130 248 00:14:51,130 --> 00:14:56,050 vinasema,"Na babaye na mamaye walikuwa wakiyastaajabia hayo yaliyonenwa juu yake." 249 00:14:56,500 --> 00:15:01,080 Kwa hiyo hapahapa tunaona kwamba NIV na tafsiri hizi nyingine za siku hizi zinamwita 250 00:15:01,110 --> 00:15:05,650 Yusufu kuwa ni baba wa Yesu Kristo, kitu ambacho Biblia ya King James 251 00:15:05,680 --> 00:15:08,120 ina umakini wa kutofanya. 252 00:15:08,150 --> 00:15:10,220 -Yusufu alikuwa ni baba wa Yesu Kristo? Hapana, hakuwa. 253 00:15:11,220 --> 00:15:13,920 Alikuwa ni baba-wa-kambo wa Yesu Kristo. Nitakufafanulia. 254 00:15:13,990 --> 00:15:16,160 Lakini hakuwa ndiye baba wa Yesu Kristo. 255 00:15:16,190 --> 00:15:22,280 -Kikweli, baadaye katika sura hiihii, Mariamu anamuita Yusufu kama baba wa Yesu 256 00:15:23,200 --> 00:15:27,330 na Yusufu anamrekebisha papohapo. Inasema, "Na walipomwona walishangaa, 257 00:15:27,400 --> 00:15:31,310 na mama yake akamwambia, Mwanangu, mbona umetutenda hivi? 258 00:15:31,340 --> 00:15:34,580 Tazama, baba yako na mimi tulikuwa tukikutafuta kwa huzuni. " 259 00:15:34,610 --> 00:15:38,050 Je, hakumwita Yusufu kuwa ndiye baba wa Yesu? Tazama ambavyo 260 00:15:38,080 --> 00:15:40,210 Yesu anavyomrekebisha papo hapo. "Akawaambia, 261 00:15:40,250 --> 00:15:43,850 Kwani kunitafuta? Hamkujua ya kuwa imenipasa 262 00:15:43,880 --> 00:15:46,890 kuwamo katika nyumba ya Baba yangu? " Anasema, "Angalia, niko naendelea kufanya 263 00:15:46,920 --> 00:15:50,960 kazi ya Baba yangu wakati ninapohubiri Neno la Mungu kwa vile Yusufu 264 00:15:51,000 --> 00:15:53,970 siyo baba yangu. Mungu Baba ndiye Baba yangu." 265 00:15:54,060 --> 00:15:58,470 Wale waiaminio tafsiri ya NIV, wamepofuka sana, imeshatokea 266 00:15:58,500 --> 00:16:02,640 wananionyesha haya na kusema, "Unaona? Hivi ndivyo Biblia inavyomwita 267 00:16:02,670 --> 00:16:05,840 Yusufu babaye Yesu." Hapana, huyo ni Mariamu akimwita Yusufu 268 00:16:05,870 --> 00:16:09,180 babaye Yesu na papo hapo akakemewa na mtu fulani inambidi 269 00:16:09,210 --> 00:16:13,580 aikemee NIV. Mtu fulani inambidi alikosoe toleo la New Living Translation. 270 00:16:13,610 --> 00:16:16,920 Mtu fulani inambidi aikemee ESV na kusema, "Ngoja kwanza. Umekosea. 271 00:16:16,950 --> 00:16:20,790 Huyo siyo babaye Yesu. Baba wa Yesu ni Mungu Baba." 272 00:16:20,820 --> 00:16:23,960 Utasema, "Lakini, wanachosema inakuwa ni rahisi kuelewa. Tena, 273 00:16:23,990 --> 00:16:26,090 mabadiliko hayo kidogo tu hayabadili vile mafundisho." 274 00:16:26,860 --> 00:16:29,000 Haya ni mafundisho muhimu sana, sivyo? 275 00:16:29,300 --> 00:16:31,300 Uungu wa Kristo, kuzaliwa na bikira. 276 00:16:31,700 --> 00:16:37,740 Si hayo tu; wanashambulia umilele wake. Unajua, Yesu Kristo 277 00:16:37,770 --> 00:16:42,340 hakuanza kuwepo kwenye hori la ng'ombe pale Bethlehemu. Yesu Kristo hakuanza kuwepo 278 00:16:42,380 --> 00:16:48,460 katika tumbo la Mariamu. Lakini, Yesu Kristo siku zote alikuwepo na siku zote 279 00:16:49,250 --> 00:16:53,650 atakuwepo. Yeye ni wa kwanza na wa mwisho, ni Alfa na Omega, 280 00:16:53,690 --> 00:16:57,080 yeye ni mwanzo na mwisho, na hayo ni muhimu kwa uungu wake. 281 00:16:57,080 --> 00:16:57,120 282 00:16:57,120 --> 00:16:59,780 Kama ni kiumbe kilichoumbwa, hawezi kuwa Mungu. 283 00:17:01,130 --> 00:17:04,830 Biblia inasema katika Mika 5:2, "Bali wewe, Bethlehemu Efrata, 284 00:17:04,860 --> 00:17:08,370 uliye mdogo kuwa miongoni mwa elfu za Yuda; kutoka 285 00:17:08,400 --> 00:17:14,880 kwako wewe atanitokea mmoja atakayekuwa mtawala katika Israeli; ambaye matokeo yake 286 00:17:14,910 --> 00:17:19,550 yamekuwa tangu zamani za kale," - angalia kwa makini - "tangu milele. " 287 00:17:19,580 --> 00:17:25,620 Hivyo hapa katika Mika 5:2, Biblia inatuambia kwamba Yesu Kristo alikuwepo "tangu milele." 288 00:17:26,050 --> 00:17:29,690 Hayo ni maneno mawili makuu sana kwa sababu yanazungumzia umilele 289 00:17:29,720 --> 00:17:34,830 wa kuwepo kwa Yesu Kristo. Hana mwanzo. Hakuumbwa. 290 00:17:34,860 --> 00:17:40,030 Alikuwa Mungu katika mwili. Alikuwa na Mungu hapo mwanzo na alikuwa Mungu [Yohana 1:1] 291 00:17:40,070 --> 00:17:43,900 Naam, "milele" ina maana inaendelea bila mwisho; iko bila mwisho. 292 00:17:43,940 --> 00:17:49,110 Hivyo "tangu milele" itakuwa ni kitu ambacho kimetokea milele iliyopita 293 00:17:49,140 --> 00:17:52,780 au kinatoka kutoka zamani isiyo na mwisho, kitu ambacho 294 00:17:52,810 --> 00:17:54,980 siku zote kilikuwepo. Sasa sikiliza NIV: 295 00:17:55,450 --> 00:18:00,020 "Lakini wewe, Bethlehemu Efrata, japokuwa u mdogo miongoni wa koo za Yuda, 296 00:18:00,050 --> 00:18:08,200 miongoni mwako atakuja mmoja ambaye atakuwa mtawala wa Izraeli, ambaye asili zake 297 00:18:08,230 --> 00:18:10,760 ni za zamani, zamani za kale." 298 00:18:10,800 --> 00:18:12,100 Sasa, asili ni nini? 299 00:18:12,630 --> 00:18:15,270 Ni muda ambapo kitu fulani kinaanza kuwepo, sivyo? 300 00:18:15,770 --> 00:18:17,830 Wakati kitu fulani kinaasiliwa, hapo ndipo kinapoanza kuwepo. 301 00:18:18,370 --> 00:18:20,640 Angalia, je Yesu alianza kuwepo siku fulani? 302 00:18:20,670 --> 00:18:22,740 Hapana, ni wa milele katika Biblia tafsiri ya King James. 303 00:18:22,780 --> 00:18:25,610 Lakini kwa mujibu wa tafsiri ya NIV, alikuwa na asili. 304 00:18:26,010 --> 00:18:30,580 Kama Yesu Kriso alikuwa na asili, basi siyo Mungu, kwa vile Mungu 305 00:18:30,650 --> 00:18:33,220 aliyekuwepo na aliyepo na atakayekuwepo. [Ufunuo 4:8] 306 00:18:33,250 --> 00:18:34,860 Mungu nyakati alikuwepo. 307 00:18:35,190 --> 00:18:36,890 Mungu si kiumbe. 308 00:18:36,920 --> 00:18:41,630 Lakini hapa ndipo NIV waziwazi inapopitiliza: 309 00:18:41,660 --> 00:18:46,000 -Isaya 14:12 inasema hivi: "Jinsi ulivyoanguka kutoka 310 00:18:46,030 --> 00:18:47,940 mbinguni, Ewe Lusifa"... 311 00:18:48,200 --> 00:18:53,070 -Mahali pekee kwenye Biblia nzima unapokuta neno "Lusifa". Mara moja tu. 312 00:18:53,140 --> 00:18:57,780 Hapa kwa kweli tumempatia jina Shetani, kumuita Lusifa, 313 00:18:57,810 --> 00:19:01,750 na kama tungetembea mitaani na kuuliza watu, "Lusifa ni nani? 314 00:19:01,780 --> 00:19:04,290 Nani Lusifa?" wote wangesema, "Ni Shetani; ni ibilisi." 315 00:19:04,520 --> 00:19:05,950 Wafahamu Lusifa ni nani? 316 00:19:06,020 --> 00:19:08,010 -Malaika aliyetupwa chini toka mbinguni, Shetani. 317 00:19:08,010 --> 00:19:08,020 318 00:19:08,020 --> 00:19:08,480 -Shetani. 319 00:19:08,760 --> 00:19:09,290 -Huyo ni Shetani. 320 00:19:09,620 --> 00:19:10,390 -Huyo ni ibilisi. 321 00:19:10,660 --> 00:19:11,230 -Ibilisi. 322 00:19:11,490 --> 00:19:12,160 -Ni Shetani. 323 00:19:12,330 --> 00:19:12,330 -Shetani. 324 00:19:12,990 --> 00:19:13,630 -Shetani. 325 00:19:13,660 --> 00:19:14,660 -Ibilisi. 326 00:19:14,860 --> 00:19:14,870 -Ibilisi. 327 00:19:15,630 --> 00:19:16,460 -Ibilisi. 328 00:19:16,500 --> 00:19:17,970 -Sawa kabisa, ni nani huyu Lusifa? 329 00:19:18,330 --> 00:19:19,170 -Ibilisi. 330 00:19:19,630 --> 00:19:21,870 -Ni swali rahisi; nafahamu. Nayo ni sawa kabisa. 331 00:19:21,900 --> 00:19:22,870 -Shetani. Ndiyo. 332 00:19:22,900 --> 00:19:25,920 -Njia pekee wewe na mimi tunafahamu kwamba jina la Shetani ni Lusifa 333 00:19:26,110 --> 00:19:28,010 ni kwa sababu ya Isaya 14:12. 334 00:19:28,030 --> 00:19:31,140 "Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni, Ewe Lusifa," -Nataka uone sasa 335 00:19:31,510 --> 00:19:36,180 inavyotupa jina lake na inavyotupa cheo chake - "Ewe Lusifa, mwana wa asubuhi!" 336 00:19:36,220 --> 00:19:40,290 Kwa hiyo nini cheo cha Lusifa? "Mwana wa asubuhi", sivyo? 337 00:19:40,320 --> 00:19:44,460 Ufunuo sura ya 22, mstari wa 16; Biblia toleo la King James linasema hivi: 338 00:19:44,490 --> 00:19:49,900 "Mimi Yesu nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa. 339 00:19:49,960 --> 00:19:54,870 Mimi ndimi" - huyu ni Yesu anayeongea - "niliye Shina na Mzao wa Daudi," 340 00:19:54,900 --> 00:19:57,970 -huyu ni Yesu anaongea - "ile nyota yenye kung'aa ya asubuhi." 341 00:19:58,610 --> 00:19:58,610 Unaona? 342 00:19:59,540 --> 00:20:02,410 Yesu amejiitaje? Ile nyota ya asubuhi. 343 00:20:02,740 --> 00:20:03,680 Hicho ndicho cheo chake. 344 00:20:03,810 --> 00:20:09,780 Kwa hiyo tafsiri zote mbili za King James na NIV katika Ufunuo 22:16 zinasema kwamba 345 00:20:09,820 --> 00:20:12,150 Yesu Kristo ndiye nyota ya asubuhi. 346 00:20:12,690 --> 00:20:16,720 -Ni vipi NIV inakuita kuanguka kwa Lusifa toka mbinguni? 347 00:20:16,790 --> 00:20:23,560 -"Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni, Ewe nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi!" 348 00:20:23,930 --> 00:20:29,470 Hivyo badala a Lusifa kutupwa toka mbinguni katika Isaya 14:12, kwenye NIV 349 00:20:29,540 --> 00:20:32,240 ni Yesu anayetupwa toka mbinguni. 350 00:20:32,270 --> 00:20:37,750 Zingatia, Biblia imeshatuambia kwamba Lusifa au Shetani alitupwa toka 351 00:20:37,780 --> 00:20:41,880 mbinguni kwa kutaka kuwa kama yeye aliye juu kabisa, akitaka kuwa kama Mungu. 352 00:20:41,920 --> 00:20:46,650 Ona, toleo la NIV, baada ya kuushambulia uungu wa Kristo, baada ya kushambulia 353 00:20:46,690 --> 00:20:51,060 uwepo wake kabla, hata baada ya kushambulia ukweli kwamba alizaliwa na bikira, kwamba 354 00:20:51,090 --> 00:20:54,790 hakuwa na mwanzo, wala hana mwisho, kwamba yeye alikuwa Mungu katika mwili, 355 00:20:54,790 --> 00:20:54,800 356 00:20:54,800 --> 00:20:59,840 sasa hapa inamtuhumu kutaka kufanana na aliye juu. Yeye ndiye aliye juu! 357 00:21:01,800 --> 00:21:05,610 -Kwa mujibu wa NIV, Yesu alitupwa toka mbinguni na siyo Lusifa! 358 00:21:05,640 --> 00:21:10,010 -Watu walio nyuma ya haya matoleo ni wa Shetani. Shetani alitaka 359 00:21:10,040 --> 00:21:12,510 kuchakachua Neno katika bustani ya Edeni 360 00:21:12,550 --> 00:21:15,850 na tunaelewa mbinu zake. 2 Wakorintho 2:11] 361 00:21:15,880 --> 00:21:17,060 Ona, Neno la Mungu lina nguvu kuu. 362 00:21:17,060 --> 00:21:17,150 363 00:21:17,150 --> 00:21:20,500 Biblia inasomeka katika Waebrania 4:12, "Maana Neno la Mungu li hai, 364 00:21:21,190 --> 00:21:25,490 tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili, tena lachoma hata 365 00:21:25,560 --> 00:21:28,660 kuzigawanya nafsi na roho, na viungo na mafuta yaliyomo ndani yake; 366 00:21:28,730 --> 00:21:31,010 tena li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo. " 367 00:21:31,010 --> 00:21:31,030 368 00:21:31,030 --> 00:21:36,480 Ibilisi anajua kwamba akiweza kutunyang'anya silaha yetu kama Wakristo, atatushinda. 369 00:21:36,970 --> 00:21:43,040 -Lengo ni na siku zote limekuwa ni kutunyang'anya silaha yetu. 370 00:21:43,910 --> 00:21:47,720 Angalia historia. Wakati watu waovu wakiwateka kundi la watu, unajua 371 00:21:47,750 --> 00:21:52,320 nini kinafuatia kuteka? Wanawanyang'anya silaha. 372 00:21:52,890 --> 00:21:55,960 Sikiza, serikali hujaribu kukwambia, "Tunataka kuwanyang'anya silaha 373 00:21:55,990 --> 00:21:57,460 kwa sababu tunataka kuwalinda." 374 00:21:57,490 --> 00:21:59,860 Unajua, kama mtu anataka kuondoka na silaha yako, hana mpango 375 00:21:59,930 --> 00:22:02,460 wa kukulinda; anajaribu kuhakikisha kwamba atakapokuja kukufuatilia, 376 00:22:02,500 --> 00:22:03,330 hauwezi kupambana naye. 377 00:22:03,960 --> 00:22:10,470 Mwaka 1929 Urusi ya Kisovieti ilianzisha sheria ya kudhibiti bunduki. kati ya 1929 na 1953 378 00:22:10,500 --> 00:22:14,580 wapinzani wa kisiasa milioni 20 waliuawa. 379 00:22:14,610 --> 00:22:19,550 Mwaka 1935 Ujerumani ilipiga marufuku umiliki wa bunduki, na kuanza kuwanyang'anya silaha wananchi. 380 00:22:19,580 --> 00:22:24,890 Kati ya 1933 na 1945, Wayahudi milioni 13 na watu wengine waliuawa. 381 00:22:24,920 --> 00:22:30,020 Mwaka 1935 China ilizuia umiliki wa silaha na ikaanza kuwanyang'anya silaha wananchi wake. 382 00:22:30,060 --> 00:22:32,360 Kai ya mwaka 1948 na 1952, 383 00:22:32,390 --> 00:22:36,300 wapinzani wa kisiasa milioni 20 waliuawa huko China. 384 00:22:36,330 --> 00:22:41,750 Mwaka 1970 Uganda ilidhibiti umiliki silaha, na kuanza kuwanyang'anya silaha wananchi wake. 385 00:22:41,750 --> 00:22:41,800 386 00:22:41,800 --> 00:22:47,820 Kati ya 1971 na 1979 - ona - Wakristo 300,000 waliuawa. 387 00:22:48,030 --> 00:22:53,240 Mwaka 1956 Cambodia ilianza kudhibiti silaha na kuanza kuwapokonya silaha wananchi wake. 388 00:22:53,610 --> 00:22:58,620 Kati ya 1975 na 1977, Wakambodia milioni moja waliuawa. 389 00:22:59,150 --> 00:23:02,190 Lazima uelewe hili: adui siku zote anajitahidi kukupokonya silaha yako 390 00:23:02,560 --> 00:23:06,490 siyo kukulinda, bali usiweze kujilinda mwenywe. 391 00:23:06,760 --> 00:23:12,070 -Madikteta waovu siku zote wamekuwa wakiwapokonya silaha wananchi wao ili wasiweze kujihami, 392 00:23:12,100 --> 00:23:16,740 na kuwafanya watumwa. Serikali zinajua kwamba kama serikali zikiwapokonya silaha wananchi, 393 00:23:16,770 --> 00:23:19,210 watakuwa hawana uwezo wa kujihami dhidi ya utawala mbovu. 394 00:23:19,240 --> 00:23:21,610 -Unasemaje? Pana mashambulizi leo kwenye Neno la Mungu? 395 00:23:21,640 --> 00:23:25,980 Ndio, yapo. Kwa sababu kama Shetani anaweza kukunyang'anya silaha ya jambo moja ambalo 396 00:23:26,010 --> 00:23:30,280 ungemuumiza nalo, kwa jambo hilo ukiingia kwenye mapambano naye, 397 00:23:30,320 --> 00:23:32,620 kama huna silaha basi atakushinda kirahisi. 398 00:23:32,790 --> 00:23:36,990 Hakuna kitu Ibilisi angependa zaidi ya kunyang'anya upanga ukatao kuwili wa 399 00:23:37,020 --> 00:23:41,000 Biblia ya King James usiwe nayo na kuibadilisha na kisu cha mkate 400 00:23:41,000 --> 00:23:41,030 401 00:23:41,030 --> 00:23:42,430 kiitwacho NIV. 402 00:23:43,100 --> 00:23:45,400 badilishana na kisu cha mkate kiitwacho ESV, 403 00:23:45,570 --> 00:23:47,800 badilishana na kisu cha mkate kiitwacho the New King James. 404 00:23:48,020 --> 00:23:51,890 Hataki tuwe na silaha. Hataki tuweze kupambana na 405 00:23:52,140 --> 00:23:54,780 wakuu wa giza wa dunia hii. 406 00:23:54,810 --> 00:23:59,480 2 Wathesalonike 2 mstari wa 3," Mtu awaye yote asiwadanganye kwa njia 407 00:23:59,510 --> 00:24:05,010 yo yote; maana haiji, usipokuja kwanza ule ukengeufu; 408 00:24:05,010 --> 00:24:05,050 409 00:24:05,050 --> 00:24:09,020 akafunuliwa yule mtu wa kuasi, mwana wa uharibifu; " 410 00:24:09,220 --> 00:24:10,620 Kwa hiyo Biblia inatuambia kwamba... 411 00:24:10,690 --> 00:24:13,770 -Kabla mpingakristo hajaja, kabla ya serikali moja ya dunia haijaja, 412 00:24:14,000 --> 00:24:17,840 kabla ya Utaratibu Mpya wa Dunia haujafika, lazima uwepo ukengeufu kwanza. 413 00:24:18,030 --> 00:24:19,670 Ukengeufu ni nini? Kuanguka imani. 414 00:24:20,030 --> 00:24:25,910 -Na ninaamini kwamba hizi tafsiri za siku hizi ni sehemu muhimu ya mpango wa ibilisi 415 00:24:25,940 --> 00:24:30,980 wa dini moja ya dunia, serikali moja ya dunia, Utaratibu Mpya wa Dunia. 416 00:24:31,010 --> 00:24:35,680 Biblia inatuambia kwamba kabla ya kurudi kwa pili kwa Kristo patakuwa na anguko 417 00:24:35,720 --> 00:24:41,160 kuu, 'apostasia'. Ukengeufu mkuu kabla ya Kristo 418 00:24:41,190 --> 00:24:46,260 hajarudi kutakuwa ni matokeo ya Biblia hizi za siku hizi ambazo ni potofu na danganyifu 419 00:24:46,290 --> 00:24:49,330 ambazo zinageuza na kubadili Neno la Mungu 420 00:24:49,700 --> 00:24:51,470 na kubadili mafundisho ya Kristo. 421 00:24:51,500 --> 00:24:53,590 -Yaani wanatumbukiza makosa katika Biblia na kuwafanya watu watilie mashaka 422 00:24:54,400 --> 00:24:56,900 Biblia, wamtilie mashaka Mungu, waanze kuamini mageuko (evolution), 423 00:24:56,940 --> 00:25:00,610 wanaamini mambo haya yote. Kinachofanyika hapa ni kuhimiza serikali moja 424 00:25:00,640 --> 00:25:03,080 ya dunia. Kwa nini? Kwa sababu inahimiza ukengeufu. 425 00:25:03,540 --> 00:25:07,080 -Na kinachosisimua ni kuona mara nyingi watu wanapozungumzia serikali moja 426 00:25:07,080 --> 00:25:07,090 427 00:25:07,090 --> 00:25:11,310 ya dunia au dini moja ya dunia ambavyo vinakuja, mara nyingi huvisema kama 428 00:25:12,090 --> 00:25:14,060 Utaratibu Mpya wa Dunia. Sivyo? Nani ashasikia msemo huo kabla: 429 00:25:14,060 --> 00:25:14,120 430 00:25:14,120 --> 00:25:15,000 "New World Order?" 431 00:25:16,090 --> 00:25:19,150 -Utaratibu mpya wa dunia ni wazo kubwa. 432 00:25:19,690 --> 00:25:23,030 -Wanaweza kuvamia nyumba na magari ya deraya, bunduki zikiwa tayari. 433 00:25:23,060 --> 00:25:25,200 -Ni utaratibu mpya wa dunia... 434 00:25:25,530 --> 00:25:29,540 -Lazima tuwape nafasi watengeneze utaratibu wa dunia 435 00:25:29,570 --> 00:25:30,940 ambao nadhani wote sisi tunapenda kuuona. 436 00:25:30,970 --> 00:25:36,140 -Una matarajio kwamba mfumo wa dunia unaweza kutokea, kutokana na yale tulioyasikia mpaka sasa? 437 00:25:36,180 --> 00:25:39,710 -Kama inaweza kutokea, na kwa dhai, mipango iko mbioni... 438 00:25:39,750 --> 00:25:43,150 -Watu walio nyuma ya mkataba huu wanataka serikali ya dunia 439 00:25:43,180 --> 00:25:45,420 na mawazoni mwao hii ni hatua kuielekea. 440 00:25:45,450 --> 00:25:48,460 -Una maana kudhibiti risasi, kudhibiti kiasi kilichopo, na baadaye 441 00:25:48,490 --> 00:25:48,500 kudhibiti soko? 442 00:25:49,490 --> 00:25:50,960 -Mwishowe kumdhibiti kila mmojawetu. 443 00:25:53,190 --> 00:25:57,090 -Hiki ndicho kinachovutia. Unajua kwamba NIV inatumia neno "new order" ("utaratibu mpya")? 444 00:25:57,090 --> 00:25:57,130 445 00:25:57,130 --> 00:25:58,690 kuhusu kurudi kwa Kristo? 446 00:25:59,600 --> 00:26:04,240 Katika Biblia ya King James, Waebrania 9:10 inasema, "kwa kuwa ni sheria za jinsi ya mwili tu, vyakula na 447 00:26:04,270 --> 00:26:09,640 vinywaji na kutawadha kwingine kwingine, zilizoamriwa hata 448 00:26:09,680 --> 00:26:11,450 wakati wa matengenezo mapya. " 449 00:26:11,480 --> 00:26:14,820 Hapo anazungumzia mambo ambayo tayari yalishatokea zamani, sawa? 450 00:26:14,850 --> 00:26:18,320 -Wakati wa matengenezo mapya inarejea kuhusu kuja kwa Yesu Kristo. 451 00:26:18,350 --> 00:26:20,590 Elewa vizuri. Inazungumzia kuja kwa kwanza kwa 452 00:26:20,650 --> 00:26:24,060 Yesu Kristo. Hatushughuliki na vyakula, vinywaji, mambo ya kutawadha, 453 00:26:24,090 --> 00:26:27,390 kwinginekwingine. Hatulazimiki kufanya lolote katika hayo. Kwa nini? Kwa sababu wakati wa 454 00:26:27,430 --> 00:26:30,460 matengenezo mapya ulishakuja. Bwana Yesu Kristo alishakuja. 455 00:26:30,530 --> 00:26:36,070 -Isikilize NIV:"kanuni zinazotumika mpaka wakati 456 00:26:36,100 --> 00:26:41,410 wa utaratibu mpya." Na ukisoma mstari wa 11 kwenye NIV, inaufanya usikikike 457 00:26:41,440 --> 00:26:43,980 kana kwamba unazungumzia kitu ambacho kitakuja kutokea huko baadaye. 458 00:26:44,010 --> 00:26:47,250 Utaratibu mpya haukuwa tu wa kuja kwa kwanza kwa Kristo, bali kwamba kuja 459 00:26:47,280 --> 00:26:49,180 kwa pili kwa Kristo ndiko kunakoitwa utaratibu mpya. 460 00:26:49,220 --> 00:26:52,350 Biblia Tafsiri ya Habari Njema haijifichi kabisa: 461 00:26:52,390 --> 00:26:57,760 "Sheria hizi za mambo ya nje, ambazo zatumika tu mpaka wakati ambao Mungu 462 00:26:57,790 --> 00:26:59,430 ataleta utaratibu mpya." 463 00:26:59,460 --> 00:27:02,600 Biblia toleo la New English Translation pia linauita utaratibu mpya - new order. 464 00:27:02,630 --> 00:27:05,100 Biblia tafsiri ya Common English Bible pia inauita utaratibu mpya. 465 00:27:05,130 --> 00:27:08,170 Biblia inayouzwa kuliko zote Marekani leo hii 466 00:27:08,200 --> 00:27:10,440 inaita kuja kwa Kristo 'the new order.' 467 00:27:11,170 --> 00:27:14,710 -Unajua? Atakuja mpingakristo na pale ajapo itakuwa 468 00:27:14,740 --> 00:27:16,110 ndio wakati wa utaratibu mpya wa dunia - the new order. 469 00:27:17,180 --> 00:27:19,210 Lakini huo sio ambao Waebrania inauzungumzia. 470 00:27:19,610 --> 00:27:25,290 -Pana maeneo mengi ambayo Biblia za siku hizi zinapotosha unabii wa Biblia wa siku za mwisho 471 00:27:25,320 --> 00:27:29,820 ili kuwaandaa watu wamkubali mpingakristo, ili kuwaanda watu 472 00:27:29,890 --> 00:27:33,130 wasombwe kuingia kwenye Utaratibu Mpya wa Dunia, ili kuwaanda watu 473 00:27:33,160 --> 00:27:38,230 wadanganywe na serikali hii ya dunia, dini moja ya dunia, mfumo mmoja wa dunia 474 00:27:38,300 --> 00:27:41,340 wa mpingakristo, na kupokea alama ya mnyama. 475 00:27:42,140 --> 00:27:44,100 -Sema, "Mch. Jimenez, unaamini fitna hizi. 476 00:27:44,140 --> 00:27:45,510 Unaamini katika Utaratibu Mpya wa Dunia?" 477 00:27:46,610 --> 00:27:49,440 -Unadhani ni wazimu kufikiria kwamba wapo wenye mabenki na watu wengine 478 00:27:49,480 --> 00:27:51,310 wanaojaribu kuleta serikali moja ya dunia? 479 00:27:51,580 --> 00:27:54,030 Sijui kama ushawahi kukisoma kitabu cha Ufunuo, lakini Biblia inatuambia 480 00:27:54,030 --> 00:27:54,080 481 00:27:54,080 --> 00:27:56,700 kwamba mpingakristo ataleta serikali moja ya dunia. 482 00:27:57,720 --> 00:28:00,820 Biblia inatuambia kwamba mpingakristo ataleta dini moja ya dunia. 483 00:28:00,850 --> 00:28:03,490 Sidhani kama ni kutia chumvi watu wasemapo, 484 00:28:03,520 --> 00:28:05,990 "Aah, wenye mabenki wanaleta utaratibu mpya wa dunia 485 00:28:06,030 --> 00:28:07,160 ukiambatana na serikali moja ya dunia." 486 00:28:07,190 --> 00:28:10,210 Sasa wanaweza kudhani - unajua hawa jamaa wanaoamini nadharia za njama - wanaweza kudhani, 487 00:28:10,400 --> 00:28:11,700 "Aah, ni wenye mabenki tu; ni wao tu." 488 00:28:11,730 --> 00:28:14,100 Lakini tunajua kwenye Biblia kwamba mpingakristo 489 00:28:14,170 --> 00:28:15,540 analeta kitu hichohicho. 490 00:28:16,070 --> 00:28:17,710 Hiki ndicho Biblia inasema. 491 00:28:17,870 --> 00:28:20,470 Tangu bustani ya Edeni pamekuwa na vita dhidi ya Neno la Mungu. 492 00:28:20,510 --> 00:28:23,530 Hata kabla Biblia haijamaliziwa kuandikwa, palikuwa na 493 00:28:23,810 --> 00:28:26,580 vita dhidi ya Neno la Mungu, na unadhani ni tofauti leo hii? 494 00:28:26,610 --> 00:28:27,480 Siyo. 495 00:28:27,510 --> 00:28:30,540 Inakubidi uelewe hivi. Leo hii Neno la Mungu linashambuliwa. 496 00:28:31,250 --> 00:28:35,460 Matoleo ya siku hizi ya Biblia ni wazi yana tofauti na Biblia ya King James. 497 00:28:35,490 --> 00:28:38,030 na inakubidi ujiulize swahili hili: kwa nini? 498 00:28:38,060 --> 00:28:42,100 Ili kuelewa tofauti, inabidi uelewe historia 499 00:28:42,160 --> 00:28:43,200 ya Biblia ya Kiingereza. 500 00:28:43,530 --> 00:28:47,030 Kwa bahati, tunayo makumbusho ya Biblia hapahapa Phoenix ambayo ina moja ya 501 00:28:47,070 --> 00:28:51,010 mikusanyiko mikubwa ya Biblia adimu za Kiingereza duniani, na mkurugenzi wa 502 00:28:51,070 --> 00:28:54,890 makumbusho Joel Lampe ataturuhusu kutazama matoleo haya 503 00:28:54,890 --> 00:28:54,940 504 00:28:54,940 --> 00:28:58,530 adimu ya Biblia za awali zilizotangulia Biblia ya King James na ya King James yenyewe. 505 00:28:59,450 --> 00:29:03,020 Atatuelezea historia ya Biblia yetu ya King James. 506 00:29:03,380 --> 00:29:07,860 Atatuchukua kuanzia Agano Jipya la Kiyunani la Erasmus, 507 00:29:07,890 --> 00:29:09,590 toleo lenyewe la awali (Textus Receptus), 508 00:29:09,660 --> 00:29:12,560 na kutuchukua katika historia nzima ya Biblia hizi zote za Kiingereza 509 00:29:12,590 --> 00:29:14,260 zote mpaka kufikia toleo la King James. 510 00:29:14,730 --> 00:29:16,260 Kwa hiyo ngoja tuanze na Erasmus. 511 00:29:16,300 --> 00:29:21,470 -Unachokiona hapa mezani, mchungaji, ni, kwa kifupi, historia ya 512 00:29:21,500 --> 00:29:22,470 Biblia ya King James. 513 00:29:22,500 --> 00:29:25,910 Kumbuka kwamba Biblia hii ya King James ilichapwa mwaka 1611 na pana 514 00:29:25,940 --> 00:29:28,120 uelewa potofu hapo kwamba ndiyo ilikuwa Biblia ya kwanza ya Kiingereza. 515 00:29:28,120 --> 00:29:28,210 516 00:29:28,210 --> 00:29:32,630 Hapana, haikuwa. Palikuwa na matoleo mengine mengi ya Kiingereza kabla ya mwaka 1611 517 00:29:32,910 --> 00:29:37,890 na unachokiona hapa kinaanza na toleo la kwanza la Kiyunani, kama ulivyosema muda mfupi uliopita, 518 00:29:37,920 --> 00:29:40,290 Textus Receptus, iliyotolewa na Erasmus wa Rotterdam. 519 00:29:40,350 --> 00:29:44,860 Toleo hili kwa kweli lilibadilisha kila kitu kama tunavyofahamu sasa kuhusu historia ya kanisa 520 00:29:44,890 --> 00:29:47,130 na hata katika historia ya mambo mengine. 521 00:29:47,160 --> 00:29:52,930 Linaitwa, Toleo la mwaka 1516 la Agano Jipya ya Kiyunani/Kilatini la Erasmus wa Rotterdam. 522 00:29:52,970 --> 00:29:55,940 Acha tu tumuite Erasmus kwa vile alivyo: 523 00:29:55,970 --> 00:30:00,640 mtu mwenye akili nyingi kuliko wote waliopata kuishi, wasio Mungu. Yesu bila shaka 524 00:30:00,670 --> 00:30:04,850 ndiye aliyekuwa na akili nyingi kuliko wote waliopata kuishi. Sulemani naye yuko juu, lakini hata 525 00:30:04,880 --> 00:30:08,910 leo tunaumona Erasmus alikuwa na akili nyingi kuliko wote. Ikiwa ni katika sayansi, theolojia, 526 00:30:09,180 --> 00:30:11,040 falsafa, alikuwa na akili nyingi sana. 527 00:30:11,040 --> 00:30:11,050 528 00:30:11,050 --> 00:30:13,780 -Na hiyo Textus Receptus yenyewe kabisa ipo hapa? 529 00:30:14,020 --> 00:30:15,320 -Textus Receptus halisi. 530 00:30:15,590 --> 00:30:16,560 -Jamani. 531 00:30:16,590 --> 00:30:17,490 -Iangalie tafadhali. 532 00:30:18,260 --> 00:30:20,860 Kwa ujumla hudhaniwa uwa ndicho kitabu muhimu kuliko vyote vilivyowahi kuchapwa. 533 00:30:20,930 --> 00:30:23,330 Na hiki ndicho kitabu kilichoamsha mageuko. 534 00:30:23,360 --> 00:30:27,080 Hata kama huamini Mungu yuko, unakubali kwamba hiki ndicho kitabu muhimu kuliko vyote vilivyowahi kuchapwa. 535 00:30:27,080 --> 00:30:27,100 536 00:30:27,100 --> 00:30:30,090 Uamsho ulitokana na hiki. Ukweli watoka kwenye kitabu hiki. 537 00:30:30,090 --> 00:30:30,120 538 00:30:30,120 --> 00:30:35,020 Na kwa hiyo tunaona jinsi kitabu hiki kilivyo muhimu, lakini ilichofanya kingine ni 539 00:30:35,880 --> 00:30:39,110 kilisababisha matatizo makubwa. Ninamaanisha nini? 540 00:30:39,150 --> 00:30:42,950 Ni kwamba, pesa ziliacha kutiririka kwenda Roma. Hapa ni jengo linaloendelea kujengwa. 541 00:30:42,980 --> 00:30:45,050 Palikuwa na msanifu mashuhuri wa ndani ya majengo aliyepewa kazi ya 542 00:30:45,690 --> 00:30:49,190 kulipamba. Bila shaka nazungumzia kuhusu Vatikani, Michaelangelo. 543 00:30:49,220 --> 00:30:53,290 Kanisa la Sistini. Pesa hiyo iliacha kutiririka. Kanisa likaanza kuweka 544 00:30:53,330 --> 00:30:57,930 madau vichwa vya watu, likisema, "Hamuwezi kufundisha haya. Haya siyo ambayo 545 00:30:58,000 --> 00:31:01,870 tunayaona yako sawa", hata kama Erasmus alisema, "Ni kama pana tatizo hapa. 546 00:31:01,900 --> 00:31:06,870 Inasema 'toba' (metánoia), siyo 'lipa faini,' kwa hiyo tutazungumzia pia 547 00:31:06,910 --> 00:31:10,740 suala hili la kitheolojoia. Lakin vuguvugu la kiprotestanti lilizaliwa 548 00:31:10,780 --> 00:31:13,550 toka kwenye kitabu hiki. Na nini maana hasa ya vuguvugu la kiprotestanti? 549 00:31:13,980 --> 00:31:14,790 Kupinga. 550 00:31:14,790 --> 00:31:14,850 551 00:31:14,850 --> 00:31:19,190 -Katika toleo hili unalonionyesha, Erasmus aliyaweka maandishi ya 552 00:31:20,050 --> 00:31:24,990 Kigiriki pembeni ya Kilatini cha kanisa, la kufanya iwe rahisi kabisa kutambua tofauti 553 00:31:25,000 --> 00:31:25,870 baina ya tafsiri mbili hizo. -Ni kweli. 554 00:31:25,930 --> 00:31:29,760 -Hayo ni kweli?\-Ndio maana yalibadili kila kitu. 555 00:31:29,830 --> 00:31:33,870 Kwa sababu ilionyesha kwamba tulikuwa tunakosea, na kutuonyesha kilichokuwa sahihi. 556 00:31:34,270 --> 00:31:38,030 Lakini hakutafsiri ili kuonyesha ilivyopaswa kuwa mpaka muda ulipopita. 557 00:31:38,030 --> 00:31:38,170 558 00:31:38,170 --> 00:31:40,560 Haikuwa hivyo mpaka mwaka 1519. 559 00:31:40,910 --> 00:31:43,440 -Kwa hiyo vitu hivi vinavyosigana viko upande huu na upande huu. 560 00:31:43,480 --> 00:31:45,050 -Na anachokifanya hasa ni kuonyesha tu ushahidi. 561 00:31:45,080 --> 00:31:49,950 -Toleo potofu la Kilatini la kanisa na toleo halisi la Kiyunani, Textus 562 00:31:49,980 --> 00:31:53,420 Receptus, aliviweka upande huu na upande huu na kumwachia tu msomaji 563 00:31:53,490 --> 00:31:54,020 awe mwamuzi. 564 00:31:54,020 --> 00:31:54,120 565 00:31:54,120 --> 00:31:57,080 -Lakini hii ndiyo risasi ambayo kimsingi ndiyo ililiua kanisa. 566 00:31:57,080 --> 00:31:57,120 567 00:31:57,120 --> 00:31:57,650 -Haswa. 568 00:31:58,040 --> 00:32:01,710 -Unachokiona hapa ndicho tunachokijua leo kama toleo la kwanza la Biblia ya Coverdale. 569 00:32:02,130 --> 00:32:07,500 Ambayo lakini, kikweli, ni kazi ya William Tyndale. Sasa kama tujuavyo 570 00:32:07,570 --> 00:32:11,970 Tyndale ndiye mvumbuzi wa Kiingereza tukizungumzacho leo. Ndiye pia mvumbuzi 571 00:32:12,010 --> 00:32:16,020 wa Biblia ya Kiingereza ya kwanza kabisa kutafsiriwa toka lugha za asili. 572 00:32:16,210 --> 00:32:20,590 Tyndale huko Uingereza alitaka kufanya kitu kilekile ambacho Luther alikuwa anakifanya Ujerumani. 573 00:32:20,590 --> 00:32:20,610 574 00:32:20,610 --> 00:32:26,060 Alijificha, na kwa msaada wa maktaba ya Luther, vitabu kama hiki 575 00:32:26,920 --> 00:32:31,060 hapa, na baadaye matoleo ya kazi za Erasmus, Tyndale alitoa 576 00:32:31,090 --> 00:32:35,830 toleo la kwanza kabisa la Agano Jipya. Kiligeuka kuwa ni kitabu kinachowindwa kuliko vyote katika historia ya Uingereza. 577 00:32:35,900 --> 00:32:38,040 Na pia mfalme akataka kitu hiki kichomwe moto. 578 00:32:38,040 --> 00:32:38,130 579 00:32:38,130 --> 00:32:41,850 -Kwa hiyo Uingereza ilikuwa chini ya udhibiti mkali wa Kanisa Katoliki wakati huo 580 00:32:42,300 --> 00:32:44,970 ambao Tyndale alitoa toleo lake la Agano Jipya mwaka 1526? 581 00:32:45,000 --> 00:32:49,170 -Na ni kitabu ambacvho kimsingi kilikuwa ni shambulizi dhidi ya watawala au Kanisa Katoliki 582 00:32:49,210 --> 00:32:50,580 la London la wakati huo. 583 00:32:50,610 --> 00:32:55,880 Hili lilikuwa ni fanikio kubwa sana kwa vile Tyndale, katika miaka ya mwisho ya 584 00:32:55,920 --> 00:33:00,790 maisha yake, alitumia muda wake mwingi kutafsiri kutoka Kiebrania na 585 00:33:00,820 --> 00:33:02,320 Kiyunani ili kutoa kitabu hiki. 586 00:33:02,360 --> 00:33:05,960 -Agano la Kale lililokuwa limebaki, baadhi haikuweza kukamilika 587 00:33:05,990 --> 00:33:08,000 kutafsiriwa kutoka Kiebrania wakati kitabu hiki kinatoka? 588 00:33:08,030 --> 00:33:10,970 La hasha, kwa sababu Tyndale alikamatwa mwaka 1534. 589 00:33:11,000 --> 00:33:11,980 -Sawa. 590 00:33:11,980 --> 00:33:11,990 591 00:33:11,990 --> 00:33:15,470 -Aliwekwa kizuizi cha nyumbani kwa siku 500. Na kisha mnamo asubuhi ya 592 00:33:16,140 --> 00:33:21,030 Oktoba 6, 1536, alitolewa na kuchomwa moto. Lakini wakati yumo kizuizini 593 00:33:21,030 --> 00:33:21,040 594 00:33:21,040 --> 00:33:26,240 Myles Coverdale alimalizia kile ambacho Tyndale alikianza. 595 00:33:26,610 --> 00:33:31,620 Na ninachokipenda kuliko vyote vilivyomo ndani hapa ni haya maandishi hapa. 596 00:33:31,650 --> 00:33:35,620 Hii ni 1537 tuiitayo Biblia ya Mathayo. Hii ni nini? 597 00:33:35,660 --> 00:33:38,030 Ni hiki tu ambacho kimekamilika, si zaidi. 598 00:33:38,060 --> 00:33:38,630 -Sawa. 599 00:33:38,790 --> 00:33:42,800 -Kumbuka kwamba wakati Tyndale anakufa maneno yake ya mwisho, kama ulivyosema vizuri sana 600 00:33:42,830 --> 00:33:46,370 mwanzo yalikuwa, "Bwana, mfumbue macho mfalme wa Uingereza." 601 00:33:46,400 --> 00:33:48,340 Kitu gani basi kilitokea katika maombi hayo? 602 00:33:48,370 --> 00:33:50,640 Tyndale angeweza kusema mambo milioni. 603 00:33:51,040 --> 00:33:55,580 Kwa nini apoteze pumzi yake ya mwisho kusema, "Bwana, fumbua macho ya mfalme wa 604 00:33:55,610 --> 00:34:01,320 Uingereza?" Tyndale alijua kwamba hata kama Henri wa Nane alikuwa mwehu kiasi gani, kama 605 00:34:01,350 --> 00:34:06,350 angeweza kumfanya Henri wa Nane aachane na Kanisa la Roma, Uingereza 606 00:34:06,390 --> 00:34:11,020 ingeshinda na kuwa salama. Ni jambo moja kuwa na uhusiano binafsi 607 00:34:11,020 --> 00:34:11,090 608 00:34:11,090 --> 00:34:14,320 na Yesu. Ni jambo lingine kuwa na uhusiano binafsi na Yesu huku 609 00:34:14,560 --> 00:34:18,230 kukiwa na mtu anayetaka kuamka na kukuua kila asubuhi. Huo ndio uliokua utume wao. 610 00:34:18,230 --> 00:34:18,300 611 00:34:18,300 --> 00:34:23,770 Lakini mwishowe Henri wa Nane aliruhusu uhuru wa kusoma Biblia kwa sababu ya kitu kimoja: 612 00:34:24,140 --> 00:34:24,150 talaka. 613 00:34:28,440 --> 00:34:31,180 Maandishi haya mawili bila shaka yaliibadili Uingereza. 614 00:34:31,210 --> 00:34:34,080 Ungeweza kabisa kuwa na uhusiano binafsi na Yesu kutokana 615 00:34:34,110 --> 00:34:34,650 na vitabu hivi viwili. 616 00:34:35,280 --> 00:34:38,310 -Ulikuwa naye mpatanishi wa kanisa badala tu 617 00:34:38,590 --> 00:34:40,020 Yesu Kristo kuwa ndiye mpatanishi. 618 00:34:40,050 --> 00:34:41,060 -Kile ambacho siku hizi tunakiita kitubio. 619 00:34:41,690 --> 00:34:44,060 "Nisamehe, baba, kwa kuwa nimetenda dhambi. Imekuwa ni wiki mbili 620 00:34:44,090 --> 00:34:45,090 toka toba yangu iliyopita." 621 00:34:45,160 --> 00:34:47,190 -Kwa hiyo hii iliishinda kitubio. 622 00:34:47,230 --> 00:34:51,570 -Ilifanya kiondoke kabisa. Hakukuwa tena na haja ya kuwa nacho. Haukuhitajika kuwa na 623 00:34:51,600 --> 00:34:54,030 mtu kukueleza nini adhabu yako kwa 624 00:34:54,030 --> 00:34:54,100 625 00:34:54,100 --> 00:34:55,040 uhalifu huu uliomkosea Mungu. 626 00:34:55,970 --> 00:34:59,040 Lakini tulicho nacho leo ni kile kiitwacho Biblia Kuu au Biblia ambayo ilikuwa 627 00:34:59,670 --> 00:35:03,180 imethibitishwa na kuruhusiwa na Henri wa Nane, mfalme wa Uingereza. 628 00:35:03,210 --> 00:35:05,450 Inapendeza zaidi kukumbuka vitu kadha wa kadha. 629 00:35:05,480 --> 00:35:10,920 Toleo la baadaye la kazi ya Erasmus lilifanywa na mtu aitwaye Beza. 630 00:35:12,050 --> 00:35:15,790 Na kingawa azi nyingine ambayo tunaijua zaidi, ni hii hapa 631 00:35:15,820 --> 00:35:21,060 iliyofanywa na Stephanus. Stephanus ni muhimu kwa vile anatupatia Kiyunani 632 00:35:21,130 --> 00:35:26,670 ambacho Biblia ya Geneva au Biblia iliyotolewa na wanamageuko wa John Calvin, 633 00:35:26,700 --> 00:35:32,760 William Wittingham, hao jamaa, walitumia maandishi haya ya Kiyunani kutafsiri 634 00:35:33,370 --> 00:35:36,110 Biblia yao ya Kiingereza inayojulikana leo hii kama Biblia ya Geneva. 635 00:35:36,140 --> 00:35:40,480 Sasa, ni mashuhuri kwa vile ni Biblia ya kwanza yenye mistari. Sawa, ndiyo sababu 636 00:35:40,510 --> 00:35:44,030 Biblia ya Geneva inafahamika na wengi wetu. Mathalani, ni wapi Yohana 3:16 637 00:35:44,030 --> 00:35:44,050 638 00:35:44,050 --> 00:35:46,040 inakotokea? Ndio, ilitokea... 639 00:35:46,790 --> 00:35:49,120 -Waliigawanya kuwa sura na mistari? 640 00:35:49,160 --> 00:35:50,320 -Sura zilishakuwepo tayari. 641 00:35:50,390 --> 00:35:51,990 -Waligawanya kuwa mistari. Nimekupata. 642 00:35:52,690 --> 00:35:57,160 -Baada ya Henri wa Nane mwana wake anachukua kiti cha enzi. Na tunamjua leo kama 643 00:35:57,200 --> 00:36:00,730 Edward wa Sita. Alikuwa akiwa kijana sana. Alikuwa mfalme kwa miaka minne au 644 00:36:00,800 --> 00:36:05,140 mitano. Lakini katika muda huo aliruhusu pia uhuru wa maandiko. Lakini 645 00:36:05,170 --> 00:36:09,710 pia hakuwa na mke wala watoto kwa hiyo hakuwa na mrithi, nani ambaye 646 00:36:09,740 --> 00:36:15,150 alimrithi? Dada yake tunayemjua leo kwa jina la Bloody Mary (Mary wa Damu). Na hatumuiti 647 00:36:15,180 --> 00:36:17,650 hivyo kwa sababu alipenda vodka na juisi ya nyanya yenye mchanganyiko wa 648 00:36:17,720 --> 00:36:22,120 Tabasco. Tunamwita Bloody Mary kwa sababu aliwajibika kwa zaidi ya 649 00:36:22,160 --> 00:36:26,830 vifo 7,000 vya raia wake mwenyewe. Na huu ni mfano mzuri. Huyu hapa ni 650 00:36:26,860 --> 00:36:32,500 familia, mchungaji, katika utawala wa Bloody Mary. Hawa hapa ni akina mama watano na akina baba watano wote 651 00:36:32,530 --> 00:36:34,870 wakichomwa moto. Kwa sababu gani? 652 00:36:35,370 --> 00:36:38,010 Waliwafundisha watoto wao Sala ya Bwana kwa Kiingereza. 653 00:36:38,040 --> 00:36:38,570 -Jamani. 654 00:36:38,610 --> 00:36:39,810 -Na aliagiza wachomwe moto. 655 00:36:39,870 --> 00:36:43,410 -Katika hamasa yake kwa ajili ya Kanisa Katoliki, aliwaua watu hawa. 656 00:36:43,440 --> 00:36:45,550 -Wazazi walikuwa wakiwafundisha watoto wao. 657 00:36:45,580 --> 00:36:47,850 -OK. Na walikuwa wakitaka kanisa ndilo liwafundishe? 658 00:36:47,880 --> 00:36:50,920 -Hatukustahili, mchungaji, kuwafundisha watoto wetu. 659 00:36:51,020 --> 00:36:53,090 -Kwa hiyo walikuwa wakichomwa moto kwa kuwafundisha watoto wao nyumbani. 660 00:36:53,390 --> 00:36:56,690 -Hiyo ndivyo kimsingi kilichotukia. Kiaina, ndivyo ilikuwa. 661 00:36:56,720 --> 00:36:59,360 Walitaka mamlaka yote ya kutawala. 662 00:36:59,690 --> 00:37:00,690 -Jamani. 663 00:37:15,240 --> 00:37:20,950 Wakati hayo yanatokea, wanaume majasiri waliamua 664 00:37:20,980 --> 00:37:26,080 kuasi. Majina yao ni yapi? John Knox, John Foxe, William Wittingham. 665 00:37:26,950 --> 00:37:32,360 Walikimbia toka Uingereza na kwenda kuanza kufanyia kazi maandishi mapya. Na tunayaitaje 666 00:37:32,390 --> 00:37:34,930 leo hii maandishi hayo? Tunayaita Biblia ya Geneva. 667 00:37:34,960 --> 00:37:38,500 -Inasema hivyo hapa, na mtu mwingine ameandika hapa, "Family Bible." 668 00:37:38,570 --> 00:37:41,070 -Sawa kabisa. Hiyo ndiyo ilikuwa kwa kweli: Biblia ya kwanza kabisa ya familia. 669 00:37:41,070 --> 00:37:41,140 670 00:37:41,140 --> 00:37:41,170 -Kile tukijuacho leo kama Textus Receptus, kilipelekea kutengenezwa kile 671 00:37:41,170 --> 00:37:41,670 -Sawa. -Kile tukijuacho leo kama Textus Receptus, kilipelekea kutengenezwa kile 672 00:37:41,670 --> 00:37:45,670 -Kile tukijuacho leo kama Textus Receptus, kilipelekea kutengenezwa kile 673 00:37:46,370 --> 00:37:50,710 tunachokijua kama Biblia ya kwanza kabisa ya kujifundishia nyumbani: Biblia ya Geneva. 674 00:37:51,080 --> 00:37:51,580 -Sawa. 675 00:37:51,610 --> 00:37:53,710 -Na hiki ndicho kitabu kipitacho juu ya Mayflower. 676 00:37:53,750 --> 00:37:54,420 -Nimekupata. 677 00:37:54,480 --> 00:37:55,920 -Hiyo ndiyo Biblia inayotuliza Jamestown. 678 00:37:56,480 --> 00:38:01,030 Baada ya utisho wa Blood Mary, alikuwa na dada. Tunamjua zaidi kwa jina la 679 00:38:01,030 --> 00:38:01,090 680 00:38:01,090 --> 00:38:05,140 Malkia Elizabeth. Ili kuwaridhisha wananchi, aliachana na Biblia ya 681 00:38:05,490 --> 00:38:08,300 Maaskofu. Hii ilitolewa na "maaskofu", 682 00:38:08,960 --> 00:38:09,930 ikitolewa na wachungaji. 683 00:38:09,960 --> 00:38:12,770 -Lakini walikuwa wakiendeleza kazi iliyofanyika kwenye Biblia ya Geneva. 684 00:38:12,800 --> 00:38:16,640 -Walitaka kitu ambacho kilizungumza kwa mamlaka zaidi. 685 00:38:16,670 --> 00:38:17,240 -Sawa. 686 00:38:17,300 --> 00:38:19,240 -Hii ya yatoka kwa watu unaoweza kuwaamini. -Wataalam. 687 00:38:19,570 --> 00:38:23,080 -Wataalamu wa Kiebrania, Kiyunani laki wakweli, wasiotaka kuwapendeza watu. 688 00:38:23,110 --> 00:38:24,850 Ilikuwa kazi tukufu. 689 00:38:25,510 --> 00:38:26,950 -Kwa sababu fulani haikusambaa sana. 690 00:38:26,980 --> 00:38:27,720 -Haikusambaa sana. 691 00:38:27,750 --> 00:38:30,080 -Labda Mungu alijua kwamba kilicho bora zaidi kinafuatia. 692 00:38:30,120 --> 00:38:33,450 -Na pia kwa kuwa hakuwa na mume wala watoto. Nani ambaye 693 00:38:33,490 --> 00:38:37,660 angemrithi kiti cha enzi? Binamu yake toka Scotland. Huyu ndiye tunayemjua kwa jina la King James. 694 00:38:37,690 --> 00:38:41,700 Na hiyo Biblia kubwa, ndefu unayoiona hapo karibu nawe, hiyo ndiyo 695 00:38:41,700 --> 00:38:41,760 696 00:38:41,760 --> 00:38:45,010 toleo la kwanza la Biblia ya King James. Na mwaka mmoja baadaye, aliruhusu 697 00:38:45,830 --> 00:38:48,340 wananchi kuinunua maduka ya vitabu na umeshika 698 00:38:48,370 --> 00:38:50,800 Agano Jipya la kwanza kabisa la King James. 699 00:38:50,840 --> 00:38:51,870 -Jamani. 700 00:38:53,210 --> 00:38:58,750 Tunapofika mwaka 1603, tunamwona King James akipata ufalme. Mfalme James wa Sita wa 701 00:38:58,810 --> 00:39:04,320 Scotland. Alipata ufalme na akaambiwa kwamba tafsiri mpya 702 00:39:04,350 --> 00:39:07,690 ya maandiko inabidi itolewe. Sababu yake ni kwamba 703 00:39:07,720 --> 00:39:11,190 pana watu wengi wanatumia Biblia ya Geneva, lakini inawabidi 704 00:39:11,260 --> 00:39:14,000 waipate kanisani na Biblia ya Maaskofu, kwa hiyo pana matoleo makuu mawili na yote mawili 705 00:39:14,000 --> 00:39:14,010 706 00:39:14,010 --> 00:39:15,040 yana matatizo. 707 00:39:16,160 --> 00:39:19,370 Biblia ya Geneva ilikuwa na mapungufu; na Biblia ya Maaskofu ilikuwa na mapungufu yake. 708 00:39:19,400 --> 00:39:23,100 Hivyo wakasema, tutumie muda kupatia sawasawa. 709 00:39:23,140 --> 00:39:27,640 Walikuwa na wasomi bora kabisa nchini waliokaa pamoja na kusema hatujaribu 710 00:39:27,710 --> 00:39:29,180 kubadilisha toleo baya. 711 00:39:29,210 --> 00:39:32,950 Tunaenda kutoka kwenye nzuri ili kupata nzuri zaidi mpaka nzuri kabisa. Yaani tafsiri hizi 712 00:39:32,980 --> 00:39:35,650 nzuri. Biblia ya Geneva ni nzuri; Biblia ya Maaskofu ni nzuri. 713 00:39:35,680 --> 00:39:39,390 Tunataka tu kuzifanya ziwe kamili bila mapungufu. 714 00:39:40,050 --> 00:39:46,430 Kwa hiyo toka mwaka 1604 mpaka 1610 Biblia ya King James (KJV) ilitafsiriwa na watu 54 waliokuwa 715 00:39:46,490 --> 00:39:50,660 miongoni mwa wasomi bora kabisa waliokuwepo wakati huo. Kwa mfano: mtu mmoja, 716 00:39:50,700 --> 00:39:58,440 Lancelot Andrews, alikuwa ni mtaalam wa Kilatini, Kiyunani, Kiebrania, Kikaldayo, Kiashuru, 717 00:39:58,470 --> 00:40:04,550 Kiarabu, na pia alizungumza lugha 15 za siku hizi. Huyo ni mmoja wa wale 54. 718 00:40:04,580 --> 00:40:08,880 walioitafsiri Biblia ya King James kwa muda wa miaka saba. 719 00:40:09,380 --> 00:40:11,990 -Kwa hiyo walikuwemo wasomi wa Kiarabu. Walikuwepo wale ambao walikuwa 720 00:40:12,020 --> 00:40:15,080 wanazuoni wa Kiyunani na Kiebrania. Wengine walikuwa wanazuoni wa Kiaramu. Walikuwa ni wanaume wenye 721 00:40:15,660 --> 00:40:19,890 maarifa makuu, wote hao. Na ujuzi wao wa maandiko ulikuwa umepishana. 722 00:40:19,930 --> 00:40:24,130 Pengine walikuwa na imani tofauti au maeneo tofauti ya theolojia 723 00:40:24,160 --> 00:40:26,900 yangeweza kuwa tofauti baina yao wafasiri. 724 00:40:26,930 --> 00:40:29,570 Walichofanya ilikuwa ni kujigawa katika makundi sita. 725 00:40:29,600 --> 00:40:32,660 Watu sita walitafsiri vitabu hivi sita vya Biblia na kadhalika. Na pale 726 00:40:33,240 --> 00:40:37,580 walipofanya hivi walilinganisha kazi zao kwa pamoja, na kila moja ya makundi sita 727 00:40:37,610 --> 00:40:41,920 lilifanya hivi. Na kisha walimchagua kiongozi mmoja toka kila kundi ili kukagua makundi yote sita 728 00:40:41,950 --> 00:40:46,250 kilichotokea ni kwamba kila kifungu cha maandiko kilikaguliwa mara kumi na tano. 729 00:40:46,720 --> 00:40:50,590 Na mwisho wa yote: wote kwa pamoja walikubaliana na kile kilichokuwa 730 00:40:50,620 --> 00:40:55,960 kinatafsiriwa kutegemea na muktadha uliotumika, yaani kwa 731 00:40:56,000 --> 00:40:57,970 kili ilichosema, ndicho hicho ilichomaanisha, 732 00:40:58,000 --> 00:41:01,030 hata kama ilikuwa inakinzana kidogo na vile wangependa kudhani. 733 00:41:01,040 --> 00:41:08,280 -Mfalme mwaka 1603 alisema, "Sawa, nitaandaa kamati na bila kujali muda 734 00:41:08,710 --> 00:41:12,650 itakaoutumia, mtafanya kazi kwa kutumia kanuni mbili: 735 00:41:12,680 --> 00:41:18,190 Agano La Kale lazima litafsiriwe kutoka kwenye Kiebrania, Agano Jipya lazima 736 00:41:18,220 --> 00:41:22,660 litafsiriwe kutoka kwenye Kiyunani, nami nitawapa ninyi rasilmali zote kadiri 737 00:41:22,720 --> 00:41:25,800 inavyowezekana kufanya haya yawe." Kwa hiyo Waebrania hodari kabisa wa wakati huo, 738 00:41:26,530 --> 00:41:33,030 wasomi hodari wa Kiyunani wa wakati huo, na katika mwaka 1603, watu 53 waliajiriwa. 739 00:41:33,070 --> 00:41:36,970 Walitoka na kwa miaka saba walifanyia kazi kile tukijuacho leo kama kitabu muhimu 740 00:41:37,000 --> 00:41:40,080 katika historia ya binadamu: toleo la kwanza, nakala ya kwanza, uchapaji wa 741 00:41:40,080 --> 00:41:40,140 742 00:41:40,140 --> 00:41:42,590 kwanza wa Biblia ya King James. Iliwachukua miaka saba. 743 00:41:44,140 --> 00:41:47,790 Na walifanya kazi nzuri. Na Biblia ya King James ambayo wewe na mimi tunaisoma leo 744 00:41:47,790 --> 00:41:47,880 745 00:41:47,880 --> 00:41:53,490 inatokana na yale mapitio ya mwaka 1769, lakini haya ndiyo yalikuwa msingi wa maandishi. Na 746 00:41:54,030 --> 00:41:59,340 hiki ndio matokeo yake. Na katika mwaka 1612 alitupatia kile tukijuacho leo kama 747 00:41:59,690 --> 00:42:01,790 Agano Jipya la King James la kwanza kabisa la kubebeka kiganjani. 748 00:42:03,530 --> 00:42:04,530 -Hii ndiyo iliyosambaa sana. 749 00:42:04,600 --> 00:42:05,570 -Hicho ndicho kilichosambaa sana. 750 00:42:05,600 --> 00:42:06,900 -Agano Jipya la kubebeka kiganjani. 751 00:42:06,930 --> 00:42:09,940 -Mfalme anasema kama unamudu bei, unaweza kuimiliki. Kila duka la vitabu London 752 00:42:10,040 --> 00:42:12,310 lilikiuza, na kilishamiri. 753 00:42:12,670 --> 00:42:16,380 Na kisha kikawa na bado ndicho kitabu #1 kinachouzwa katika historia 754 00:42:16,410 --> 00:42:19,510 ya binadamu. Hakuna kitabu kilichokipiku hiki, na hakuna kitakacho. 755 00:42:20,180 --> 00:42:24,790 -Tunapoangalia matoleo ya Biblia yaliyotangulia ya King James: Tyndale, 756 00:42:24,820 --> 00:42:28,620 Matthew, Coverdale, Great Bible, Biblia ya Maaskofu, Biblia ya Geneva, yote 757 00:42:28,660 --> 00:42:32,360 yanarandana na Biblia ya King James. Yote kimsingi yanasema kitu kilekile kama 758 00:42:32,390 --> 00:42:37,700 King James. Biblia ya King James ndilo matokeo ya Biblia zilizoitangulia. 759 00:42:37,730 --> 00:42:42,470 Hivyo, kama Biblia ya King James inarandana na zote zingine za Kiingereza 760 00:42:42,570 --> 00:42:47,270 zilizoitangulia, kwa nini Biblia hizi za siku hizi ziko tofauti sana? 761 00:42:47,840 --> 00:42:52,650 Dk. James White ni mtu ambaye amefanya midahalo dhidi ya watu wasomao Biblia ya King James tu. 762 00:42:52,680 --> 00:42:55,220 Ameandika kitabu dhidi ya wale wasomao King James tu. 763 00:42:55,250 --> 00:43:00,720 Hudhaniwa kuwa ni mtaalam wa kubainisha kwa nini ni makosa kusoma King James pekee, kwa hiyo 764 00:43:00,750 --> 00:43:03,390 tutaongea naye tufahamu hoja zake ni zipi. 765 00:43:05,790 --> 00:43:07,460 -James? Tuna wageni. 766 00:43:08,060 --> 00:43:09,060 -Sawa kabisa. Salama? 767 00:43:09,100 --> 00:43:11,180 Dk. James White, asante sana kwa kuongea nasi leo. 768 00:43:12,000 --> 00:43:12,470 -Ni furaha yangu kuwa nanyi. 769 00:43:12,500 --> 00:43:16,540 -Unaweza kuniambia kuhusu Codex Sinaiticus kwa kifupi, 770 00:43:16,600 --> 00:43:18,340 na Codex B kwa kifupi? 771 00:43:18,370 --> 00:43:24,020 -Zote mbili Sinaiticus na Vaticanus hushambuliwa vikali na 772 00:43:24,020 --> 00:43:24,110 773 00:43:24,110 --> 00:43:29,830 wale wasomao tu King James kwa vile zimekuwa ndizo zilizotegemewa katika 774 00:43:30,080 --> 00:43:34,560 kutafsiri Agano Jipya badala ya kutumia Textus Receptus. 775 00:43:34,590 --> 00:43:40,760 -Watu wawili kwa jina la Westcott na Hort waliandika 776 00:43:40,790 --> 00:43:45,930 kutokana na magombo mawili yajulikanayo kama Sinaiticus au "Codex Aleph" na 777 00:43:45,970 --> 00:43:51,310 Vaticanus au "Codex B". Magombo haya mawili yalidhaniwa na Westcott na 778 00:43:51,340 --> 00:43:56,680 Hort cuwa ni ya zamani zaidi kwa hiyo ya kuaminiwa zaidi kuliko maandishi ya Kiyunani ambayo 779 00:43:56,710 --> 00:43:58,230 yalitumiwa na Textus Receptus. 780 00:43:58,230 --> 00:43:58,310 781 00:43:58,310 --> 00:44:04,090 Biblia za siku hizi hudhaniwa kuwa ni matokeo ya taaluma ya mambo ya kale na 782 00:44:05,020 --> 00:44:09,660 uanazuoni na uvumbuzi wa siku hizi. Yaani, hata kama watu wanaozipendekeza hizi 783 00:44:09,720 --> 00:44:14,960 Biblia wakikuambia, "Ndivyo, wachapishaji wa siku hizi wana rasilmali nyingi zaidi 784 00:44:15,000 --> 00:44:19,370 siku hizi. Wanayo magombo ambayo hayakuwepo 785 00:44:19,400 --> 00:44:22,480 kwa wafasiri wa King James. Ndiyo maana Biblia za siku hizi ndio bora zaidi," 786 00:44:23,200 --> 00:44:27,070 ndicho watakachosema. Na sababu ya kusema hivyo ni kwamba kwa vile magombo ambayo 787 00:44:27,070 --> 00:44:27,140 788 00:44:27,140 --> 00:44:31,510 Biblia za za siku hizi, mfano Biblia ya NIV, n.k., ni mavumbuzi mapya yakimaanisha 789 00:44:32,250 --> 00:44:36,650 yalifukiwa kwa karne nyingi. Acha nikuulize jambo moja. Unaamini 790 00:44:36,680 --> 00:44:39,650 kwamba Biblia ya kweli ilifukiwa kwa karne nyingi? 791 00:44:39,690 --> 00:44:40,350 [Washirika] Hapana. 792 00:44:40,390 --> 00:44:45,690 -Namaanisha unadhani kweli Mungu angeruhusu watu wake watumie 793 00:44:45,730 --> 00:44:49,830 Biblia potofu kwa mamia na mamia ya miaka, na kisha ghafla katika miaka ya 794 00:44:49,860 --> 00:44:52,770 1800 tuanze kupata magombo sahihi? 795 00:44:52,830 --> 00:44:54,100 Haileti maana kabisa. 796 00:44:54,170 --> 00:44:58,010 Yaani, Mungu aliahidi kulitunza Neno lake kwa vizazi vyote, lakini 797 00:44:58,010 --> 00:44:58,070 798 00:44:58,070 --> 00:45:03,610 kimsingi wanaamini kwamba Neno la Mungu la kweli lilikuwa limefukiwa mahali fulani na 799 00:45:03,740 --> 00:45:09,280 kwa karne zote hizi kila mtu aliyesoma na kuhubiri na kuamini 800 00:45:09,320 --> 00:45:14,080 kitu ambacho ni potofu ila kwa bahati wataalamu wa miaka ya 1800 801 00:45:14,080 --> 00:45:14,120 802 00:45:14,120 --> 00:45:18,590 walichimbua magombo haya mapya, Neno la Mungu la kweli lililokuwa limefukiwa kwa 803 00:45:19,390 --> 00:45:23,830 miaka yote hii. Angalia, kama ilimchukua Mungu muda wote huo kutuletea 804 00:45:23,860 --> 00:45:28,040 Neno la Mungu kupitia kwa manabii na watakatifu wa Mungu waliozungumza kama 805 00:45:28,070 --> 00:45:32,210 walivyoongozwa na Roho Mtakatifu kwa muda wa mamia, naam, maelfu ya miaka, 806 00:45:32,240 --> 00:45:34,410 angeacha tu yafukiwe? 807 00:45:35,280 --> 00:45:41,220 Hapana, haya yaliyochimbuliwa karibuni, haya magombo mapya na bora zaidi 808 00:45:41,280 --> 00:45:47,220 ni batili. Yana majina kama vile Codex Vaticanus. Lakini, mmh, hilo 809 00:45:47,250 --> 00:45:51,060 linakukumbusha nini? "Codex Vaticanus". 810 00:45:51,090 --> 00:45:54,000 -Kwa sababu liligunduliwa Vatikani au linahusiana na Vatikani, 811 00:45:54,000 --> 00:45:54,010 812 00:45:54,010 --> 00:45:55,930 kwangu mimi linanitia mashaka bila kusita. 813 00:45:56,960 --> 00:46:01,010 -Pana zaidi ya vipande 5200 na sehemu za Agano 814 00:46:01,010 --> 00:46:01,100 815 00:46:01,100 --> 00:46:03,310 Jipya vilivyopo vinavyoweza kuchunguzwa. 816 00:46:03,470 --> 00:46:03,940 -Jamani. 817 00:46:03,970 --> 00:46:09,910 -Na 45 ya hivyo ndiyo maandishi muhimu yatumikayo na wafasiri kwa 818 00:46:09,940 --> 00:46:12,180 matumizi yoyote nje ya Biblia ya King James. 819 00:46:12,210 --> 00:46:14,920 Hayo ni 1% ya magombo yaliyoko, 820 00:46:14,950 --> 00:46:22,960 wakati ambapo Biblia ya King James inatumia 99.06% ya hayo magombo 5,255 kufanyiwa tafsiri. 821 00:46:23,020 --> 00:46:26,930 Na ndiyo maana hujulikana kama toleo la wengi. Tambua pia 822 00:46:26,960 --> 00:46:30,400 -na sidhani kama hili husemwa sana - katika vitabu vya injili 823 00:46:30,430 --> 00:46:36,040 vyenyewe, katika Sinaiticus na pia Vaticanus, pana zaidi ya tofauti 824 00:46:36,100 --> 00:46:41,050 3000. Kwa hiyo tunajuaje ipi ndio tofauti sahihi au kifungu 825 00:46:41,050 --> 00:46:41,140 826 00:46:41,140 --> 00:46:46,060 sahihi cha kutumia isipokuwa kiwe kimethibitishwa na nakala nyingine 43 ambazo 827 00:46:46,610 --> 00:46:51,590 walizitumia? Lakini kama una nakala mbili A na B, na pana tofauti 3000 katika 828 00:46:51,620 --> 00:46:55,820 injili tu, tunajuaje nakala ipi ndiyo ya kuiamini? Kwa hiyo 829 00:46:55,890 --> 00:46:58,630 nitaamini zaidi kwenye uingi wa nakala 830 00:46:58,660 --> 00:47:00,760 uliotupatia Textus Receptus. 831 00:47:00,960 --> 00:47:06,500 -Tukikuta itu ambacho kilifukia na kisemacho tofauti na 832 00:47:06,530 --> 00:47:11,970 kile tulichokipokea, Maandiko Tuliyopokea, Textus Receptus, unajua, ile 833 00:47:12,010 --> 00:47:16,540 Biblia ambayo watu wameitumia kwa karne na karne, lazima itakuwa ni potofu. 834 00:47:16,580 --> 00:47:21,320 Haiwezi kuw ni Neno la Mungu kama Mungu hakuitunza. Kimsingi 835 00:47:21,380 --> 00:47:26,320 wanakanusha maelfu ya Biblia zilizoandikwa kwa lugha tofauti ambazo zote zinasema 836 00:47:26,350 --> 00:47:31,030 kitu kilekile. Badala yake, wanakumbatia Codex Vaticanus, Codex 837 00:47:31,030 --> 00:47:31,090 838 00:47:31,090 --> 00:47:35,900 Sinaiticus, kwa vile zinasemekana ni za zamani zaidi. Sawa, kwa kuwa tu 839 00:47:36,230 --> 00:47:40,330 ni za zamani zaidi haina maana ni za ukweli. Haimaanishi siyo za 840 00:47:40,370 --> 00:47:44,020 kitapeli. Angalia, Paulo anatuambia katika 2 Wakorintho kwamba watu walikuwa 841 00:47:44,020 --> 00:47:44,040 842 00:47:44,040 --> 00:47:47,950 wanalihujumu Neno la Mungu hata katika nyakati hizo. Katika 2 Wathesalonike walikuwa tayari 843 00:47:48,210 --> 00:47:52,650 wanaandika maandiko ya uongo wakijidai yanatoka kwa Paulo mtume. 844 00:47:52,680 --> 00:47:57,150 Katika Ufunuo 22, Mungu tayari alikuwa anawaonya watu watakaojaribu kupunguza 845 00:47:57,180 --> 00:48:01,560 au kuongeza Neno la Mungu. Hayo tayari yalikuwa yanafanyika. Hivyo 846 00:48:01,620 --> 00:48:06,190 kwa kuwa tu umepata gombo la zamani ambalo ni la miaka 200 baada ya Kristo, aah, 847 00:48:06,230 --> 00:48:08,900 hamna njia linaweza kuwa limehujumiwa, sivyo? Bila shaka linaweza kuwa. 848 00:48:09,160 --> 00:48:12,470 Na wapo wengi, Biblia inatuambia, ambao wanalipotosha Neno la Mungu. 849 00:48:12,530 --> 00:48:14,270 Siyo wachache, bali wengi. 850 00:48:14,300 --> 00:48:18,040 -Hizi nakala mbili haziwezi kujisimamia zenyewe. 851 00:48:18,040 --> 00:48:18,070 852 00:48:18,070 --> 00:48:18,670 -Ni kweli. 853 00:48:19,070 --> 00:48:23,610 -Na sasa toleo la 28 la Nestle Allen, UBS toleo la 4 lililorekebiswha, pana 854 00:48:23,640 --> 00:48:28,520 sehemu nyingi ambazo, siyo tu Sinaiticus inakinzana na Vaticanus, 855 00:48:28,550 --> 00:48:34,690 japokuwa ziko pamoja, haziwezi kusimama peke yake ukizilinganisha na 856 00:48:34,720 --> 00:48:40,000 mafunjo. Misimamo ya Westcott na Hort kwa Aleph na B. 857 00:48:40,000 --> 00:48:40,060 858 00:48:40,060 --> 00:48:41,740 Lakini walikuwa wakifanyia kazi kabla ya mafunjo pia. 859 00:48:42,700 --> 00:48:46,570 Kila kitu kabla ya mafunjo leo hii kimsingi hakina maana. 860 00:48:46,600 --> 00:48:50,440 -Imekuwa haina maana kwa sababu mavumbuzi mapya ya nakala? 861 00:48:50,470 --> 00:48:53,490 -Uvumbuzi wa mafunjo, bila shaka uliotokea Misri 862 00:48:53,670 --> 00:48:55,240 na maeneo menginemengine... 863 00:48:55,280 --> 00:48:59,810 -Aleksandria ni mji wa Misri. Misri ni taifa lililomo kwenye Biblia ambalo mara zote 864 00:48:59,850 --> 00:49:04,320 huhusishwa na yale yasiyo-ya-kimungu au ya dhambi au potofu. Kwa mfano, katika 865 00:49:04,350 --> 00:49:09,020 Ufunuo 11:8, Biblia inasomeka, "Na mizoga yao itakuwa katika 866 00:49:09,060 --> 00:49:13,630 njia ya mji ule mkuu, uitwao kwa jinsi ya roho Sodoma na Misri, 867 00:49:13,660 --> 00:49:19,330 tena ni hapo Bwana wao aliposulibiwa. " Kwa hiyo Mungu anapotaka kutumia mahali kwenye 868 00:49:19,370 --> 00:49:24,020 Biblia kuwakilisha uovu, kuwakilisha kisicho cha Mungu na 869 00:49:24,020 --> 00:49:24,170 870 00:49:24,170 --> 00:49:30,820 ambacho ni cha kishetani, anatumia Misri kukiwakilisha. Misri katika Biblia ni alama ya 871 00:49:31,000 --> 00:49:33,440 uovu, kutomcha Mungu. 872 00:49:33,510 --> 00:49:39,120 -Yaliyomo kwenye nakala hizo za mwanzo P66, P75, P72, 873 00:49:39,150 --> 00:49:44,730 yamehakikiwa na kuthibitisha kwamba uandishi ulioko kwenye Sinaiticus 874 00:49:44,760 --> 00:49:48,800 na Vaticanus haukuwa wa kipeee humo tu. Yaani, pana nadharia zinazozunguka sasa 875 00:49:48,830 --> 00:49:51,870 kwamba hizi zilighushiwa na Wakatoliki wa Roma na pia 876 00:49:51,900 --> 00:49:52,700 ujuha mwingine kama huo. 877 00:49:52,730 --> 00:49:55,760 -Huwezi kudhani kwamba NIV ni Biblia ya Kikatoliki, na watakuambia, 878 00:49:56,070 --> 00:49:59,270 "Ni ya Kiinjili, siyo ya Kibaptisti." Lakini ngoja. 879 00:49:59,340 --> 00:50:04,040 Nitakuonyesha mafundisho yote ya Kikatoliki yajitokezayo kwa sababu yatoka humu kwenye 880 00:50:04,110 --> 00:50:08,820 nakala za Kikatoliki. Matendo 8:37 imeondolewa kutoka kwenye Biblia za siku hizi 881 00:50:08,850 --> 00:50:10,890 kwa sababu inashutumu ubatizo wa watoto wachanga. 882 00:50:10,920 --> 00:50:13,950 -Ndiyo maana hatufanyi ubatizo wa watoto. Unajua kwa nini? Kwa sababu kwa mujibu wa 883 00:50:13,990 --> 00:50:16,920 Biblia, nini kinachonizuia nisibatizwe? Inabidi uamini, na 884 00:50:16,960 --> 00:50:20,960 kisha kubatizwa. Mtoto mchanga hawezi kuamini. Mtoto mchanga hata hawezi kuhukumiwa. 885 00:50:21,030 --> 00:50:24,430 Kama mtoto mchanga akifa, anaenda mbinguni. Lakini Mkatokili angesoma hayo na kusema, 886 00:50:24,500 --> 00:50:26,590 "Sawa, ubatizo wa watoto wachanga, endelea. Nini kinachonizuia nisibatizwe?" 887 00:50:27,400 --> 00:50:30,240 "Hamna. Acha tumbatize." Hapana, kitu fulani kinakuzuia 888 00:50:30,270 --> 00:50:32,410 usibatizwe. Ni kuamini. Hakionekani kwenye Biblia yako. 889 00:50:32,440 --> 00:50:36,680 -Wakatoliki wanafundisha mafundisho kwamba Mariamu bado ni bikira muda wote 890 00:50:36,710 --> 00:50:42,180 maishani mwake. Tunajua kwamba, bila shaka Mariamu alikuwa bikira pale 891 00:50:42,250 --> 00:50:47,670 alipomzaa Yesu Kristo, lakini Biblia iko wazi kwamba baada ya hayo, alikuwa na watoto wengine. 892 00:50:47,670 --> 00:50:47,720 893 00:50:47,720 --> 00:50:53,580 Kwa kweli, orodha ya ndugu wanne wa Yesu: Yakobo, Yose, 894 00:50:54,330 --> 00:50:59,130 Yuda, na Simoni. Anatupatia majina ya kaka wa Yesu, na kusema, 895 00:50:59,200 --> 00:51:03,940 "dada zake, hawamo miongoni mwetu?" Kwa Yesu alikuwa na angalau ndugu saba, 896 00:51:03,970 --> 00:51:07,810 pengine zaidi. Huu hapa uthibitisho katika Mathayo 1:25. "Naye 897 00:51:07,840 --> 00:51:13,310 Naye Yusufu alipoamka katika usingizi, alifanya kama malaika wa Bwana alivyomwagiza; 898 00:51:13,350 --> 00:51:18,990 akamchukua mkewe: asimjue hata alipomzaa 899 00:51:19,020 --> 00:51:24,330 mwanawe mzaliwa wa kwanza; akamwita jina lake YESU. " Kwa hiyo haisemi kwamba 900 00:51:24,360 --> 00:51:29,900 hakumjua kamwe. Inasema tu hakumjua mpaka alipomzaa 901 00:51:29,930 --> 00:51:35,440 mwanawe wake wa kwanza. Inasema katika mstari wa 25 katika NIV "Lakini hakumjua 902 00:51:35,470 --> 00:51:39,340 mkewe katika ndoa mpaka alipomzaa mwana; akamwita jina lake Yesu." 903 00:51:39,370 --> 00:51:41,560 Kitu gani kinakosekana? "Mwanaye wa kwanza." 904 00:51:41,560 --> 00:51:41,640 905 00:51:41,640 --> 00:51:46,000 Kama Yesu ndiye mzaliwa wa kwanza wa Mariamu, kitu fulani kinaniambia pana mzaliwa wa pili. 906 00:51:46,650 --> 00:51:51,220 Na kama NIV inaondoa hayo unaweza kusema, hata hivyo unajua, alikuwa ni mwana pekee 907 00:51:51,250 --> 00:51:55,790 aliyekuwa naye. Mafundisho mengine ya Kanisa Katoliki yanayoungwa mkono na 908 00:51:55,860 --> 00:52:00,260 NIV ni mafundisho ya kujipiga mwenyewe. Ndio, umenisikia sawasawa. 909 00:52:00,290 --> 00:52:03,230 Kujiumiza mwenyewe au kujipiga mwenyewe. 910 00:52:03,260 --> 00:52:06,340 Sasa, marafiki zako uwajuao Marekani huenda 911 00:52:07,100 --> 00:52:11,140 hawajipigi wenyewe. Lakini katika historia ya Kanisa la Katoliki ya Roma limekuwa 912 00:52:11,170 --> 00:52:15,780 likifundisha na hata kuhimiza tabia ya kujipiga mwenyewe. Sawa? Kwa hakika, wakati 913 00:52:15,810 --> 00:52:20,250 Henri wa Nane alipopiga marufuku Ukatoliki katika Uingereza na kulifukuza Kanisa Katoliki 914 00:52:20,280 --> 00:52:24,560 litoke Uingereza, papo hapo alipitisha sheria dhidi ya kujipiga 915 00:52:24,560 --> 00:52:24,620 916 00:52:24,620 --> 00:52:28,700 mwenyewe. Hata leo hii kule Ufilipini Wakatoliki walioiva 917 00:52:29,390 --> 00:52:33,660 bado wanajipiga wenyewe leo hii mwaka 2013. Katika nchi ya Philippines wanajisulubisha; 918 00:52:33,690 --> 00:52:38,300 wanajipiga wenyewe; wanatembelea magoti mpaka damu ziwatoke. 919 00:52:38,330 --> 00:52:42,800 Yaani matendo ya namna hii ya kujiumiza. Angalia Biblia inachosema katika 920 00:52:42,840 --> 00:52:48,880 1 Wakorintho 9:27. "bali naudhibiti mwili wangu na kuutumikisha; isiwe 921 00:52:49,310 --> 00:52:52,810 nikiisha kuwahubiri wengine, mwenyewe niwe mtu 922 00:52:52,850 --> 00:52:55,890 wa kukataliwa." NIV inasema, "Naupiga mwili wangu". Na tafsiri karibu zote za siku hizi 923 00:52:56,350 --> 00:52:58,950 zinasema kitu kifananacho na "Naupiga mwili wangu..." 924 00:52:58,990 --> 00:52:59,750 -Dhibiti. 925 00:53:00,650 --> 00:53:02,790 -Hapana, hawasemi "kuudhibiti". Wanasema, "Naupiga." 926 00:53:02,820 --> 00:53:04,020 -Hapana, hivyo sivyo NET isemavyo. 927 00:53:04,090 --> 00:53:08,830 -Aah, sawa. Lakini nakuambia NIV inasema, "Naupiga mwili wangu." Toleo la 2010 928 00:53:08,860 --> 00:53:11,200 la NIV linasema, "Naupiga pigo mwili wangu". 929 00:53:11,230 --> 00:53:12,870 "Nautunza mwili wangu." 930 00:53:12,900 --> 00:53:15,400 -Usidhani nitaitetea NIV. 931 00:53:15,440 --> 00:53:19,610 -Saw. Ndiyo tafsiri inayouzwa kuliko zote Marekani mwaka 2013. 932 00:53:19,640 --> 00:53:20,780 -Siamini. 933 00:53:20,780 --> 00:53:20,810 934 00:53:20,810 --> 00:53:22,620 -Nimeangalia vyanzo mbalimbali. Nadhani ESV.... 935 00:53:23,440 --> 00:53:24,070 -Ndiyo namba moja. 936 00:53:24,070 --> 00:53:24,110 937 00:53:24,110 --> 00:53:26,140 -Sawa, kama ukijumuisha... 938 00:53:26,850 --> 00:53:29,550 -ESV ni #5. Na nimefanya utafiti mwingi kuhusu hili. 939 00:53:29,580 --> 00:53:32,690 -Kama ukijumuisha madhehebu ya kisikuhizi, labda. 940 00:53:32,750 --> 00:53:37,390 Kwa hiyo, 1 Wakorintho 9:27, hauitetei "kujipiga mwenyewe" ya NIV? 941 00:53:37,460 --> 00:53:38,030 -Hapana. 942 00:53:38,060 --> 00:53:41,500 -Kwa sababu ni ya Kikatoliki. Yaani Kanisa Katoliki, usiku mwema! 943 00:53:41,560 --> 00:53:43,100 -Ahh, hapana... Huko siko ilikotoka. 944 00:53:43,160 --> 00:53:44,630 -Ngoja kwanza. Unasema kwamba 945 00:53:44,700 --> 00:53:46,630 Wakatoliki hawajipigi wenyewe siku hizi? 946 00:53:46,700 --> 00:53:50,570 Hawajijeruhi wenyewe? Unasema kwamba Henri wa Nane... 947 00:53:50,600 --> 00:53:54,310 -Wachache wanafanya; walio wengi kabisa hata kwenye misa hawaonekani. 948 00:53:54,340 --> 00:53:55,780 Hawawezi kuanza kujipiga. 949 00:53:55,810 --> 00:53:58,020 -Vipi kuhusu ilivyokuwa kihistoria? Vipi kuhusu Uingereza pale Henri wa Nane alipowafukuza 950 00:53:58,020 --> 00:53:58,110 951 00:53:58,110 --> 00:54:01,070 Wakatoliki na kupiga marufuku kujipiga mwenyewe mwaka huohuo? 952 00:54:01,780 --> 00:54:05,650 -Lakini Steven, hayo yanahusiana nini na wafasiri wa NIV? 953 00:54:05,690 --> 00:54:08,720 Waona, kama vile Roma ilivyofanya zamani 954 00:54:09,090 --> 00:54:12,430 haimaanishi ndivyo walivyokusudia. 955 00:54:12,460 --> 00:54:18,470 -Nisemacho ni kwamba Shetani ni Shetani, sawa? Na Shetani huyohuyo aliyewafanya watu 956 00:54:18,670 --> 00:54:24,740 wajipige wenyewe katika zamani za 'Middle Ages' ndiye Shetani aliyeweka kifungu 957 00:54:24,770 --> 00:54:30,280 katika NIV akisema jipige mwenyewe. Hapo ndipo ninapoziunganisha. 958 00:54:30,310 --> 00:54:35,750 -Unajua, hata vile NIV ilivyoandikwa, ni wazi nini alikuwa anazungumzia 959 00:54:35,780 --> 00:54:37,950 kuhusu, na ni wazi ni lugha ya picha. 960 00:54:38,350 --> 00:54:41,120 -Sawa, toleo Lililokuzwa ('Amplified'). Sijui wewe, lakini toleo la Amplified 961 00:54:41,190 --> 00:54:45,260 mara zote naona limekuzwa sana. Nashindwa kuelewa. Lakini, tulisikie 962 00:54:45,290 --> 00:54:50,660 toleo la Amplified: "Lakini [kama bondia] naudhibiti mwili wangu." Acha nikuulize 963 00:54:50,730 --> 00:54:55,540 hivi: Umeshamuona bondia yoyote anayejipiga mwenyewe? Mimi sijamuona. 964 00:54:55,600 --> 00:55:00,370 Biblia toleo la Common English linakuwezesha uelewe kirahisi, sababu 965 00:55:00,410 --> 00:55:02,740 siyo kinachosababisha uyapende matoleo haya mapya kwamba ni rahisi 966 00:55:02,780 --> 00:55:08,810 kuyaelewa? "Ninajipiga makonde kwenye mwili wangu mwenyewe na kuudhibiti kama 967 00:55:09,180 --> 00:55:15,460 mtumwa." Angalia, kujipiga mwenyewe siyo mafundisho ya Biblia. Na unasema, sawa, 968 00:55:15,490 --> 00:55:17,120 anatumia tu lugha ya picha. 969 00:55:17,160 --> 00:55:19,240 Sawa, unasemaje juu ya watu hawa wote ambao wanajipiga kikwelikweli? 970 00:55:20,090 --> 00:55:23,130 Ni mafundisho ya kushangaza, rafiki yangu. Siyaamini. 971 00:55:23,160 --> 00:55:29,470 Biblia inasema katika Mathayo 6:7, "Nanyi mkiwa katika kusali, msirudierudie maneno, kama 972 00:55:29,500 --> 00:55:33,410 watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya kusema sana. " 973 00:55:33,440 --> 00:55:37,880 Kwa hiyo Biblia inatufundisha hapa tusirudierudie tu tena na tena, 974 00:55:37,910 --> 00:55:41,930 tukidhani kwamba kama tutasema kitu kilekile tena na tena, Mungu atatusikia 975 00:55:42,120 --> 00:55:44,390 zaidi kuliko tukisema mara moja. 976 00:55:44,420 --> 00:55:49,090 Marudio ni nini? Kusema kitu kilekile mara mbili , au mara tatu au mara tano 977 00:55:49,120 --> 00:55:55,000 Anasema, angalieni, msifanye marudio kama mataifa wafanyavyo. Sawa, 978 00:55:55,030 --> 00:55:58,080 NIV kwa upande mwingine - tafsiri zote za siku hizi kimsingi zinabadilisha na kuwa 979 00:55:58,530 --> 00:56:03,200 hivi - "Mnaposali, msiropokeropoke kama wapagani, kwani 980 00:56:03,240 --> 00:56:04,710 hudhani watasikiwa shauri ya wingi wa maneno yao." 981 00:56:04,740 --> 00:56:10,640 "Kuropoka" ni pale unaposema tu mambo yasiyo maana na kuendelea 982 00:56:10,680 --> 00:56:14,920 hivyohivyo, kuropoka tu. Siyo sawa na kurudiarudia kusiko na faida. 983 00:56:14,950 --> 00:56:18,790 Kama nikimwambia Mkatoliki, "Unajua unarudia sala ileile 984 00:56:18,820 --> 00:56:23,460 ya 'Baba yetu' tena na tena na tena na tena. Hautasikilizwa 985 00:56:23,490 --> 00:56:27,190 kwa kusema sana. Huko ni kurudiarudia kusiko maana. Inakubidi useme hayo 986 00:56:27,230 --> 00:56:30,730 mara moja na kuwa umemalizana nayo na siyo kurudiarudia kitu hicho tena na tena 987 00:56:30,760 --> 00:56:35,070 na tena." Unajua, hayo yanathibitishwa pia na Mathayo 6:7, lakini nikisema 988 00:56:35,100 --> 00:56:37,400 nao, "Nyie, acheni kuropokaropoka kama wapagani," wataniambia, "Huku 989 00:56:37,440 --> 00:56:41,610 si kuropoka." Watasema, "Sala ya Bwana ni Neno la Mungu." 990 00:56:42,540 --> 00:56:45,620 Kwa sababu ni Neno la Mungu, sawa? Lakini sitaliimba au kurudiarudia 991 00:56:46,350 --> 00:56:50,080 pasipo maana kwa Mungu, lakini Kanisa Katoliki linafundisha marudio yasiyo maana, 992 00:56:50,120 --> 00:56:52,190 kwa hiyo mabadiliko yamefanyika. 993 00:56:52,220 --> 00:56:57,530 Siyo tu hayo, bali Wakatoliki wana mafundisho muhimu kwao ya kuungama 994 00:56:57,560 --> 00:57:02,860 dhambi zako kwa padri. Na hutumia Yakobo 5:15, na katika Biblia ya Wakatoliki 995 00:57:02,900 --> 00:57:06,900 pana maelezo ya nyongeza pembezoni yasemayo zingatia, mstari huu unakuambia 996 00:57:06,930 --> 00:57:11,140 ukiri dhambi zako kwa padri. Unasema kwamba, kwa mfano, katika Biblia ya Doway Rheimes 997 00:57:11,170 --> 00:57:15,280 ya Wakatoliki katika maelezo ya ziada. Hivi ndivyo inasema. Yakobo 5:16, "Ungameni dhambi 998 00:57:15,340 --> 00:57:19,680 zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, mpate kuponywa. 999 00:57:19,710 --> 00:57:23,980 Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akiomba kwa bidii. " Sasa sikiliza 1000 00:57:24,020 --> 00:57:28,560 vile NIV na tafsiri za siku hizi zilivyobadili na kuwa: "Kwa hiyo ungameni 1001 00:57:28,590 --> 00:57:32,430 dhambi zenu ninyi kwa ninyi na kuombeana ili mpate kuponywa. 1002 00:57:32,460 --> 00:57:36,130 Maombi yake mwenye haki yana nguvu na hufanya kazi." Hiyo ni NIV. 1003 00:57:36,160 --> 00:57:40,100 Utasema, "Hicho ni kitu kilekile." Lakini siyo kitu kilekile. 1004 00:57:40,130 --> 00:57:43,190 Kwanza kabisa, ukirudi kwenye lugha ya kwanza, ukirudi kwenye 1005 00:57:43,740 --> 00:57:48,280 nini inasema hasa kwenye Kiyunani, neno ni 'madhaifu', na siyo 'dhambi'. 1006 00:57:48,310 --> 00:57:52,330 -Katika Textus Receptus, inatumia neno 'paraptómata' ikimaanisha madhaifu, ambalo 1007 00:57:52,510 --> 00:57:56,780 latokana na "paráptoma," yanamaanisha "mapungufu." Na nadhani wakati mwingine watu, 1008 00:57:56,850 --> 00:58:01,390 wanaposoma vitu potofu hapa, kwamba wanajituma kuungama 1009 00:58:01,420 --> 00:58:05,930 dhambi zao kwa watu, bada ya dhambi zao kwa Mungu, kwa kuwa "Kama tukiziungama dhambi zetu, yeye 1010 00:58:05,960 --> 00:58:09,050 ni mwaminifu na wa haki atatusamehe dhambi zetu, na kutusafisha 1011 00:58:09,860 --> 00:58:13,370 udhalimu wote", ambapo ninakiri madhaifu yangu kwako pale nisemapo, "Mimi 1012 00:58:13,400 --> 00:58:17,070 ni dhaifu kwenye eneo hili moja la maisha yangu. Nahitaji kuimarishwa. Utaniombea?" 1013 00:58:17,100 --> 00:58:20,170 Kwa hiyo nikiripo madhaifu yangu kwako, siungami, wala 1014 00:58:20,840 --> 00:58:24,450 sikiri dhambi zangu kwako, lakini kukiri mapungufu na madhaifu 1015 00:58:24,480 --> 00:58:28,420 niliyonayo binafsi, kwa hiyo pana tofauti ya uelewa wa 1016 00:58:28,450 --> 00:58:32,150 maneno baina ya "dhambi" na "mapungufu". 1017 00:58:32,190 --> 00:58:37,320 -Ukristo wa Kiinjili kihistoria haukubali Ukatoliki kuwa ni 1018 00:58:37,360 --> 00:58:41,000 ukristo wa kweli. Hapo zamani nilipokuwa mdogo maduka ya vitabu vya Kikristo 1019 00:58:41,000 --> 00:58:41,200 1020 00:58:41,200 --> 00:58:45,370 yalikuwa na vitabu na machapisho yanayoonyesha Kanisa Katoliki lilivyo, na kukuonya kuhusu 1021 00:58:45,700 --> 00:58:49,100 Kanisa Katoliki. Sasa hivi ukienda duka la vitabu vya Kikristo, na wameweka 1022 00:58:49,170 --> 00:58:53,210 rozari, wanauza Biblia za Kikatoliki; wanauza alama nyingine za Kikatoliki. 1023 00:58:53,240 --> 00:58:58,680 Tunachokiona ni kufutika kwa mistari inayotofautisha Wakristo wa Kiinjili 1024 00:58:58,710 --> 00:59:04,080 na Ukatoliki. Watu wanaanza kuandaliwa kwa dini moja ya dunia ambayo 1025 00:59:04,120 --> 00:59:08,820 itaunganisha Ukatoliki, madhehebu yote ya Wakristo, 1026 00:59:08,860 --> 00:59:11,030 na kwa kweli dini zote za dunia. 1027 00:59:11,490 --> 00:59:15,500 -Wale wanaoshinikiza kuwepo kwa dini moja ya dunia wanaamini kwamba dini zote, 1028 00:59:15,530 --> 00:59:19,570 hata kama kwa juujuu zinaonekana tofauti, lakini zote ni njia sahihi za kwenda kwa Mungu. 1029 00:59:19,600 --> 00:59:25,770 -Badala ya miungu hawa wote tofauti, labda pana Mungu mmoja anayejifunua 1030 00:59:25,810 --> 00:59:30,080 tofauti na kujidhihirisha kwa njia tofauti kwa watu tofauti. 1031 00:59:30,080 --> 00:59:30,110 1032 00:59:30,110 --> 00:59:32,280 Si ndio eeh? 1033 00:59:33,080 --> 00:59:35,180 -Je wote tunamwabudu Mungu yuleyule, Wakristo na Waislamu? 1034 00:59:36,120 --> 00:59:40,420 -Nadhani ndivyo ilivyo. Tuna njia tofauti za kumfikia Mwenyezi. 1035 00:59:40,490 --> 00:59:45,060 -Unadhani Wakristo na wasio-Wakristo, Waislamu wanaenda mbinguni, kwa mtazamo wako? 1036 00:59:45,090 --> 00:59:47,700 -Ndiyo wanaenda. Tuna njia tofauti za kufika kule. 1037 00:59:47,730 --> 00:59:53,230 -Nadhani kila mtu ampendaye Kristo, au amjuaye Kristo, iwe wanajua 1038 00:59:53,270 --> 00:59:57,610 au la, ni sehemu ya mwili wa Kristo, na hilo ndilo 1039 00:59:57,640 --> 01:00:02,880 Mungu analolifanya leo: anawaita watu toka duniani kwa jina lake, ikiwa 1040 01:00:02,910 --> 01:00:07,410 wametoka kwenye ulimwengu wa Waislamu au wa Kibudha au wa Kikristo au 1041 01:00:07,450 --> 01:00:12,550 wa watu wasioamini, wote ni sehemu ya mwili wa Kristo kwa sababu 1042 01:00:12,590 --> 01:00:18,590 wameitwa na Mungu. Inawezekana hata hawalijui jina la Yesu, lakini 1043 01:00:18,630 --> 01:00:23,130 wanajua mioyoni mwao wanahitaji kitu fulani ambacho hawanacho, na 1044 01:00:23,160 --> 01:00:25,930 wanageukia nuru ile pekee waliyonayo 1045 01:00:25,970 --> 01:00:27,970 na nadhani wameokolewa 1046 01:00:28,000 --> 01:00:29,870 na kwamba watakuwa pamoja nasi mbinguni. 1047 01:00:29,900 --> 01:00:34,010 -Mpaka nakufa, sitatangaza kitu chochote zaidi ya upendo kwa kaka na dada zangu wote 1048 01:00:34,010 --> 01:00:34,140 1049 01:00:34,140 --> 01:00:37,020 katika Kristo: kaka na dada zangu Wakatoliki, kaka na dada wa Kiprotestanti 1050 01:00:37,210 --> 01:00:40,210 Wakristo wa Mageuko, Waluteri. Sijali unatumia jina lipi. 1051 01:00:40,250 --> 01:00:42,350 -Unajua Jack, pana wahudumu wengi wa Kiprotestanti 1052 01:00:42,380 --> 01:00:44,190 ambao wanafanya kitu kilekile kama wewe. -Ndio. 1053 01:00:44,220 --> 01:00:46,050 -Vatikani haikupi taabu? 1054 01:00:46,090 --> 01:00:50,160 -Aah, sina tabu kabisa na Vatikani. Nimeshaenda kumwona papa 1055 01:00:50,220 --> 01:00:54,960 mara nyingi tu. Wanamwamini Kristo. Wanaamini kifo cha Kristo 1056 01:00:55,000 --> 01:00:59,330 msalabani na ufufuko wake. Nadhani kwamba wanakubalika kwenye makanisa yote. 1057 01:00:59,370 --> 01:01:05,420 Najisikia pia nyumbani kwenye kanisa la Anglikana au kanisa la Kibaptisti au Kanisa la Udugu au 1058 01:01:05,940 --> 01:01:07,240 kanisa Katoliki. 1059 01:01:07,270 --> 01:01:11,280 -Unajua, wote hatuna mitazamo sawa na natambua kuhusu Umormoni, siyo 1060 01:01:11,310 --> 01:01:15,550 Ukristo wa asili, lakini nadhani mimi ni muwazi na niko huru 1061 01:01:15,580 --> 01:01:18,020 kwenye ukweli kwamba mtu yoyote anayempenda Yesu na kuamini 1062 01:01:18,050 --> 01:01:19,690 kwamba ni mwana wa Mungu, hiyo naona yatosha. 1063 01:01:20,620 --> 01:01:24,020 -Robert McGuinness wa Family Research Council anasema inaonekana kama vile 1064 01:01:24,060 --> 01:01:28,830 ajenda ya siri ni kuwaunganisha watu chini ya mwamvuli mmoja wa dini ili waweze 1065 01:01:28,860 --> 01:01:33,670 kukubali bila fujo malengo ya Umoja wa Mataifa (UN) kama vile kudhibiti idadi ya watu, kutoa mimba, 1066 01:01:33,700 --> 01:01:35,270 na serikali moja ya dunia. 1067 01:01:35,340 --> 01:01:39,340 -Wote wanaunganishwa pamoja chini ya mamlaka ya Lusifa. 1068 01:01:41,010 --> 01:01:45,950 -Ibilisi anafahamu kwamba ili kuweza kuwafanya watu wakubali Utaratibu Mpya wa Dunia, 1069 01:01:46,150 --> 01:01:50,890 kukubali dini ya uongo, lazima alete mabadiliko polepole kabisa. Hawezi 1070 01:01:50,890 --> 01:01:50,950 1071 01:01:50,950 --> 01:01:55,930 kuzungusha usukani kwa ghafla. Ibilisi anamomonyoa polepole misingi 1072 01:01:56,860 --> 01:02:02,730 ya imani yetu. Ibilisi polepole anamong'onyoa msingi wa 1073 01:02:02,760 --> 01:02:09,470 Neno la Mungu. Polepole anabomoa Ukristo wa kweli wa kibiblia ili kwamba 1074 01:02:09,540 --> 01:02:15,310 aubadilishe na kuleta dini mpya ya dunia nzima ambayo mpingakristo 1075 01:02:15,340 --> 01:02:18,250 ataabudiwa kana kwamba ndiye Bwana Yesu Kristo. 1076 01:02:18,280 --> 01:02:20,410 -Waamini kwamba matoleo ya siku hizi ya Biblia 1077 01:02:20,450 --> 01:02:23,550 yana mchango katika Utaratibu Mpya wa Dunia? 1078 01:02:23,580 --> 01:02:27,220 --Sawa, nadhani inawezekana, sababu tafsiri zinazozidi kutolewa, 1079 01:02:27,250 --> 01:02:31,090 zinaonekana kuzidi kuachilia mambo mengi na zinazidi kukubalika na 1080 01:02:31,160 --> 01:02:34,190 watu. Lakini pana zaidi ya tafsiri 200. 200+. 1081 01:02:34,460 --> 01:02:38,100 Na katika tafsiri hizi zote sasa tunao watu wanaoleta tafsiri kwa 1082 01:02:38,130 --> 01:02:42,170 wale ambao ni mashoga na wasagaji, na tunao watu wanaofyatua tafsiri ambazo 1083 01:02:42,240 --> 01:02:45,370 zinaondoa maneno yanayotambulisha iwapo mtu ni mwanamke au mwanamume. 1084 01:02:45,410 --> 01:02:48,280 hivyo nadhani kwamba tafsiri hizi mpya na zile zinazozidi kutolewa kwamba 1085 01:02:48,310 --> 01:02:52,810 zinakuwa zinazidi na kuzidi kulegeza msimamo na kuruhusu imani zote za kila aina 1086 01:02:52,850 --> 01:02:57,480 ya watu na imani kuwa pamoja na kutoudhiwa na kitu chochote. 1087 01:02:57,520 --> 01:02:59,750 Ziko kiekumeni. -Ni kweli. 1088 01:02:59,790 --> 01:03:04,630 -Kwa hiyo ekumeni ni sehemu muhimu kabisa na nyakati za mwisho. 1089 01:03:04,690 --> 01:03:07,790 -Biblia ya King James inatumia neno "jehanamu" mara 54. 1090 01:03:08,730 --> 01:03:13,370 Yaani, unaposoma Agano la Kale kwenye NIV, hakuna hata mara moja neno 1091 01:03:13,430 --> 01:03:18,710 "jehanamu" linatajwa. Huwezi hata kulikuta neno "jehanamu" kwenye NIV mpaka ufike 1092 01:03:18,740 --> 01:03:23,610 kwenye kitabu cha Mathayo. Inadhaniwa kwamba matoleo haya mapya yanaandikwa ili 1093 01:03:23,640 --> 01:03:28,150 kufanya iwe rahisi kuelewa. Lakini, kama tukimuuliza mtu yoyote 1094 01:03:28,180 --> 01:03:32,620 mtaani jehanamu ni nini, ataweza kukuambia kwamba jehanamu ni mahali pa 1095 01:03:32,650 --> 01:03:37,060 moto na mateso. Ni mahali ambapo watu huenda baada ya kufa ili kuadhibiwa 1096 01:03:37,090 --> 01:03:40,330 na kuteseka. Kama tukiwauliza nini maana ya "sheol", 1097 01:03:40,360 --> 01:03:42,360 watu wengi hawawezi kuelewa. 1098 01:03:42,500 --> 01:03:44,100 Neno "sheol" lina maana gani? 1099 01:03:44,130 --> 01:03:48,700 -Kigao? Kigao ina maana ya kitu kinachokinga. 1100 01:03:48,840 --> 01:03:51,070 -Sema tena. -Sheol. 1101 01:03:52,410 --> 01:03:53,570 -Nini? Itamke herufi mojamoja. 1102 01:03:53,640 --> 01:03:57,140 -S-H-E-O... Sina uhakika nalo. Hapana. 1103 01:03:57,440 --> 01:03:58,050 -Hapana. 1104 01:03:58,480 --> 01:03:58,480 -Hapana. 1105 01:03:59,010 --> 01:03:59,880 -Hapana sijui. 1106 01:04:00,210 --> 01:04:00,950 -Hapana. 1107 01:04:01,020 --> 01:04:01,580 -Hapana. 1108 01:04:01,920 --> 01:04:03,020 -Eh, hapana. 1109 01:04:03,050 --> 01:04:04,050 -Sijui. 1110 01:04:04,080 --> 01:04:08,090 -S nini? -S-H-E-O-L: sheol. 1111 01:04:08,120 --> 01:04:10,020 -Hapana. Aah, sheol? Hapana. 1112 01:04:10,790 --> 01:04:12,160 -Sikumbuki mara moja toka kichwani mwangu. 1113 01:04:12,360 --> 01:04:17,000 -S-H-E-O-L? Sina hakika. Sijawahi kuona neno hilo. 1114 01:04:17,130 --> 01:04:18,830 -Hapana, silifahamu vizuri. 1115 01:04:19,070 --> 01:04:21,060 -Sawa jamani. Watu wengi hawalijui neno hilo. 1116 01:04:21,060 --> 01:04:21,100 1117 01:04:21,100 --> 01:04:23,600 Wadhani maneno hayo ni mepesi zaidi kuliko neno "jehanamu"? 1118 01:04:24,540 --> 01:04:25,970 -Hapana. -Sawa. 1119 01:04:26,010 --> 01:04:30,110 Naamini kwamba Biblia ya King James ni Neno la Mungu. Naamini kwamba halina 1120 01:04:30,180 --> 01:04:34,250 makosa na naamini kwamba matoleo mengine yanayozidi kufyatuliwa - wayajua, 1121 01:04:34,280 --> 01:04:38,000 NIV, New American Standard - ni mabaya, kwamba 1122 01:04:38,000 --> 01:04:38,050 1123 01:04:38,050 --> 01:04:42,680 yatokana na ibilisi. Katika kitabu chako, inaonekana huoni kabisa kwamba 1124 01:04:42,790 --> 01:04:47,630 panaweza kuwa na hila nyuma ya mabadiliko yote haya. Unaonekana huamini 1125 01:04:47,660 --> 01:04:52,170 kwamba ibilisi anaweza kuhujumu Neno la Mungu au kwamba pana badiliko angalau 1126 01:04:52,200 --> 01:04:56,700 moja kati ya haya ambalo ni la hila, kwamba pana badiliko lolote linalotokana na mtu 1127 01:04:56,740 --> 01:04:59,640 asemaye, "Nabadili hili kwa vile mimi ni mwovu, 1128 01:04:59,670 --> 01:05:01,580 kwa sababu nataka kubadili Neno la Mungu." 1129 01:05:01,610 --> 01:05:03,880 -Naamini kwamba Mungu amelilinda neno lake. 1130 01:05:03,910 --> 01:05:08,010 -Lakini huamini kwamba pana - na kwa mfano, unatumia msemo 1131 01:05:08,010 --> 01:05:08,080 1132 01:05:08,080 --> 01:05:12,150 "mnadharia za njama" takriban mara ishirini kitabuni mwako - waamini 1133 01:05:12,290 --> 01:05:14,360 kwamba hakuna njama ya kubadili Neno la Mungu? 1134 01:05:14,390 --> 01:05:16,660 -Hapana, nadhani zipo tafsiri nzima za Biblia zilizopo ili kubadili Neno la Mungu. 1135 01:05:16,690 --> 01:05:18,770 Lakini ziko bayana; ni wazi. 1136 01:05:19,490 --> 01:05:22,700 -Lakini zingeweza kuwepo hata zamani pia? Kama wap watu leo hii ambao 1137 01:05:22,730 --> 01:05:25,600 wanatoa tafsiri kama ya New World Translation, ambayo wazi ni ya 1138 01:05:25,630 --> 01:05:27,080 upotoshaji wa Neno la Mungu - unakubali? 1139 01:05:27,080 --> 01:05:27,100 1140 01:05:27,100 --> 01:05:27,230 -Sawa. Kwa hiyo kama watu wanapotosha Neno la Mungu leo kwa toleo la 1141 01:05:27,230 --> 01:05:27,800 -Haswa. 1142 01:05:27,800 --> 01:05:30,130 -Sawa. Kwa hiyo kama watu wanapotosha Neno la Mungu leo kwa toleo la 1143 01:05:31,340 --> 01:05:36,580 New World Translation, kwa mfano, walikuwa wanapotosha Neno la mungu siku za Paulo 1144 01:05:36,610 --> 01:05:41,020 -alituonya kuhusu hilo - kwa nini hauamini kwamba watu walikuwa wanalipotosha Neno la Mungu 1145 01:05:41,020 --> 01:05:41,180 1146 01:05:41,180 --> 01:05:43,920 katika karne ya tatu, nne, karne ya nane, karne ya tisa? 1147 01:05:44,150 --> 01:05:49,090 -Tunajua kwamba toleo la New World Translation in upotoshaji wa Neno la Mungu. Ni 1148 01:05:49,160 --> 01:05:54,200 rahisi kubaini. Sababu nimetumia "nadharia ya njama" ni kwamba inakubidi 1149 01:05:54,230 --> 01:05:58,700 uwe na ushahidi wa kuthibitisha mambo haya, siyo tu, "Lakini mimi naiona 1150 01:05:58,730 --> 01:06:02,540 iko hivyo." Unajua, mahali pekee kwenye New World Translation inatafsiri kwa makosa 1151 01:06:02,570 --> 01:06:05,650 ni katika toleo lile la Biblia ya Mnara wa Mlinzi na Tract Society ambazo zimetokea 1152 01:06:06,370 --> 01:06:07,060 kusigana na Ukristo wa Kibiblia. 1153 01:06:07,060 --> 01:06:07,140 1154 01:06:07,140 --> 01:06:10,170 -Inaonekana hujasoma Ayubu 6:6 kwenye New World Translation. 1155 01:06:10,810 --> 01:06:11,020 -Kwa nini? 1156 01:06:11,020 --> 01:06:11,110 1157 01:06:11,110 --> 01:06:14,720 -Kwa sababu Ayubu 6:6 kwenye Biblia ya King James inasema, "Je! Kitu kisicho na 1158 01:06:14,980 --> 01:06:19,150 ladha yumkini kulika pasipo chumvi? Au je, uto wa yai una tamu iwayo yote? " 1159 01:06:19,190 --> 01:06:21,990 Na kwenye New World Translation inasema, "Pana ladha yoyote 1160 01:06:22,020 --> 01:06:24,460 kwenye juisi itelezayo ya 'marshmallow' (mchanyato)?" 1161 01:06:25,860 --> 01:06:30,090 Hivyo hicho ni kitu walichokibadilisha ambacho hakihusiani kabisa na 1162 01:06:30,090 --> 01:06:30,130 1163 01:06:30,130 --> 01:06:35,130 Mnara wa Walinzi! Sawa? Nikisemacho ni kwamba pana... 1164 01:06:36,040 --> 01:06:37,610 -Ulikariri hayo? 1165 01:06:37,640 --> 01:06:39,570 Inawezekana ilikuwa... Ndiyo nilikariri. 1166 01:06:39,610 --> 01:06:40,470 -Ulikariri hayo? 1167 01:06:40,510 --> 01:06:42,310 Hata nilikuwa siju kama 'marshmallow' ina juisi itelezayo. 1168 01:06:42,340 --> 01:06:44,040 -Yaani ukiwa na New World Translation... 1169 01:06:44,040 --> 01:06:44,110 1170 01:06:44,110 --> 01:06:44,140 -... Nitafurahi kukuonyesha. Lakini waniamini? 1171 01:06:44,140 --> 01:06:44,410 -Ninayo. -... Nitafurahi kukuonyesha. Lakini waniamini? 1172 01:06:44,410 --> 01:06:45,310 -... Nitafurahi kukuonyesha. Lakini waniamini? 1173 01:06:45,750 --> 01:06:48,420 -Lakini wafahamu kitu? Pana toleo jipya limetoka tu wiki iliyopita. 1174 01:06:48,450 --> 01:06:50,020 -Nakisia bado itakuwa inasema marshmallow lakini nitatizama. 1175 01:06:50,050 --> 01:06:51,120 -Itanibidi nitazame. 1176 01:06:51,150 --> 01:06:55,620 -Lakini hoja yangu kwa hayo ni: Vipi kuhusu watu wote huko- 1177 01:06:55,660 --> 01:07:00,090 na umeshasikia hili mara milioni; imeisikia mara milioni - kwamba 1178 01:07:00,130 --> 01:07:01,900 wakisema, "Ah, Biblia imejaa mambo inayojipinga yenyewe?" 1179 01:07:01,930 --> 01:07:03,030 -Nasikia mara zote. 1180 01:07:03,060 --> 01:07:06,270 -Haiwezekani pakawa na ajenda ya kutunga kujipinga huko, ili tu kufanya... 1181 01:07:06,300 --> 01:07:07,230 -Hapana... 1182 01:07:07,270 --> 01:07:08,800 -...au kuweka tu vitu vya kijuha kwenye Biblia,... 1183 01:07:08,840 --> 01:07:09,670 -Hapana, hapana, hapana, hapana. 1184 01:07:09,700 --> 01:07:11,780 -...kuweka tu vitu kwenye Biblia vitakavyoonekana vya kijinga, kama vile "Sauli alikuwa na umri wa mwaka mmoja 1185 01:07:12,510 --> 01:07:13,640 pale alipoanza kutawala"? 1186 01:07:13,670 --> 01:07:18,980 1 Samueli 13:1 katika toleo la King James linasema, "Sauli alitawala mwaka mmoja; na pale 1187 01:07:19,010 --> 01:07:24,290 alipokuwa ametawala kwa miaka miwili juu ya Izraeli..." kwenye toleo la English Standard Version 1188 01:07:24,320 --> 01:07:28,460 hiyo imebadilika na kuwa, "Sauli aliishi kwa mwaka mmoja na kisha akawa mfalme." 1189 01:07:28,490 --> 01:07:32,790 -1 Samueli 13:1 katika toleo la Duway Rhemes, ambalo ni Biblia ya Kikatoliki: 1190 01:07:32,830 --> 01:07:37,400 "Sauli alikuwa mtoto wa mwaka mmoja pale alipoanza kutawala, 1191 01:07:37,430 --> 01:07:39,800 na akatawala kwa miaka miwili juu ya Izraeli." 1192 01:07:39,830 --> 01:07:44,410 -Unajua mstari huo umetuambiaje? Kwamba Sauli alikuwa na umri wa mwaka mmoja pale 1193 01:07:44,440 --> 01:07:48,940 alipokuwa mfalme. Lakini pana tatizo: 1 Samueli 9:2 inasema, "tangu mabega yake 1194 01:07:48,980 --> 01:07:53,050 kwenda juu alikuwa mrefu kuliko watu wote. " Lakini kwa mujibu wa toleo la 1195 01:07:53,080 --> 01:07:57,120 English Standard Version, alikuwa na umri wa mwaka mmoja pale alipokuwa kichwa na mabega juu ya watu wote. 1196 01:07:57,150 --> 01:07:59,490 Huyo alikuwa ni mtoto fulani mkubwa. 1197 01:08:00,080 --> 01:08:02,380 Nataka tu kukuambia Biblia hizi ni za kijinga. 1198 01:08:03,690 --> 01:08:07,730 Wakati mwingine ninapokuwa kwenye uinjilisti na watu wakaniambia, "Siiamini 1199 01:08:07,760 --> 01:08:09,630 Biblia kwa sababu pana makosa kwenye Biblia." 1200 01:08:09,660 --> 01:08:12,130 Na nikasema, "Nionyeshe moja." 1201 01:08:12,170 --> 01:08:14,870 Na hutoa Biblia toleo la NIV. Huwaambia, "Usinionyeshe - Ninaweza kukuonyesha 1202 01:08:14,900 --> 01:08:18,740 makosa kwenye toleo hilo. Naweza kukuonyesha kujipinga kwenye toleo hilo. Nionyeshe 1203 01:08:18,770 --> 01:08:20,540 kosa moja kwenye Biblia ya King James. Huwezi kukuta hata moja." 1204 01:08:21,040 --> 01:08:25,000 -Hili hapa badiliko lingine ambalo matoleo ya siku hizi yameweka. Wagalatia sura ya tano: 1205 01:08:25,000 --> 01:08:25,010 1206 01:08:25,010 --> 01:08:29,340 " Laiti hao wanaowatia mashaka wangejikata nafsi zao! " 1207 01:08:29,680 --> 01:08:33,720 NIV inasema, "Kwa habari ya hao wawatiao mashaka, natamani wangeenda 1208 01:08:33,750 --> 01:08:37,630 zao na kujidhoofisha wenyewe!" 1209 01:08:39,730 --> 01:08:42,830 Kweli hayo yanafanana na kitu ambacho Biblia ingefundisha ambacho mtume 1210 01:08:42,860 --> 01:08:45,900 Paulo angesema? Najua utasema, "Sawa, lakini sidhani kama walikuwa wanamaanisha 1211 01:08:46,270 --> 01:08:49,700 hivyo kwenye NIV." Sawa, ndiyo maana toleo la Common English Bible lilitafsiri, 1212 01:08:49,740 --> 01:08:52,770 "Natamania wale wawasumbuao wakajihasi wenyewe!" 1213 01:08:54,040 --> 01:08:58,060 Au unaonaje kuhusu toleo la Contemporary English Version, CEV? Nimeliona hili 1214 01:08:58,280 --> 01:09:02,420 likiuzwa kwa promosheni duka la vitabu vya Kikristo. "Natamani kila mtu anayekuudhi 1215 01:09:02,450 --> 01:09:06,050 siyo tu atahiriwe, bali wamkate tena zaidi!" 1216 01:09:06,090 --> 01:09:10,930 Yaani unasikiliza? Kwa sababu neno "cut off" halina 1217 01:09:10,960 --> 01:09:15,000 uhusiano na kujidhoofisha au kujihasi au kujidhuru mwenyewe. 1218 01:09:15,000 --> 01:09:15,560 1219 01:09:15,560 --> 01:09:18,810 Paulo anarejea haya maandiko ya Agano la Kale kuhusu watu ambao 1220 01:09:19,430 --> 01:09:23,770 waliasi Neno la Mungu, kwamba pia watakaliwa. Angalia, sina muda kukuonyesha 1221 01:09:23,800 --> 01:09:28,110 mamia yote na kuzidi ya mifano kama huu. Anachokisema hapa ni kwamba 1222 01:09:28,140 --> 01:09:31,450 inabidi watimuliwe, anatamani waondoshwe kabisa, anatamani kwamba 1223 01:09:31,480 --> 01:09:34,520 waangamizwe na Mungu. Hicho ndicho maana ya "wangejikata". Ama 1224 01:09:34,550 --> 01:09:37,540 wataangamizwa na Mungu au "cut off" ingemaanisha inabidi watimuliwe 1225 01:09:37,540 --> 01:09:37,550 1226 01:09:37,550 --> 01:09:41,690 toka kundini, na kutimuliwa toka kwenye mkutano, kutimuliwa toka kwenye taifa la 1227 01:09:42,290 --> 01:09:46,990 Izraeli. Ndiyo maana ya neno "cut off", lakini hii mijamaa na matoleo yao 1228 01:09:47,030 --> 01:09:52,000 ya siku hizi wamelazimisha kwamba mtume Paule kusema, "Yaani ninavyotamani hao jamaa 1229 01:09:52,030 --> 01:09:56,900 wangejidhoofisha tu wenyewe. Natamani wangejihasi wenyewe. Natamani 1230 01:09:56,940 --> 01:10:00,540 wangejikatakata wenyewe." Yaani siyo kabisa vitu alivyokuwa akifundisha. 1231 01:10:00,570 --> 01:10:01,580 Mambo ya kushangaza kabisa. 1232 01:10:01,610 --> 01:10:05,010 Lakini siyo tu kwamba haya matoleo mapya yana vitu vya kichizi vinavyofanya 1233 01:10:05,010 --> 01:10:05,110 1234 01:10:05,110 --> 01:10:10,280 Biblia ionekane ni ya kipumbavu, bali pia wana ajenda mahususi ya kuwaanda watu 1235 01:10:10,450 --> 01:10:14,760 kwa Utaratibu Mpya wa Dunia. Na sehemu ya maandalizi hayo ni kuwashawishi 1236 01:10:14,790 --> 01:10:19,060 Wakristo wakubaliane na serikali bila kujali hali halisi. Mstari muhimu ambao 1237 01:10:19,090 --> 01:10:20,830 wameubadilisha ni Warumi 13. 1238 01:10:20,860 --> 01:10:27,090 -Niko huru kujifanya mimi mwenyewe mtumwa. Niko huru kuachia baadhi ya uhuru wangu. 1239 01:10:27,090 --> 01:10:27,100 1240 01:10:27,100 --> 01:10:32,630 Niko huru lakini nina uhuru wa kujiweka chini ya mamlaka ya serikali yangu. Hata serikali mbaya 1241 01:10:33,510 --> 01:10:38,810 hufanya kazi ya Mungu kwa kutunza kitu kinachofanana na ustaarabu mitaani. 1242 01:10:38,880 --> 01:10:44,690 Hata serikali ya Umoja wa Kisovieti chini ya Stalini ulikuwa unafanya kazi ya Mungu. 1243 01:10:44,720 --> 01:10:49,860 Hata China chini ya Mao Se Tung ilikuwa inafanya kazi ya Mungu. Mheshimu mfalme. Fanya hivyo 1244 01:10:49,890 --> 01:10:55,000 tu hata kama mfalme anastahili au la. Mheshimu gavana wako; mheshimu 1245 01:10:55,030 --> 01:10:58,230 meya wako, bila kujali kama anastahili au la. Mheshimu mfalme. 1246 01:10:59,870 --> 01:11:02,670 -Hakuna mtu anayeweza kuwa na silaha. Tutachukua silaha zetu zote. 1247 01:11:02,700 --> 01:11:04,840 [Sauti kubwa ya Hodi inayopigwa] 1248 01:11:04,870 --> 01:11:08,010 -Leo kule New Orleans wamekuwa wakali dhidi ya ving'ang'anizi. 1249 01:11:08,010 --> 01:11:08,080 1250 01:11:08,080 --> 01:11:09,720 -Polisi hapa! Uko nyumbani? 1251 01:11:09,910 --> 01:11:12,110 -Siyo tu maeneo yaliyokumbwa na mafuriko, bali hata yale 1252 01:11:12,150 --> 01:11:14,030 maeneo makavu kabisa ya New Orleans na yanayoishi matajiri. 1253 01:11:14,030 --> 01:11:14,180 1254 01:11:14,180 --> 01:11:18,570 -Lakini unyang'anyaji silaha ndicho hasa kitu kilichotokea wakati wa hali ya hatari 1255 01:11:18,920 --> 01:11:23,390 iliyofuatia Kimbunga cha Katrina huko New Orleans. Majeshi ya Marekani nayo yalifika. 1256 01:11:23,420 --> 01:11:28,000 Kuwatoa watu hofu na kuzima upinzani vingekuwa ni muhimu, na hicho hasa 1257 01:11:28,030 --> 01:11:30,100 ndicho kile Timu ya Wachungaji ya Kukabiliana na Maafa kama inavyoitwa 1258 01:11:30,130 --> 01:11:32,270 ilivyosaidia kufanikisha New Orleans. 1259 01:11:32,300 --> 01:11:34,940 -Lengo kuu ambalo tunamwambia kila mtu ni, "Acha tushirikiane na 1260 01:11:34,970 --> 01:11:37,400 tuweze kuvuka salama kwenye haya, na kisha tutamaliza tofauti zetu 1261 01:11:37,440 --> 01:11:38,740 mara hali hii itakapokuwa imepita." 1262 01:11:38,770 --> 01:11:42,710 -Timu kama hizo za Wachungaji zingekuwa na wakati mgumu kuzingatia mahitaji ya 1263 01:11:42,740 --> 01:11:44,980 serikali dhidi ya matakwa ya umma. 1264 01:11:45,010 --> 01:11:49,020 Kwa wachungaji, moja ya zana kuu ambayo wangekuwa nayo ni kusaidia kuwatuliza 1265 01:11:49,050 --> 01:11:55,820 wananchi au kutii sheria ndiyo Biblia yenyewe, husuan Warumi 13. 1266 01:11:55,860 --> 01:11:58,990 -Kwa sababu serikali huwekwa na Bwana. Na hayo ndiyo tuaminiyo 1267 01:11:59,030 --> 01:12:00,830 katika imani ya Kikristo; ndivyo ilivyoandikwa kwenye maandiko matakatifu. 1268 01:12:00,860 --> 01:12:05,170 -Lakini ngoja kwanza. Inakuwaje pale askari polisi anajijia tu nyumbani kwangu na kusema, 1269 01:12:05,200 --> 01:12:09,740 "Osha gari langu, mtumwa"? Biblia inanilazimisha nitii hayo? 1270 01:12:09,770 --> 01:12:14,310 OK, inakuwaje pale askari polisi ananitaka nifanye kitu ambacho ni uvunjaji sheria? Yaani itakuwaje pale 1271 01:12:14,340 --> 01:12:17,850 polisi ananijia na kuniambia, "Unajua? Nataka upande 1272 01:12:17,880 --> 01:12:21,040 na kuruka uzio kwenda kwenye uwanja wa jirani yako na nataka uchungulie dirishani na 1273 01:12:21,040 --> 01:12:21,180 1274 01:12:21,180 --> 01:12:24,770 uone jirani yako anafanya nini. Nataka unipelelezee jirani yako."? 1275 01:12:25,190 --> 01:12:28,240 Yaani hata hayo itabidi kuyatii? Utasema, "umechagua mifano ya kijuha." 1276 01:12:28,790 --> 01:12:33,230 Kweli. Kwa sababu haijapata kutokea serikali popote pale iliyoamuru 1277 01:12:33,260 --> 01:12:37,160 wananchi wake kuwachunguza majirani wao la sivyo. Hiyo haijapata kutokea. Sivyo? 1278 01:12:37,200 --> 01:12:41,240 Hakuna kitu kama Ujerumani ya Kinazi; Hakuna kitu kama Umoja wa Kisovieti 1279 01:12:41,270 --> 01:12:45,240 Jinyamazie tu na tii unachoambiwa. Warumi 13 ni vifungu ambavyo 1280 01:12:45,270 --> 01:12:50,610 vinatufafanulia kusudi la serikali ni kuwaadhibu watenda mabaya, na siyo kuratibu 1281 01:12:50,640 --> 01:12:55,320 kila nyanja za maisha yetu na kutuambia nini tufanye na kutudhibiti. Lakini pia 1282 01:12:55,350 --> 01:12:59,520 jambo muhimu linalofundishwa kwenye Warumi 13 ni kwamba tutii mamlaka iliyo juu. 1283 01:12:59,550 --> 01:13:04,330 Hivyo kwa mfano, hapa Marekani tuna ngazi mbalimbali za serikali, hatunazo? 1284 01:13:04,360 --> 01:13:09,060 Ni ipi sasa sheria kuu ya taifa? Kwa kweli, kwanza kabisa ni sheria ya Mungu. 1285 01:13:09,100 --> 01:13:12,970 Tunamtii Mungu kwanza. Baada ya hayo ni katiba ya Marekani 1286 01:13:13,000 --> 01:13:17,740 kwa sababu katiba ya Marekani ndiyo sheria mama ya nchi. 1287 01:13:17,770 --> 01:13:22,440 Utasema, "Sawa, Biblia inasema mheshimu mfalme, kwa hiyo inatubidi tumtii 1288 01:13:22,480 --> 01:13:26,950 Obama." Lakini ngoja kwanza hapo. Obama ni mfalme? Serikali yetu inaendeshwa 1289 01:13:26,980 --> 01:13:31,420 kifalme? Na nilidhani kwamba tunao viongozi waliochaguliwa wanaowajibika kwa 1290 01:13:31,450 --> 01:13:36,060 wananchi na kwamba hawako juu ya sheria na kwamba sheria kuu ya nchi 1291 01:13:36,120 --> 01:13:39,930 ni katiba ya Marekani. Kwa hiyo kama tutatii serikali ambayo 1292 01:13:39,960 --> 01:13:43,700 imewekwa juu yetu, kama tutatii sheria ya nchi, hapo ina maana 1293 01:13:43,730 --> 01:13:47,670 tunatakiwa kuheshimu katiba. Na NIV inaondosha fundisho hilo kabisa. 1294 01:13:47,700 --> 01:13:52,240 Haikufunzi kufuata tu mamlaka iliyokuzidi, inasema haya: 1295 01:13:57,060 --> 01:14:00,080 Badala ya kusema, unajua, "Acha kila nafsi iwekwe chini ya 1296 01:14:00,850 --> 01:14:04,820 mamlaka. Kwa kuwa hakuna mamlaka ila itokanayo na Mungu: mamlaka yatokanayo na 1297 01:14:04,850 --> 01:14:08,690 Mungu," anarejea kwenye ukweli kwamba hakuna mtu hata mmoja duniani mwenye mamlaka ya 1298 01:14:08,720 --> 01:14:12,960 haki isipokuwa inayotoka kwa Mungu. Kwa nini watoto lazima wawatii wazazi wao? 1299 01:14:12,990 --> 01:14:17,230 Kwa sababu Mungu alisema hivyo. Kwa nini lazima tuzitii serikali? Kwa nini hata ni lazima 1300 01:14:17,260 --> 01:14:21,030 kuheshimu serikali za wanadamu? Kwa sababu Mungu ametuambia kwamba serikali za 1301 01:14:21,030 --> 01:14:21,100 1302 01:14:21,100 --> 01:14:24,830 wanadamu ni kitu ambacho tunakihitaji ili kuwaadhibu watendao maovu, na kuwalinda 1303 01:14:25,170 --> 01:14:28,910 wasio na hatia toka kwa wale wawezao kuwadhuru. Hapa ni toleo la New Living Translation 1304 01:14:28,940 --> 01:14:33,410 la Warumi 13:1. "Kila mtu lazima atii mamlaka ya serikali. Kwa kuwa mamlaka yote 1305 01:14:33,450 --> 01:14:37,180 hutoka kwa Mungu," - zingatia - "na wale wenye nyadhifa za mamlaka 1306 01:14:37,220 --> 01:14:40,290 wamewekwa hapo na Mungu." Hiyo siyo kweli. Toleo la New Living Translation 1307 01:14:40,920 --> 01:14:44,560 linasema kwamba kila mtu katika wadhifa wowote wa mamlaka amewekwa hapo na Mungu. 1308 01:14:44,590 --> 01:14:48,100 Siyo kweli, kwa vile siku moja mpingakristo atakuwa amewekwa kwenye 1309 01:14:48,130 --> 01:14:51,570 mamlaka na Shetani. "Naye joka akampa yeye... mamlaka", inasema katika 1310 01:14:51,600 --> 01:14:55,740 Ufunuo 13. Na siyo hivyo tu, bali katika Hosea[8:4], inasema, "Wamesimamisha 1311 01:14:55,770 --> 01:15:00,780 wafalme, lakini si kwa shauri langu; " Pana nyakati ambazo mamlaka ya binadamu huwa imewekwa 1312 01:15:00,780 --> 01:15:00,840 1313 01:15:00,840 --> 01:15:04,220 na watu kinyume na mapenzi ya Mungu. Na pia katika toleo la New Living 1314 01:15:05,000 --> 01:15:10,010 Translation linasema katika mstari wa 6, "Lipen kodi zenu, pia, kwa sababu hizihizi. 1315 01:15:10,080 --> 01:15:14,660 Kwa vile wafanyakazi wa serikali wanahitaji kulipwa. Wanamtumikia Mungu kwa yale wayafanyayo. 1316 01:15:14,690 --> 01:15:18,790 Mlipe kila mtu anayekudai: Lipa kozi zako na ushuru kwa wale 1317 01:15:18,830 --> 01:15:23,930 wazikusanyao". Usiku mwema! Sasa siyo tu kodi; bali hata ushuru, 1318 01:15:23,960 --> 01:15:29,000 na hizo ndizo mbaya kuliko zote. Biblia ya King James inakuambia uitii serikali ndani ya 1319 01:15:29,040 --> 01:15:32,080 upeo fulani, ndani ya vigezo fulani vya kutegemea nini kazi yao, nini 1320 01:15:32,540 --> 01:15:37,580 wanatakiwa kuwa wanafanya, na pia, dhana nzima kwamba mamlaka ya juu ipo 1321 01:15:37,610 --> 01:15:38,980 hapo kama namna ya kuleta udhibiti na uwiano. 1322 01:15:39,010 --> 01:15:44,420 -Kwa nini toleo la New King James limevuviwa? Kwa sababu linatumia nakala zilezile. 1323 01:15:44,450 --> 01:15:49,820 -Mmh, haitumii. Pana maeneo mengi ambayo New King James imeachana na 1324 01:15:49,860 --> 01:15:53,790 Textus Receptus na kuondoka kutoka kwenye kile King James inasema. 1325 01:15:54,430 --> 01:15:56,200 -Siyo kwenye Agano Jipya. 1326 01:15:56,230 --> 01:15:57,890 -Hata huko, kwa kweli. 1327 01:15:57,890 --> 01:15:57,930 1328 01:15:57,930 --> 01:16:00,800 Pana maeneo mengi tu ambayo inapishana na Textus Receptus. 1329 01:16:02,140 --> 01:16:05,770 New King James nadhani ni moja ya matoleo hatari sana yaliyoko 1330 01:16:05,840 --> 01:16:10,510 kwa sababu inakufanya udhani, "Ahh, ni ileile tu sawa na King James; ni tu mpya 1331 01:16:10,540 --> 01:16:15,180 zaidi, misamiati mipya." Kama ingekuwa hivyo tu, hata nisingeitaja. 1332 01:16:15,220 --> 01:16:19,120 -Kwa sababu watu wengi wasiotaka hata kuigusa NIV kwa fimbo ndefu - 1333 01:16:19,150 --> 01:16:23,790 wasioweza kugusa ESV au New Living Translation kwa fimbo ndefu, 1334 01:16:23,820 --> 01:16:28,430 lakini husema, "Aah Mchungaji Anderson, hata New King James? Hii karibu tu ni 1335 01:16:28,460 --> 01:16:32,930 ileile sawa na King James. Imeondosha tu maneno ya zamani ya 'thee' na 'thou'. 1336 01:16:32,970 --> 01:16:37,370 Ni kama tu King James isipokuwa imekuwa rahisi kidogo kuielewa." 1337 01:16:37,400 --> 01:16:42,180 OK. Sawa, acha nikupe takwimu kidogo za New King James. New King James 1338 01:16:42,210 --> 01:16:48,260 mara 66 inakwepa kutumia neno "Bwana". Imeondoa neno "Mungu" mara 51. 1339 01:16:48,780 --> 01:16:54,800 Imeondoa neno "mbinguni" mara 50. Imeondoa neno "tubu" mara 44. 1340 01:16:54,990 --> 01:17:01,000 Damu imeondolewa mara 23. Neno "jehanamu" limeondolewa mara 22. Na 1341 01:17:01,000 --> 01:17:01,060 1342 01:17:01,060 --> 01:17:05,470 limeondoa kabisa neno "Yehova", limeondoa kabisa neno "damnation", 1343 01:17:05,600 --> 01:17:10,270 imeondoa kabisa neno "Agano Jipya", imeondoa kabisa neno 1344 01:17:10,300 --> 01:17:15,240 "mapepo". Biblia hii siyo haifai kabisa; inabidi tu uwe mwangalifu. Inakubidi 1345 01:17:15,280 --> 01:17:20,150 uichunguze kwa makini. Inabidi ujifunze lugha. Inafurahisha kuona kwamba watoto wangu 1346 01:17:20,180 --> 01:17:23,220 wadogo wanaweza kuielewa, nawe mtu mzima huwezi kuielewa? 1347 01:17:23,580 --> 01:17:26,790 Na je, haishangazi kuona watu hawahawa wasemao King James ni ngumu 1348 01:17:26,820 --> 01:17:29,690 mno kuielewa wakikuambia inabidi ujifunze Kiyunani ikiwa kwa kweli kabisa unataka kujua 1349 01:17:29,720 --> 01:17:33,260 nini Biblia inasema? Mmh, hiyo itakuwa rahisi sana kuielewa. 1350 01:17:33,290 --> 01:17:36,600 "King James ni ngumu sana kwako. Hili hapa Agano Jipya la Kiyunani." 1351 01:17:37,100 --> 01:17:38,570 Watu hawa majuha. 1352 01:17:38,870 --> 01:17:41,950 Ngoja niangalie mistari fulani na nione ipi ndiyo rahisi zaidi kuielewa. 1353 01:17:42,770 --> 01:17:46,810 King James imetumia neno gumu kweli kuhusu aina fulani ya mti, "oak". 1354 01:17:46,840 --> 01:17:50,870 kwa hiyo New King James wakafikiri, "Jamani, hilo ni neno gumu sana. 'Oak'? Unasema 1355 01:17:51,010 --> 01:17:55,480 kweli? Wakabadilisha kuwa 'terebinth tree.' Hiyo ni rahisi kidoogo 1356 01:17:55,650 --> 01:18:00,090 kuelewa, sawa? Waamuzi 8:13 inao msemo mgumu kweli kwenye 1357 01:18:00,120 --> 01:18:02,170 King James, "the sun was up". (jua lilikuwa juu). 1358 01:18:03,260 --> 01:18:06,260 OK? Yaani ingeweza kuwa "Hop on Pop". 1359 01:18:06,360 --> 01:18:12,830 "The sun was up" wameibadilisha na kuwa "the Ascent of Heres." (makweleo ya Heresi) 1360 01:18:13,830 --> 01:18:15,270 "makweleo ya Heresi" 1361 01:18:15,300 --> 01:18:22,240 1 Samuel 13:21. King James inatumia neno gumu kweli "file". Kwa hiyo New 1362 01:18:22,280 --> 01:18:28,020 King James imebadili hilo na kuwa "pim". P-I-M. "Pim". Yaani, nadhani neno hilo lingefaa 1363 01:18:28,050 --> 01:18:31,820 kutumiwa kwenye gemu ya Scrabble, lakini sijawahi kulisikia neno hilo. Sawa? 1364 01:18:31,850 --> 01:18:37,630 1 Samuel 22:6 inatumia neno hili gumu kweli, "tree" (mti). Kwa hiyo New King James 1365 01:18:37,660 --> 01:18:43,400 ikaamua kuliboresha na kuwa "tamarisk tree" kulifanya liwe rahisi zaidi 1366 01:18:43,430 --> 01:18:47,030 kueleweka. 2 Samuel 6:5; King James inasema "cornet". 1367 01:18:47,070 --> 01:18:48,700 Nani ajuaye 'cornet' ni kitu gani? 1368 01:18:49,140 --> 01:18:51,220 Ni aina ya pembe, siyo? Ni aina ya tarumbeta. 1369 01:18:52,070 --> 01:18:54,910 Kwa hiyo wakaamua kutumia neno rahisi zaidi la 'sistrums'. 1370 01:18:55,610 --> 01:18:57,980 "Sistrums". Kwa sababu kila mtu anajua nini maana ya "sistrums". 1371 01:18:58,010 --> 01:18:59,610 Nani ajuaye maana ya neno "sistrums"? 1372 01:18:59,650 --> 01:19:01,070 Nani ajuaye maana ya "cornet"? 1373 01:19:01,070 --> 01:19:01,080 1374 01:19:01,080 --> 01:19:01,670 Unaona! 1375 01:19:02,350 --> 01:19:07,070 Isaya 13:12 ilitumia neno gumu la "man" kwenye Biblia yako ya King James. 1376 01:19:07,070 --> 01:19:07,120 1377 01:19:07,120 --> 01:19:12,440 Yaani, we acha tu! Weka King James kwenye jumba la makumbusho inakostahili kukaa. "Man"? 1378 01:19:13,160 --> 01:19:18,200 Nipe kitu ninachoweza kukielewa. "Mortal" ni bora zaidi, sivyo? 1379 01:19:18,230 --> 01:19:23,300 Danieli 6:2 imetumia neno gumu kweli "princes", kwa hiyo wametumia neno rahisi kwenye 1380 01:19:23,340 --> 01:19:26,340 New King James, "satraps". 1381 01:19:26,440 --> 01:19:27,710 "Band"? 1382 01:19:28,740 --> 01:19:32,750 "Band" kwenye King James; nalo ni gumu sana. Acha tulibadilishe liwe "regiment". 1383 01:19:32,780 --> 01:19:38,950 OK, na hakuna mtu atakayeelewa maana ya "quicksand". Hilo 1384 01:19:38,990 --> 01:19:44,360 limepitwa mno na wakati. "Quicksands" kwenye Matendo 27:17? "Syrtis Sands" ni rahisi kweli 1385 01:19:44,390 --> 01:19:49,700 kuelewa. Yaani jipatie tu nakala yako ya New King James. Ni rahisi kweli kuelewa. 1386 01:19:49,730 --> 01:19:53,900 Je New King James ni rahisi kweli kuielewa kuliko King James yenyewe? 1387 01:19:54,570 --> 01:19:58,540 Yaani pana mifano mingi sana ambayo King James ni rahisi zaidi. Na hapo 1388 01:19:58,570 --> 01:20:01,810 siyo orodha kamili. Hiyo ni mifano michache tu. Kwa hiyo haya hayahusiani 1389 01:20:01,840 --> 01:20:04,860 kabisa na kufanya iwe rahisi kuelewa; ina kila kitu kuhusiana na 1390 01:20:05,000 --> 01:20:09,840 kuibadilisha, kuipotosha, kuipindisha, kuiharibu. Kitu pekee wanachoweza 1391 01:20:09,920 --> 01:20:14,070 kuonyesha na kusema, "Unaona, hapa ndio tumefanya iwe rahisi kweli", ni 1392 01:20:14,070 --> 01:20:14,120 1393 01:20:14,120 --> 01:20:16,440 kuondoa maneno ya "thee" na "thou", lakini inakubidi uwe na 1394 01:20:17,160 --> 01:20:21,190 "thee" na "thou" kwa sababu "thee" na "thou" ni umoja na 1395 01:20:21,460 --> 01:20:25,970 "you, yee, your" ni wingi. Umoja ni yale maneno yaanziayo na TH; 1396 01:20:26,000 --> 01:20:29,900 yale yaanziayo na Y ni wingi. Inaathiri maana kwa sababu mara nyingi 1397 01:20:29,940 --> 01:20:34,110 huwezi kujua iwapo anaonea na mtu mmoja au na kundi 1398 01:20:34,140 --> 01:20:38,280 zima isipokuwa uwe na "thee" na "thou" kukuambia hayo. 1399 01:20:38,310 --> 01:20:42,420 Ni muhimu. Ni muhimu sana. Lakini acha nikuonyeshe baadhi ya mafundisho 1400 01:20:42,450 --> 01:20:46,050 yaliyobadilishwa na New King James yanayoifanya yawe ni mafundisho potofu. 1401 01:20:46,550 --> 01:20:48,660 Nenda 1 Wakorintho 1:18. 1402 01:20:48,690 --> 01:20:53,430 "Kwa sababu neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi, bali kwetu 1403 01:20:53,460 --> 01:20:57,400 sisi tuliookolewa ni nguvu ya Mungu. " 1404 01:20:57,430 --> 01:21:01,370 -Kaka Garrett, nisomee kwa nguvu kabisa yaliyomo kwenye New King James. 1405 01:21:01,400 --> 01:21:05,310 "Kwa sababu ujumbe wa msalaba ni upumbavu kwao wanaopotea, 1406 01:21:05,340 --> 01:21:09,480 lakini kwa sisi ambao tunaokolewa ni nguvu ya Mungu." 1407 01:21:09,510 --> 01:21:14,980 -Angalia, kwenye King James inasema tunaookolewa. Kwenye New King James 1408 01:21:15,000 --> 01:21:19,740 inasema tunaookolewa. Tofauti kubwa sababu wokovu siyo 1409 01:21:19,790 --> 01:21:25,130 mchakato. Wokovu unatokea mara, kufumba na kufumbua, 1410 01:21:25,160 --> 01:21:30,460 tunamwamini Kristo, tunatoka kwenye mauti kwenda kwenye uzima. Siyo mchakato. 1411 01:21:30,500 --> 01:21:33,370 Mimi siyo ninaokolewa. Nimeshaokolewa! 1412 01:21:33,400 --> 01:21:34,020 -Amen! 1413 01:21:34,020 --> 01:21:34,200 -2 Wakorintho 2:15 inasema hivi: "Kwa maana sisi tu manukato ya Kristo, -Amen! 1414 01:21:34,200 --> 01:21:42,060 -2 Wakorintho 2:15 inasema hivi: "Kwa maana sisi tu manukato ya Kristo, 1415 01:21:42,310 --> 01:21:46,550 mbele za Mungu, katika wao waliookolewa, na katika wao wanaopotea; " 1416 01:21:46,580 --> 01:21:48,920 Nisomee toka New King James. 1417 01:21:48,950 --> 01:21:53,490 -"Kwa maana sisi tu manukato ya Kristo, mbele za Mungu, katika wao wanaookolewa, 1418 01:21:53,520 --> 01:21:55,260 na katika wao wanaopotea; " 1419 01:21:55,290 --> 01:21:58,790 -Tena, siyo waliookolewa, bali wale ambao 1420 01:21:58,830 --> 01:22:01,100 wanaookolewa, kana kwamba ni mchakato. 1421 01:22:01,130 --> 01:22:05,270 Mathayo 7:14 kwa mfano, katika New King James inasema, "Bali ugumu ni njia, 1422 01:22:05,330 --> 01:22:09,240 iendayo uzimani, nao waionao ni wachache. " King James inasema 1423 01:22:09,270 --> 01:22:13,170 "nyembamba" ikizungumzia ni watu wangapi wanaoenda, ikirejea ukweli kwamba 1424 01:22:13,210 --> 01:22:16,250 wanaookolewa ni wachache. New King James inasema ni vigumu. 1425 01:22:16,710 --> 01:22:19,150 Ila, kama ni kwa matendo, itakuwa ni vigumu. 1426 01:22:19,710 --> 01:22:25,250 -New Living Translation inasema, "lakini mlango wa kwenda uzimani ni mwembamba sana na 1427 01:22:25,290 --> 01:22:31,530 vigumu kupita barabarani na wachache waionayo." English Standard Version 1428 01:22:31,560 --> 01:22:37,770 inasema, "Kwa kuwa mlango ni mwembamba, na njia ya magumu iendayo kwenye uzima na hao 1429 01:22:37,800 --> 01:22:40,820 waipatayo ni wachache." Utasema, "Sasa Mchungaji Jimenez, tatizo nini? 1430 01:22:41,000 --> 01:22:44,040 Imenyoka, nyembamba, Nyembamba, vigumu, Vigumu, imesonga? 1431 01:22:44,040 --> 01:22:46,810 Nini tatizo? Tatizo ni hili: je ni vigumu kuokolewa? 1432 01:22:47,210 --> 01:22:52,180 -Jamani, Yesu alifanya ile kazi ngumu. Pana ugumu gani kupokea zawadi? Ni vigumu vipi 1433 01:22:52,210 --> 01:22:56,820 kuchukua kinywaji cha maji? Pana ugumu gani kupita mlangoni? Ugumu upi 1434 01:22:56,850 --> 01:23:01,040 kula kipande cha mkate? Hivi ndivyo vitu ambavyo Yesu aliulinganisha wokovu kwavyo 1435 01:23:01,040 --> 01:23:01,120 1436 01:23:01,120 --> 01:23:05,080 kwa sababu ni rahisi kuokolewa kwa sababu huhitaji kufanya matendo yatakayokupeleka 1437 01:23:05,530 --> 01:23:09,500 mbinguni. Unajua wokovu unarejewa vipi kwenye Biblia, kwenye kitabu 1438 01:23:09,530 --> 01:23:11,330 cha Waebrania? Pumziko. 1439 01:23:11,970 --> 01:23:13,600 Angalia, pumziko ni vigumu? 1440 01:23:14,500 --> 01:23:18,530 Usidanganywe na haya matoleo ya siku hizi. Unaweza kujaribiwa siku moja: 1441 01:23:18,810 --> 01:23:21,880 "Unajua, kanisa hili linatumia Biblia ya New King James, tatizo liko wapi hapo?" 1442 01:23:22,810 --> 01:23:24,040 Ni tatizo kubwa. 1443 01:23:24,080 --> 01:23:28,320 Unadhani tunahitaji Biblia 500 tofauti za Kiingereza? 1444 01:23:29,120 --> 01:23:33,150 -Hapana. Kwa kweli, nimeshasema tuna tatizo. Hatuhitaji kuwa nazo 1445 01:23:33,190 --> 01:23:37,190 zaidi. Sidhani kama kuna sababu ya msingi kwa nini tuwe na mlipuko 1446 01:23:37,220 --> 01:23:40,280 wa matoleo hayo kwa miongo hii iliyopita. najua sababu ni nini. 1447 01:23:41,460 --> 01:23:41,930 -Sawa. 1448 01:23:41,960 --> 01:23:45,730 -Ni rahisi hivyo. Ni kweli kwamba ukiwa na kampuni ya uchapishaji na unataka 1449 01:23:45,770 --> 01:23:48,810 kuchapisha Biblia ya Kujifunzia au kitu kama hicho - ambacho mimi si mpenzi wana wa Biblia za Kujifunzia 1450 01:23:49,270 --> 01:23:49,840 -Hata mimi sizipendi. 1451 01:23:49,870 --> 01:23:52,670 -Wanachokifanya ni kwamba ukiwa mchapishaji mkubwa, na hutaki 1452 01:23:52,710 --> 01:23:56,380 kuendelea kulipa mrabaha kwa mtu mwingine, kwa hiyo unafanya tafsiri yako mwenyewe. 1453 01:23:56,410 --> 01:23:59,250 -Sawa. Pana motisha ya kifedha kutoa 1454 01:23:59,280 --> 01:24:00,790 matoleo yote haya tofauti. 1455 01:24:00,790 --> 01:24:00,880 1456 01:24:00,880 --> 01:24:01,620 -Hapo sasa. Hakuna ubishi kwenye hili. 1457 01:24:03,350 --> 01:24:07,420 -Mungu anategemea Mkristo wa kawaida ajifunze Kiyunani? 1458 01:24:07,450 --> 01:24:10,470 -Mungu anategemea Mkristo wa kawaida atumie taarifa alizompatia 1459 01:24:10,660 --> 01:24:14,060 na tunaishi katika nyakati ambazo taarifa tunazo nyingi 1460 01:24:14,090 --> 01:24:17,040 kuliko kizazi chochote kingine na tunahitaji taarifa hizo sasa kwa vile 1461 01:24:17,040 --> 01:24:17,130 1462 01:24:17,130 --> 01:24:18,680 ushetani wa mashambulizi umezidi. 1463 01:24:19,130 --> 01:24:23,300 -Unaona hatari, Sawa - kwa sababu hii ndiyo imani yangu kwa hili. Nadhani kama mtu 1464 01:24:23,370 --> 01:24:27,510 akijifunza Kiyunani na kuwa mahiri kwacho na kukielewa vizuri na kusoma 1465 01:24:27,540 --> 01:24:30,040 bila shida, hiyo ingekuwa vyema sana, lakini.. 1466 01:24:30,080 --> 01:24:32,510 -Kiyunani kidogo ni hatari sana. 1467 01:24:32,550 --> 01:24:36,880 -Kabisa. Huoni hatari ya mtu anayesoma kwa mihula miwili 1468 01:24:36,950 --> 01:24:40,890 Kiyunani cha Chuo cha Biblia na, anaacha kuendelea kujifunza na kusema, - yaani, hata 1469 01:24:40,920 --> 01:24:44,460 mtu asomaye King James pekee atainuka - naye amesoma mihula miwili ya Kiyunani kwenye Chuo cha Biblia 1470 01:24:44,490 --> 01:24:47,540 - na atainuka na kusema, "Aah, unajua wafasiri wa King James, 1471 01:24:48,000 --> 01:24:51,400 walitafsiri hapa kwa makosa." Na kwa kupunga mkono wake tu, unajua, 1472 01:24:51,430 --> 01:24:55,740 miaka saba ya wanazuoni hamsini inapotea hewani kwa ya kwake... 1473 01:24:55,770 --> 01:25:01,840 -Steven, kitu chochote kizuri kinaweza kubezwa. Na Kiyunani kidogo kinaweza kuwa hatari 1474 01:25:01,910 --> 01:25:07,950 Nimesikia mahubiri mazima yakiegemea uelewa mbaya kabisa, sivyo? Lakini acha 1475 01:25:07,980 --> 01:25:12,290 nikuambie miaka iliyopita nilikuwa na mhudumu aliyenijia na kusema, "Jamani, 1476 01:25:12,320 --> 01:25:15,920 nimeona uchambuzi huu. Yaani, haya mahubiri, sijawahi kusikia 1477 01:25:15,960 --> 01:25:20,160 mtu akiyasema kwanza. Unajua Kiyunani. Unaweza kunichunguzia?" 1478 01:25:20,190 --> 01:25:24,070 Kwa hiyo nilimchunguzia. Haikuwa kweli. Ilikuwa ni moja ya wale, 1479 01:25:24,070 --> 01:25:24,130 1480 01:25:24,130 --> 01:25:28,540 mchambuzi kiaina alienda nje ya mstari. Unajua alichokifanya pale 1481 01:25:29,270 --> 01:25:31,510 nilipomwambia? Alihubiri hivyo bila kujali. 1482 01:25:31,540 --> 01:25:33,070 -Kwa kuwa ilisikika vizuri na aliipenda. 1483 01:25:33,110 --> 01:25:34,410 -Kwa kuwa inahubirika vizuri sana. 1484 01:25:34,440 --> 01:25:35,680 -Ni hoja nzuri. 1485 01:25:35,710 --> 01:25:36,640 -Aah, ilikuwa nzuri sana. 1486 01:25:36,680 --> 01:25:37,550 -Hiyo hainishangazi. 1487 01:25:37,580 --> 01:25:38,950 -Kwa bahati mbaya hainishangazi. 1488 01:25:38,980 --> 01:25:42,320 -Hakuna anayebisha kwamba maandiko yamevuviwa. 1489 01:25:42,380 --> 01:25:45,690 [2 Petro 1:21] Biblia inasema, "Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; 1490 01:25:45,720 --> 01:25:47,590 bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu. " 1491 01:25:47,620 --> 01:25:50,930 Lakini hawaamini tulichonacho leo kwamba kimevuviwa kwa vile 1492 01:25:50,990 --> 01:25:54,000 hawaamini utunzwaji wa Biblia, lakini unajua, Biblia inasema katika 1493 01:25:54,000 --> 01:25:54,020 1494 01:25:54,020 --> 01:25:59,240 Zaburi 12:6, "Maneno ya Bwana ni maneno safi, Ni fedha iliyojaribiwa 1495 01:25:59,570 --> 01:26:04,940 kalibuni juu ya nchi; Iliyosafishwa mara saba. Wewe, Bwana, ndiwe utakayelihifadhi, 1496 01:26:04,970 --> 01:26:08,880 utalilinda na kizazi hiki hata milele." Unajua, Mungu yuleyule ambaye 1497 01:26:08,940 --> 01:26:12,780 aliyetuletea Neno lililovuviwa ndiye Mungu yuleyule atakayelilinda 1498 01:26:12,810 --> 01:26:18,120 Neno lililovuviwa. Na nadhani ni ujinga kudhani kamba Mungu ana nguvu za kutosha kuwatumia 1499 01:26:18,150 --> 01:26:23,260 watu wadhambi na kuhakikisha tunapata nakala kamili na kisha Mungu huyohuyo 1500 01:26:23,290 --> 01:26:28,000 asiweze kuwatumia watu wenye dhambi kuhakikisha linalindwa na kizazi hiki milele? 1501 01:26:28,000 --> 01:26:28,060 1502 01:26:28,060 --> 01:26:32,940 Naamini Mungu ana nguvu za kutosha kutupa Neno lililovuviwa na naamini Mungu 1503 01:26:33,270 --> 01:26:36,700 ana nguvu za kutosha kuhifadhi Maneno hayo yaliyovuviwa 1504 01:26:36,740 --> 01:26:39,110 na kizazi hiki milele. 1505 01:26:39,140 --> 01:26:45,220 Acha nikuulize: Unaamini kwamba watu wanahitaji kujifunza Kiebrania au 1506 01:26:46,050 --> 01:26:52,850 Kiyunani au hata Kiingereza, au wanaweza kuwa na Biblia katika lugha zote? 1507 01:26:52,890 --> 01:26:56,320 -Wawe na Biblia katika lugha zote. Ndioy maana tunasaidia 1508 01:26:56,360 --> 01:27:00,630 huduma za ufasiri kama vile "Bibles Internation." "Textus Receptus" 1509 01:27:00,660 --> 01:27:04,870 hutumika na Biblia ya Kiebrania ni wazi pia hutumika, kutafsiri kwenda kwenye lugha 1510 01:27:04,900 --> 01:27:07,670 nyingine, ambazo huwa ni Neno la Mungu. 1511 01:27:25,920 --> 01:27:30,420 Tunaamini kwamba kila watu wanatakiwa wawe na Biblia kwa lugha yao, 1512 01:27:30,460 --> 01:27:32,510 na kwa Kiingereza, ni Biblia ya King James. 1513 01:27:33,660 --> 01:27:38,600 -Ngoja nisogee na kusema hivi: Neno la Mungu limetunzwa mpaka kutufikia sisi wa 1514 01:27:38,630 --> 01:27:44,310 kizazi hiki. Sikiliza Isaya 59:21. "Tena katika habari zangu, hili ndilo agano langu nao, 1515 01:27:44,370 --> 01:27:49,780 asema Bwana; roho yangu iliyo juu yako, na maneno yangu niliyoyatia 1516 01:27:49,810 --> 01:27:54,720 kinywani mwako, hayataondoka kinywani mwako, wala kinywani mwa wana wako, 1517 01:27:54,750 --> 01:27:59,650 wala kinywani mwa wajukuu wako, asema Bwana, tangu leo na 1518 01:27:59,690 --> 01:28:02,760 hata milele. " Anasema, "Sikiliza Isaya. Neno unalolihubiri, uzao 1519 01:28:03,490 --> 01:28:07,800 wako utalihubiri. Watoto wako na watoto wao na 1520 01:28:07,830 --> 01:28:12,130 vitukuu tangu sasa na hata milele watakuwa na maneno haya" na naamini 1521 01:28:12,170 --> 01:28:16,840 kwamba hayo maneno ninayo mkononi mwangu hapa saa hii. Angalia, matoleo 1522 01:28:16,900 --> 01:28:22,040 ya siku hizi, ikiwa ni NIV, ESV, New Living Translation, au 1523 01:28:22,080 --> 01:28:27,210 New King James, hiyo falsafa ni falsafa isemayo Neno la Mungu 1524 01:28:27,250 --> 01:28:31,390 halikuhifadhiwa. Inabidi tuchimbue jipya. Inabidi tuchimbue nakala 1525 01:28:31,420 --> 01:28:35,490 za zamani ili kurekebisha makosa yote yaliyomo. Hapana. Naamini kwamba limekuwa 1526 01:28:35,520 --> 01:28:41,200 limetunzwa toka wakati wa Kristo hata sasa. Limetunzwa na tulichonacho 1527 01:28:41,230 --> 01:28:46,030 leo hii ni nakala ya nakala ya nakala ambayo imetunzwa mpaka kutufikia. 1528 01:28:46,070 --> 01:28:50,970 Watu wengi wana imani potofu kwamba Biblia ya King James imebadilishwa katika 1529 01:28:51,040 --> 01:28:55,910 miaka hii yote iliyopita, na kwamba toleo la 1769 ambalo tunalitumia leo hii ni tofauti kabisa na 1530 01:28:55,940 --> 01:29:01,720 la 1611, lakini kiukweli kitu pekee kilichobadilika mwaka 1769 zilikuwa ni herufi, 1531 01:29:01,750 --> 01:29:07,450 herufi kubwa, alama za kupumzika, na kurekebisha maneno yaliyokosewa; maneno ambayo 1532 01:29:07,520 --> 01:29:13,190 hayakubadilishwa. Maneno tuliyonayo leo hii kwenye Biblia ya King James ni yaleyale kabisa 1533 01:29:13,230 --> 01:29:18,700 tuliyopewa na wafasiri mwaka 1611. Maneno hayo 1534 01:29:18,730 --> 01:29:20,970 hayajabadilishwa. Maneno hayo yamehifadhiwa, 1535 01:29:21,000 --> 01:29:23,050 na ndivyo Mungu alivyoahidi atahifadhi. 1536 01:29:23,500 --> 01:29:29,040 Anasema, angalia, "Mbingu na nchi zitapita, bali maneno yangu hayatapita 1537 01:29:29,110 --> 01:29:34,050 kamwe." Hakusema mawazo; Hakusema fikra; hakusema 1538 01:29:34,050 --> 01:29:34,180 1539 01:29:34,180 --> 01:29:39,290 mafundisho; alisema, "maneno yangu hayatapita kamwe." Haya matoleo mapya yanatoka kwenye 1540 01:29:39,790 --> 01:29:44,960 vyanzo dhalimu na yana tunda dhalimu. Liangalie tunda la haya matoleo 1541 01:29:44,990 --> 01:29:49,660 mapya. Angalia jinsi makanisa yalivyogeuka: kumbi za burudani. Angalia vile 1542 01:29:49,700 --> 01:29:54,040 makanisa yamekuwa kama matokeo ya haya matoleo ya kisasa: yamejazwa na 1543 01:29:54,040 --> 01:29:54,100 1544 01:29:54,100 --> 01:29:57,120 watu wasiookolewa. Yamejazwa na watu wasiojua mafundisho, wasiojali kuhusu 1545 01:29:58,240 --> 01:30:01,980 mafundisho, kwa sababu unaposoma kitabu kilichojaa kujipinga chenyewe, 1546 01:30:02,010 --> 01:30:06,950 ni vigumu kujali kuhusu mafundisho. Lakini unaposoma kitabu ambacho ni 1547 01:30:06,980 --> 01:30:11,850 kamili na halisi na kilichohifadhiwa, unajua, unaangalia kila neno na 1548 01:30:11,890 --> 01:30:15,060 unajali kuhusu mafundisho na unajali kuhusu inachosema na unajali kuhusu kile 1549 01:30:15,090 --> 01:30:18,990 inachomaanisha, siyo tu, "Ndio, sawa, ni kama nimeelewa inachotaka kusema. Yesu alikufa 1550 01:30:19,030 --> 01:30:22,900 msalabani. Nimeelewa." Hapana, nataka kujua kila fundisho ambalo Mungu 1551 01:30:22,930 --> 01:30:24,050 ameniletea kupitia Neno la Mungu. 1552 01:30:24,050 --> 01:30:24,130 1553 01:30:24,130 --> 01:30:28,690 -Unajua, kugusa kitabu hiki na kukisoma ni kitu kimoja. Kukitambua 1554 01:30:29,270 --> 01:30:33,310 toka mbali kuhusu nini wanaume na wanawake, watoto, walipitia ili 1555 01:30:33,340 --> 01:30:37,850 wewe na mimi tuweze kusoma kitabu kinachoita Biblia bila hofu ya 1556 01:30:37,880 --> 01:30:42,380 kuteswa. Ni rahisi kusema idadi hii: watu 10,000 walichomwa moto, 1557 01:30:42,420 --> 01:30:46,790 kupigwa mawe, kupasuliwa matumbo, kwa kusoma kitabu hiki. 1558 01:30:46,920 --> 01:30:51,730 -Hukisoma mapema kabisa asubuhi, au wakati mwingine jioni sana, ili 1559 01:30:51,790 --> 01:30:56,560 niewe kuamka saa tisa usiku nikiwa na wazo, na huenda na kusoma wazo hilo kwenye maandiko. 1560 01:30:56,600 --> 01:31:02,670 Je wafahamu uzuri wake na nini inachosema, nawe wakaa tu 1561 01:31:02,700 --> 01:31:05,730 hapo machozi yakimiminika mashavuni kwa sababu unatambua ukuu wa 1562 01:31:06,010 --> 01:31:09,020 kile ulichopata. Na hivyo pale nisomapo Biblia ya King James 1563 01:31:09,210 --> 01:31:12,260 hujiamini kabisa kwamba nilichonacho mkononi mwangu ni Neno la Mungu toka jalada hili mpaka 1564 01:31:12,710 --> 01:31:17,020 jalada lile na kwamba ni lilelile sasa kama litakavyokuwa saa moja toka sasa sababu 1565 01:31:17,050 --> 01:31:20,860 limehifadhiwa na ni lilelile. Kwa hiyo nina imani nilifunguapo na kuhubiri 1566 01:31:20,890 --> 01:31:24,930 toka humo Jumapili na kufundisha toka humo kwenye Shule ya Jumapili au kushuhudia watu 1567 01:31:24,960 --> 01:31:28,960 mitaani, najua kwamba hili ni Neno la Mungu na tunangoja kwa hamu kukutana 1568 01:31:29,000 --> 01:31:32,070 naye Neno mwenyewe katika utukufu kushuhudia 1569 01:31:32,800 --> 01:31:34,600 kile tulichokuwa tunajifunza maisha yetu yote. 1570 01:31:35,240 --> 01:31:39,510 -Mungu hapendezwi na hawa watu wanaonyofoa mistari, wanaoongeza mistari, wanaoongeza 1571 01:31:39,540 --> 01:31:41,610 mambo, na kuondoa mambo. Nenda kwenye Ufunuo. 1572 01:31:41,640 --> 01:31:47,090 Ufunuo 22:18:, "Namshuhudia kila mtu ayasikiaye maneno ya 1573 01:31:47,090 --> 01:31:47,170 1574 01:31:47,170 --> 01:31:53,260 unabii wa kitabu hiki, Mtu ye yote akiyaongeza, Mungu atamwongezea 1575 01:31:54,120 --> 01:31:57,050 hayo mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki. " Umeshawahi kukisoma kitabu cha 1576 01:31:57,050 --> 01:31:57,160 1577 01:31:57,160 --> 01:32:01,820 Ufunuo? Pana mapigo mengi mabaya kwenye kitabu hicho. Anasema nitakupiga 1578 01:32:02,330 --> 01:32:07,070 hayo mapigo ukiongeza kwenye Neno langu. Ufunuo 22:19; "Na mtu ye yote 1579 01:32:07,100 --> 01:32:12,210 akiondoa lo lote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu 1580 01:32:12,240 --> 01:32:17,080 atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa uzima, na katika ule mji mtakatifu, ambao 1581 01:32:17,110 --> 01:32:21,620 habari zake zimeandikwa katika kitabu hiki. " Lakini watu hawa wamebadilisha 1582 01:32:21,650 --> 01:32:26,050 Neno la Mungu, Biblia inasema wamepoteza fursa ya kuokolewa. 1583 01:32:26,090 --> 01:32:30,080 Alisema, "Nitawaondolea." Alisema "Kwa namna ileile uliondoa toka kwenye Neno langu, 1584 01:32:30,080 --> 01:32:30,190 1585 01:32:30,190 --> 01:32:33,310 nami nitawaondolea sehemu yao kwenye kitabu cha uzima." Alisema, "Nitahakikisha 1586 01:32:34,090 --> 01:32:38,570 haukolewi kwa sababu uliivurunga Biblia yangu." Hiyo naiona 1587 01:32:38,600 --> 01:32:40,430 kama vile Mungu anamaanisha kuhusu haya. 1588 01:32:41,050 --> 01:32:46,560 Ni kama, "Sawa, Mchungaji Jimenez, nakubali. Naelewa. Biblia hizi ni potofu. 1589 01:32:47,070 --> 01:32:51,000 Zinapotosha mafundisho. Biblia ya King James ni safi. Biblia ya 1590 01:32:51,000 --> 01:32:51,010 1591 01:32:51,010 --> 01:32:54,020 King James ndilo neno la Mungu. Nimeelewa. Sasa niifanyie nini?" 1592 01:32:54,250 --> 01:33:01,660 Ukitambua kwamba unalo Neno la Mungu mkononi mwako, siyo mawazo ya Mungu, 1593 01:33:01,720 --> 01:33:07,000 siyo kile ambacho angeweza kusema, siyo kile ambacho tunadhani alisema, bali maneno yake halisi 1594 01:33:07,000 --> 01:33:07,160 1595 01:33:07,160 --> 01:33:13,010 ya Mungu, na siyo hivyo tu, bali pale unapokuwa na maneno ya Mungu hakika unaye 1596 01:33:13,830 --> 01:33:20,810 Mungu, siyo kitabu hiki, bali maneno haya, pale unapotambua kwamba unayo maneno ya 1597 01:33:20,840 --> 01:33:27,010 Mungu, rafiki, hapo itakuhamasisha uisome Biblia. Hapo itatuhamasisha kuishi 1598 01:33:27,050 --> 01:33:32,520 kama Biblia inavyosema. Kitabu hiki kina kila jibu kwa kila swali la maisha. 1599 01:33:33,350 --> 01:33:36,460 Utasema, "Mchungaji Jimenez, nilipokuja kwenye Kanisa la Kibaptisti la Verity, kwa kweli 1600 01:33:36,520 --> 01:33:39,590 sikuja hapa kujifunza kuhusu Biblia ya King James. Nimekuja hapa kujifunza kuhusu 1601 01:33:39,630 --> 01:33:42,330 wokovu." Tunajifunza kuhusu wokovu katika Biblia ya King James. 1602 01:33:43,060 --> 01:33:46,670 "Sikuja hapa kwa lengo la kujifunza jambo hili. Nimekuja hapa ili 1603 01:33:46,700 --> 01:33:49,940 nipate msaada kuhusu ndoa yangu." Hiki kitabu kitasaidia ndoa yako. 1604 01:33:49,970 --> 01:33:53,670 "Kwa kweli sikuja hapa kujifunza kuhusu Biblia ya King James. Nimekuja hapa 1605 01:33:53,740 --> 01:33:57,440 kujifunza namna ya kulea watoto wangu." Hiki kitabu kitakusaidia kulea watoto wako. 1606 01:33:57,440 --> 01:34:01,010 Kitatatua matatizo yako yote. Kitakupatia wokovu. Kitafanya 1607 01:34:01,010 --> 01:34:01,080 kila kitu unachokihitaji kifanye. Kwa nini? Kwa sababu ndilo Neno la Mungu... Kitatatua matatizo yako yote. Kitakupatia wokovu. Kitafanya 1608 01:34:01,080 --> 01:34:04,110 kila kitu unachokihitaji kifanye. Kwa nini? Kwa sababu ndilo Neno la Mungu... 1609 01:34:05,120 --> 01:34:10,220 ...bila makosa, kamili kabisa, kama vile tu Mungu alivyokuletea. 1610 01:34:10,260 --> 01:34:16,280 Inanipa kujiamini kubaini kwamba Neno la Mungu ni kamilifu. Unajua kwa nini 1611 01:34:16,560 --> 01:34:22,770 watu wengi hawamwamini Mungu leo, hawaji kanisani, vizazi 1612 01:34:22,800 --> 01:34:26,510 vya vijana wanaondoka makanisani kwa makundi wasirejee tena? 1613 01:34:26,540 --> 01:34:30,180 kwa sababu ya haya matoleo ya siku hizi ya Biblia yamepotoshwa, pana 1614 01:34:30,210 --> 01:34:35,150 makosa ndani yake, na yamewasababishia kutilia mashaka imani yao kwa Mungu. Lakini siyo 1615 01:34:35,180 --> 01:34:40,090 hiki hapa. Hiki hapa ni kikamilifu. toleo la King James ndilo Neno la Mungu. 1616 01:34:40,120 --> 01:34:41,160 Lisome. 1617 01:34:41,190 --> 01:34:42,290 Jifunzie. 1618 01:34:42,320 --> 01:34:43,220 Kisome sana. 1619 01:34:43,260 --> 01:34:44,020 Kikumbuke. 1620 01:34:44,060 --> 01:34:44,070 Ishi kwacho. 1621 01:34:44,790 --> 01:34:45,660 Kitumie kuwahubiri wengine. 1622 01:34:45,690 --> 01:34:48,100 Tuinamishe vichwa vyetu tupate kuomba. Baba mpenzi uliye mbinguni, 1623 01:34:48,130 --> 01:34:54,270 Bwana, tunakupenda. Asante kwa Neno lako. Bwana, asante kwamba haujatupa 1624 01:34:54,300 --> 01:35:01,080 jukumu la kulihifadhi Neno lako, bali wajibu huo 1625 01:35:01,110 --> 01:35:07,050 umejipa wewe mwenyewe. Umelivuvia, umelitunza, na umetupatia 1626 01:35:07,050 --> 01:35:07,180 1627 01:35:07,180 --> 01:35:12,450 sisi leo hii. Baba, tunakupenda. Tusaidi tusiondoke hapa leo na 1628 01:35:12,950 --> 01:35:18,040 kuuacha tu ujumbe huu upite sikio moja na kwenda kwenye lingine. Tusaidie tutambue, "Ninalo 1629 01:35:18,040 --> 01:35:18,190 1630 01:35:18,190 --> 01:35:24,010 Neno la Mungu; labda inanibidi nilisome. Labda inanibidi nilichunguze. labda 1631 01:35:24,430 --> 01:35:29,530 inanibidi niishi kama lisemavyo."Bwana, Tunakupenda. Katika jina lako tukufu ninaomba. Amen. 1632 01:39:12,760 --> 01:39:14,230 Ninapenda kukuliza swali. 1633 01:39:14,260 --> 01:39:16,330 Wajua kwa hakika, kama ukifa leo, je utakwenda mbinguni? 1634 01:39:16,960 --> 01:39:19,900 Unaweza kusema, "Sina hakika kama nitakwenda mbinguni." 1635 01:39:19,930 --> 01:39:21,440 Pengine hata hukuwahi kufikiria jambo hili. 1636 01:39:21,470 --> 01:39:25,490 Lakini Biblia inasema unaweza kuwa na uhakika 100% uko njiani kwenda mbinguni. 1637 01:39:25,670 --> 01:39:30,090 Kwa mujibu wa Biblia, unahitajika kuelewa vitu vichache ili uweze 1638 01:39:30,090 --> 01:39:30,110 1639 01:39:30,110 --> 01:39:32,890 kupokea wokovu. Kitu cha kwanza ni hiki: 1640 01:39:33,780 --> 01:39:38,850 Biblia inasema katika Warumi 3:23, "kwa sababu wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na 1641 01:39:38,920 --> 01:39:43,960 utukufu wa Mungu". Biblia inatuambia kwamba "dhambi iko kwenye kuvunja sheria." Pale ambapo 1642 01:39:43,990 --> 01:39:48,300 tunavunja sheria ya Mungu, tunafanya dhambi. Kwa mujibu wa mstari huo, sisi sote tumetenda dhambi. 1643 01:39:48,330 --> 01:39:50,330 Mimi ni mwenye dhambi; wewe ni mwenye dhambi. 1644 01:39:50,360 --> 01:39:56,240 Na kwa bahati mbaya pana mshahara wa dhambi. Warumi 6:23 inasema, "Kwa maana 1645 01:39:56,270 --> 01:40:01,380 mshahara wa dhambi ni mauti." Hivyo, neno "mshahara" lina maana ya malipo. Ndicho 1646 01:40:01,410 --> 01:40:06,780 unachovuna. Niendapo kufanya kazi, ninalipwa pesa. Huo ni mshahara wangu. Lakini kwa sababu 1647 01:40:06,810 --> 01:40:11,290 ya dhambi yangu, mshahara ni mauti. Ninachostahili kulipwa ni mauti. "Kwa maana mshahara wa dhambi 1648 01:40:11,320 --> 01:40:16,690 ni mauti." Hivi, tunapofikiria mauti watu wengi hufikiria kifo cha mwili, 1649 01:40:16,720 --> 01:40:22,100 lakini Ufunuo 20:14-15 unasema, "Mauti na Kuzimu zikatupwa katika lile ziwa la 1650 01:40:22,130 --> 01:40:25,930 moto." (Inamaanisha jehanamu). Inasema, "Hii ndiyo mauti ya pili, yaani, hilo ziwa la moto. " 1651 01:40:25,970 --> 01:40:29,010 Na iwapo mtu ye yote hakuonekana ameandikwa katika kitabu cha uzima, alitupwa katika lile ziwa 1652 01:40:29,470 --> 01:40:33,710 la moto. " Hivyo, kwa mujibu wa Biblia, mshahara wetu wa dhambi siyo tu 1653 01:40:33,770 --> 01:40:38,610 kifo cha mwili, bali mauti ya pili. Utauliza, "Mauti ya pili ni ipi?" 1654 01:40:38,650 --> 01:40:43,120 Ni kutupwa katika ziwa la moto. "Hii ndiyo mauti ya pili." Kile tustahilicho 1655 01:40:43,150 --> 01:40:47,590 sababu ya dhambi zetu ni mauti; kifo cha mwili, mauti ya pili, ambayo ni 1656 01:40:47,620 --> 01:40:51,860 kutupwa katika ziwa la moto. Ufunuo 21:8 inasema, "Bali waoga, na 1657 01:40:51,890 --> 01:40:55,700 wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na 1658 01:40:55,730 --> 01:40:59,430 wachawi, na hao waabuduo sanamu..." Ni orodha mbaya, siyo? 1659 01:40:59,470 --> 01:41:02,530 Wauaji, wazinzi, wachawi. Watu wengi watakubali, muuaji, 1660 01:41:03,170 --> 01:41:06,840 "Aah ndiyo. Watakwenda motoni." Lakini angalia anasema, "Bali waoga, 1661 01:41:06,870 --> 01:41:10,480 na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na 1662 01:41:10,510 --> 01:41:13,180 wachawi, nao waabuduo sanamu..." Na mwisho wa orodha anasema 1663 01:41:13,210 --> 01:41:18,220 haya: ", na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto 1664 01:41:18,250 --> 01:41:22,320 na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili. " Na sababu Mungu anaongeza 1665 01:41:22,360 --> 01:41:26,390 dhambi ya uongo mwishoni mwa orodha hii, anajaribu kufikisha ujumbe, na 1666 01:41:26,430 --> 01:41:30,460 ujumbe ni huu: wote ni wenye dhambi. Kila binadamu ameshasema uongo. Na 1667 01:41:30,500 --> 01:41:34,080 anajaribu kusema hakuna mwenye haki. Wote tumefanya dhambi; wote tunastahili kwenda 1668 01:41:34,080 --> 01:41:34,100 1669 01:41:34,100 --> 01:41:38,480 motoni. Hii ni habari mbaya. Mimi ni mwenye dhambi; wewe ni mwenye dhambi; na wote 1670 01:41:39,270 --> 01:41:43,680 awali tulihukumiwa kwenda motoni, lakini injili inatupa matumaini mema au habari 1671 01:41:43,710 --> 01:41:48,040 njema. Warumi 6:23 inasema, "Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti". Sasa tunaelewa nini 1672 01:41:48,040 --> 01:41:48,180 1673 01:41:48,180 --> 01:41:52,680 maana yake. Lakini sehemu ya pili ya mstari inasema, "bali karama ya Mungu ni 1674 01:41:53,090 --> 01:41:56,790 uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. " Biblia iansema kwamba Mungu alitoa 1675 01:41:56,820 --> 01:42:01,960 karama anayotaka kukupa nayo karama hiyo ni uzima wa milele. Katika Waefeso 2:8-9 1676 01:42:02,000 --> 01:42:06,000 Biblia inasema, "Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; " Neno "neema" 1677 01:42:06,100 --> 01:42:10,140 lina maana kupata kitu ambacho hukustahili. Hukukifanyia kazi; wala 1678 01:42:10,170 --> 01:42:13,170 hukukilipia. "Mmeokolewa" inazungumzia kuokolewa toka jehanamu, 1679 01:42:13,210 --> 01:42:16,110 kwa sababu sitaki niende hiko. Na nina hakika nawe hutaki kwenda huko. 1680 01:42:16,140 --> 01:42:20,450 Neno "imani" lina maana ya kuamini. Linasema, "Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya 1681 01:42:20,480 --> 01:42:25,220 imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu". Haihusiki kabisa na wewe. Hii ndiyo sababu: 1682 01:42:25,250 --> 01:42:29,490 "ni kipawa cha Mungu; wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu. " Zawadi si 1683 01:42:29,520 --> 01:42:33,130 kitu ulichokifanyia kazi. Kipawa ni kitu unachopewa. Mtu fulani 1684 01:42:33,160 --> 01:42:36,220 anakilipia, lakini hukilipii. Kama nikikupa zawadi na nikataka 1685 01:42:36,760 --> 01:42:39,870 unilipe pesa kwa ajili yake, hiyo haiwi zawadi. Kama nikikupa zawadi, lakini 1686 01:42:39,900 --> 01:42:43,600 nikakuambia ufanye kitu kwa ajili yake, hiyo haiwi zawadi. Zawadi 1687 01:42:43,640 --> 01:42:47,680 haikugharimu chochote, lakini inamgharimu yule anayekupatia kitu. 1688 01:42:47,710 --> 01:42:51,650 Na zawadi ya Mungu iko hivyohivyo. Yesu alilipia hiyo zawadi. 1689 01:42:51,680 --> 01:42:56,450 Warumi 5:8 inasema, "Bali Mungu aonyesha pendo lake yeye mwenyewe kwetu sisi, kwa kuwa 1690 01:42:56,480 --> 01:43:01,000 Kristo alikufa kwa ajili yetu, tulipokuwa tungali wenye dhambi. " Yohana 3:16, mstari mashuhuri 1691 01:43:01,000 --> 01:43:01,020 1692 01:43:01,020 --> 01:43:05,440 kuliko yote kwenye Biblia, unasema, "Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, 1693 01:43:05,530 --> 01:43:09,900 ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. " 1694 01:43:09,930 --> 01:43:14,240 Injili ni hii: Yesu Kristo alizaliwa na bikira. Akaishi maisha pasipo kutenda dhambi; 1695 01:43:14,270 --> 01:43:17,090 hakuwahi kufanya dhambi, hakufanya kosa lolote. Alikufa msalabani, 1696 01:43:17,090 --> 01:43:17,170 1697 01:43:17,170 --> 01:43:20,720 akazikwa. Biblia inatuambia kwamba roho yake ilienda kuzimu kwa siku tatu mchana na 1698 01:43:21,050 --> 01:43:24,890 usiku, akafufuka kaburini, siyo kulipia dhambi zake mwenyewe, 1699 01:43:25,450 --> 01:43:29,980 kwa sababu hakuwa na dhambi. Alikufa ili atulipie dhambi zetu. Na tazama, tayari 1700 01:43:30,020 --> 01:43:34,050 ameshazilipa. Zawadi imeshalipiwa. Inakubidi sasa uelewe 1701 01:43:34,050 --> 01:43:34,120 1702 01:43:34,120 --> 01:43:37,660 kuhusu zawadi hii: Yohana 3:16 inasema "uzima wa milele." Zawadi ni 1703 01:43:38,190 --> 01:43:41,280 uzima wa milele. Neno "milele" linamaanisha itakaa milele. Maisha ambayo 1704 01:43:42,130 --> 01:43:46,270 yakaa milele. Hayana mwisho kamwe. Yohana 3:15 inasema "uzima wa milele." 1705 01:43:46,300 --> 01:43:50,400 "Milele" maana yake hauna mwisho. Yohana 3:36 unasema "uzima wa milele." Warumi 1706 01:43:50,440 --> 01:43:53,520 6:23 inasema "uzima wa milele." Kote katika Biblia unaona dhana hii: uzima wa 1707 01:43:54,240 --> 01:43:58,280 milele, maisha ya milele, maisha yatakayokuwa ya milele, maisha yasiyo na mwisho. 1708 01:43:58,310 --> 01:44:03,220 Kwa mujibu wa Yohana 3:36, unaupata uzima huo pale unapoamini. "Amwaminiye 1709 01:44:03,250 --> 01:44:08,090 Mwana yuna uzima wa milele;" Baadhi wanaweza kufikiri, "Kumbe, naweza kupokea 1710 01:44:08,120 --> 01:44:11,190 wokovu, lakini nikishakuwa nao, nikifanya jambo fulani baya, kama vile kuzini 1711 01:44:11,830 --> 01:44:15,860 kuua, kujiua, na Mungu ataniondolea wokovu wangu." 1712 01:44:15,900 --> 01:44:19,630 Lakini kama akiuchukua, basi haukuwa wa milele. Unaona, inabidi tuelewe 1713 01:44:19,670 --> 01:44:23,670 kwamba wokovu siyo kitu tunachokifanyia kazi, na mara tunapokuwapo nacho 1714 01:44:23,770 --> 01:44:28,210 siyo kitu ambacho tunakitunza. Biblia inasema katika Tito 1:2, "katika tumaini la 1715 01:44:28,240 --> 01:44:32,550 uzima wa milele, ambao Mungu asiyeweza kusema uongo aliuahidi tangu milele; " 1716 01:44:32,580 --> 01:44:35,660 Unaona, tumaini letu kwa uzima wa milele ni hili: Mungu hawezi kusema uongo. Kama Mungu aliniahidi 1717 01:44:36,380 --> 01:44:39,390 uzima wa milele, ndio hivyo. Ni uzima wa milele. Aliniahidi uzima wa milele 1718 01:44:39,490 --> 01:44:42,580 na huo utadumu milele. Utasema, "Lakini, kama nikifanya kitu 1719 01:44:43,490 --> 01:44:47,430 kibaya kabisa?" Ndio siyo jukumu letu. Kabisa halinitegemei mimi. Ni 1720 01:44:47,460 --> 01:44:50,900 kipawa ambacho kitakaa milele. Hiki ndicho kitu kimoja tu unachotakiwa kukifanya: 1721 01:44:50,930 --> 01:44:53,970 Kama ilivyo zawadi yoyote nyingine, unao uchaguzi wa kuikubali 1722 01:44:54,030 --> 01:44:59,200 au kuikataa. Unaweza kuuliza, "Sasa, nafanyaje kuikubali zawadi ya Mungu?" Warumi 10:9 1723 01:44:59,540 --> 01:45:02,550 inasema hivi: "Ukimkiri" Anasema "uki.." kwa vile una fursa ya 1724 01:45:02,640 --> 01:45:07,550 kuchagua. Anasema, ", ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana,..." 1725 01:45:07,580 --> 01:45:11,010 Neno "kukiri" lina maana ya kukubali. Utasema, "Nakiri nini?" Yaani, 1726 01:45:11,010 --> 01:45:11,150 1727 01:45:11,150 --> 01:45:13,750 unakubali kwamba wewe nimwenye dhambi. Unakubali kwamba unastahili kwenda 1728 01:45:13,950 --> 01:45:18,330 motoni. Lakini unaomba msamaha. Anasema, "ukimkiri Yesu 1729 01:45:18,390 --> 01:45:22,730 kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana..." Lakini ni zaidi ya kusema tu maneno. Anasema pia, 1730 01:45:22,760 --> 01:45:27,130 "na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua 1731 01:45:27,170 --> 01:45:31,020 katika wafu..." Unaamini kwamba Yesu Kristo alikufa msalabani, akazikwa, 1732 01:45:31,020 --> 01:45:31,170 1733 01:45:31,170 --> 01:45:34,420 na akafufuka katika wafu kama malipo ya dhambi zako. Anasema, "ukimkiri 1734 01:45:34,640 --> 01:45:37,700 Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa 1735 01:45:38,020 --> 01:45:41,070 Mungu alimfufua katika wafu," Biblia inasema, "utaokoka. " 1736 01:45:41,750 --> 01:45:45,190 Haisemi inawezekana pengine ukaokoka. Haisemi tumaini kwamba utaokoka. 1737 01:45:45,220 --> 01:45:49,290 Mungu anasema, "Nitakuokoa kama ukikiri kwa kinywa chako na kuamini 1738 01:45:49,320 --> 01:45:52,360 moyoni mwako." Tazama, hauhitaji kwenda kanisani. Haisemi lazima 1739 01:45:52,430 --> 01:45:55,480 ubatizwe. Haisemi lazima utubu dhambi zako. Haisemi 1740 01:45:56,030 --> 01:45:59,070 inabidi ufanye chochote; amini tu na umuombe akuokoe. Ukiamini hayo 1741 01:45:59,430 --> 01:46:02,770 kwa moyo wako, ukiamini kwamba Yesu Kristo alikufa msalabani kwa ajili ya dhambi zako, 1742 01:46:02,800 --> 01:46:05,310 akazikwa, akafufuka kaburini, anataka kukupa zawadi, ambayo ni uzima wa 1743 01:46:05,340 --> 01:46:08,010 milele, kwa nini usikiri tu kwa kinywa chako sasa hivi? 1744 01:46:08,010 --> 01:46:08,140 1745 01:46:08,140 --> 01:46:11,060 Napenda kukusaidia kufanya maombi. Kama unaamini hayo, fanya hivi tu, 1746 01:46:11,680 --> 01:46:12,750 omba pamoja nami sasa: 1747 01:46:31,000 --> 01:46:34,060 "Kama umeomba maombi hayo na umeamini kwa moyo wako, kwa mujibu wa 1748 01:46:34,600 --> 01:46:38,440 Biblia, sasa umeokolewa. Umepata uzima wa milele. Hongera.